< Malaki 2 >

1 “Sasa onyo hili ni kwa ajili yenu, enyi makuhani.
Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhe vod: – Kaahinar, ina əmr həşde vuşdemee vob: Yizde cuvabıl k'ırı ilydiyxheene, Yizın do yik'eençe axtı qıde'eene, şolqa bed-düə gyooğav'u, vuşun xayir-düəbı bed-düəlqa sak'al ha'as. Şu Yizın do yik'eençe axtı qıdi'ıva, şu Yizda bed-düə alyapt'ınacab.
2 Kama hamtasikiliza, na kama hamtaki kuielekeza mioyo yenu kuheshimu Jina langu, nitatuma laana juu yenu, nami nitalaani baraka zenu. Naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamkuielekeza mioyo yenu kuniheshimu mimi,” Asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
3 “Kwa sababu yenu nitawakatilia mbali wazao wenu. Nitazipaka nyuso zenu mavi, mavi ya dhabihu zenu. Nanyi mtafukuzwa pamoja nazo mtoke mbele zangu.
Zı şol-alla şoke g'abıynbışikınıd ha'asın. Bayrambışil şu q'urbanna alli'iyne həyvanaaşin xhidbı Zı vuşde aq'vabışile k'ena ı'xəs, mançika sacigee şu dağaa'as.
4 Nanyi mtajua kuwa nimewapelekea onyo hili ili kwamba Agano langu na Lawi lipate kuendelea,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Manke şok'le ats'axhxhes, Zı mana əmr şoka, Leviyne nasılıka, hav'una mugaavile aaxvecenva g'axuvu. Məxüd Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhe!
5 “Agano langu lilikuwa pamoja naye, agano la uhai na amani, nami nilimpa yote, ili aniche na kuniheshimu, naye akaniheshimu na kusimama akilicha Jina langu.
Zı Leviyne nasılıka barakatnana ı'mı'r hoolena mugaavileniy hav'u. Zas hı'rmat gyuvxhuva, Zı manbışis man gırgın huvuyn. Manbıb Zale qəpq'ı'ninbı, Yizde doyusub hı'rmat gyuvxhuna.
6 Fundisho la kweli lilikuwa kinywani mwake, wala hakuna uongo wowote uliopatikana katika midomo yake. Alitembea nami katika amani na unyofu, naye akawageuza wengi kutoka dhambini.
Manbışde mizel qopkuna Q'aanun vuxha, ghaleençed horbı qığeeç'enbı deşdiy. Manbışe Yizde ögil yugnayiy qopkuna ı'mı'r hav'u. Geebınbı manbışe yəqqı'lqa sav'u.
7 “Kwa maana yapasa midomo ya kuhani kuhifadhi maarifa. Tena kutoka kinywani mwake watu wangepaswa kutafuta mafundisho, kwa sababu yeye ni mjumbe wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Kaahinaaşine ghalen ats'al havaces ıkkan, insanaaşisse manbışde mizele Q'aanun t'abal haa'as vəəxecenva. Kaahinar Xəəne G'oşunbışde Rəbbee g'axuvuynbı vob.
8 Lakini mmegeuka mkaiacha njia, na kwa mafundisho yenu mmesababisha wengi kujikwaa. Mmevunja agano na Lawi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Şumee, kaahinar, yəqqı'le qığeepç'ıynbı, şu helene ats'aalybışika mansanbıb şoqab qihna habğı. Zı Leviyne nasılıka hav'una mugaavile şu havakkal hav'una. Məxüd Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhe!
9 “Kwa hiyo nimewasababisha ninyi kudharauliwa na kufedheheshwa mbele ya watu wote, kwa sababu hamkufuata njia zangu, bali mmeonyesha upendeleo katika mambo ya sheria.”
Şu Yizde yəqqı'n apk'ın deş, Q'aanunuka g'acesde işbışee, şu gırgıng'uqa sa uleka ılyaakı deş. Mançil-allab Zı şu milletnecab g'eliqqa hevles, k'ap'ik'ıle avqa qaa'as.
10 Je, sote hatuna Baba mmoja? Hatukuumbwa na Mungu mmoja? Kwa nini basi tunalinajisi Agano la baba zetu kwa kukosa uaminifu kila mmoja kwa mwenzake?
Yişda gırgıng'una Dek sa dişde vor? Şi sa Allahee dişde ipxhın? Nya'a manke şi dekkaaşika hav'una mugaavileyna muq'addasiyvalla avaakan haa'a, sana-sang'us horbı ha'a?
11 Yuda amevunja uaminifu. Jambo la kuchukiza limetendeka katika Israeli na katika Yerusalemu: Yuda amepanajisi mahali patakatifu apendapo Bwana, kwa kuoa binti wa mungu mgeni.
Yahudayne milletın Allahıs xayaanat hı'ı. İzraileeyiy İyerusalimee həlyvəəq'ənasın işbı hı'ı: Yahudabışee menne allahbışis ı'bəədat ha'an yedar hav'u, Rəbbis ıkkananne, muq'addasne cigayna muq'addasiyvalla avaakan hav'u.
12 Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, Bwana na amkatilie mbali kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa anamletea Bwana Mwenye Nguvu Zote sadaka.
Man hı'ına insan vuşu ıxhay ixhecen, Xəəne G'oşunbışde Rəbbis q'urban ablyaa'ana çikana ixheeyir, Rəbbee mana Yaaq'ubne çadırbışisse g'e'eşşecen.
13 Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha madhabahu ya Bwana kwa machozi. Mnalia na kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka mikononi mwenu.
Şu in karıd ha'an: gyaaşu-gyaaxu, Rəbbin q'urbanbı allya'an cigad ulene nağıka gyats'a'an. Məxüd, şu adıyne q'urbanıqa Rəbb sak'ı ilydakkava, manbı şoke ilydyaat'ava ha'a.
14 Mnauliza, “Kwa nini?” Ni kwa sababu Bwana ni shahidi kati yako na mke wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano lako la ndoa.
Şosse «Nişil allavane?» qidghın ha'as əxə. Ğu mek'vranang'a hey'iyne zəiyfayneyiy yiğne yı'q'nee Şahad Rəbb vorna. Ğu, mana yiğna nikahıkana xhunaşşe yixhayka ilydyakkı, məng'ı's xayaanat hı'ı.
15 Je, Bwana hakuwafanya wao kuwa mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, mtu asivunje uaminifu kwa mke wa ujana wake.
Allahee şu sa tan, sa rı'h xhinne dişde ipxhın? Nya'asdiyxan Mang'us şu sa vuxha vukkan? Mang'us Cunemee nasılniy vukkan. Mançil-allab şucab şu havaace. Hasre şavaacad mek'vranang'a hey'iyne xhunaşşeys xayaanat hıma'acen.
16 “Ninachukia kuachana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
İzrailyne Allahee, Rəbbee eyhen: – Xhunaşşeyka yugra dexhena, mana qıxeelena Zak'le g'ımece vor. Mançil-allad şucab şu havaace, xayaanat hıma'a! Məxüd Xəəne G'oşunbışde Rəbbee eyhe!
17 Mmemchosha Bwana kwa maneno yenu. Nanyi mnauliza, “Tumemchosha kwa namna gani?” Mmemchosha kwa kusema, “Wote watendao mabaya ni wema machoni pa Bwana, naye anapendezwa nao” au “Mungu wa haki yuko wapi?”
Vuşde yuşan hav'uyn Rəbb ozar ha'a. «Nəxürne şi Mana ozar ha'ava?» şosse qiyghanasıd əxə. Şu eyhen: – Qəlasın ha'anbı Rəbbine ulesqa yugba qöö, Rəbbis manbı vukkananbı. Şucadıd meed eyhen: – Qopkuvalin məhkama alğayhena Allah nyaane? Mançikar şu Mana ozar ha'a.

< Malaki 2 >