< Malaki 2 >
1 “Sasa onyo hili ni kwa ajili yenu, enyi makuhani.
Oe vaihmanaw, ransahu BAWIPA ni nangmouh hanlah a dei e lawk teh,
2 Kama hamtasikiliza, na kama hamtaki kuielekeza mioyo yenu kuheshimu Jina langu, nitatuma laana juu yenu, nami nitalaani baraka zenu. Naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamkuielekeza mioyo yenu kuniheshimu mimi,” Asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Ka lawk na ngai awh hoeh lah, ka min barilawanae na tawn awh hoehpawiteh, thoebonae nangmouh koe ka patoun han. Nangmae yawhawinae hah yawthoenae lah ka coung sak han. Hothloilah, ka min na barilawa awh hoeh dawkvah atu roeroe yawthoe lah ka coung sak toe.
3 “Kwa sababu yenu nitawakatilia mbali wazao wenu. Nitazipaka nyuso zenu mavi, mavi ya dhabihu zenu. Nanyi mtafukuzwa pamoja nazo mtoke mbele zangu.
Nangmae catounnaw hah ka yue vaiteh, pawi na tonae saring e ei hah na minhmai dawk ka kano han. Alouke miphunnaw ni ei khuehoi na hrawi awh han.
4 Nanyi mtajua kuwa nimewapelekea onyo hili ili kwamba Agano langu na Lawi lipate kuendelea,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Kaie lawkkam teh Levih miphun koe caksak hanelah, hete kâlawknaw hah nangmouh koe na poe e hah na panue awh han telah ransahu BAWIPA ni a ti.
5 “Agano langu lilikuwa pamoja naye, agano la uhai na amani, nami nilimpa yote, ili aniche na kuniheshimu, naye akaniheshimu na kusimama akilicha Jina langu.
Ahnimouh koe ka poe e kaie lawkkam teh hringnae hoi lungmawngnae lah ahnimouh koe ao. Kai hah barilawa na poe awh teh ka min a taki awh dawkvah lawkkam hah ka poe.
6 Fundisho la kweli lilikuwa kinywani mwake, wala hakuna uongo wowote uliopatikana katika midomo yake. Alitembea nami katika amani na unyofu, naye akawageuza wengi kutoka dhambini.
Ahnimouh ni lawkkatang a dei awh vaiteh apâhni dawk hoi payonnae tâcawt mahoeh. Lungmawngnae, lannae hoi kai hoi rei cet vaiteh ahnimouh ni yonnae a kamlang takhai awh han.
7 “Kwa maana yapasa midomo ya kuhani kuhifadhi maarifa. Tena kutoka kinywani mwake watu wangepaswa kutafuta mafundisho, kwa sababu yeye ni mjumbe wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Vaihmanaw e pahni dawk hoi lungang thoumnae a tâco han. Ahnie pahni dawk hoi taminaw ni cangkhainae atang awh han. Bangkongtetpawiteh ahni teh ransahu BAWIPA e patoune lah ao.
8 Lakini mmegeuka mkaiacha njia, na kwa mafundisho yenu mmesababisha wengi kujikwaa. Mmevunja agano na Lawi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Nangmouh teh lam na phen awh toe. Nangmae cangkhainae teh taminaw kamthui nahanelah ao toe. Levihnaw hoi kam e lawkkam na raphoe awh toe telah ransahu BAWIPA ni a ti.
9 “Kwa hiyo nimewasababisha ninyi kudharauliwa na kufedheheshwa mbele ya watu wote, kwa sababu hamkufuata njia zangu, bali mmeonyesha upendeleo katika mambo ya sheria.”
Hatdawkvah nangmouh teh ka lamthung na dawn awh hoeh, na cangkhai awh navah minhmai khet na tawn awh dawkvah tami pueng ni na dudam nahanlah ka sak han.
10 Je, sote hatuna Baba mmoja? Hatukuumbwa na Mungu mmoja? Kwa nini basi tunalinajisi Agano la baba zetu kwa kukosa uaminifu kila mmoja kwa mwenzake?
Maimouh pueng teh Na pa buet touh dueng tawn awh nahoehmaw. Cathut buet touh dueng ni maimouh na sak awh nahoehmaw. Bangkongmaw mintoenaw hoi kâhuikonae lawkkam teh na pahnawt a vaw. Bangkongmaw buet touh hoi buet touh lawkkam na cak awh hoeh vaw.
11 Yuda amevunja uaminifu. Jambo la kuchukiza limetendeka katika Israeli na katika Yerusalemu: Yuda amepanajisi mahali patakatifu apendapo Bwana, kwa kuoa binti wa mungu mgeni.
Judahnaw teh lawkkam cak awh hoeh. Isarelnaw hoi Jerusalem khocanaw teh panuet ka tho e hno a sak awh toe. Judahnaw teh BAWIPA ni a lungpataw e thoungnae hah banglahai a noutna awh hoeh dawkvah alouke miphun cathut e canaw hoi a kâyuva awh toe.
12 Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, Bwana na amkatilie mbali kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa anamletea Bwana Mwenye Nguvu Zote sadaka.
Hottelah kacangkhaikungnaw hoi a hnukkâbangnaw thoseh, ransahu BAWIPA koe pasoum hno ka sin e hai thoseh, Jakop e rim dawk hoi a takhoe han.
13 Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha madhabahu ya Bwana kwa machozi. Mnalia na kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka mikononi mwenu.
Hahoi, na sak awh e hno teh, BAWIPA e khoungroe hah mitphi bonae, khuikanae hoi na ramuk awh toe. Hatdawkvah, pasoum hno hah dâw hoeh toe. Na kut dawk hoi na poe e hno teh ngainae lahoi dâw hoeh toe.
14 Mnauliza, “Kwa nini?” Ni kwa sababu Bwana ni shahidi kati yako na mke wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano lako la ndoa.
Bangtelane telah na pacei awh pawiteh, na thoundoun nah na paluen e na yu koe, lawkkam na cak hoeh. Na yu hoi nang rahak BAWIPA teh kapanuekkhaikung lah ao. Hote yu teh nange yu, lawkkam e yu lah ao toe.
15 Je, Bwana hakuwafanya wao kuwa mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, mtu asivunje uaminifu kwa mke wa ujana wake.
Ahni ni ahnimanaw hah, buet touh lah nahoehmaw a sak vaw. Tak hoi muitha teh Cathut e doeh. Bangkongmaw buet touh dueng a sak tetpawiteh, Cathut ni cathutlae catoun hah a tawng. Hatdawkvah, na muitha hah kahawicalah pouk nateh, na nawsai nah na paluen e na yu koe lawkkam raphoe hanh.
16 “Ninachukia kuachana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
Yu pahnawtnae, yu koe yuemkamcu hoeh lah o e pâphanae hah, kahmawt ngai hoeh telah Isarel Cathut ransahu BAWIPA ni ati. Hatdawkvah na muitha hanelah kâhruetcuet nateh kaisue laihoi khosak hanh.
17 Mmemchosha Bwana kwa maneno yenu. Nanyi mnauliza, “Tumemchosha kwa namna gani?” Mmemchosha kwa kusema, “Wote watendao mabaya ni wema machoni pa Bwana, naye anapendezwa nao” au “Mungu wa haki yuko wapi?”
Nangmouh teh BAWIPA hnâ a poum totouh na lawk apap awh. Bangtelamaw hnâ a poum totouh na sak awh tetpawiteh, ka payon e tami pueng, Cathut hmalah ahawi doeh. Hot patet e taminaw hah BAWIPA ni a ngai doeh, lawkcengkung Cathut teh nâmouh ao va telah na ti awh.