< Malaki 2 >

1 “Sasa onyo hili ni kwa ajili yenu, enyi makuhani.
He olpaek he nangmih khosoih rhoek ham pawn ni.
2 Kama hamtasikiliza, na kama hamtaki kuielekeza mioyo yenu kuheshimu Jina langu, nitatuma laana juu yenu, nami nitalaani baraka zenu. Naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamkuielekeza mioyo yenu kuniheshimu mimi,” Asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Ka ming te thangpomnah paek hamla na hnatun uh pawt tih na lungbuei ah na khueh uh pawt akhaw. Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Nangmih soah tapvoepnah kan tueih vetih na yoethennah te thae kam phoei thil ni. Lungbuei ah na khueh uh pawt dongah te te thae ka phoei thil.
3 “Kwa sababu yenu nitawakatilia mbali wazao wenu. Nitazipaka nyuso zenu mavi, mavi ya dhabihu zenu. Nanyi mtafukuzwa pamoja nazo mtoke mbele zangu.
Nangmih kongah ni tiingan te khaw ka tluung. Na maelhmai ah aek kam bak vetih na khotue kah aek neh nangmih te n'khuen ni.
4 Nanyi mtajua kuwa nimewapelekea onyo hili ili kwamba Agano langu na Lawi lipate kuendelea,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
“Te vaengah Levi taengkah ka paipi om sak ham, nangmih taengah he kah olpaek kan tueih te na ming uh ni,” Caempuei BOEIPA loh a thui.
5 “Agano langu lilikuwa pamoja naye, agano la uhai na amani, nami nilimpa yote, ili aniche na kuniheshimu, naye akaniheshimu na kusimama akilicha Jina langu.
Ka paipi he a taengah hingnah neh rhoepnah om. Te rhoek te a taengah rhimomnah la ka paek. Te dongah kai he n'rhih tih ka ming hmai ah anih yawk.
6 Fundisho la kweli lilikuwa kinywani mwake, wala hakuna uongo wowote uliopatikana katika midomo yake. Alitembea nami katika amani na unyofu, naye akawageuza wengi kutoka dhambini.
Olkhueng oltak he anih ka dongah om tih a hmuilai ah dumlai a thoeng moenih. Rhoepnah nen ni ka taengah tlangtlae la a caeh dongah thaesainah lamloh muep a mael puei.
7 “Kwa maana yapasa midomo ya kuhani kuhifadhi maarifa. Tena kutoka kinywani mwake watu wangepaswa kutafuta mafundisho, kwa sababu yeye ni mjumbe wa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Khosoih kah hmuilai long tah mingnah ngaithuen saeh lamtah a ka lamloh olkhueng tlap saeh. Anih tah caempuei BOEIPA kah puencawn ni.
8 Lakini mmegeuka mkaiacha njia, na kwa mafundisho yenu mmesababisha wengi kujikwaa. Mmevunja agano na Lawi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Tedae longpuei lamloh na phael uh tih muep na paloe uh. Olkhueng dong lamloh Levi paipi na phae uh. Caempuei BOEIPA loh he ni a thui.
9 “Kwa hiyo nimewasababisha ninyi kudharauliwa na kufedheheshwa mbele ya watu wote, kwa sababu hamkufuata njia zangu, bali mmeonyesha upendeleo katika mambo ya sheria.”
Te olka dongah ni kai van long khaw nangmih te kan sawtsit tih pilnam boeih taengah tlarhoel la kang khueh. Ka longpuei aka ngaithuen tih olkhueng dongah mik aka huel he nangmih moenih.
10 Je, sote hatuna Baba mmoja? Hatukuumbwa na Mungu mmoja? Kwa nini basi tunalinajisi Agano la baba zetu kwa kukosa uaminifu kila mmoja kwa mwenzake?
Mamih boeih kah napa tah pakhat moenih a? Mamih aka suen he Pathen pakhat moenih a? Balae tih hlang loh a manuca taengah a hnukpoh? A pa rhoek kah paipi aka poeih rhung la.
11 Yuda amevunja uaminifu. Jambo la kuchukiza limetendeka katika Israeli na katika Yerusalemu: Yuda amepanajisi mahali patakatifu apendapo Bwana, kwa kuoa binti wa mungu mgeni.
Judah a hnukpoh dongah ni Israel ah khaw, Jerusalem ah khaw tueilaehkoi a saii. Kholong kah pathen canu a lungnah tih a yuunah te Judah loh BOEIPA kah hmuencim ni a poeih.
12 Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, Bwana na amkatilie mbali kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa anamletea Bwana Mwenye Nguvu Zote sadaka.
Te bang aka saii hlang te tah aka haenghang khaw, Jakob dap lamloh a doo tih caempuei BOEIPA taengah khocang aka tawn khaw BOEIPA loh khoe nawn saeh.
13 Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha madhabahu ya Bwana kwa machozi. Mnalia na kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka mikononi mwenu.
Na kut lamloh khocang neh kolonah doe ham koep na mael van pawt ah BOEIPA kah hmueihtuk tah mikphi neh et hamla rhahnah neh kiinah neh a pabae la na saii.
14 Mnauliza, “Kwa nini?” Ni kwa sababu Bwana ni shahidi kati yako na mke wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano lako la ndoa.
Balae tih koep na dawt? BOEIPA tah nang laklo neh na camoe kah na yuu laklo ah laipai coeng. Anih te na cangyaeh neh na paipi yuu yamvat ah anih taengah na hnukpoh.
15 Je, Bwana hakuwafanya wao kuwa mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, mtu asivunje uaminifu kwa mke wa ujana wake.
Anih ham a hil coih neh aka saii khaw pakhat moenih a? Balae tih Pathen kah tiingan te pakhat bueng loh a toem? Na mueihla te ngaithuen lamtah na camoe vaengkah na yuu taengah hnukpoh boeh.
16 “Ninachukia kuachana,” asema Bwana, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
Israel Pathen BOEIPA loh a thui coeng. Yuu hlak tih a pueinak neh kuthlahnah aka dah he a thiinah. Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Te dongah na mueihla te ngaithuen lamtah hnukpoh boeh.
17 Mmemchosha Bwana kwa maneno yenu. Nanyi mnauliza, “Tumemchosha kwa namna gani?” Mmemchosha kwa kusema, “Wote watendao mabaya ni wema machoni pa Bwana, naye anapendezwa nao” au “Mungu wa haki yuko wapi?”
BOEIPA he na ol neh na kohnue sak uh. Tedae, “Balae na kohnue,” na ti uh. “Boethae aka saii boeih loh BOEIPA mik ah then tih amih te amah loh a ngaih. Tiktamnah Pathen te menim?” na ti uh.

< Malaki 2 >