< Malaki 1 >

1 Ujumbe: Neno la Bwana kwa Israeli kupitia kwa Malaki.
Uma revelação, a palavra de Yahweh para Israel por Malaquias.
2 Bwana asema, “Nimewapenda ninyi.” “Lakini ninyi mnauliza, ‘Wewe umetupendaje?’” Bwana asema, “Je, Esau hakuwa ndugu yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo,
“Eu te amei”, diz Yahweh. No entanto, você diz: “Como você nos amou?” “Não era o irmão de Esaú Jacob?” diz Yahweh, “No entanto eu amava Jacob;
3 lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa jangwani.”
but Esaú eu odiava, e fiz de suas montanhas uma desolação, e dei sua herança aos chacais do deserto”.
4 Edomu anaweza kusema, “Ingawa tumepondapondwa, tutajenga upya magofu.” Lakini hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo chini ya ghadhabu ya Bwana.
Whereas Edom diz: “Somos derrotados, mas voltaremos e construiremos os lugares devastados”, diz Yahweh dos Exércitos, “Eles construirão, mas eu os derrubarei; e os homens os chamarão de 'A Terra Maligna', até mesmo o povo contra o qual Yahweh mostra ira para sempre”.
5 Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘Bwana ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’
Seus olhos verão, e você dirá: “Javé é grande - mesmo além da fronteira de Israel”!
6 “Mwana humheshimu baba yake, naye mtumishi humheshimu bwana wake. Kama mimi ni baba, iko wapi heshima ninayostahili? Kama mimi ni bwana, iko wapi heshima ninayostahili?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Ni ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau Jina langu. “Lakini mnauliza, ‘Tumelidharau Jina lako kwa namna gani?’
“Um filho honra seu pai, e um servo seu amo. Se eu sou pai, então onde está minha honra? E se eu sou um mestre, onde está o respeito que me é devido?” diz Yahweh dos Exércitos a vocês padres que desprezam meu nome. “Vocês dizem: 'Como temos desprezado seu nome?
7 “Mnatoa sadaka chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu. “Lakini ninyi mnauliza, ‘Tumekutia unajisi kwa namna gani?’ “Kwa kusema kuwa meza ya Bwana ni ya kudharauliwa.
Vocês oferecem pão poluído em meu altar. Você diz: 'Como nós o poluímos?'. Dizendo: 'A mesa de Yahweh é desprezível'.
8 Wakati mletapo dhabihu za wanyama walio vipofu, je, hilo si kosa? Mnapoleta dhabihu zilizo vilema au wanyama wagonjwa, je, hilo si kosa? Jaribuni kuvitoa kwa mtawala wenu! Je, angefurahishwa nanyi? Je, atawakubalia?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Quando você oferece o cego para sacrifício, isso não é maligno? E quando você oferece os coxos e doentes, isso não é maligno? Apresente-o agora ao seu governador! Será que ele ficará satisfeito com você? Ou ele aceitará sua pessoa?” diz Yahweh dos exércitos.
9 “Basi mwombeni Mungu awe na neema kwetu. Je, kwa sadaka kama hizo kutoka mikononi mwenu, atawapokea?” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
“Agora, por favor, implorem o favor de Deus, para que ele seja gracioso conosco. Com isto, Ele aceitará algum de vocês?” diz Yahweh dos Exércitos.
10 “Laiti mmoja wenu angalifunga milango ya Hekalu, ili msije mkawasha moto usiokuwa na faida juu ya madhabahu yangu! Sina furaha nanyi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, “nami sitaikubali sadaka toka mikononi mwenu.
“Oh, que houvesse um entre vocês que fechasse as portas, que não acendessem fogo no meu altar em vão! Não tenho prazer em vocês”, diz Yahweh dos Exércitos, “nem aceitarei uma oferta em suas mãos”.
11 Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa, kuanzia mawio ya jua hata machweo yake. Kila mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa Jina langu, kwa sababu Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Pois desde o nascer do sol até o seu ocaso, meu nome é grande entre as nações, e em todos os lugares será oferecido incenso ao meu nome, e uma oferenda pura; pois meu nome é grande entre as nações”, diz Yahweh dos Exércitos.
12 “Lakini mnalinajisi Jina langu kwa kusema kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’
“Mas você profana quando diz: 'A mesa de Javé está poluída, e seus frutos, até mesmo sua comida, é desprezível'.
13 Nanyi mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau kwa kiburi,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwa nguvu, walio vilema au walio wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?” asema Bwana.
Você diz também, 'Veja, que cansaço é este! E você farejou”, diz Javé dos Exércitos; “e você trouxe o que foi tomado pela violência, o coxo e o doente; assim você traz a oferenda”. Devo aceitar isto em suas mãos”, diz Yahweh.
14 “Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa Bwana. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
“Mas o enganador é amaldiçoado que tem em seu rebanho um macho, e faz votos e sacrifícios ao Senhor uma coisa defeituosa; pois eu sou um grande Rei”, diz Javé dos Exércitos, “e meu nome é impressionante entre as nações”.

< Malaki 1 >