< Luka 9 >

1 Yesu kisha akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa mamlaka na uwezo wa kutoa pepo wachafu wote na kuponya magonjwa yote,
Acunüng Jesuh naw axüisaw he xaleinghngih atänga jah khü lü, khawyai he avan jah mkhütnaka johit la natnak he jah m'yainak be theinak jah pe lü,
2 kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
Pamhnama khawa mawng sang hü khai he la, am phetki he jah m’yai be khai hea a jah tüih.
3 Akawaagiza akisema, “Msichukue chochote safarini: sio fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha, hata msichukue kanzu ya ziada.
Acunüng Jesuh naw, “Nami cehnaka ipi ä nami cehei vai, ksawngkhea pi kyase, kthäheinaka ngjaa pi kyase, eia pi kyase, nguia pi kyase, ä nami cehei vai, kcu nghngih ä nami cehei vai.
4 Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
“Acunüng nami phanaka ima nami awm laih laih vai, acun üngka naw nami ktawih be vai.
5 Kama watu wasipowakaribisha, mnapoondoka katika mji wao, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
“Am ning jah dokhamki cun, acuna mlüh üngka naw nami ktawih be üng, ami ngsingnak vaia nami khawpha üngka mvut nami khawk hüt vai,” a ti.
6 Hivyo wale wanafunzi wakaondoka wakaenda kutoka kijiji hadi kijiji, wakihubiri habari njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
Acunüng axüisaw he cun ktawih u lü, ngnam naküta cit hü u lü, thangkdaw sang hü u lü, hmün naküt üng ami jah m’yai hü be.
7 Basi Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za yote yaliyotendeka. Naye akafadhaika, kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu.
Acunüng, Kalile uki Herod naw ahmäi ngja law lü aktäa cäi lawki; avang he naw, “Baptican Johan xüng law beki ni,” ami ti.
8 Wengine wakasema Eliya amewatokea, na wengine wakasema kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuka.
Avang naw, “Elijah ngdang lawki ni,” ti u se, avang he naw, “Ajana sahma mat mat xüng law beki he ni” ami ti.
9 Herode akasema, “Yohana nilimkata kichwa. Lakini ni nani huyu ambaye ninasikia mambo kama haya kumhusu?” Akatamani sana kumwona.
Acunüng, Herod naw, “Johan cun a lu ka xün päng ni, ahikba sena a mawng ka ngjak hin u ni?” a ti. Acunüng Herod naw Jesuh a hmuh vai aktäa ngjahlüki.
10 Mitume wake waliporudi, wakamweleza Yesu yote waliyofanya. Akawachukua, akaenda nao faraghani mpaka mji uitwao Bethsaida.
Acunüng, ngsä he law be u lü, ami bilawh he Jesuh üng ami jah mtheh law. Acunüng, Jesuh naw jah ngkhahpüi lü Bethsaida mlüh ami tia, a jah cehpüi.
11 Lakini umati wa watu ukafahamu alikokwenda, ukamfuata. Akawakaribisha na kunena nao kuhusu Ufalme wa Mungu na kuwaponya wale wote waliokuwa wanahitaji uponyaji.
Cunsepi, khyang he naw sim u lü, ami läk laih laih, acunüng Jesuh naw aktäa jah dokham lü, Pamhnama khawa mawng ngthu jah mtheki naw, m’yai be vai avan a jah m’yai be.
12 Ilipokaribia jioni, wale mitume kumi na wawili wakaenda kwa Yesu na kumwambia, “Waage makutano ili waende vijijini jirani na mashambani, ili wapate chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tuko nyikani.”
Acunüng, nghngi kya law hlü se, xaleinghngih he Jesuha veia law u lü, “Khyang he mi peisu ngnam he la loea jah tüia, ngsutnak la ei vai hmuei khai hea, hina mäih khawkhyawng khawa mi awm ve,” ami ti.
13 Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.” Nao wakajibu, “Hatuna zaidi ya mikate mitano na samaki wawili. Labda twende tukanunue chakula cha kuwatosha watu hawa wote.”
Acunüng Jesuh naw jah msang lü, “Nangmi naw ami ei vai jah pe ua,” a ti. Acunüng axüisaw he naw, “Muk mhma la nga nglung nghngih ni kami tak. Hin he avana hama, ei vai kami va kheih vai ti aih lü? ami ti.
14 Walikuwako wanaume wapatao 5,000. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini hamsini.”
Kpami däng pi thawng mhma lawki hea kyaki. Acunüng Jesuh naw, axüisaw he üng, “Mhmakip cia, aphäh phäha jah ngawhsak u,” a ti.
15 Wanafunzi wakafanya hivyo, wakawaketisha wote.
Acunüng acunkba ami van ami jah ngawhsak.
16 Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akavibariki na kuvimega. Kisha akawapa wanafunzi ili wawagawie watu.
Jesuh naw muk mhma la nga nglung nghngih lo lü, khankhawa hang mang lü, josenak am kbe lü, boki naw, khyang hea maa, ami tak vaia axüisaw he üng a jah pet.
17 Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
Acunüng, ami van naw ei u lü phü u se, ami ei mnawi cä xaleinghngiha ami kaw.
18 Wakati mmoja, Yesu alipokuwa akiomba faraghani, nao wanafunzi wake wakiwa pamoja naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
Acunüng hinkba kyaki, Jesuh amät ktaiyü se, axüisaw he a veia lawki he, Jesuh naw, “Khyang he naw ua ni ami na ngaih,” ti lü a jah kthäh.
19 Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema kwamba ni mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu.”
Acunüng, axüisaw he naw, “Baptican Johana ning ngai ve u; cunsepi, avang naw, ‘Elijaha’ ning ngai ve u, avang naw, ‘Akphyüma sahma mat mat xüng law beki ni’ ti ve u,” tia ami msang.
20 Kisha akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa Mungu.”
Acunüng Jesuh naw, “Acuna akyaküng, nangmi naw mä ua ni nami na ngaih,” a ti. Pita naw, “Nang cun Mhnama Mesijah ni” a ti.
21 Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.
Acunüng, upi acuna mawng ä ami mtheh vaia a jah ksük.
22 Yesu akasema, “Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na itampasa auawe, lakini siku ya tatu kufufuliwa kutoka mauti.”
Acunüng Jesuh naw, “Khyanga capa naw aktäa khuikhanak khamei khai, angvai he, ktaiyü ngvai he la thum ksing he naw ma khai he, hnima kya khai, amhmüp kthum üng tho law be khai,” a ti.
23 Kisha akawaambia wote, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.
Acunüng, ami vana veia, “Upi na läk law khai ngaiki naw amät ä ngaikyu lü, a kutlamktung amhmüp tä se kawt lü na läk law se.
24 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa.
“Upi a xünnak küikyanei khai büki naw mkhyüh lü, upi keia phäha, a xünnak mkhyühki naw küikyanei khai.
25 Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au kuangamiza nafsi yake?
“Khyang naw khawmdek avan ka na lü, amät la amät pyeh se, am acunüng xükse, ia ni a ngmangnak kawm?
26 Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu atakapokuja katika utukufu wake na katika utukufu wa Baba, pamoja na malaika watakatifu.
“Upi, kei la ka ngthu ngkekhyakei naki cun, khyanga Capa naw, a pa hlüngtainak, amäta hlüngtainak la khankhawngsä ngcim he am a law be üng, ngkekhyakei na be khai.
27 Amin, nawaambia, wako baadhi ya watu waliosimama hapa ambao hawataonja mauti kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”
“Akcanga ka ning jah mthehki, hin üng ngdüiki he avang, Pamhnama khaw am ami hmuh hlana küt üng am thi khai he awmki he” a ti.
28 Yapata siku nane baada ya Yesu kusema hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana, akaenda nao mlimani kuomba.
Acuna ngthu a pyen kän amhmüp khyet üng, Pita, Johan la Jakuk jah ngkhahpüi lü, ktaiyü khaia mcunga kaiki.
29 Alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, nayo mavazi yake yakametameta kama mwanga wa umeme wa radi.
A ktaiyü k’um üng, a hmai hnga law lü, a suisak he a ktäa bawk law lü ngkah lawki.
30 Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Mose na Eliya, wakizungumza naye.
Acunüng, khyang nghngih Jesuh am ngthuheiki xawi, acun kxawi cun Mosi la Elijaha kyaki xawi,
31 Walionekana katika utukufu wakizungumza na Yesu kuhusu kifo chake ambacho kingetokea huko Yerusalemu.
khankhaw hlüngtai kyäpsawknak suiawi ni lü, Jerusalema a khuikhanak vaia mawng pyenki xawi.
32 Petro na wenzake walikuwa wamelala usingizi mzito. Walipoamka, wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.
Acunüng, Pita la a püi he ipeiki he let law u lü, a hlüngtainak la a peia khyang nghngih ngdüiki xawi ami jah hmuh.
33 Mose na Eliya walipokuwa wanaondoka, Petro akamwambia Yesu, “Bwana, ni vizuri tukae hapa! Tutajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.” Lakini Petro alikuwa hajui asemacho.
Acun xawi naw Jesuh ani ktawih law hlü tak üng, Pita naw i a pyen ä ksingei lü Jesuh üng, “Saja aw, hia awm hin daw ve, na hama mat, Mosia hama mat, Elijaha hama mat samca kthum kami sa khai,” a ti.
34 Alipokuwa bado anazungumza, pakatokea wingu, likawafunika, nao wakaogopa walipoingia mle kwenye wingu.
Acukba a pyen k’um üng khawngmei naw jah msungin law se, axüisaw he kyü lawki he.
35 Sauti ikatoka kwenye lile wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, niliyemchagua. Msikieni yeye.”
Ngmei üng “Hin hin ka xüa ka Capa ni, a ngthu ngai u,” tia ngthu ngthang lawki.
36 Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Yesu akiwa peke yake. Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu yeyote yale waliyokuwa wameyaona.
Acunüng, ngthu a ngdüm la, Jesuh amät däng ami hmuh. Axüisaw he cun am khikheh u lü, ami hmuha mawng cun, acuna pät üng u üng pi am mtheh u.
37 Kesho yake waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
A ngawi üng mcung üngka naw axüisaw kthum am kyum be u se, khyang khawjah naw ami na khyum.
38 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapaza sauti, akasema, “Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, kwani ndiye mtoto wangu wa pekee.
Acunüng, khyang hea ksunga khyang mat ngpyang lü, “Saja aw, amät däng ka canak ka capa teng law, ning hui na veng.
39 Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa hata akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana, na hamwachi ila mara chache.
“Khawyai naw man khawi se, ngpyangin sawxat xatki, a mci mvawn pi kya law khaia pawh lü mdek üng a kyuk sak khawi, acunkba mkhuimkha lü am ceh hlü ta.
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
“Acunüng, na xüisaw he üng ami ktäm vaia jah nghui na ni se, amimi naw pi ani cun am ami ktäm thei,” a ti.
41 Yesu akawajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka! Nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
Jesuh naw, “Jumnak am ta lü, üpnak am awmkia khyang he, nami veia ivei ka awm khai aw? Ivei ka ning jah msawk vai aw?” ti lü, acuna khyang üng, “Na ca hia lawpüia,” ti lü a msang.
42 Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa. Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, na akamrudisha kwa baba yake.
Acunüng, hnasen a law k'um üng, khawyai naw khawmdek khana kyuk sak lü, aknaa a pawh. Cunsepi, Jesuh naw, khawyai kse jüi lü, anghmaw mdaw beki naw a pa üng a pet.
43 Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu. Wakati bado watu walikuwa wanastaajabia hayo yote aliyokuwa akiyafanya Yesu, yeye akawaambia wanafunzi wake:
Acunüng, khyang avan naw Pamhnama hlüngtainak cun aktäa kyühkhyai lawki he. Ami van naw acunkba, a bilawh he ami kyühkhyai law üng, Jesuh naw axüisaw he üng,
44 “Sikilizeni kwa makini haya nitakayowaambia sasa: Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.”
“Ka ning jah mtheh hlü ä mhnih u; Khyanga Capa, khyang hea kut üng mansak vai ng'et law ve,” a ti.
45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.
Cunsepi, a ngthu pyena suilam cun am ami ksing, ami ksing vaia mjiha kyaki, ami kthäh vaia pi ami kyüh.
46 Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
Acunüng, u kyäp säih khai tia amimät he ana ngcuh hü u se,
47 Lakini Yesu akayatambua mawazo yao, naye akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kando yake.
Jesuh naw ami ngaikyunak jah ksing lü, hnasenca mat kai lü, a peia taki naw,
48 Kisha akawaambia, “Yeyote amkaribishaye mtoto huyu mdogo kwa Jina langu, anikaribisha mimi, na yeyote atakayenikaribisha mimi, atakuwa amemkaribisha yeye aliyenituma. Kwa maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu, ndiye aliye mkuu kuliko wote.”
“Upi hina hnasenca, ka ngming üng dokhamki cun, kei na dokhamki ni, acunüng u pi, kei na dokhamki cun, kei na tüi lawki pi dokhamki ni. Nangmi üng jaw säihki, acun cen kyäp säih khai,” a ti.
49 Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
Acunüng Johan naw, “Saja aw, khyang mat naw na ngming am khawyai he jah ktäm se kami hmuh, keimi üngka am nikia kyase am a pawh ti vaia kami kpyai,” a ti.
50 Yesu akasema, “Msimzuie, kwa sababu yeyote ambaye si kinyume nanyi, yu upande wenu.”
Acunüng, Jesuh naw, “Ä kpyai ti ua, u pi nangmi am ning jah hnengki cun nami püia kyaki ni,” a ti.
51 Wakati ulipokaribia wa yeye kuchukuliwa mbinguni, alikaza uso wake kwenda Yerusalemu.
Acunüng, khankhawa a cehnak vai ng'et law se, Jerusalema a ceh vai lingki.
52 Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;
Ngsä he a ma a jah na tüih. Acunüng, ana dawng u lü, ana ngtün pe khai hea Samarih khaw mata lutki he.
53 lakini watu wa kijiji kile hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa anakwenda zake Yerusalemu.
Jerusalema cit khaia a büa phäha Samarih khyang he naw am a na dokham u.
54 Wanafunzi wake, yaani Yakobo na Yohana, walipoona hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?”
Acunüng, axüisaw xawi Johan la Jakuk naw acun ani ksing la, “Bawipa aw, hin he ami ngkhihnak bäih vaia, khankhawa mei han khü vaia na ngjahlüki aw?” tia ani kthäh.
55 Yesu akageuka na kuwakemea,
Acunüng, Jesuh naw ani veia nghlat law lü, a jah jüih.
56 nao wakaenda kijiji kingine.
Acunüng ngnam kcea citki he.
57 Walipokuwa njiani wakienda, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufuata kokote uendako.”
Lam ami ceh k'um üng khyang mat naw, “Na cehnak avana ka ning läk khai,” ti lü Jesuh a mtheh,
58 Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango, nao ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
Jesuh naw, “Sauie naw khui ta u lü, kha he naw pi ngbu taki he, khyanga Capa naw ta a lu a khännak vai la a xüieinak vai pi am ta ve,” a ti.
59 Yesu akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Mtu huyo akamjibu, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
Acunüng, Jesuh naw khyang kcea veia, “Na läk lawa,” a ti. Cunsepi ani naw, “Bawipa aw, cit be lü ka pa va k'ut hüt ma vang,” a ti.
60 Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
Acunüng Jesuh naw, “Khyangkthi he naw amimät akthi k'utei u se; nang ta Pamhnama khawa mawng ngthu va sanga,” a ti.
61 Mtu mwingine akamwambia, “Bwana, nitakufuata lakini naomba kwanza nikawaage jamaa yangu.”
Akce naw pi, “Saja aw, ka ning läk law khai; cunsepi, ka im üngka he, ngthukdaw am jah va ngkhyahpüi ma vang,” a ti.
62 Yesu akamwambia, “Mtu yeyote atiaye mkono wake kulima, kisha akatazama nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.”
Acunüng, Jesuh naw mtheh lü, “Upi, lai thawn khaia ngtün lü, a hnu lam tengki cun Pamhnama khaw am ä nghlawiki ni,” a ti.

< Luka 9 >