< Luka 9 >
1 Yesu kisha akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa mamlaka na uwezo wa kutoa pepo wachafu wote na kuponya magonjwa yote,
con cuwo bi bei tomange ce kwob culombo yob, neci bikwang kange bikwang keret naci cokum ningga gwam, ci twam tiratini
2 kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
con twom ci kele na ci tok fulen keret liyar kwamaro, naci twam nubo nuwabo liman
3 Akawaagiza akisema, “Msichukue chochote safarini: sio fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala fedha, hata msichukue kanzu ya ziada.
con yi ci kom ture diker yam kimembo nin dang mani cwaye mani, cari mani, kyemer mani tak ko ture diker kwabkar yob
4 Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
luwe wo ka dowe ri, ko yi wii yaken ciko diye ka dubom tiye
5 Kama watu wasipowakaribisha, mnapoondoka katika mji wao, kungʼuteni mavumbi kutoka kwenye miguu yenu ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
fiye ci yuwo kom be ri no ka dob ninar loro cuwo tiri ko bum kwero na kime keu warke dor cir
6 Hivyo wale wanafunzi wakaondoka wakaenda kutoka kijiji hadi kijiji, wakihubiri habari njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
nyori cin kweni, ci bwanten cung-nukur, cunkur ci tok fulen kerero ti, twa nob ti fiye gwam
7 Basi Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za yote yaliyotendeka. Naye akafadhaika, kwa kuwa baadhi ya watu walikuwa wakisema Yohana Mbatizaji amefufuliwa kutoka kwa wafu.
la Hiridus liyau nuwa dike ydken tiye ri, ma nyimantum, wori kangum bo tiki kin Yuwana kwenu bware
8 Wengine wakasema Eliya amewatokea, na wengine wakasema kwamba mmoja wa manabii wa kale amefufuka.
kangum bo ki Iliya cerkangu we, kangum tak ki wiin more nob tomangeb bo fiya cuwo kutaneu kwenuwe
9 Herode akasema, “Yohana nilimkata kichwa. Lakini ni nani huyu ambaye ninasikia mambo kama haya kumhusu?” Akatamani sana kumwona.
Hiridu ki, min mwatum dor Yuwanaro, we wori mi nuwa dikero woti dor cere? nyori con do nure ca to co tiye
10 Mitume wake waliporudi, wakamweleza Yesu yote waliyofanya. Akawachukua, akaenda nao faraghani mpaka mji uitwao Bethsaida.
la be bei tomange Yeecu yilauri, cin co dikero gwam ci maneu la con cin yaken yurangum, yurange cinar loro ci cuwo tiki Batsaidau
11 Lakini umati wa watu ukafahamu alikokwenda, ukamfuata. Akawakaribisha na kunena nao kuhusu Ufalme wa Mungu na kuwaponya wale wote waliokuwa wanahitaji uponyaji.
la nubo mwerumem nuwa dike wuro nyori cin bwangten co con yuwo ci, con ci diker dor liyar kwamare, com twam buro cwi twaka tiyeu
12 Ilipokaribia jioni, wale mitume kumi na wawili wakaenda kwa Yesu na kumwambia, “Waage makutano ili waende vijijini jirani na mashambani, ili wapate chakula na mahali pa kulala, kwa maana hapa tuko nyikani.”
lakume dadom a bouti cwile, kwob culombo yobe bou cinen, cin yico,”yi noboro ci yaken mwan loro buro mor tangini naci fiya fiye dame kange cari nyori fiye biwiye nob mani
13 Yesu akawajibu, “Ninyi wapeni chakula.” Nao wakajibu, “Hatuna zaidi ya mikate mitano na samaki wawili. Labda twende tukanunue chakula cha kuwatosha watu hawa wote.”
la con yi ci, “ko neci dike ciya ca tiye. ciki, be dike nyo cikeu cwen carito nug kange jinge yob ma nya fiye carito wo a lam nubo wuro ti gwame
14 Walikuwako wanaume wapatao 5,000. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Waketisheni katika makundi ya watu hamsini hamsini.”
nubo lam bikate nung ka nabarub con yi bi bei tomange ceu ki yi nubo a yiken ki mwam, kimwam nubo kwini nung, kwini nung
15 Wanafunzi wakafanya hivyo, wakawaketisha wote.
nyori cin mani nyo, yo nubo yiken yiye
16 Yesu akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akavibariki na kuvimega. Kisha akawapa wanafunzi ili wawagawie watu.
co n tu cwen tiyero nungeu nunge jinge yobe, cin kunken nuwe ce di kwama, yo cin nenti bi bwiyer wi con wulangum ka bi duwartini con ne bi bei tomange ceu naci tikange nubo mwerume nin
17 Wote wakala, wakashiba. Nao wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
cin ca gwam ciye cin bwam, tanne ceu numeu, cin yee bulendo kwob culombo yob
18 Wakati mmoja, Yesu alipokuwa akiomba faraghani, nao wanafunzi wake wakiwa pamoja naye, akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
la kakuko kange Yeecu kwob diloti ki kwace, bi bei tomange ce wi cinen con me ci ki nubo wuro mweru meu ki yii ki min wee?
19 Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema kwamba ni mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu.”
cin ciya co yuwana nii yuu mwem tiye, kangumbo ki Iliya, la kanugumbo ki kange wiin mor nob tomangebo nanduwe
20 Kisha akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo wa Mungu.”
con me ci la kime kom ki yi ki min wee? Bitru ciya cinen kiritti bi bwe kwama
21 Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.
cin werang ci ciya tok re wo nikange nin
22 Yesu akasema, “Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na itampasa auawe, lakini siku ya tatu kufufuliwa kutoka mauti.”
yi citi bi bwe nifire an nuwa dotange dike ducce, ko co, ci an twalum co, ki bi kume taare an kwenum
23 Kisha akawaambia wote, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake kila siku, anifuate.
con yi ci gwam, nii wo cwiti na bwanten yereu, an ko dor cero, can tun bentilen bwantiyer ki cero, ki ca kicatecca bwan teng
24 Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayaokoa.
ni wo cwiti na ci fiya dume ce ri an lem dume ce, wo lem dume ce ki 25ker mire ri an fiya dume ceu
25 Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au kuangamiza nafsi yake?
yee nii a fiya tiye no ci fiyam kale wo gwam la co lem dume ceri
26 Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu atakapokuja katika utukufu wake na katika utukufu wa Baba, pamoja na malaika watakatifu.
wo no nuwa kwenduwe mi kange ker mirro ri, bi bwe nifire an nuwa kwenduwe ce ken diye bi bwe nifire a bou ti mor dukfongka ce, duktongka tee, kange yuwa tangbe kwama wucake
27 Amin, nawaambia, wako baadhi ya watu waliosimama hapa ambao hawataonja mauti kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu.”
mi yikom bilen ke ti, kangembo wii tirangum fo, wo mani a twi bwer tiye nimre ci to liyar kwamaro
28 Yapata siku nane baada ya Yesu kusema hayo, aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana, akaenda nao mlimani kuomba.
ki kume narub Yeecu tok kero bure ri, cin tuu Bitru, kange Yuwana kange Yakubu, cin kukendor banger na ci kwobdilo
29 Alipokuwa akiomba, sura ya uso wake ikabadilika, nayo mavazi yake yakametameta kama mwanga wa umeme wa radi.
la ci mor kwobka dilo ri, tikob ce bo fulongum, kulen cere yilam fwoje ti milbangi
30 Ghafula wakawaona watu wawili, ndio Mose na Eliya, wakizungumza naye.
nyori, nubo kange yob tokkang ker ti kange co, muca kange Iliya,
31 Walionekana katika utukufu wakizungumza na Yesu kuhusu kifo chake ambacho kingetokea huko Yerusalemu.
wo cerkengu ki duktonka, tokkan ker kiboka cer ti wom dadom a bou ti cwile urcalima
32 Petro na wenzake walikuwa wamelala usingizi mzito. Walipoamka, wakaona utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wamesimama pamoja naye.
Bitru kange buro kange ceu nuwe ciye tuu ki dum, la cin kweni ri, ci to duktonka kange nobo yob tim kange co
33 Mose na Eliya walipokuwa wanaondoka, Petro akamwambia Yesu, “Bwana, ni vizuri tukae hapa! Tutajenga vibanda vitatu: kimoja chako, kingine cha Mose na kingine cha Eliya.” Lakini Petro alikuwa hajui asemacho.
fiya cuwo ci dob Yeecu ci yakentiri, Bitru yi co teluwe yor nyinen nyi feu, bi ywel bikur taar, wiin ki mo wiin ki muca, wiin ki Iliya [co nyombo dike co tok tiye ]
34 Alipokuwa bado anazungumza, pakatokea wingu, likawafunika, nao wakaogopa walipoingia mle kwenye wingu.
la co tok kero ti nyori, bi loro yirau cumom ci, cin nuwa tai kambo bilora kantangum ciyeu.
35 Sauti ikatoka kwenye lile wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, niliyemchagua. Msikieni yeye.”
diro kange ceru mor bilore nin ti toki ki, wo bi kwemi ma cikeu, ko nuwa co
36 Baada ya sauti hiyo kusema, walimkuta Yesu akiwa peke yake. Wale wanafunzi wakalihifadhi jambo hili, wala kwa wakati huo hawakumwambia mtu yeyote yale waliyokuwa wameyaona.
fiya cuwo diro dim tokka kere keu, Yeecu tim ki kwace la cin kumom ci yi bo nii mor kumeni curo dike ci towe
37 Kesho yake waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
cel fini ri cin yirau dor banger, nobo duccu bou cinen
38 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapaza sauti, akasema, “Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, kwani ndiye mtoto wangu wa pekee.
wori nikange mor nibe nin cuwo co ki diri, nii merangka, mi cwiti na to be bweme kange co bweu mi cike
39 Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa hata akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana, na hamwachi ila mara chache.
yuwa tangbe bwir doken bwici, co ki kwa kang kiyange, mok co ti kibi kwang, funi fwiuti nyii co, bwai na dob co, nuwaran cinen twira ti bwira-bwira
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
min ken be bei tomange na cokum, cin fwe ciko
41 Yesu akawajibu, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka! Nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
kom kaldo woka tiyangum nure, kom man ki bilen kereu, fiyan ma yiti kange kome, mi mwirimum ner ti kange kome? bou kibi bwe mwe fo
42 Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa. Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, na akamrudisha kwa baba yake.
la bwe bou boutiri ninga kwa co merken bitine, mor coti kibi kwang Yeecu werang yuwa tangbe ko wo, con twam bweu yila cin neken tece
43 Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu. Wakati bado watu walikuwa wanastaajabia hayo yote aliyokuwa akiyafanya Yesu, yeye akawaambia wanafunzi wake:
nubo nyimang bi kwan kwamaro laci tokkanti butici dikero gwamco matiye, con yi bi bei tomange ceu,
44 “Sikilizeni kwa makini haya nitakayowaambia sasa: Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutiwa mikononi mwa watu.”
kom dor kero wo a yiraken tuu komi ciyang miyem bi bwe nifire kang nubek
45 Lakini wao hawakuelewa alimaanisha nini. Maana ya maneno hayo ilifichika kwao, hivyo hawakuyaelewa, nao wakaogopa kumuuliza maana yake.
la ci nyombo dike co tokeu, yurangum, yurage cinen, laci nyombo dike nuntiye, ci cwa tai ti na ci me co kerowo
46 Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
kwobokanka do tiber ciyer ki kerowo kin we a yila nii dur tiye.
47 Lakini Yesu akayatambua mawazo yao, naye akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kando yake.
Yeecu nyimom dike ci kwati ner cireu, tuub bwe bi duware bi dom kange co.
48 Kisha akawaambia, “Yeyote amkaribishaye mtoto huyu mdogo kwa Jina langu, anikaribisha mimi, na yeyote atakayenikaribisha mimi, atakuwa amemkaribisha yeye aliyenituma. Kwa maana yeye aliye mdogo miongoni mwenu, ndiye aliye mkuu kuliko wote.”
la con yi ci, niwo yuwo bwe bi duware ki den mire ri, yuwo mo, na wo yuwo yere yi, yuwo niwo tomu yereu nii wo bi duwar more kume gwamme co durko
49 Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”
Yuwana ciya co, teluwe, nyon to nikange cok ninga ti ki den mwer, co nya ywace wori bwang nyinen ten bo.
50 Yesu akasema, “Msimzuie, kwa sababu yeyote ambaye si kinyume nanyi, yu upande wenu.”
Yeecu yi ki, ko ywa core, wori nii wo ciya kombe na kume
51 Wakati ulipokaribia wa yeye kuchukuliwa mbinguni, alikaza uso wake kwenda Yerusalemu.
la kumeni kum bi duwar wo ci yilaken diye, con yoken ner yamer urcalima
52 Akatuma watu wamtangulie, nao wakaenda katika kijiji kimoja cha Samaria kumwandalia kila kitu;
con twom bi bei tomange na yaken ten cinnen, cin ya cin doken mwan lor camariyar na ci ywel cinen fiye firen
53 lakini watu wa kijiji kile hawakumkaribisha kwa sababu alikuwa anakwenda zake Yerusalemu.
nii bo wiye yuwo cobo wori ciki yang urcalima
54 Wanafunzi wake, yaani Yakobo na Yohana, walipoona hayo, wakasema: “Bwana, unataka tuagize moto kutoka mbinguni ili uwaangamize?”
la bi bei tomange ceu Yakub kange Yuwana to nyori yi ki, “teluwe muki cwi nyo dor kirako a yirau di kwama na twim ci ka?
55 Yesu akageuka na kuwakemea,
con yila con werang ci,
56 nao wakaenda kijiji kingine.
la ci yaken mwam luwero kange
57 Walipokuwa njiani wakienda, mtu mmoja akamwambia Yesu, “Nitakufuata kokote uendako.”
ci mor yamme dor nuret, kange. yii co, “mwan bwang mwen ten fiye mo yaken ti wii ye
58 Yesu akamjibu, “Mbweha wana mapango, nao ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana mahali pa kulaza kichwa chake.”
Yeecu yi co, “bi cwe kiye wiki buokti, bi libe di kwama wii ki loci, la bi bwe nifire man ki fiye ca nyom dor tiye
59 Yesu akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Mtu huyo akamjibu, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”
la cin yui kange, “bwangmen ten, la con yi co ki, “teluwe dob ye yan fwerum temi buri”
60 Yesu akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, bali wewe nenda ukautangaze Ufalme wa Mungu.”
cin yi co, dob bilendo cika fwerum bilen ciyer mweu ya kutan kange fiye kwiya kye na tok fulen liyar kwama.
61 Mtu mwingine akamwambia, “Bwana, nitakufuata lakini naomba kwanza nikawaage jamaa yangu.”
dila kange yi ki man bwanten nen kwama dila dob ye yan nem nubo lomembo nanme”
62 Yesu akamwambia, “Mtu yeyote atiaye mkono wake kulima, kisha akatazama nyuma, hafai kwa Ufalme wa Mungu.”
Yeecu yi co, ni kange mani a yoton kanti cinonri la yi la yila nuwe bwiye daten bo lokwama.