< Luka 8 >
1 Baada ya haya Yesu alikwenda, akawa anazunguka katika miji na vijiji akihubiri habari njema za Ufalme wa Mungu. Wale wanafunzi wake kumi na wawili walikuwa pamoja naye,
Jhatokili muda mfupi baada jha kwamba Yesu ajhandili kusafiri mu miji ni jiji mbalimbali, akihubiri ni kutangasya habari sinofu sya ufalme bhwa K'yara ni bhala kumi ni bhabhele bhalotili pamonga nakhu,
2 pia baadhi ya wanawake waliokuwa wametolewa pepo wachafu na kuponywa magonjwa. Miongoni mwao alikuwepo Maria Magdalene, aliyetolewa pepo wachafu saba;
khelakhela, bhadala fulani bhabhaponyisibhu kuhoma kwa roho bhachafu ni matamu mbalimbali. Bhajhele ndo Mariamu jhaakutibhu Magdalena ambajhe ajhele abhosibhu mapepo saba.
3 Yoana mkewe Kuza, msimamizi wa nyumba ya watu wa nyumbani mwa Herode; Susana; na wengine wengi waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.
Yohana ndala ghwa Kuza ni meneja ghwa Herode, Susana, ni bhadala bhangi bhingi, bhabhapisili mali jha muene Kwandabha jha bhene.
4 Umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukija kwa Yesu kutoka kila mji, akawaambia mfano huu:
Ni baada jha umati bhwa bhanu kubhonganika pamonga bhakajha ni bhanu bha bhahideghe kwa muene kuhoma miji mbalimbali, akalongela nabhu kwa kutumila mifuanu. “
5 “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia; zikakanyagwa, nao ndege wa angani wakazila.
Mpandaji akalota kupanda mbeyu, bho apandili, baadhi sya mbeyu e'su sya binili kando jha jhela syakanyibhu pasi pa magolo, ni fidege fya angani fyalili.
6 Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.
Mbeyu senge syabinili panani pa udongo bhwa miamba na bho simelili ni kujha miche bho sibholili kwa ndabha jha kutokujha ni unyevunyevu.
7 Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.
Mbeyu s'enge syabinili mu mumabehe gha mifwa, ni ejhu mabehe ghya mifwa ghyakholili pamonga ni mifwa ghela ni mbeyu syasongibhu.
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri. Zikaota na kuzaa mara mia moja zaidi ya mbegu alizopanda.” Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti, akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
Lakini mbeyu s'enge syabinili mu udongo bhwawilondeka na syahoguili mazao mara mia nesu. “Baada jha Yesu kujobha mambo agha akwesi sauti, “Jhejhioha jha ajhe ni mb'olokoto na ap'elekayi.”
9 Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.
Kabhele bhanafunzi bha muene bhakan'kota ndabha jha mfano obhu,
10 Naye akasema, “Ninyi mmepewa kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa wengine nazungumza kwa mifano, ili, “‘ingawa wanatazama, wasione; ingawa wanasikiliza, wasielewe.’
Yesu akabhajobhela, “Mupelibhu upendeleo bhwa kumanya siri jha ufalme bhwa K'yara, lakini bhanu bhamana bhibetakufundisibhwa tu kwa mifuano, ili kwamba 'bhakabhonayi bhasibhone na bhakap'elekayi bhasichelibhwi.'
11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Na ejhe ndo maana jha mfano obho. Mbeyu ndo lilobhi lya K'yara.
12 Zile zilizoanguka kando ya njia ni wale ambao husikia neno, naye ibilisi anakuja na kuliondoa neno kutoka mioyoni mwao, ili wasije wakaamini na kuokoka.
Mbeyu s'ele syasabinili kando jha njela ndo bhanu bhabhip'eleka litobhi, ni baadaye mwovu shetani akalilota patali mu mioyo, ili kwamba bhasiamini ni kuokolibhwa.
13 Zile mbegu zilizoanguka kwenye mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi. Wanaamini kwa muda mfupi, lakini wakati wa kujaribiwa huiacha imani.
Kisha ni s'ela syasibinili mu muamba ndo bhanu bhala bhabhip'oleka lilobhi ni kulipokela kwa furaha lakini bhajhelepi ni mizizi gheghioha, bhiamini ku kwa muda mfupi, ni wakati bhwa majaribu bhibina.
14 Zile mbegu zilizoanguka kwenye miiba ni mfano wa wale wanaosikia, lakini wanapoendelea husongwa na masumbufu ya maisha haya, utajiri na anasa, nao hawakui.
Ni mbeyu s'ela syasibinili mu mifwa ndo bhanu bhabhakalip'eleka lilobhi, lakini pabhijhendelela kutama bhisongibhwa ni huduma sya utajiri ni unofu bhwa maisha agha na bhihogola lepi matunda.
15 Lakini zile mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri ni mfano wa wale ambao hulisikia neno la Mungu na kulishika kwa moyo mnyofu wa utiifu, nao kwa kuvumilia kwingi huzaa matunda.
Lakini mbeyu s'ela syasibini mu udongo unofu ndo bhale bhanu, ambabho bhanyenyekevu ni mioyo minofu, baada jha kulipeleka litobhi bhakalikamulila ni kujha salama ni kuhogola matunda gha uvumilivu.
16 “Hakuna mtu awashaye taa na kuificha ndani ya gudulia au kuiweka mvunguni mwa kitanda. Badala yake, huiweka juu ya kinara, ili wale waingiao ndani waone mwanga.
Henu, ajhelepi hata mmonga, jhaibhwasya taa ni kuifunika kwa bakuli au kujhibheka pasi pa kitanda. Badala jha kujhibheka pa kinara kya taa ili kwamba khila mmonga jhaijhingila akabhayi kujhibhona.
17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.
Kwa kujha kijhelepi kya kifighama ambakyo kibetalepi kumanyikana, au kyokyoha kya kijhele sirini ambakyo kibetalepi kumanyikana kikajhelayi mu muanga.
18 Kwa hiyo, kuweni waangalifu mnavyosikia. Kwa maana yeyote aliye na kitu atapewa zaidi. Lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani anacho atanyangʼanywa.”
Kwa hiyo jhelayi makini pawijha wip'elekesya. Kwandabha jhaajhihenaku, kwa muene ibetakujhongesibhwa nesu, lakini jhaabelikujha naku, hata khela kidebe kya ajhenaku kitolibhwa.”
19 Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.
Baadaye nyinamunu wa Yesu ni bhalongo munu bhakahida kwa muene bhahegelili lepi kwandabha jha umati bhwa bhanu.
20 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
Na ajobhibhu, “Nyinamunu ni bhalongobhu bhajhele pibhala bhilonda kubhona bhebhe.
21 Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.”
Lakini, Yesu ajibili ni kujobha, “Mabhu wa nene ni bhalongo bhangu ndo bhala bhabhip'elekesya lilobhi lya K'yara ni kulitii.”
22 Siku moja Yesu alipanda ndani ya mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Tuvukeni twende mpaka ngʼambo ya ziwa.” Nao wakaondoka.
Jhatokili ligono limonga kati jha magono ghala Yesu ni bhanafunzi bha muene apakeme mu bhuatu ni kubhajobhela, “Tulobhokayi kwiseli jha pili jha nyanja.”Bhakaandala mashua gha bhene.
23 Hivyo walipokuwa wakienda, akalala usingizi. Dhoruba kali ikatokea mle ziwani, hata mashua ikawa inajaa maji, nao walikuwa katika hatari kubwa.
Lakini bho bhajhandi kubhoka, Yesu agonili lugono, ni linyegha libhaha ni mp'ongo, ni mashua jhikajhanda kumema masi na lajhele libhaha sana.
24 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, Bwana, tunaangamia!” Yeye akaamka, akaukemea ule upepo na yale mawimbi; dhoruba ikakoma, nako kukawa shwari.
Baadaye bhanafunzi bha muene bhakahida kwa muene ni kunjumusya, bhakajobha, “Bwana mkubhwa! Bwana mkubhwa! tujhe karibu kufwa!” Akajhumuka ni kubhubesya mbelu ni bhuene bhwagudeme masi ghagudeme na kwatulili.
25 Akawauliza wanafunzi wake, “Imani yenu iko wapi?” Kwa woga na mshangao wakaulizana, “Huyu ni nani, ambaye anaamuru hata upepo na maji, navyo vikamtii?”
Kabhele akabhajobhela, “Imani jha muenga ijhendaku?” Bhakatila, bhashangele, bhakajobhesana kila mmonga ni njinu, “Ojho niani, kiasi kwamba iamuru hata mp'ongo ni masi na bhukan'tii?”
26 Basi wakafika katika nchi ya Wagerasi, ambayo iko upande wa pili wa ziwa kutoka Galilaya.
Bhakafika mu mji bhwa Gerasini jhaijhele upande bhwa kunyuma jha Galilaya.
27 Yesu aliposhuka kutoka mashua na kukanyaga ufuoni, alikutana na mtu mmoja wa mji ule aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, naye kwa muda mrefu alikuwa havai nguo wala kuishi nyumbani, bali aliishi makaburini.
Yesu bho aselili ni kukanya pa ardhi munu fulani kuhoma kumjini akabhonana naku, na munu ojhu ajhe ni nghofu sya giza. Kwa muda mrefu afwalepi nghobho, na atamelepi munyumba, atameghe kumakaburi.
28 Alipomwona Yesu, alipiga kelele, akajitupa chini mbele yake na kusema kwa sauti kuu, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Nakuomba, usinitese!”
lkojo okay ya paBho ambwene Yesu akalela kwa sauti, ni kubina pasi mbele jha muene kwa sauti mbaha akajobha, Niketikiki kwa bhebhe, Yesu ghwa K'yara jha ajhe kunani? Nikusihi usinitobhi nene”
29 Wakati huo Yesu alikuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke huyo mtu. Mara nyingi huyo pepo mchafu alimpagaa, na hata alipofungwa kwa minyororo mikono na miguu na kuwekwa chini ya ulinzi, alikata hiyo minyororo na kupelekwa na huyo pepo mchafu kwenda nyikani.
Yesu akaamuru roho chafu jhimbokayi munu jhola kwa kujha mara nyingi apangili. Na hata kama ajhe mfungwa minyororo ni kubanibhwa ni kubhekibhwa chini jha ulinzi, adenyi fifungu ni kugendesibhwa ni mapepo hadi ku jangwa.
30 Yesu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Legioni,” kwa kuwa alikuwa ameingiwa na pepo wachafu wengi mno.
Yesu akan'kota, “Lihina lya jhobhi niani?” akajibu ni kujobha, “Legioni” kwamana mapepo mingi ghajhingili kwa muene.
31 Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos )
Bhakajhendelela kun'sihi usituamuru tulolayi mu lilende. (Abyssos )
32 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo likilisha kando ya kilima. Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu.
Likundi lya maghorobhi lidimibhweghe pa kid'onda, bhakan'sihi bhakajhingilayi kwa ghala maghorobhi. Ni kubharuhusu kukheta naha.
33 Wale pepo wachafu walipomtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nalo kundi lote likateremkia gengeni kwa kasi, likatumbukia ziwani na kuzama.
Kwa hiyo bhala mapepo bhakamboka munu jhola ni kujhingila mu maghorobhi ni likundi lela likajumbilila mu magema gha kid'onda mpaka kumanga ni kujhibhila omu.
34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.
Bhanu bhala bha bhadimeghe maghorobhi ghala bho bhabhuene kya kihomili, bhakajumba ni kuh'omesya taarifa ku mjini ni kwibhala jha mji jha jhisyonguiki.
35 Nao watu wakatoka kwenda kujionea wenyewe yaliyotukia. Walipofika hapo alipokuwa Yesu, wakamkuta yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu amekaa karibu na Yesu, akiwa amevaa nguo na mwenye akili timamu! Wakaogopa.
Bhanu bhobhapeliki aghu bhakalota kulola kya kihomili, na bhakahida kwa Yesu na bhakambona munu ambajhe mapepo gha mbokili. ajhele afwalili kinofu na ajhe ni luhala lwoha, atamili magolo gha Yesu na bhatilili
36 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine jinsi yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu alivyoponywa.
Ndipo mmonga bhabhi jhaabhwene kyakahomili ajhandili kubhapangila bhangi jinsi munu ojho jhaalongisibhweghe ni mapepo kyaaponyibhu.
37 Ndipo watu wote wa nchi ile ya Wagerasi wakamwomba Yesu aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wamejawa na hofu. Basi akaingia katika mashua, akaondoka zake.
Bhanu bhoha bha mkoa ghwa Bhageresi ni maeneo gha ghasyonguiki bhan'sokili Yesu abhokayi kwa bhene Kwandabha bhajhele ni hofu mbaha. Na ajhingili mu bhuatu ili akerebhukayi.
38 Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu akamsihi Yesu afuatane naye, lakini Yesu akamuaga, akamwambia:
Munu jhola jhaajhe ni mapepo an'sihili Yesu kubhoka naku, lakini Yesu akan'jobhela alotayi ni kujobha,
39 “Rudi nyumbani ukawaeleze mambo makuu Mungu aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda, akatangaza katika mji wote mambo makuu ambayo Yesu alimtendea.
“Ukerebhukayi kunyumba jha jhobhi na ubhalangayi ghala ghoha ambagho k'yara akubhombili” Munu ojho akabhoka, akatangasya poha mu mji bhuoha ghala ghoha ambagho Yesu aghabhombili kwa muene.
40 Basi Yesu aliporudi, umati mkubwa wa watu ukampokea kwa furaha, kwani walikuwa wakimngojea.
Ni Yesu akakerebhuka, makutano bhakan'karibisya, kwandabha bhoha bhakajha bhakandendela.
41 Kisha mtu mmoja, jina lake Yairo, aliyekuwa kiongozi wa sinagogi, akaja na kuanguka miguuni mwa Yesu, akimwomba afike nyumbani kwake,
Langayi akahida munu mmonga ikutibhwa Yairo ni mmonga kati jha bhalongosi mu sinagogi. Yairo akabina pa magolo gha Yesu ni kun'sihi alotayi kunyumba jha muene,
42 kwa kuwa binti yake wa pekee, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa anakufa. Yesu alipokuwa akienda, umati wa watu ukamsonga sana.
Kwandabha ajhele ni muana n'dala mmonga tu, mwenye umri bhwa miaka kumi ni mibhele, na ajhele mu hali jha kufwa. Na bho ilota, makutano bhakajha bhisongamana dhidi jha muene.
43 Katika umati huo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa na tatizo la kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Tena alikuwa amegharimia yote aliyokuwa nayo kwa ajili ya matibabu, wala hakuna yeyote aliyeweza kumponya.
N'dala mwenye kupisya damu miaka kumi ni mibhele ajhele pala na atumili hela syoha kwa bhaganga, lakini ajhelepi hata mmonga jha amponyisi,
44 Huyo mwanamke akaja kwa nyuma ya Yesu na kugusa upindo wa vazi lake. Mara kutokwa damu kwake kukakoma.
ahidili kunyuma jha Yesu ni kukamula pindo lya liguanda lya muene ni ghafla kupita damu kukaleka.
45 Yesu akauliza, “Ni nani aliyenigusa?” Watu wote walipokana, Petro akasema, “Bwana, huu umati wa watu unakusonga na kukusukuma kila upande.”
Yesu akajobha, “Niani anikamuili?” Bhobhabelili bhoha, Petro akajobha, Bwana mkubhwa, umati bhwa bhanu bhikusukuma ni kusongana.”
46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”
Lakini Yesu akajobha, “Munu mmonga anigusili, mana nimanyili nghofu sinibhokili kwa nene.”
47 Yule mwanamke alipofahamu ya kuwa hawezi kuendelea kujificha, alikuja akitetemeka, akaanguka miguuni mwa Yesu. Akaeleza mbele ya watu wote kwa nini alimgusa na jinsi alivyoponywa mara.
N'dala bho abhuene ibhwesyalepi kwifigha kyaakikhetili, akajhanda kutetemeka, akabina pasi palongolo jha Yesu akatangasya mbele jha bhanu bhoha sababu syaabhombili an'gusayi ni fela kya aponyibhu ghafla.
48 Basi Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Kisha akajobha kwa muene, “Binti, imani jha jhobhi hikubhombili ujhelayi ghwa mzima. Lotayi kwa amani.”
49 Yesu alipokuwa bado anasema, akaja mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo, yule kiongozi wa sinagogi, kumwambia, “Binti yako amekwisha kufa. Usiendelee kumsumbua Mwalimu.”
Bho ijhendelela kujobha, munu mmonga akahida kuh'oma munyumba jha ndongosi ghwa sinagogi, akajobha, “Binti ghwa jhobhi afuili. Usin'sumbuli mwalimu.”
50 Yesu aliposikia jambo hili, akamwambia Yairo, “Usiogope. Amini tu, naye binti yako atapona.”
Lakini Yesu bho ap'eliki naha, an'jibili, “Usitili. Aminiayi tu, na ibeta kuokolibhwa.”
51 Walipofika nyumbani kwa Yairo, hakumruhusu mtu yeyote aingie ndani naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, pamoja na baba na mama wa yule binti.
Kisha bho ajhingili mu nyumba ejhu, aruhusuili lepi munu jhejhioha kujhingila pamonga ni muene, isipokujha Petro, Yohana ni Yakobo, Dadi munu ghwa binti, ni nyinamunu.
52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”
Henu bhanu bhoha bhakajobha bhiomboleza ni kuhomesya sauti kwandabha jha muene, lakini akajobha, “Musipigi makelele, afwilepi, lakini agonili tu.”
53 Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.
Lakini bhakan'heka kwa dharau, bhamanyi kujha afuili.
54 Yesu akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”
Lakini muene, akan'kamula binti kibhoko, akakuta kwa sauti, akajobha, “Muana, jhemayi”
55 Roho yake ikamrudia, naye akainuka mara moja. Akaamuru apewe kitu cha kula.
roho jha muene jhikan'kerebhukila, na ajhinuiki wakati bhobhuobhu. Akaamrisha kujha apelibhwayi khenu fulani ili aliajhi.
56 Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote juu ya yale yaliyotukia.
Bhazazi bha muene bhashangele, lakini abhaamuiri bhasin'jobheli munu kyakatokili.