< Luka 8 >

1 Baada ya haya Yesu alikwenda, akawa anazunguka katika miji na vijiji akihubiri habari njema za Ufalme wa Mungu. Wale wanafunzi wake kumi na wawili walikuwa pamoja naye,
and to be in/on/among the/this/who in order and it/s/he to go through according to city and village to preach and to speak good news the/this/who kingdom the/this/who God and the/this/who twelve with it/s/he
2 pia baadhi ya wanawake waliokuwa wametolewa pepo wachafu na kuponywa magonjwa. Miongoni mwao alikuwepo Maria Magdalene, aliyetolewa pepo wachafu saba;
and woman one which to be to serve/heal away from spirit/breath: spirit evil/bad and weakness: ill Mary the/this/who to call: call Magdalene away from which demon seven to go out
3 Yoana mkewe Kuza, msimamizi wa nyumba ya watu wa nyumbani mwa Herode; Susana; na wengine wengi waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.
and Joanna woman: wife Chuza manager Herod and Susanna and other much who/which to serve (it/s/he *N(K)O*) (out from *N(k)O*) the/this/who be already it/s/he
4 Umati mkubwa wa watu ulipokuwa ukija kwa Yesu kutoka kila mji, akawaambia mfano huu:
to gather then crowd much and the/this/who according to city to come/go to to/with it/s/he to say through/because of parable
5 “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake. Alipokuwa akitawanya mbegu, nyingine zilianguka kando ya njia; zikakanyagwa, nao ndege wa angani wakazila.
to go out the/this/who to sow the/this/who to sow the/this/who seed it/s/he and in/on/among the/this/who to sow it/s/he which on the other hand to collapse from/with/beside the/this/who road and to trample and the/this/who bird the/this/who heaven to devour it/s/he
6 Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.
and other (to fall down *N(k)O*) upon/to/against the/this/who rock and to grow to dry through/because of the/this/who not to have/be moisture
7 Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.
and other to collapse in/on/among midst the/this/who a thorn and to grow with the/this/who a thorn away from to choke it/s/he
8 Mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri. Zikaota na kuzaa mara mia moja zaidi ya mbegu alizopanda.” Baada ya kusema haya, Yesu akapaza sauti, akasema, “Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”
and other to collapse (toward *N(k)O*) the/this/who earth: soil the/this/who good and to grow to do/make: do fruit a hundred times this/he/she/it to say to call the/this/who to have/be ear to hear to hear
9 Wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo.
to question then it/s/he the/this/who disciple it/s/he (to say *k*) which? this/he/she/it to be the/this/who parable
10 Naye akasema, “Ninyi mmepewa kufahamu siri za Ufalme wa Mungu, lakini kwa wengine nazungumza kwa mifano, ili, “‘ingawa wanatazama, wasione; ingawa wanasikiliza, wasielewe.’
the/this/who then to say you to give to know the/this/who mystery the/this/who kingdom the/this/who God the/this/who then remaining in/on/among parable in order that/to to see not to see and to hear not to understand
11 “Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
to be then this/he/she/it the/this/who parable the/this/who seed to be the/this/who word the/this/who God
12 Zile zilizoanguka kando ya njia ni wale ambao husikia neno, naye ibilisi anakuja na kuliondoa neno kutoka mioyoni mwao, ili wasije wakaamini na kuokoka.
the/this/who then from/with/beside the/this/who road to be the/this/who (to hear *N(k)O*) then to come/go the/this/who devilish/the Devil and to take up the/this/who word away from the/this/who heart it/s/he in order that/to not to trust (in) to save
13 Zile mbegu zilizoanguka kwenye mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi. Wanaamini kwa muda mfupi, lakini wakati wa kujaribiwa huiacha imani.
the/this/who then upon/to/against the/this/who rock which when(-ever) to hear with/after joy to receive the/this/who word and this/he/she/it root no to have/be which to/with time/right time to trust (in) and in/on/among time/right time temptation/testing: testing to leave
14 Zile mbegu zilizoanguka kwenye miiba ni mfano wa wale wanaosikia, lakini wanapoendelea husongwa na masumbufu ya maisha haya, utajiri na anasa, nao hawakui.
the/this/who then toward the/this/who a thorn to collapse this/he/she/it to be the/this/who to hear and by/under: by concern and riches and pleasure the/this/who life to travel to choke and no to mature
15 Lakini zile mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri ni mfano wa wale ambao hulisikia neno la Mungu na kulishika kwa moyo mnyofu wa utiifu, nao kwa kuvumilia kwingi huzaa matunda.
the/this/who then in/on/among the/this/who good earth: soil this/he/she/it to be who/which in/on/among heart good and good to hear the/this/who word to hold back/fast and to bear fruit in/on/among perseverance
16 “Hakuna mtu awashaye taa na kuificha ndani ya gudulia au kuiweka mvunguni mwa kitanda. Badala yake, huiweka juu ya kinara, ili wale waingiao ndani waone mwanga.
none then lamp to touch to cover it/s/he vessel or under bed to place but upon/to/against lampstand (to place *N(k)O*) in order that/to the/this/who to enter to see the/this/who light
17 Kwa maana hakuna jambo lolote lililofichika ambalo halitafichuliwa, wala lolote lililositirika ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.
no for to be hidden which no clear to be nor concealed which no (not *no*) (to know *N(k)O*) and toward clear to come/go
18 Kwa hiyo, kuweni waangalifu mnavyosikia. Kwa maana yeyote aliye na kitu atapewa zaidi. Lakini yule asiye na kitu, hata kile anachodhani anacho atanyangʼanywa.”
to see therefore/then how! to hear which (if *NK(o)*) for to have/be to give it/s/he and which (if *NK(o)*) not to have/be and which to think to have/be to take up away from it/s/he
19 Wakati mmoja mama yake Yesu na ndugu zake walikuja kumwona, lakini hawakuweza kumfikia kwa sababu ya msongamano wa watu.
(to come *N(k)O*) then to/with it/s/he the/this/who mother and the/this/who brother it/s/he and no be able to meet with it/s/he through/because of the/this/who crowd
20 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
(and *k*) to announce (then *no*) it/s/he (to say *k*) the/this/who mother you and the/this/who brother you to stand out/outside(r) to perceive: see to will/desire you
21 Yesu akamjibu, “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wote wanaolisikia neno la Mungu na kulifanya.”
the/this/who then to answer to say to/with it/s/he mother me and brother me this/he/she/it to be the/this/who the/this/who word the/this/who God to hear and to do/make: do (it/s/he *k*)
22 Siku moja Yesu alipanda ndani ya mashua pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, “Tuvukeni twende mpaka ngʼambo ya ziwa.” Nao wakaondoka.
(and *k*) to be (then *no*) in/on/among one the/this/who day and it/s/he to climb toward boat and the/this/who disciple it/s/he and to say to/with it/s/he to pass through toward the/this/who other side the/this/who lake and to lead
23 Hivyo walipokuwa wakienda, akalala usingizi. Dhoruba kali ikatokea mle ziwani, hata mashua ikawa inajaa maji, nao walikuwa katika hatari kubwa.
to sail then it/s/he to fall sleep and to come/go down storm wind toward the/this/who lake and to (ful)fill and be in danger
24 Wanafunzi wake wakamwendea na kumwamsha, wakisema, “Bwana, Bwana, tunaangamia!” Yeye akaamka, akaukemea ule upepo na yale mawimbi; dhoruba ikakoma, nako kukawa shwari.
to come near/agree then to arouse it/s/he to say master master to destroy the/this/who then (to arouse *N(k)O*) to rebuke the/this/who wind and the/this/who waves the/this/who water and to cease and to be calm
25 Akawauliza wanafunzi wake, “Imani yenu iko wapi?” Kwa woga na mshangao wakaulizana, “Huyu ni nani, ambaye anaamuru hata upepo na maji, navyo vikamtii?”
to say then it/s/he where? (to be *k*) the/this/who faith you to fear then to marvel to say to/with one another which? therefore this/he/she/it to be that/since: since and the/this/who wind to command and the/this/who water and to obey it/s/he
26 Basi wakafika katika nchi ya Wagerasi, ambayo iko upande wa pili wa ziwa kutoka Galilaya.
and to sail toward the/this/who country the/this/who (Gerasene *N(K)O*) who/which to be opposite the/this/who Galilee
27 Yesu aliposhuka kutoka mashua na kukanyaga ufuoni, alikutana na mtu mmoja wa mji ule aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu, naye kwa muda mrefu alikuwa havai nguo wala kuishi nyumbani, bali aliishi makaburini.
to go out then it/s/he upon/to/against the/this/who earth: country to go meet (it/s/he *ko*) man one out from the/this/who city (which *ko*) (to have/be *N(k)O*) demon and (out from *k*) (time sufficient *N(k)O*) no (to put on *N(k)O*) clothing and in/on/among home no to stay but in/on/among the/this/who tomb
28 Alipomwona Yesu, alipiga kelele, akajitupa chini mbele yake na kusema kwa sauti kuu, “Una nini nami, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu Sana? Nakuomba, usinitese!”
to perceive: see then the/this/who Jesus (and *k*) to yell to fall/beat it/s/he and voice/sound: voice great to say which? I/we and you Jesus son the/this/who God the/this/who Highest to pray you not me to torture: torture
29 Wakati huo Yesu alikuwa amemwamuru yule pepo mchafu amtoke huyo mtu. Mara nyingi huyo pepo mchafu alimpagaa, na hata alipofungwa kwa minyororo mikono na miguu na kuwekwa chini ya ulinzi, alikata hiyo minyororo na kupelekwa na huyo pepo mchafu kwenda nyikani.
to order for the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who unclean to go out away from the/this/who a human much for time to seize it/s/he and (to bind *N(k)O*) chain and fetter to keep/guard: guard and to tear the/this/who chain to drive (by/under: by *NK(o)*) the/this/who (demon *N(k)O*) toward the/this/who deserted
30 Yesu akamuuliza, “Jina lako ni nani?” Akamjibu, “Legioni,” kwa kuwa alikuwa ameingiwa na pepo wachafu wengi mno.
to question then it/s/he the/this/who Jesus (to say *ko*) which? you name to be the/this/who then to say (Legion *N(k)O*) that/since: since to enter demon much toward it/s/he
31 Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. (Abyssos g12)
and (to plead/comfort *N(k)O*) it/s/he in order that/to not to command it/s/he toward the/this/who abyss to go away (Abyssos g12)
32 Palikuwa na kundi kubwa la nguruwe hapo likilisha kando ya kilima. Wale pepo wachafu wakamsihi Yesu awaruhusu wawaingie hao nguruwe, naye akawaruhusu.
to be then there herd pig sufficient (to feed *N(k)O*) in/on/among the/this/who mountain and (to plead/comfort *N(k)O*) it/s/he in order that/to to permit it/s/he toward that to enter and to permit it/s/he
33 Wale pepo wachafu walipomtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nalo kundi lote likateremkia gengeni kwa kasi, likatumbukia ziwani na kuzama.
to go out then the/this/who demon away from the/this/who a human (to enter *N(k)O*) toward the/this/who pig and to stampede the/this/who herd according to the/this/who cliff toward the/this/who lake and to choke
34 Wale watu waliokuwa wakichunga lile kundi la nguruwe walipoona yaliyotukia, wakakimbia, wakaeneza habari hizi mjini na mashambani.
to perceive: see then the/this/who to feed the/this/who (to be *N(k)O*) to flee and (to go away *K*) to announce toward the/this/who city and toward the/this/who field
35 Nao watu wakatoka kwenda kujionea wenyewe yaliyotukia. Walipofika hapo alipokuwa Yesu, wakamkuta yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu amekaa karibu na Yesu, akiwa amevaa nguo na mwenye akili timamu! Wakaogopa.
to go out then to perceive: see the/this/who to be and to come/go to/with the/this/who Jesus and to find/meet to sit the/this/who a human away from which the/this/who demon (to go out *N(k)O*) to dress and be of sound mind from/with/beside the/this/who foot the/this/who Jesus and to fear
36 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine jinsi yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu alivyoponywa.
to announce then it/s/he (and *k*) the/this/who to perceive: see how! to save the/this/who be demonised
37 Ndipo watu wote wa nchi ile ya Wagerasi wakamwomba Yesu aondoke kwao, kwa sababu walikuwa wamejawa na hofu. Basi akaingia katika mashua, akaondoka zake.
and (to ask *N(k)O*) it/s/he all the/this/who multitude the/this/who region the/this/who (Gerasene *N(K)O*) to go away away from it/s/he that/since: since fear great to hold/oppress it/s/he then to climb toward (the/this/who *k*) boat to return
38 Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu akamsihi Yesu afuatane naye, lakini Yesu akamuaga, akamwambia:
(to pray *N(k)O*) then it/s/he the/this/who man away from which to go out the/this/who demon to exist with it/s/he to release: release then it/s/he (the/this/who *k*) (Jesus *K*) to say
39 “Rudi nyumbani ukawaeleze mambo makuu Mungu aliyokutendea.” Kwa hiyo yule mtu akaenda, akatangaza katika mji wote mambo makuu ambayo Yesu alimtendea.
to return toward the/this/who house: home you and to relate fully just as/how much you to do/make: do the/this/who God and to go away according to all the/this/who city to preach just as/how much to do/make: do it/s/he the/this/who Jesus
40 Basi Yesu aliporudi, umati mkubwa wa watu ukampokea kwa furaha, kwani walikuwa wakimngojea.
(to be *K*) in/on/among then the/this/who (to return *N(k)O*) the/this/who Jesus to receive it/s/he the/this/who crowd to be for all to look for it/s/he
41 Kisha mtu mmoja, jina lake Yairo, aliyekuwa kiongozi wa sinagogi, akaja na kuanguka miguuni mwa Yesu, akimwomba afike nyumbani kwake,
and look! to come/go man which name Jairus and (this/he/she/it *N(k)O*) ruler the/this/who synagogue be already and to collapse from/with/beside the/this/who foot the/this/who Jesus to plead/comfort it/s/he to enter toward the/this/who house: home it/s/he
42 kwa kuwa binti yake wa pekee, mwenye umri wa miaka kumi na miwili, alikuwa anakufa. Yesu alipokuwa akienda, umati wa watu ukamsonga sana.
that/since: since daughter unique to be it/s/he as/when year twelve and it/s/he to die in/on/among then the/this/who to go it/s/he the/this/who crowd to choke it/s/he
43 Katika umati huo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa na tatizo la kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Tena alikuwa amegharimia yote aliyokuwa nayo kwa ajili ya matibabu, wala hakuna yeyote aliyeweza kumponya.
and woman to be in/on/among discharge blood away from year twelve who/which (toward *k*) (physician *N(k)O*) to expend all the/this/who life (it/s/he *ko*) no be strong (away from *N(k)O*) none to serve/heal
44 Huyo mwanamke akaja kwa nyuma ya Yesu na kugusa upindo wa vazi lake. Mara kutokwa damu kwake kukakoma.
to come near/agree after to touch the/this/who edge the/this/who clothing it/s/he and instantly to stand the/this/who discharge the/this/who blood it/s/he
45 Yesu akauliza, “Ni nani aliyenigusa?” Watu wote walipokana, Petro akasema, “Bwana, huu umati wa watu unakusonga na kukusukuma kila upande.”
and to say the/this/who Jesus which? the/this/who to touch me to deny then all to say the/this/who Peter (and the/this/who *KO*) (with/after it/s/he *K(o)*) master the/this/who crowd to hold/oppress you and to crowd up to (and to say which? the/this/who to touch me *KO*)
46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”
the/this/who then Jesus to say to touch me one I/we for to know power (to go out *N(k)O*) away from I/we
47 Yule mwanamke alipofahamu ya kuwa hawezi kuendelea kujificha, alikuja akitetemeka, akaanguka miguuni mwa Yesu. Akaeleza mbele ya watu wote kwa nini alimgusa na jinsi alivyoponywa mara.
to perceive: see then the/this/who woman that/since: that no be hidden to tremble to come/go and to fall/beat it/s/he through/because of which cause/charge to touch it/s/he to announce (it/s/he *k*) before all the/this/who a people and as/when to heal instantly
48 Basi Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
the/this/who then to say it/s/he (take heart *K*) (daughter *N(k)O*) the/this/who faith you to save you to travel toward peace
49 Yesu alipokuwa bado anasema, akaja mtumishi kutoka nyumbani kwa Yairo, yule kiongozi wa sinagogi, kumwambia, “Binti yako amekwisha kufa. Usiendelee kumsumbua Mwalimu.”
still it/s/he to speak to come/go one from/with/beside the/this/who synagogue leader to say (it/s/he *ko*) that/since: that to die/be dead the/this/who daughter you (never again *N(K)O*) to trouble the/this/who teacher
50 Yesu aliposikia jambo hili, akamwambia Yairo, “Usiogope. Amini tu, naye binti yako atapona.”
the/this/who then Jesus to hear to answer it/s/he (to say *k*) not to fear alone (to trust (in) *N(k)O*) and to save
51 Walipofika nyumbani kwa Yairo, hakumruhusu mtu yeyote aingie ndani naye isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, pamoja na baba na mama wa yule binti.
(to come/go *N(k)O*) then toward the/this/who home no to release: permit to enter (one *N(k)O*) (with it/s/he *NO*) if: not not Peter and John and James and the/this/who father the/this/who child and the/this/who mother
52 Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”
to weep then all and to cut/mourn it/s/he the/this/who then to say not to weep no (for *no*) to die but to sleep
53 Wao wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekwisha kufa.
and to mock it/s/he to know that/since: that to die
54 Yesu akamshika yule binti mkono na kuita, “Binti, amka!”
it/s/he then (to expel out/outside(r) all and *K*) to grasp/seize the/this/who hand it/s/he to call to say the/this/who child (to arise *N(k)O*)
55 Roho yake ikamrudia, naye akainuka mara moja. Akaamuru apewe kitu cha kula.
and to turn the/this/who spirit/breath: spirit it/s/he and to arise instantly and to direct it/s/he to give to eat
56 Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini Yesu akawakataza wasimwambie mtu yeyote juu ya yale yaliyotukia.
and to amaze the/this/who parent it/s/he the/this/who then to order it/s/he nothing to say the/this/who to be

< Luka 8 >