< Luka 7 >
1 Baada ya Yesu kumaliza kusema haya yote watu wakiwa wanamsikiliza, akaingia Kapernaumu.
Nawamala onongwa zyakwe zyonti mmakutu gabhantu ahinjiye, hupapernaumu.
2 Mtumishi wa jemadari mmoja wa Kirumi, ambaye bwana wake alimthamini sana, alikuwa mgonjwa sana karibu kufa.
Na obhambhambo wakwe oakida, omo ali bhinu tee alipapepe nefwa, wape alimntu yagene tee.
3 Jemadari huyo aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee wa Kiyahudi kwake, wakamwomba aje kumponya mtumishi wa huyo jemadari.
Nahovwezye enongwa ezye Yesu, asonte zyezye agosi abhayahudi, hwamwahale hulabhe aje aponie obhombambombo wakwe.
4 Wale wazee walipofika kwa Yesu, wakamsihi sana amsaidie yule jemadari wakisema, “Mtu huyu anastahili wewe umfanyie jambo hili,
Bhope nabhafishile hwa Yesu, bhalabhile tee bhajile abhajiye, “Ono ombombele anongwa ezi,
5 kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.”
Afanaje aligene itaifa lyetu, wape atizenjeye isinagogi.”
6 Hivyo Yesu akaongozana nao, lakini alipokuwa hayuko mbali na nyumbani, yule jemadari akatuma rafiki zake kumwambia Yesu, “Bwana, usijisumbue, kwani mimi sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu.
Basi oYesu abhalile pandwemo. Nabho nasagalihutali nenyumba, eyola oakida asontezyezye orafiki hwamwahale wabhola. 'GOSI, ogaje ahwiluvye afwanaje ane sefaa aje ewe oyinjile pansi pigalo lyane.
7 Ndiyo maana sikujiona hata ninastahili kuja kwako wewe. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona.
Eshi ehwilolile aje sefaa nene ahwinze hwaho, lelo panga izu tu obhombambo wane abhapone.
8 Kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu, ‘Nenda,’ yeye huenda; na mwingine nikimwambia, ‘Njoo,’ yeye huja. Nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ yeye hufanya.”
Afwanaje nane endi muntu nembehwelwe pansi eye ulongozi, endina sikari pansi yane, nkebholele ono bhala abhala na ono “enza” ahwenza, na obhomba mbombo, “Wane” bhomba eshi, abhomba.”
9 Yesu aliposikia maneno haya, alishangazwa naye sana. Akaugeukia ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akawaambia, “Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli.”
OYesu namwovwa ego aswijire, wagugalushila, obngano gwagwabhinjelelaga wanyaga.” Embabhola, hata bha Israeli, sendilolile olyweteho ogosi neshe olu.
10 Nao wale watu waliokuwa wametumwa kwa Yesu waliporudi nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
Na bhala bhabhatumwilyu nabhahwela okhaya bhamwaga ola obhombambombo mwinza.
11 Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika mji mmoja ulioitwa Naini. Nao wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu walikwenda pamoja naye.
Napamande hashe, abhalile hwiboma limo lyakwiwaga Naini. Asambelezye wa bhakwe bhabhenjelezenye nalwo pandwemo no bongona ogosi.
12 Alipokaribia lango la mji, alikutana na watu waliokuwa wamebeba maiti wakitoka nje ya mji. Huyu aliyekufa alikuwa mwana pekee wa mwanamke mjane. Umati mkubwa wa watu wa mji ule ulikuwa pamoja na huyo mwanamke.
Nawafiha apalamile nolwango ogwi boma eye, omntu yafyiye au anyetulwe, na mwana weka hwa nyina wakwe. Yali fwele, na mabungano wabhantu afume hwiboma bhali pandwemo nawo.
13 Bwana Yesu alipomwona yule mjane, moyo wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.”
GOSI nawalola aloleye husajile wabhala, “Laha lile.”
14 Kisha akasogea mbele akaligusa lile jeneza na wale waliokuwa wamelibeba wakasimama kimya. Akasema, “Kijana, nakuambia inuka.”
Wasojela walipalamasya ijeneza bhala bhabanyetuye bhahemeleye, wayanga sahala ehubhala “imelela”
15 Yule aliyekuwa amekufa akaketi akaanza kuongea, naye Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
Ola ofwe wemelela. Wakhala wanda aje wapela onyina wakwe.
16 Watu wote wakajawa na hofu ya Mungu, nao wakamtukuza Mungu wakisema, “Nabii mkuu ametokea miongoni mwetu, Mungu amekuja kuwakomboa watu wake.”
Owoga wabhakhata wonti. Bhasomba ONGOLOBHE bhayanga okuwa “OGOSI afumiye hwilite” na “ONGOLOBHE abhenyizye abhantu bhakwe”
17 Habari hizi za mambo aliyoyafanya Yesu zikaenea Uyahudi wote na sehemu zote za jirani.
Enogwa zyakwe ezi zyazyambanile huyudea hwonti na ensi zyonti zyazili mshe mshe.
18 Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakamweleza Yohana mambo haya yote. Hivyo Yohana akawaita wanafunzi wake wawili
Asambelezyewa abha Yohana bhaletela enogwa zyego gonti.
19 na kuwatuma kwa Bwana ili kumuuliza, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
Esho oYohana wabhakwizya bhabhele asombeleziwa bhakwe wabhasondelezya hwa Yesu abhozye “Awe wewe ola yayenza, au timwenyelezyaje owenje?
20 Wale watu walipofika kwa Yesu wakamwambia, “Yohana Mbatizaji ametutuma tukuulize, ‘Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?’”
Wape nabhafiha hwamwahale bhayanjile, “oYohana ya hwozya atisondezyezye hwiliwe aganjile aje awe, 'Wewe ola yahwenza au timwenyelezyaje owenje?”
21 Wakati huo huo, Yesu aliwaponya wengi waliokuwa na magonjwa, maradhi na pepo wachafu, na pia akawafungua vipofu wengi macho wakapata kuona.
Ne sala yeyo abhaponizye abhinji abhinu bhabho na efwa, eye mpepo embibhi, na avipofu abhinji bhalolile.
22 Hivyo akawajibu wale wajumbe, “Rudini mkamwambie Yohana yote mnayoyaona na kuyasikia: Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa habari njema.
Eshi nkawagalula. Wabhabhola, bhalaji mubhale oYohana ega gamgalolilena govwe. avipofu bhalola alema bhajenda, abheukoma bhapona, adinda makutu bhahwovwa, bhabhafwiye bhazyoba, apena bhalombelelwa enongwa enyinza.
23 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Wape heri omntu yeyonti yasavisiwa nane.”
24 Wajumbe wa Yohana walipoondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo?
Basi eshi asontelezewe bha Yohana na bhasogola, ahandile abhabhole amabongono enongwa ezya Yohana, “Mwafumile abhale mwipoli ahwenye yenu, isole wauyiziwa nehala?
25 Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari na kuishi maisha ya anasa wako katika majumba ya kifalme.
Eshi mwafumile abhale ahwenye yenu, omntu yakwatiziwe amenda aminza? mmanye abhantu bhabhali namwenda ageu tukufu bhabhalya raha bhali mnyumba ezye shimwene.
26 Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
Eshi mwafumile abhale ahwegegenu okuwa, Antele? Embabhole, na yali zaidi ya okuwa.
27 Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa: “‘Tazama, nitamtuma mjumbe wangu mbele yako, atakayetengeneza njia mbele yako.’
Oyo yayo asimbiliwa, “Ega, enya ehusontelezya ojumbe wane hwitagalila elye maso gaho, yabhalenganya idala lyaho hwitagalila lyaho,
28 Nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hakuna aliye mkuu kuliko Yohana. Lakini yeye aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko Yohana.”
Nane embabhola, neshi bhala bhapepwe na bhashe, nomo yaligosi neshe oYohana, lelo yalidodo humwene owa NGOLOBHE GOSI ashile omwene.”
29 (Watu wote hata watoza ushuru waliposikia maneno ya Yesu, walikubali kwamba mpango wa Mungu ni haki, maana walikuwa wamebatizwa na Yohana.
Abhantu bhonti bhabhasonjezya esonga nabhahovwezye ego bhaheteshe, elyoli ya NGOLOBHE afwanaje bhoziwe. Huwoziwa uYohana.
30 Lakini Mafarisayo na wataalamu wa sheria walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yohana.)
Lelo abhafarisayo na bhana sheria bhali khene isunde elya NGOLOBHEhwabhene afwanaje sebhohoziwe nomwene.
31 Yesu akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini?
OGOSI wayanga embalenganisye neye abhantu abheshikho eshi? bhape bhalengene neyenu?
32 Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema: “‘Tuliwapigia filimbi, lakini hamkucheza; tuliwaimbia nyimbo za maombolezo, lakini hamkulia.’
Bhalengene nabhana bhakheye pasokoni, na kwizanye nabhayanga, 'tabhakhomeye efilimbi antele semwahanjile, tazondile antele semwalilile.'
33 Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali mkate wala hanywi divai, nanyi mkasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’
Afwanaje oYohana owahozye ahenzele salya ibumnda wala samwela divai, namwa myanga myiga “Ano pepo obhibhi.
34 Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nanyi mnasema: ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.”’
Omwana owa Adamu ayenzile alya na mwele, namwe myanga, enye, lyavi ono, na mwezi owe divai, rafiki wabho asonjezya!
35 Nayo hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”
Neshinshi ebhoneshe aje elinelyoli hwabhana bhakwe bhonti.”
36 Basi Farisayo mmoja alimwalika Yesu nyumbani kwake kwa chakula. Hivyo Yesu akaenda nyumbani mwa yule Farisayo na kukaa katika nafasi yake mezani.
Omntu omo owa mafarisayo amwanile alye eshalye hwamwene. Winjila mnyumba yakwe ofarisayo, wakhala pashalye.
37 Naye mwanamke mmoja kwenye ule mji, ambaye alikuwa mwenye dhambi, alipojua kwamba Yesu alikuwa akila chakula nyumbani kwa yule Farisayo, akaleta chupa ya marhamu yenye manukato.
Enya oshe omo owiboma lila wali wemabhibhi. Nazyoyile enongwa aje akheye pashalye panyumba eyola ofarisayo, aletile insupa marimari yeli nemaruhamu.
38 Yule mwanamke akasimama nyuma ya miguu ya Yesu akilia. Akailowanisha miguu yake kwa machozi yake, kisha akaifuta kwa nywele zake, akaibusu na kuimiminia manukato.
Wemelela hwisalo papepe na manama gakwe nawalila. Wanda hulagazizye mmagaga gakwe amansozi gakwe, na syomwole ni sisi elyamwitwe lyakwe, na humyante myante mmagaya gwakwe, na pashe gala amaruhamu.
39 Yule Farisayo aliyemwalika Yesu alipoona yanayotendeka, akawaza moyoni mwake, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua kwamba ni nani anayemgusa, na kwamba yeye ni mwanamke wa namna gani, na ya kuwa huyu mwanamke ni mwenye dhambi.”
Basi ola ofarisayo yamwanile nawolola shila wanyanga humwoyo gwakwe, omntu ono khashile alikuwe, “Handamenye oshe ono yahupalamasyasya, wenu wape aliwelewele yaje wemabhibhi.
40 Yesu akanena akamwambia, “Simoni, nina jambo la kukuambia.” Simoni akajibu, “Mwalimu, sema.”
OYesu wagamla wabhozya, “Simoni endine nongwa mbahubhole. “Wayanga” “sambilizi yanga!”
41 “Palikuwa na mtu mmoja aliyewakopesha watu wawili fedha: Mmoja alidaiwa dinari 500na mwingine dinari hamsini.
Wayanga “Omntu omo yakhopezya alinabhe madeni bhabhele, omo adagaya ehela miatano nowabhele amsini.
42 Wote wawili walipokuwa hawawezi kulipa, aliyafuta madeni yao wote wawili. Sasa ni yupi kati yao atakayempenda yule aliyewasamehe zaidi?”
Bhape nabhali sebhalinahahuripe, abhasajiye wonti. bhabhele neshe bhabhele yo nanu yayihugana tee?
43 Simoni akajibu, “Nadhani ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.” Naye Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
Simoni wagalula wayanga, “Amenyeje yayola yasajiye enyinji.” Wabhola oyamliye lyoli.”
44 Kisha akamgeukia yule mwanamke, akamwambia Simoni, “Je, unamwona mwanamke huyu? Nilipoingia nyumbani mwako, hukunipa maji ya kunawa miguu yangu, lakini huyu ameninawisha miguu kwa machozi yake, na kunifuta kwa nywele zake.
Wagarushila ola oshe wabhola Simoni, “Walota oshe. Ono nahinjiye mnyumba yaho. Sohampiye amenze mmagagagane, eshi ono andayazyezye amansozi mmagagagane, na syomwole nisisi elya mwitwe lyakwe.
45 Hukunisalimu kwa busu, lakini huyu mwanamke hajaacha kuibusu miguu yangu tangu nilipoingia.
Awe sohanjayiye, lelo ono, awande pana hinjiye sagaleshile njayile tee mmagaga gane.
46 Hukunipaka mafuta kichwani mwangu, lakini yeye ameipaka miguu yangu manukato.
Sagapashile mwitwe lyane amafuta, eshi ono ampeshe amagaga gane amaruhamu.
47 Kwa hiyo, nakuambia, dhambi zake zilizokuwa nyingi zimesamehewa, kwani ameonyesha upendo mwingi. Lakini yule aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo.”
Afwanaje nago, ehubhozya asajiye embibhi zyekwe zyazyalinjili, afwanaje asongwezye tee. Lelo yasajilya hasheoyo asongwelye hashe.”
48 Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
Eshi abholele oshe, “Osajilye embibhi zyaho zyonti”
49 Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”
Esho bhala bhabhakheye pandwemo nawo bhahandile ayanje humoyo gabho wenu ono yasajilo embibhi?”
50 Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”
Wabhola ola oshe, “Olweteho lyaho lumwauye. Bhalaga hulweteho lwaho”