< Luka 6 >

1 Ikawa siku moja ya Sabato Yesu alikuwa akipita katika mashamba ya nafaka, nao wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke ya nafaka, wakayafikicha kwa mikono yao na kula punje zake.
Ingigwa aiipumie musabato u Yesu aukiile mukati mumugunda wandya nia manyisigwa akwe aiakukala masukwi ikapugula mumikono ao ikalya indya.
2 Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo yasiyo halali kufanywa siku ya Sabato?”
Ingi niang'wi mafalisayo ikalunga, “Kuniki nimukituma ikintu nishanga katai ilango singatai kituma uluhiku la sabato.”
3 Yesu akawajibu, “Je, ninyi hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa?
U Yesu akasukilya, akalunga, shanga aimusomile ne iki nu Daudi aiwitumile naiukite inzala niitunja auya naine palung'wi.
4 Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akaichukua na kuila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
Aiwendile munyumba ang'wi Tunda, akahola imikate nimiza nukumilya mikehu, akamipumya imiuya kuantu naiakoli nung'wenso kumilya, ingi aiituile tai iadimu kulya.”
5 Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Ingi akalunga, Ung'wana wang'wa Adamu mukulu wa Sabato.”
6 Ikawa siku nyingine ya Sabato, Yesu aliingia ndani ya sinagogi na akawa anafundisha. Huko palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
Aiipumie musabato ngiza akalongola mukati musinagogi nukuamanyisa iantu kung'wanso. Aiukole muntu umukono wakwe nuakingoha aukule igandi.
7 Mafarisayo na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu. Kwa hivyo wakawa wanamwangalia sana ili waone kama ataponya katika siku ya Sabato.
Iaandike iamafalisayo aiamugozee kisa nukuona ang'wi ukumuguna umuntu uluhiku la Sabato, ingi ahume kuligwa igazo la kumusemela.
8 Lakini Yesu alijua mawazo yao, hivyo akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, “Inuka usimame mbele ya watu wote.” Hivyo yule mtu akainuka, akasimama mbele yao wote.
Aaine tuni naiakusiga akalunga umuntu naiwigandi umukono, auke imike apa mukatikati antu ihi kululo umuntu akauka akimika apo.
9 Ndipo Yesu akawaambia wale walimu wa sheria na Mafarisayo, “Nawauliza ninyi, ni lipi lililo halali siku ya Sabato? Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuyaangamiza?”
U Yesu akalunga kitalao, kumukolya unye tai ne uluhiku la Sabato kituma nimaza ang'wi kugazanja kuguna imatungo ang'wi kugazanja? Hangi akaagoza ihi nukuaila umuntu uyu.
10 Akawatazama watu wote waliokuwepo, kisha akamwambia yule aliyepooza mkono, “Nyoosha mkono wako!” Akaunyoosha na mkono wake ukaponywa kabisa.
Goola umukono ako.” Akatenda uu numukono akwe uuagunwa.
11 Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Yesu.
Ingi ikizula ikuo, ikiligitwa enso kuenso itume ntuni kung'wa Yesu.
12 Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
Apumie mahiku ayo kusoko aiwendile mulugu kulompa, akalongoleka utiku wihi kumulompa Itunda.
13 Kulipopambazuka, akawaita wanafunzi wake, naye akachagua kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume:
Naiituile dau, akaitanga iamanyi akwe, akahula ikumi na ibili ung'wi ao, hangi akaitanga ia mitume.”
14 Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
Mina amitume nianso aitangwa Simoni (hangi akamitanga Petro) nu Andrea umuluna akwe, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
15 Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
Matayo, Tomaso nu Yakobo ng'wana wang'wa Alfayo, Simoni, awitangilwe Zelote.
16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.
Yuda, ng'wana wang'wa Yakobo nu Yuda Isikariote naumuguiye.
17 Akashuka pamoja nao, akasimama mahali penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu kutoka sehemu zote za Uyahudi, kutoka Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
Ingi u Yesu akasima mulugulu palung'wi nienso nukimika muegusi, malundo makulu idu na manyisigwa aiakoli kuko, palung'wi nilundo ikulu la antu kupuma ku Uyahudi nuku Yerusalemu, nukupuma kupwani ang'wa Tiro nu Sidoni.
18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.
Ingi ikaza kumutegelya nukumuguna imaulwaee akwe. Iantu aiagigwa nia mintunga niabii ikagunwa ingi.
19 Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.
Ihi naiakole pang'wanso pamilundo ihi aiagemile kumuamba ingulu yaugunwa aiipumile mukati akwe, akagunwa ihi.
20 Akawatazama wanafunzi wake, akasema: “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa sababu Ufalme wa Mungu ni wenu.
Ingi akaagoza iamanyi akwe, nu kulunga, makendepwane unye nimiahimbi kunsoko utemi wang'wi Tunda wanyu.
21 Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.
Makendepwa ni unye ni mianyanzala itungili, kunsoko mukikutigwa. Makendepwa unye nimukulila itungili, kunsoko mukuheka.
22 Mmebarikiwa ninyi, watu watakapowachukia, watakapowatenga na kuwatukana na kulikataa jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
Makendepwa unye kunsoko iantu akumubipilwa nukuabagula unye nukuilwa miabii kunsoko ang'wana wang'wa Adamu.
23 “Furahini na kurukaruka kwa shangwe, kwa sababu thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo baba zao walivyowatenda manabii.
Ingi mulowe n'wa uluhiku nulanso nukuputangila kuulowa, kunsoko itai mukutula nikulu kilunde, kunsoko iatata ao aiatendee uu ianya kidagu.
24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.
Ingi gozi gwa unyi agoli nimapatile upumpuilya wanyu.
25 Ole wenu ninyi mlioshiba sasa, maana mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, maana mtaomboleza na kulia.
Ingi gozi gwa nimikutile itungili, kunsoko mukumiona inzala pambele. Unyenimukuheka itungili kunsoko muzeziaya nukulila pambele.
26 Ole wenu watu watakapowasifu, kwani ndivyo baba zao walivyowasifu manabii wa uongo.
Unye nimukulumbiligwa niantu ihi ingi iatata ao aiatendee ianyakidagu autele uu uu.
27 “Lakini nawaambia ninyi mnaonisikia: Wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia.
Ingi gwa kulunga kitalanyu unye nimutegeye, alowi iaibii anyu nukituma nimaza awani mubipiwe.
28 Wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowatendea mabaya.
Akendepi ao niakumuzuma unye nu kualompela awa niakumuonela.
29 Kama mtu akikupiga shavu moja, mgeuzie na la pili pia. Mtu akikunyangʼanya koti lako, usimzuie kuchukua joho pia.
Kitalakwe uyu nukukua ukunda ling'wi mupiuilye nili nilakabili anga umuntu wakuhegelya inkanzu ako leka kumugilya.
30 Mpe kila akuombaye, na kama mtu akichukua mali yako usitake akurudishie.
Mupe kihi nukulompa, anga umuntu wakuhegelya ikintu kihi nikako lekakumlompa akusukilye.
31 Watendeeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.
Anga nimualoilwe iantu amutendeke, nunye atendeli uu uu.
32 “Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwapenda wale wawapendao.
Anga mualowe iantu nia amuloilwe unye du, nilanso isongelyo kii kitalanyu? Ingi ataianyamilandu aloilwe ao nizaaaloilwe.
33 Tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi mema, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ hufanya vivyo hivyo.
Anga muatendele nimaza ao niimutendela unye nimaza nilanso isongelyo kukitalanyu? Ata ianyamilandu ituma uu.
34 Tena mnapowakopesha wale tu mnaotegemea wawalipe, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwakopesha ‘wenye dhambi’ wenzao wakitarajia kulipwa mali yao yote.
Anga muapa imaintu niantu ao nimulindie akusukilya, nilanso isongelyo ki kitalanyu? Ata ianyamilandu iapeza ianyamilandu, nukulindila kusigilya kikokiko hangi.
35 Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni mema, wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo thawabu yenu itakapokuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Sana, kwa sababu yeye ni mwema kwa watu wasio na shukrani na kwa wale waovu.
Ingi alowi iabii anyu nukuatendela ni maza. Akopisi muleki kutula nuwoa kusukiligwa. Isongelyo lanyu lukutula ikulu. Mukutula miana ang'wa uyo nukole migulya, kunsoko nuanso ng'wenso muza kuantu niagila isongela niabii.
36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Tuli nikinyauwai anga utata anyu nukete ikinyauwai.
37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
Leki kuahukumile, ianyu shanga mukuhukumilwa. Leki kuzumi, nunye shanga mukulaanilwa. Lekeli niangiza, nunye mukulekelwa.
38 Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.”
Api niangiza, nunye mupegwa. Ngele aukende nu ukinyangiwe, nu kokelwa nu kuhunuka mu malu pang'wanyu. Kunsoko kungeli ihi ni mukutumila kugemelya, ingele iyo ikutumika kumugemelelya unyenye.”
39 Pia akawapa mfano akasema, “Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia shimoni?
Ingi akaaila hangi, “Ite umuntu numopoku uhumile kumutongela umuntu numungiza numupoku? Ang'wi aiwitumile uu ihi aizigwila mikombo, ite singa aazigwila?
40 Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, ila yule aliyehitimu aweza kuwa kama mwalimu wake.
Umumanyisigwa singukutula mukulu kukila umumanisi akwe, kululo umuntu anga manyisigwe kisa ukutula anga umumanyisi wakwe.
41 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?
Kuniki nukuligoza ihongo nilikoli muliho la munya ndugu ako, ili nilikoli muliho lako shuligozili?
42 Utawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu yangu, acha nitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,’ wakati wewe mwenyewe huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako? Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
Uhumile uli kumuila umunyandugu ako, munyandugu kulopa nikiheje ikibanzi nikikoli mukati muliho lako. nue shangaugozili nilikoli muliho lako uewe? Umutele uewe! Heja hanza nilikoli muliho lako uewe, pang'wanso ukuona iza kuheja ikibanzi muliho la munyandugu ako.
43 “Hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
Kunsoko kutile umuti nuuza uukutuga imatunda ni mabii, hangi kutili umuntu uubii nuukutuga imatunda ni maza.
44 Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba, wala zabibu kwenye michongoma.
Kunsoko kila umuti umanyikile ni matunda ake. Kunsoko umuntu shangakukala itini kupuma mumija, hangi shangu kukala izabibu kupuma mumichongoma.
45 Vivyo hivyo mtu mwema hutoa mambo mema kutoka kwenye hazina ya moyo wake, naye mtu mwovu hutoa mambo maovu kutoka kwenye hazina ya moyo wake. Kwa kuwa mtu hunena kwa kinywa chake yale yaliyoujaza moyo wake.
Umuntu numuzaa nukite imasigo nimaza munkolo akwe wipumya nakoli nimaza. Umuntu numubii imasigo ni mabii namunkolakwe ipumya ni mabii kunsoko umulomo wake wiligitwa nizuilya inkolo akwe.
46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
Kunike nimukunintanga, Tata, Tata, namukili kituma aya ninungile?
47 Nitawaonyesha jinsi alivyo mtu yule anayekuja kwangu na kusikia maneno yangu na kuyatenda.
Umuntu wihi nuzile kitalane nukija ikani yane nukituma, imilimo, kumulagila nuili.
48 Yeye ni kama mtu aliyejenga nyumba, akachimba chini sana, na kuweka msingi kwenye mwamba. Mafuriko yalipokuja, maji ya ghafula yaliipiga ile nyumba, lakini haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
Ingigwa impyani numuntu nuzengile inyumba akwe hangi nuhimbile pihi lukulu nukuzenga umusingi wa nyumba migulwa migwe nikaku imazi naiazile, numongo ikamikua inyumba sanga ikagwa shanga ikahuma ata ukumihingisa kunsoko aizengile iza.
49 Lakini yeye anayesikia maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi bila kuweka msingi. Mafuriko yalipoikumba nyumba ile, ikaanguka mara na kubomoka kabisa.”
Ingi wihi nukija ulukani lane, shanga ulukee, impyani akwe numuntu nuzengile inyumba migulwa amizi nikutile numusingi, umongo nausimile kunguru, inyumba iyo ikahingisigwa ikulu.

< Luka 6 >