< Luka 6 >
1 Ikawa siku moja ya Sabato Yesu alikuwa akipita katika mashamba ya nafaka, nao wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke ya nafaka, wakayafikicha kwa mikono yao na kula punje zake.
to be then in/on/among Sabbath (second-first *K*) to go through it/s/he through/because of (the/this/who *k*) grainfield and to pluck the/this/who disciple it/s/he and to eat the/this/who head of grain to rub the/this/who hand
2 Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo yasiyo halali kufanywa siku ya Sabato?”
one then the/this/who Pharisee to say (it/s/he *k*) which? to do/make: do which no be permitted (to do/make: do in/on/among *k*) the/this/who Sabbath
3 Yesu akawajibu, “Je, ninyi hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa?
and to answer to/with it/s/he to say the/this/who Jesus nor this/he/she/it to read which to do/make: do David (when *N(k)O*) to hunger it/s/he and the/this/who with/after it/s/he to be
4 Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akaichukua na kuila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
as/when to enter toward the/this/who house: home the/this/who God and the/this/who bread the/this/who purpose (to take *N(k)O*) (and *k*) to eat and to give (and *k*) the/this/who with/after it/s/he which no be permitted to eat if: not not alone the/this/who priest
5 Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
and to say it/s/he (that/since: that *ko*) lord: God to be (and *k*) the/this/who Sabbath the/this/who son the/this/who a human
6 Ikawa siku nyingine ya Sabato, Yesu aliingia ndani ya sinagogi na akawa anafundisha. Huko palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
to be then (and *k*) in/on/among other Sabbath to enter it/s/he toward the/this/who synagogue and to teach and to be a human there and the/this/who hand it/s/he the/this/who right to be dried up/withered
7 Mafarisayo na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu. Kwa hivyo wakawa wanamwangalia sana ili waone kama ataponya katika siku ya Sabato.
(to observe *N(k)O*) then it/s/he the/this/who scribe and the/this/who Pharisee if in/on/among the/this/who Sabbath (to serve/heal *N(k)O*) in order that/to to find/meet (to accuse *N(k)O*) it/s/he
8 Lakini Yesu alijua mawazo yao, hivyo akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, “Inuka usimame mbele ya watu wote.” Hivyo yule mtu akainuka, akasimama mbele yao wote.
it/s/he then to perceive: know the/this/who reasoning it/s/he (and *k*) to say (then *no*) the/this/who (man *N(k)O*) the/this/who dried up/withered to have/be the/this/who hand (to arise *N(k)O*) and to stand toward the/this/who midst (the/this/who *k*) (and *N(k)O*) to arise to stand
9 Ndipo Yesu akawaambia wale walimu wa sheria na Mafarisayo, “Nawauliza ninyi, ni lipi lililo halali siku ya Sabato? Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuyaangamiza?”
to say (then *N(k)O*) the/this/who Jesus to/with it/s/he (to question *N(k)O*) you (if *N(k)O*) be permitted (the/this/who Sabbath *N(k)O*) to do good or to do evil/harm soul: life to save or (to destroy *NK(O)*)
10 Akawatazama watu wote waliokuwepo, kisha akamwambia yule aliyepooza mkono, “Nyoosha mkono wako!” Akaunyoosha na mkono wake ukaponywa kabisa.
and to look around all it/s/he to say (it/s/he *N(K)O*) to stretch out the/this/who hand you the/this/who then to do/make: do (thus(-ly) *k*) and to restore the/this/who hand it/s/he (healthy *K*) (as/when the/this/who another *KO*)
11 Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Yesu.
it/s/he then to fill folly and to discuss to/with one another which? if to do/make: do the/this/who Jesus
12 Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
to be then in/on/among the/this/who day this/he/she/it (to go out *N(k)O*) (it/s/he *no*) toward the/this/who mountain to pray and to be to spend the night in/on/among the/this/who prayer the/this/who God
13 Kulipopambazuka, akawaita wanafunzi wake, naye akachagua kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume:
and when to be day to call to/summon the/this/who disciple it/s/he and to select away from it/s/he twelve which and apostle to name
14 Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
Simon which and to name Peter and Andrew the/this/who brother it/s/he (and *no*) James and John (and *no*) Philip and Bartholomew
15 Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
(and *no*) Matthew and Thomas (and *no*) James (the/this/who the/this/who *k*) Alphaeus and Simon the/this/who to call: call Zealot
16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.
(and *no*) Judas James and Judas Iscariot which (and *ko*) to be traitor
17 Akashuka pamoja nao, akasimama mahali penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu kutoka sehemu zote za Uyahudi, kutoka Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
and to come/go down with/after it/s/he to stand upon/to/against place level and crowd (much *NO*) disciple it/s/he and multitude much the/this/who a people away from all the/this/who Judea and Jerusalem and the/this/who seaside Tyre and Sidon which to come/go to hear it/s/he and to heal away from the/this/who illness it/s/he
18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.
and the/this/who (to trouble away from *N(k)O*) spirit/breath: spirit unclean (and *k*) to serve/heal
19 Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.
and all the/this/who crowd (to seek *N(k)O*) to touch it/s/he that/since: since power from/with/beside it/s/he to go out and to heal all
20 Akawatazama wanafunzi wake, akasema: “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa sababu Ufalme wa Mungu ni wenu.
and it/s/he to lift up the/this/who eye it/s/he toward the/this/who disciple it/s/he to say blessed the/this/who poor that/since: since you to be the/this/who kingdom the/this/who God
21 Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.
blessed the/this/who to hunger now that/since: since to feed blessed the/this/who to weep now that/since: since to laugh
22 Mmebarikiwa ninyi, watu watakapowachukia, watakapowatenga na kuwatukana na kulikataa jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
blessed to be when(-ever) to hate you the/this/who a human and when(-ever) to separate you and to revile and to expel the/this/who name you as/when evil/bad because of the/this/who son the/this/who a human
23 “Furahini na kurukaruka kwa shangwe, kwa sababu thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo baba zao walivyowatenda manabii.
(to rejoice *N(k)O*) in/on/among that the/this/who day and to leap look! for the/this/who wage you much in/on/among the/this/who heaven according to (the/this/who *N(K)O*) (it/s/he *N(k)O*) for to do/make: do the/this/who prophet the/this/who father it/s/he
24 “Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.
but/however woe! you the/this/who rich that/since: since to have in full the/this/who encouragement you
25 Ole wenu ninyi mlioshiba sasa, maana mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, maana mtaomboleza na kulia.
woe! you the/this/who to fill up (now *no*) that/since: since to hunger woe! (you *k*) the/this/who to laugh now that/since: since to mourn and to weep
26 Ole wenu watu watakapowasifu, kwani ndivyo baba zao walivyowasifu manabii wa uongo.
woe! (you *k*) when(-ever) you well to say all the/this/who a human according to (the/this/who *N(K)O*) (it/s/he *N(k)O*) for to do/make: do the/this/who false prophet the/this/who father it/s/he
27 “Lakini nawaambia ninyi mnaonisikia: Wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia.
but you to say the/this/who to hear to love the/this/who enemy you well to do/make: do the/this/who to hate you
28 Wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowatendea mabaya.
to praise/bless the/this/who to curse (you *N(k)O*) (and *k*) to pray (about *N(k)O*) the/this/who to mistreat you
29 Kama mtu akikupiga shavu moja, mgeuzie na la pili pia. Mtu akikunyangʼanya koti lako, usimzuie kuchukua joho pia.
the/this/who to strike you upon/to/against the/this/who cheek to furnish occasion and the/this/who another and away from the/this/who to take up you the/this/who clothing and the/this/who tunic not to prevent
30 Mpe kila akuombaye, na kama mtu akichukua mali yako usitake akurudishie.
all (then the/this/who *ko*) to ask you to give and away from the/this/who to take up the/this/who you not to demand
31 Watendeeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.
and as/just as to will/desire in order that/to to do/make: do you the/this/who a human (and you *ko*) to do/make: do it/s/he similarly
32 “Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwapenda wale wawapendao.
and if to love the/this/who to love you what? you grace to be and for the/this/who sinful the/this/who to love it/s/he to love
33 Tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi mema, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ hufanya vivyo hivyo.
and (for *no*) if to do good the/this/who to do good you what? you grace to be and (for *ko*) the/this/who sinful the/this/who it/s/he to do/make: do
34 Tena mnapowakopesha wale tu mnaotegemea wawalipe, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwakopesha ‘wenye dhambi’ wenzao wakitarajia kulipwa mali yao yote.
and if (to lend/borrow *N(k)(o)*) from/with/beside which to hope/expect (to take *N(k)O*) what? you grace to be and (for *ko*) (the/this/who *k*) sinful sinful to lend/borrow in order that/to to get back the/this/who equal
35 Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni mema, wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo thawabu yenu itakapokuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Sana, kwa sababu yeye ni mwema kwa watu wasio na shukrani na kwa wale waovu.
but/however to love the/this/who enemy you and to do good and to lend/borrow nothing to despair and to be the/this/who wage you much and to be son (the/this/who *k*) Highest that/since: since it/s/he good/kind to be upon/to/against the/this/who ungrateful and evil/bad
36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
to be (therefore/then *K*) compassionate as/just as and the/this/who father you compassionate to be
37 “Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
and not to judge and no not to judge (and *no*) not to condemn and no not to condemn to release: release and to release: release
38 Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.”
to give and to give you measure good to press down (and *k*) to shake (and *k*) to overflow to give toward the/this/who bosom you which (the/this/who *k*) for (it/s/he *k*) measure to measure to return you
39 Pia akawapa mfano akasema, “Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia shimoni?
to say then (and *no*) parable it/s/he surely not be able blind blind to guide not! both toward pit (to fall into *N(k)O*)
40 Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, ila yule aliyehitimu aweza kuwa kama mwalimu wake.
no to be disciple above/for the/this/who teacher (it/s/he *k*) to complete then all to be as/when the/this/who teacher it/s/he
41 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?
which? then to see the/this/who speck the/this/who in/on/among the/this/who eye the/this/who brother you the/this/who then plank the/this/who in/on/among the/this/who one's own/private eye no to observe
42 Utawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu yangu, acha nitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,’ wakati wewe mwenyewe huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako? Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
(or *ko*) how! be able to say the/this/who brother you brother to release: permit to expel the/this/who speck the/this/who in/on/among the/this/who eye you it/s/he the/this/who in/on/among the/this/who eye you plank no to see hypocrite to expel first the/this/who plank out from the/this/who eye you and then to see clearly the/this/who speck the/this/who in/on/among the/this/who eye the/this/who brother you to expel
43 “Hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
no for to be tree good to do/make: do fruit rotten nor (again *no*) tree rotten to do/make: do fruit good
44 Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba, wala zabibu kwenye michongoma.
each for tree out from the/this/who one's own/private fruit to know no for out from a thorn to collect fig nor out from thorn bush grapes to harvest
45 Vivyo hivyo mtu mwema hutoa mambo mema kutoka kwenye hazina ya moyo wake, naye mtu mwovu hutoa mambo maovu kutoka kwenye hazina ya moyo wake. Kwa kuwa mtu hunena kwa kinywa chake yale yaliyoujaza moyo wake.
the/this/who good a human out from the/this/who good treasure the/this/who heart (it/s/he *ko*) to bring out the/this/who good and the/this/who evil/bad (a human *k*) out from the/this/who evil/bad (treasure the/this/who heart themself *K*) to bring out the/this/who evil/bad out from for (the/this/who *k*) overflow (the/this/who *k*) heart to speak the/this/who mouth it/s/he
46 “Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
which? then me to call: call lord: God lord: God and no to do/make: do which to say
47 Nitawaonyesha jinsi alivyo mtu yule anayekuja kwangu na kusikia maneno yangu na kuyatenda.
all the/this/who to come/go to/with me and to hear me the/this/who word and to do/make: do it/s/he to show you which? to be like
48 Yeye ni kama mtu aliyejenga nyumba, akachimba chini sana, na kuweka msingi kwenye mwamba. Mafuriko yalipokuja, maji ya ghafula yaliipiga ile nyumba, lakini haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
like to be a human to build home which to dig and to dig deep and to place foundation upon/to/against the/this/who rock flood then to be to strike the/this/who river the/this/who home that and no be strong to shake it/s/he (through/because of *N(k)O*) (the/this/who *no*) (well *NO*) (to build *N(K)O*) (it/s/he *no*) (upon/to/against the/this/who rock *k*)
49 Lakini yeye anayesikia maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi bila kuweka msingi. Mafuriko yalipoikumba nyumba ile, ikaanguka mara na kubomoka kabisa.”
the/this/who then to hear and not to do/make: do like to be a human to build home upon/to/against the/this/who earth: soil without foundation which to strike the/this/who river and immediately (be downcast *N(k)O*) and to be the/this/who destruction the/this/who home that great