< Luka 4 >

1 Yesu, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akarudi kutoka Yordani. Akaongozwa na Roho Mtakatifu hadi nyikani,
Yesu da Gode Ea A: silibu Hadigidafa amoga nabaiba: le, E da Yodane hano bega: fisi. Gode Ea A: silibu da Yesu wadela: i hafoga: i soge amoga oule asi.
2 mahali ambako kwa siku arobaini alikuwa akijaribiwa na ibilisi. Kwa siku zote hizo hakula chochote, hivyo baada ya muda huo akaona njaa.
Amo sogega E da eso 40 agoane esaloba, Sa: ida: ne da Ema dafama: ne ado ba: su. Amo esoga, E da ha: i hame maiba: le, ha: i bagade nabi.
3 Ibilisi akamwambia, “Ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu, amuru jiwe hili liwe mkate.”
Amalalu, Sa: ida: ne da Ema amane sia: i, “Di da Gode Ea Manodafa Di da sia: sa. Amaiba: le, amo igi afadenene, agi bu hamoma: ne sia: ma.”
4 Yesu akajibu akamwambia, “Imeandikwa: ‘Mtu haishi kwa mkate tu.’”
Be Yesu da bu adole i, “Gode Ea Sia: da amane dedei diala, ‘Dunu ilia esalusu da osobo bagade ha: i manu fawane hame!’”
5 Ibilisi akampeleka hadi juu ya mlima mrefu akamwonyesha milki zote za dunia kwa mara moja.
Amalalu, Sa: ida: ne da Yesu goumi gadodili oule asili, osobo bagade fi amola liligi ida: iwane huluane, sisigidigi defele Ema olelei.
6 Akamwambia, “Nitakupa mamlaka juu ya milki hizi na fahari zake zote, kwa maana zimekabidhiwa mkononi mwangu nami ninaweza kumpa yeyote ninayetaka.
Sa: ida: ne da Ema amane sia: i, “Gode da amo liligi huluane ouligima: ne nama i dagoi. Nowa dunuma na imunusa: dawa: sea, na da ema imunu.
7 Hivyo ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”
Di da nama nodone sia: ne gadosea, amo liligi huluane na da Dima imunu.”
8 Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Mwabudu Bwana Mungu wako na umtumikie yeye peke yake.’”
Be Yesu da bu adole i, “Gode Sia: da amane dedei diala, “Dia Hina Godema fawane nodone sia: ne gadoma. Amola Ea hawa: fawane hamoma!”
9 Kisha ibilisi akampeleka mpaka Yerusalemu, akamweka juu ya mnara mrefu wa Hekalu, akamwambia, “Kama wewe ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa,
Amalalu, Sa: ida: ne da Yesu Yelusaleme moilai bai bagadega oule asili, Debolo Diasu dabuagadodafa amoga oule heda: le, Ema amane sia: i, “Di da Gode Ea Manodafa esalea, defea, osoboga soagala: guduma.
10 kwa maana imeandikwa: “‘Atakuagizia malaika zake ili wakulinde;
Gode Sia: da amane dedei diala, ‘Di ouligima: ne, Gode da a: igele dunu asunasimu.’
11 nao watakuchukua mikononi mwao, usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.’”
Sia: eno dedei diala, ‘Dia emo igiga fasa: besa: le, Ea a: igele dunu ilia loboga Di da: mu.”
12 Yesu akamjibu, “Imesemwa, ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
Be Yesu da bu adole i, “Gode Sia: da amane dedei diala, ‘Dilia Hina Godema udigili ado ba: su hou mae hamoma!’”
13 Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha Yesu mpaka wakati mwingine ufaao.
Amalalu, amo dafama: ne ado ba: su hou huluane dagoloba, Sa: ida: ne da amo hou eso enoga bu hamomusa: dawa: beba: le, asi.
14 Kisha Yesu akarudi mpaka Galilaya, akiwa amejaa nguvu za Roho Mtakatifu, nazo habari zake zikaenea katika sehemu zote za nchi za kandokando.
Amalalu, Yesu da Ga: lili sogega bu misi. Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Ea dogo ganodini nabaiwane ba: i. Dunu huluane amo soge ganodini da Ea gasa bagade hou sia: ne iasu nabi dagoi.
15 Akaanza kufundisha kwenye masinagogi yao, na kila mmoja akamsifu.
E da ilia sinagoge diasu ganodini olelelalu, amola dunu huluane da Ema nodosu.
16 Yesu akaenda Nazareti, alipolelewa, na siku ya Sabato alikwenda katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake. Akasimama ili asome,
Amalalu, Yesu da Ea moilaidafa (Na: salede) amoga buhagili, Sa: bade esoga Ea eso huluane hamonanu defele, sinagoge diasuga asi. E da Gode Ea sia: idimusa: , wa: legadoi.
17 naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:
Ilia da Aisaia ea meloa dedei bioi Ema i. E da meloa bioi fadegale, amo sia: dedei ba: lalu, idi,
18 “Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa sababu amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaweka huru wanaoonewa,
“Hina Gode Ea A: silibu Hadigidafa Ea gasa da Nama doaga: i. Bai E da sia: ida: iwane hame gagui dunuma olelema: ne, Nama ilegei dagoi. Se iasu diasu ganodini sali dunu ilima se iasu diasu logo doasima: ne, si dofoi dunu bu ba: ma: ne, da: i dioi dunu bu hahawane ba: ma: ne amola
19 na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika.”
Hina Gode Ea dunu gaga: mu ode da doaga: i dagoi, amo sia: olelema: ne, Gode Ea A: silibu Hadigidafa da Na ilegei.”
20 Kisha akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi na akaketi. Watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
Yesu da idilalu, meloa bu bione, amo fidisu dunuma bu iawane, fi dagoi. Dunu huluane sinagoge ganodini, si abo mae fili, Yesuma sosodolalu.
21 Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo Andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”
Amalalu, Yesu E amane sia: i, “Wali eso, Gode Sia: Dedei dilia waha nabi, amo sia: da waha dafawane doaga: i dagoi.”
22 Wote waliokuwako wakamsifu na kuyastaajabia maneno yake yaliyojaa neema, wakaulizana, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”
Amo sia: ida: iwane nabaloba, dunu huluane da hahawane nabi. Ilia da Ea sia: Ea lafidili misi nababeba: le, bagadewane fofogadigi. Be ilia amane sia: i, “Waiye! Amo dunu da Yousefe ea manola: ?”
23 Yesu akawaambia, “Bila shaka mtatumia mithali hii: ‘Tabibu, jiponye mwenyewe! Mambo yale tuliyosikia kwamba uliyafanya huko Kapernaumu, yafanye na hapa kwenye mji wako.’”
Amalalu, Yesu da ilima amane sia: i, “Dafawane! Dilia da Nama siba sia: olelemu agoane, ‘Manoma legesu dunu! Disu oloi hidadea disu uhima. Dia gasa bagade hou Gabena: iame sogega hamoi, amo hou defelewane ninia ba: ma: ne, dia moilaidafa amo ganodini bu hamoma.’”
24 Yesu akasema, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika katika mji wake mwenyewe.
E bu adole i, “Na dilima dafawane sia: sa! Balofede dunu da ea moilaidafa amo ganodini olelesea, ea fi dunu da hamedafa naba.
25 Lakini ukweli ni kwamba palikuwa na wajane wengi katika Israeli wakati wa Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita pakawa na njaa kuu katika nchi nzima.
Nabima! Na da dafawane sia: sa. Isala: ili soge ganodini, Elaidia esaloba, didalo bagohame amola esalu. Amo esoga Gode da gibu logo ga: beba: le, esoi bagade ba: i. Ode udiana amola oubi eno gafeyale, gibu da hame dasuba: le, dunu huluane da ha: i bagade nabi.
26 Hata hivyo Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao, bali kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi ya Sidoni.
Be amo didalo ili fidima: ne, Gode da Elaidia hame asunasi. Be didalo afadafa fawane e da Salefa: de moilai, Saidone soge ganodini esalu, amo fidima: ne, Gode da Elaidia asunasi.
27 Pia palikuwa na wengi wenye ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, isipokuwa Naamani mtu wa Shamu.”
Amola Elaisia esaloba, amo esoga Isala: ili soge ganodini lebolosi oloi dunu bagohame esalu. Be Gode da huluane mae uhini hame foloai. Afae fawane uhi dagoi, amo da Silia dunu ea dio amo Na: ima: ne.”
28 Watu wote katika sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana.
Dunu huluane sinagoge diasu ganodini esalu, da amo sia: nababeba: le, ougi bagade ba: i.
29 Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa, ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali.
Ilia wa: legadole, Yesu gasawane gagulaligili, gadili hiouginana asi. Ilia moilai da gafulu da: iya gadodili gagui galu. Ilia da amo gafulu bega: , Yesu afugili hiougili, bogoma: ne gudu fulisalimusa: dawa: i galu.
30 Lakini yeye akapita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.
Be Yesu da sinidigili, dunu aligi amo duduga asili, logoga asi.
31 Kisha Yesu akashuka kwenda Kapernaumu, mji wa Galilaya, na katika siku ya Sabato akawa anafundisha.
Amalalu, Yesu da bu sa: ili, Ga: lili soge moilai amo ea dio Gabena: iame, amoga doaga: i. Sa: bade esoga, E da sinagoge diasu ganodini sia: olelei.
32 Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
E da hina gasa bagade gala ea sia: agoane olelebeba: le, ilia da Ea olelesu nababeba: le, bagadewane fofogadigi.
33 Ndani ya sinagogi palikuwa na mtu aliyekuwa amepagawa na pepo mchafu. Naye akapiga kelele kwa nguvu akisema,
Amo sinagoge diasu ganodini, dunu ea dogo ganodini wadela: i ledo agoane Fio liligi aligila sa: i, amo lelebe ba: i. Wadela: i a: silibu ea dogo ganodini esalu “a: i” ea bagadewane gusa: su.
34 “Tuache! Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Ninakujua wewe ni nani. Wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu!”
Amane, “A: i! Yesu! Na: salede dunu! Di da ninima adi hamoma: bela: ? Di da nini wadela: ma: ne misibela: ? Di na dawa: ! Di da Gode Ea Hadigi ilegei adola ahoasu dunu!”
35 Basi Yesu akamkemea yule pepo mchafu, akisema, “Nyamaza kimya! Nawe umtoke!” Yule pepo mchafu akamwangusha yule mtu chini mbele yao wote, akatoka pasipo kumdhuru.
Be Yesu da ema gagabole sia: i, “Ouiya: ma! Wahadafa gadili masa!” Amalalu, wadela: i a: silibu, dunu ea da: i ganodini luduli, osoboga gisalugala: le, gadili ahoabeba: le, dunu da bu hahawane ba: i.
36 Watu wote wakashangaa, wakaambiana, “Mafundisho haya ni ya namna gani? Anawaamuru pepo wachafu kwa mamlaka na nguvu, nao wanatoka!”
Amalalu, dunu huluane bagadewane fofogadigili, enoma enoma amane sia: dasu, “Amo sia: da adi sia: la: ? E da hina ea sia: agoane gasa bagadewane wadela: i a: silibuma fadegamusa: sia: beba: le, ili fadegalesisa!”
37 Habari zake zikaanza kuenea kila mahali katika sehemu ile.
Amalalu, dunu huluane amo soge ganodini, da Yesu Ea gasa bagade hou sia: ne iasu nabi dagoi.
38 Yesu akatoka katika sinagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Basi huko alimkuta mama mkwe wa Simoni akiwa ameshikwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu amsaidie.
Amalalu, Yesu da wa: legadole, sinagoge fisili asili, Saimone ea diasuga doaga: i. Saimone esoa: da asugi madelai. Dunu esalebe da amo uda uhisima: ne, Yesuma adole ba: i.
39 Hivyo Yesu akamwinamia na kukemea ile homa, nayo ikamwacha. Akaamka saa ile ile, naye akaanza kuwahudumia.
Yesu da Saimone esoa: ma debea amoma beguduli, E da Ea sia: ga asugi logo hedofai dagoi. Amalalu uda da uhini, wa: legadole, dunu huluane ha: i moma: ne aowasu.
40 Jua lilipokuwa linatua, watu wakamletea Yesu watu wote waliokuwa na maradhi mbalimbali, naye akaweka mikono yake juu ya kila mgonjwa, naye akawaponya.
Eso daloba, daeya, dunu bagohame ilia oloi na: iyado dunu Yesuma oule mafia: i. Yesu da ilima Ea lobo ligisili, huluane uhinisi dagoi.
41 Pepo wachafu pia wakawatoka watu wengi, nao walipokuwa wakitoka wakapiga kelele, wakisema: “Wewe ni Mwana wa Mungu!” Lakini Yesu akawakemea na kuwazuia wasiseme, kwa maana walimjua kuwa yeye ndiye Kristo.
Fio liligi bagohame dunu ilia dogo ganodini aligila sa: i, da mugululi, fadegale, “a: i” ilia gusa: ne, “Di da Gode Ea Manodafa.” Be Yesu da ilima ouiya: ma: ne sia: i. Bai E da Mesaia ilia dawa: i galu.
42 Kesho yake, kulipopambazuka, Yesu alikwenda mahali pa faragha. Watu wengi wakawa wanamtafuta kila mahali, nao walipomwona wakajaribu kumzuia asiondoke.
Hadigibi galu, Yesu da moilai fisili, dunu hame esalebe sogebi doaga: i. Amalalu, dunu bagohame hogoi helele, Yesuma fa: no bobogele, Ema doaga: i. Doaga: loba, ilia E da ili mae yolele masa: ne sia: i.
43 Lakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
Be Yesu E bu adole i, “Gode da Sia: Ida: iwane Gala Ea Hinadafa Hou olelema: ne, Na asunasi dagoi. Amaiba: le, Na da amo sia: eno moilaiga olelemusa: masunu.”
44 Naye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Uyahudi.
Amaiba: le, E da mae fisili, sinagoge diasu amo soge huluane ganodini dialu, amo ganodini Ea sia: olelelalu.

< Luka 4 >