< Luka 3 >
1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
Hanchu, Teberius Caesar Rêng chang a kum sômleirangana, Pontius Pilat Judea rama governor ania, Herod Galilee rama ânlal lâiin, A nâipa Philip, Iturea le Trachonitis rama ânlal lâiin, Abilene rama Lysanias ânlal lâia han,
2 nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
Annas le Caiaphas ngei hah Ochai Inlal annia. Ma zora lâia han ramchâra Zakaria nâipasal John kôma Pathien chong a juong tunga.
3 Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
Hanchu, John'n Jordan Tuidung pang revêl ramtina a se titira, “Nin sietnangei renga insîr ungla baptisma chang roi, hanchu Pathien'n nin sietnangei nangni ngâidam a tih” tiin chong a rila.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
Dêipu Isaiah lekhabua miziek anghan: “Ramchâra mi inkhat iniek rôl han, Pumapa lampui sin ungla, a lôna rang, A lampuingei mintûn roi.
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
Vakuong tin minsip nîng ata, Muol, tang tin mincham nîng atih, Lampui akôi ngei mintûn nîng ata, Lampui anthir ngei minnâm nîng atih.
6 Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
Hanchu mitinin Pathien sanmingringna mûng an tih.”
7 Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
Hanchu, John kôm baptis chang rangin mipuingei an honga, an kôm, “Murûlngei o!” “Pathien dûk juong mintung rang renga jôk rangin tumo nangni ril?
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
Nin sietnangei nin insîr tatak iti nin nunchana minlang roi, Ei richibul Abraham kêng aninga ti khâi no roi, Pathien'n hi lungngei khom hih Abraham richisuonpârngei a minchang thei.
9 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
Thingkung tin aruzung idêna phûr rangin reipui a om chit ani zoi. Thingkung tin mara sa ânra loi nâm chu phûrpaia meia pai nîng atih,” a tia.
10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
Mipuingei han, “Hanchu, Imo kin tho rang ani zoi,” an tia.
11 Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
Ama'n a thuona, “Kâncholi abop a dônngeiin a dônloingei sem ungla, sâkruo a dônngeiin a dônloingei sem ngei roi” a tia.
12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
Sum rusuongpungei senkhat baptisma chang rangin an honga, a kôma, “Minchupu, imo kin tho rang?” an tia.
13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
“Balam pêna chu rusuong no roi” a tia.
14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
Râlmingei khom an honga a kôm, “Keinite imo kin tho rang?” an tia. An kôma, “Tute sum rangrâtin lâk no ungla, dikloiin mi nôn no ungla, nin loa han nin mulung minchuk roi,” a tia.
15 Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
Mipuingeiin John chungroia sabeina neiin, Messiah ai ni duoi mini tiin an mindona.
16 Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Hanchu, John'n, “Keiman chu tuiin nangni ka baptis ngâia, keima nêka roiinpui uol mi a juong ani. Keima chu a kekok sût rang luon inhoi mu-ung. Ama han Ratha Inthieng le meiin nangni baptis a tih,” a tipe ngeia.
17 Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
“A jâpna rang relei a chôia, jâp a ta, butak hah sapanga thun a ta, arishi kai chu mei thi ngâiloia hâl minmang a tih,” a tia.
18 Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
An om lam thûlna rang mohôknân lam tamtakin thurchi Sa a ril ngeia.
19 Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
Herod'n neinun tamtak saloi a tho pênah, a nâipa Philip lômnu Herodias lômnua a nei sikin John'n a ngoa.
20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
Ma nêka saloi uol thôn, Herod'n, John hah intâng ina a khum zoi.
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
Hanchu mipui murdi baptisma an chang zoiin, Jisua khom baptisma a changa. Chubai a tho lâitakin, invân ân onga.
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
Pharvali angin, Ratha Inthieng a chunga a juongchuma, Invân renga chong ajuon ringa, “Ka nâipasal moroitak ni ni, na chunga ku mulung arâisân ok,” a tia.
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
Jisua'n a sin a phuta han kum sômthum a nia. Mi mindonin chu Joseph nâipasal ania. Ama hah Heli nâipasal ania,
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
Ama hah Mathat nâipasal ania, Ama hah Levi nâipasal ania, Ama hah Melchi nâipasal ania, Ama hah Janna nâipasal ania, Ama hah Joseph nâipasal ani.
25 Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
Ama hah Mattathias nâipasal ania, Ama hah Amos nâipasal ania, Ama hah Nahum nâipasal ania, Ama hah Esli nâipasal ania, Ama hah Naggai nâipasal ania,
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
Ama hah Maath nâipasal ania, Ama hah Mattathias nâipasal ania, Ama hah Semein nâipasal ania, Ama hah Josech nâipasal ania, Ama hah Joda nâipasal ania,
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
Ama hah Joanan nâipasal ania, Ama hah Rhesa nâipasal ania, Ama hah Zerubbabel nâipasal ania, Ama hah Shealtiel nâipasal ania, Ama hah Neri nâipasal ani.
28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
Ama hah Melchi nâipasal ania, Ama hah Addi nâipasal ania, Ama hah Cosam nâipasal ania, Ama hah Elmadam nâipasal ania, Ama hah Er nâipasal ani.
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
Ama hah Joshua nâipasal ania, Ama hah Eliezer nâipasal ania, Ama hah Jorim nâipasal ania, Ama hah Matthat nâipasal ania, Ama hah Levi nâipasal ania,
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
Ama hah Simeon nâipasal ania, Ama hah Judah nâipasal ania, Ama hah Joseph nâipasal ania, Ama hah Jonam nâipasal ania, Ama hah Eliakim nâipasal ani.
31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
Ama hah Melea nâipasal ania, Ama hah Menna nâipasal ania, Ama hah Mattatha nâipasal ania, Ama hah Nathan nâipasal ania, Ama hah David nâipasal ani.
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
Ama hah Jesse nâipasal ania, Ama hah Obed nâipasal ania, Ama hah Boaz nâipasal ania, Ama hah Salmon nâipasal ania, Ama hah Nahshon nâipasal ania,
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
Ama hah Aminadab nâipasal, Ama hah Admin nâipasal ania, Amah hah Arni nâipasal ania, Ama hah Hezron nâipasal ania, Ama hah Perez nâipasal ania, Ama hah Judah nâipasal ania,
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
Ama hah Jokob nâipasal ania, Ama hah Isaac nâipasal ania, Ama hah Abraham nâipasal ania, Ama hah Terah nâipasal ania, Ama hah Nahor nâipasal ania,
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
Ama hah Serug nâipasal ania, Ama hah Reu nâipasal ania, Ama hah Peleg nâipasal ania, Ama hah Eber nâipasal ania, Ama hah Shelah nâipasal ania,
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
Ama hah Cainan nâipasal ania, Ama hah Arphaxad nâipasal ania, Ama Shem nâipasal ania, Ama hah Noah nâipasal ania, Ama hah Lamech nâipasal ania,
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
Ama hah Methusela nâipasal ania, Ama hah Enoch nâipasal ania, Ama hah Jared nâipasal ania, Ama hah Mahalaleel nâipasal ania, Ama hah Kenan nâipasal ania,
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Ama hah Enosh nâipasal ania, Ama hah Seth nâipasal ania, Ama hah Adam nâipasal ania, Ama hah Pathien nâipasal ani.