< Luka 3 >
1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
Tiberia Siangpahrang kum hrahlaipanga touh bawi a tawk navah Pontius Pailat teh Judah ram dawk ukkung bawi a tawk. Galilee ram dawk Herod, Iturea hoi Trakhonitis ram dawk Herod e a nawngha Filip, Abilen ram dawk Lisanias telah khobawi lah lengkaleng a tawk awh.
2 nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
Annas hoi Kaiaphas teh vaihma kacue a tawk roi nah, Cathut e lawk teh kahrawngum kaawm e Zekhariah capa Jawhan koe a pha.
3 Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
Profet Isaiah e cauk dawk a thut e patetlah kahrawngum hramkhai e lawk teh, Cathut tho nahan lam rasoun awh.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
Lamthungnaw palan awh. Ravonaw paten awh. Karasangnaw hah rahnoum sak awh. Ka lawngkoi e lamthungnaw palan awh.
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
Lam kamathoutnaw rasoun awh.
6 Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
Taminaw pueng ni Cathut e rungngangnae a coe awh han ati e patetlah, Jawhan teh Jordan tui koe a tengpam a kâhlai teh, yon pankângainae Baptisma kong a hramkhai.
7 Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
Hatnavah, tui baptisma ka coe hanelah ka tho e tamihunaw koe, Jawhan ni lawk a dei e teh, tahrun catounnaw ka tho hane lawkcengnae dawk hoi, na hlout thai nahanelah apinimaw kâhruetcuetnae na poe awh vaw.
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
Pankângainae hoi kamcu e hno tarawi awh. Abraham teh maimae na pa telah na lungthung pouk awh hanh. Atangcalah na dei pouh awh. Cathut ni hete talung dawk hoi Abraham e catounnaw a tâco sak thai.
9 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
Thingkung koe cakâ sut pangawi lah ao toung dawkvah, a paw kahawi ka paw hoeh e a kung pueng teh ka tâtueng vaiteh hmai dawk koung ka phum han telah a dei.
10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
Tami kamkhuengnaw ni telah pawiteh kaimouh ni bangtelamaw ka sak awh han telah a pacei awh navah,
11 Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
Jawhan ni angki yung hni touh ka tawn e ni ka tawn hoeh e rei naseh. Ca han ka tawn e ni hot patetlah sak van na seh telah bout atipouh.
12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
Tamuk kacawngnaw baptisma coe hanlah a tho awh teh, saya kaimanaw ni bangtelamaw ka sak awh han telah a pacei awh navah,
13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
nangmae na Bawipa ni na cawng sak e a hloilah cawng awh hanh atipouh.
14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
Ransa thaw katawknaw ni hai kaimouh ni bangtelamaw ka sak awh han telah a pacei awh navah, Jawhan ni apipatet koe hai, ka kamsoum hoeh lahoi tangka lawm awh hanh, het awh hanh awh, na hmu e kutphu dawk na lungkuep awh, telah atipouh.
15 Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
Taminaw ni a ngaihawi awh teh Jawhan heh Messiah han vaimoe telah a pouk awh.
16 Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Jawhan ni hai kai ni nangmanaw teh tui dawk doeh baptisma na poe awh. Hatei kai hlak kalen e a tho han. Ahnie khokkhawm rui patenghai rading pouh hane lah ka kamcu hoeh. Ahni ni nangmanaw teh Kathoung Muitha hoi hmai dawkvah Baptisma na poe awh han.
17 Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
Ahni teh a kut dawk para a patuep teh, katin tangcoung e cakang a hut sak dawkvah, cataknaw teh capai dawk a cui sak vaiteh, cahiknaw teh ka roum thai hoeh e hmai dawk a phum han atipouh.
18 Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
Hottelah alouke kamthang kahawi aphunphun lahoi a pâpho pouh.
19 Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
Hathnukkhu hoi Herod bawi ni a nawngha e a yu Herodias hoi thoseh, amae payonpakainae puenghoi thoseh, Jawhan ni a pâpho pouh teh a yue.
20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
Jawhan hah thongim rek a paung dawkvah, Herod teh ahmaloe e yon van hete yonnae hoi rek a kâthap.
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
Taminaw pueng ni baptisma a coe navah Jisuh hai baptisma a coe teh ratoum lahun navah, kalvan a kamawng teh,
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
Kathoung Muitha teh âbakhu patetlah Jisuh van a cu teh, nang teh ka pahren poung e hoi ka lungkuep e capa doeh telah, kalvan lahoi lawk a tho.
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
Hatnavah Jisuh teh a kum 30 kalekkalak a pha. Taminaw e hmunae pouknae lahoi teh Jisuh na pa teh Joseph,
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
Joseph na pa Heli, Heli na pa Matthat, Matthat na pa Levih, Levih na pa Melkhi, Melkhi na pa Jannai, Jannai na pa Joseph.
25 Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
Joseph na pa teh Mattathias, Mattathias na pa Amos, Amos na pa Nahum, Nahum na pa Esli, Esli na pa Naggai,
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
Naggai na pa Maath, Maath na pa Mattathias, Mattathias na pa Shimei, Shimei na pa Josek, Josek na pa Joda,
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
Joda na pa Joanan, Joanan na pa Resa, Resa na pa Zerubbabel, Zerubbabel na pa Shealtiel, Shealtiel na pa Neri,
28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
Neri na pa Melkhi. Melkhi na pa Addi, Addi na pa Kosam, Kosam na pa Elmadam, Elmadam na pa Er,
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
Er na pa Joshua, Joshua na pa Eliezer, Eliezer na pa Jorim, Jorim na pa Matthat, Matthat na pa Levih,
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
Levih na pa Simon, Simon na pa Judah, Judah na pa Joseph, Joseph na pa Jonan, Jonan na pa Eliakim,
31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
Eliakim na pa Melea, Melea napa Menna, Menna na pa Mattatha, Mattatha na pa Nathan, Nathan na pa Devit,
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
Devit na pa Jesi, Jesi na pa Obed, Obed na pa Boaz, Boaz na pa Salmon, Salmon na pa Nahshon,
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
Nahshon na pa Amminadab, Amminadab na pa Aram, Aram na pa Hezron, Hezron na pa Perez, Perez na pa Judah.
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
Judah na pa Jakop, Jakop na pa Isak, Isak na pa Abraham, Abraham na pa Terah, Terah na pa Nahor,
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
Nahor na pa Serug, Serug na pa Reu, Reu na pa Peleg, Peleg na pa Eber, Eber na pa Selah.
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
Selah na pa Kainan, Kainan na pa Arphaxad, Arphaxad na pa Shem. Shem na pa Noah, Noah capa Lamek,
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
Lamek na pa Methuselah, Methuselah capa Enok, Enok na pa Jared, Jared na pa Mahalaleel, Mahalaleel na pa Kainan,
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Kainan na pa Enok, Enok na pa Seth, Seth na pa Adam, Adam na pa Cathut.