< Luka 3 >
1 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
Tiberius Kaisar a manghai kum hlainga vaengah Judea te Pontius Pilat loh a taem tih, Herod te Galilee ah khoboei la om. A manuca Philip tah Ituraea neh Trakhoniti kho kah khoboei la om. Lusania tah Abilene kah khoboei la om.
2 nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
Annas neh Kaiaphas khosoihham la a om vaengah Pathen kah ol tah khosoek kah Zekhariah capa Johan taengla thoeng.
3 Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
Te phoeiah Jordan pingpang te boeih a pha tih tholh khodawkngainah ham yutnah baptisma kawng a hoe.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
Tonghma Isaiah kah ol te cabu dongah ana daek sut bangla, khosoek kah pang ol loh, “Boeipa kah longpuei te rhoekbah uh lamtah, a caehlong te a dueng la saii uh.
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
Soklong te boeih a et vetih, tlang neh mol khaw boeih a tlarhoel sak ni. Aka kawn te a dueng la, long mueng khaw long tlaai la om ni.
6 Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
Te vaengah pumsa boeih loh Pathen kah khangnah a hmuh ni.
7 Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
Te dongah anih kah a nuem hamla aka thoeng hlangping te, “Rhulthae rhoek kah cadil rhoek, kosi aka tawn uh te rhaelrham tak ham unim nangmih aka tueng?
8 Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
Te dongah yutnah neh a tiing la a thaih te saii uh. Na khuiah, 'Abraham te pa la ka khueh,’ ti koeloe boeh. Pathen tah hekah lungto lamloh Abraham ca rhoek a thoh thai te nangmih ham kan thui.
9 Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
Tedae hai tah thing yung ah oepsoeh la a khueh van coeng. Thaih tak la aka thai pawh thing tah boeih a vung tih hmai ah a pup,” a ti nah.
10 Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
Te dongah amah te hlangping loh a dawt tih, “Te koinih balae ka saii uh eh?” a ti nah.
11 Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
Te dongah amih te a doo tih, “Angki yungnit aka khueh loh aka khueh pawt te doedan saeh. Te vanbangla caak aka khueh long khaw saii van saeh,” a ti nah.
12 Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
Te vaengah mangmucoi rhoek khaw nuem hamla ha pawk uh tih anih taengah, “Saya, balae ka saii uh eh? “a ti uh.
13 Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
Te dongah amih te, “Nangmih ng'uen phoeiah a yet la khoboe boeh,” a ti nah.
14 Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
Anih te rhalkap rhoek long khaw a dawt uh tih, “Kaimih tah balae ka saii uh van eh?” a ti uh. Amih te khaw, “Hlang te hihham uh boeh, huttet uh boeh. Namamih kah buhcun neh rhaemhal uh,” a ti nah.
15 Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
Pilnam kah a lamso vanbangla amamih kah thinko ah Johan te boeih a thui uh tih, “Anih he Khrih coini,” a ti uh.
16 Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Johan loh a doo tih, “Nangmih he kai loh tui dongah kan nuem dae kai lakah aka tlung te ha pawk coeng. Anih kah khokhom rhui hlam ham pataeng aka koih la ka om moenih. Anih loh nangmih te Mueihla Cim dongah hmai neh n'nuem ni.
17 Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
A kut dongkah cangcopcung loh a cangtilhmuen a coeh vetih cang te a khai khuila a sang ni. Tedae canghi tah aka duek pawh hmai neh boeih a hoeh ni,” a ti nah.
18 Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
Te dongah pilnam te a tloe neh muep a thaphoh tih olthangthen a phong pah.
19 Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
Tedae Herod a khoboei vaengah a mana yuu Herodias kawng dongah Herod loh boethae a saii boeih te Johan loh a toeltham.
20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
Te te boeih a tungsaep thil dongah Johan te thongim ah a uup.
21 Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
Pilnam te boeih a nuem vaengah Jesuh khaw a nuem tih a thangthui hatah vaan te ong uh.
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
Te phoeiah Mueihla Cim te a pumrho neh vahu kah mueimae bangla a suntlak thil. Te vaengah, “Nang tah ka capa thintlo la na om tih, nang taengah ka lungtlun,” tila vaan lamkah ol ha thoeng.
23 Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
Jesuh loh amah bibi a tong vaengah a kum sawmthum tluk lo coeng. Poek vaengah Heli capa Joseph kah a ca bangla om.
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
Tedae Heli te Matthat capa, Matthat te Levi capa, Levi te Melkhi capa, Melkhi te Janna capa, Janna te Joseph capa,
25 Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
Joseph te Mattathias capa, Mattathias te Amos capa, Amos te Nahum capa, Nahum te Esli capa, Esli te Naggai capa,
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
Naggai te Maath capa, Maath te Mattathias capa, Mattathias te Shimei capa, Shimei te Joseph capa, Joseph te Joda capa,
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
Joda te Joanan capa, Joanan te Rhesa capa, Rhesa te Jerubbabel capa, Zerubbabel te Shealtiel capa, Shealtiel te Neri capa,
28 Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
Neri te Melkhi capa, Melkhi te Addi capa, Addi te Kosam capa, Kosam te Elmadam capa, Elmadam te Er capa,
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
Er te Jose capa, Jose te Eliezer capa, Eliezer te Jorim capa, Jorim te Matthat capa, Matthat te Levi capa,
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
Levi te Simeon capa, Simeon te Judah capa, Judah te Joseph capa, Joseph te Jonan te Eliakim capa,
31 Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
Eliakim te Melea capa, Melea te Menna capa, Menna te Mattatha capa, Mattatha te Nathan capa, Nathan te David capa,
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
David te Jesse capa, Jesse te Obed capa, Obed te Boaz capa, Boaz te Sala capa, Sala bte Nashon capa,
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
Nashon te Amminadab capa, Aminadab te Admin capa, Admin te Aram capa, Aram te Hezron capa, Hezron te Perez capa, Perez te Judah capa,
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
Judah te Jakob capa, Jakob te Isaak capa, Isaak te Abraham capa, Abraham te Terah capa, Terah te Nakhaw capa,
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
Nakhaw te Saruk capa, Saruk te Rhagau capa, Rhagau te Phalek capa, Phalek te Eber capa, Eber te Shelah capa,
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
Shelah te Kainan capa, Kainan te Arpaxad capa, Arpaxad te Shem capa, Shem te Noah capa, Noah te Lamekh capa,
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
Lamekh te Methuselah capa, Mehtuselah te Enok capa, Enok te Jared capa, Jared te Maleleel capa, Maleleel te Kainan capa,
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Kainan te Enos capa, Enos te Seth capa, Seth te Adam capa, Adam te Pathen capa la om.