< Luka 24 >

1 Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
Ngpum mhmüp ngawiksik üng, ng'uingnam he jah ceh u lü, nghnumi he ng’uhnüna citki he.
2 Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
Acunüng k'utnak üngka lungnu cun akcea ngtäng se hmu u lü,
3 lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
lutki he, acunüng Jesuha yawk cun am ami hmuh.
4 Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
Acunüng, acuna phäha ami cäicah k'um üng, khyang nghngih akbawk suisa ni lü, ngdang lawki xawi.
5 Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
Ami kyühnak am kawp u lü ami ve k'um üng anini naw, “Ivai akthia ksunga akxüng nami suiki ni?
6 Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
“Hia am ve ti naw, tho be päng ve; Kalilea a ve üng nami veia a ngthu pyen cen süm be ua,
7 ‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
‘khyanga Capa, khyangka hea kut üng mansaka kya khai, kutlamktung üng taih khai he, amhmüp thum üng tho be khaia kyaki,’ a ti cen,” ani ti.
8 Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
Acunüng a pyen süm law be u lü,
9 Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
ng’uhnün üngka naw cit beki he naw, xaleiat la akce hea veia acuna mawngma avan cun ami jah mtheh,
10 Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
Acuna nghnumi he cun, Marih Makdalin, Joanah la Jakuka nu Mariha kyaki he; ami veia nghnumi kce he naw pi acuna ngthu cun ngsä he üng ami jah mtheh hnga.
11 Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
Cunsepi acuna ngthu cun ngthu sawxata kba, ia am msui u lü am ami kcangnak.
12 Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
Pita tho law lü ng’uhnüna dawngki; acunüng kawp lü tengki naw, jih he däng ve se hmu lü aktäa cäi lü ima cit beki.
13 Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
Acuna mhmüp üng axüisaw xawi nghngih, Jerusalem üngka naw mäng khyüh thukia Emawk khawa ani ceh k'um üng,
14 Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
Jerusalema iyawa awmih avan sumkyam ni lü citki xawi.
15 Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
Acukba sumkyam ni lü ani ceh k'um üng, Jesuh naw jah pan law lü ani veia cit hngaki.
16 lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
Jesuh cun ani hmuh te am ani ksing.
17 Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
Acunüng Jesuh naw, “Nani ceh maha i nani sumkyamki ni?” ti lü jah kthäh se, thuisei ni lü ngdüiki xawi.
18 Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
Acunüng, Kalawpah naki naw, “Jerusalem khawa tuhmüngawi iyawa awmih am na ksingkia khin hin nang däng aw?” ti lü a msang.
19 Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
Ani naw, “Ia ngkhaw ni?” ti se, anini naw, “Sahma Nazaret Jesuh, Pamhnam ja khyang avana hmuha a pyenksak la a bilawh üng a ngming ngthanga mawng,
20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
ktaiyü ngvai he la mi ngvai he naw hnim vaia ami mso, kutlamktung khana ami taiha mawng cen,
21 Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
Isarel he jah küikyan khaia kami ngaih’uhei, acuna kyanak cun tuhngawi üng mhmüp thum law pängki.
22 Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
“Acuna thea pi kami vei üngka nghnumi he, khaw ngawilam ksika a ng'uhnak ng’uhnüna va cit u lü ami jah cäicatei law sak,
23 lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
a yawk am hmu u lü, ‘Pamhnama khankhawngsä he ami hmuha ngdang lawki he naw, Ani xüng ve tia pyen ve u,’ ami ti law.
24 Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
“Acunüng, kami veia ka avang ng’uhnüna cit u lü, nghnumi hea pyen lawa kba, ami va hmuh, cunsepi, amät cun am ami hmuh,” ani ti.
25 Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
Acunüng, Jesuh naw, “Khyang k'ang he aw, sahma hea pyen avan am kcang na thei khaia angki he aw!
26 Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
Mesijah naw acun avan cun khamei lü a hlüngtainaka lut khaia am kya kungki aw?” a ti.
27 Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
Acunüng, Mosi la sahma he avana yük üng tünei lü Pamhnama cangcim avan üng amäta mawngma ng’yuki avana suilam a jah mtheh.
28 Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
Acunüng, ani cehnak vaia ngnam ani pha law hlü üng, Jesuh cun acuna khaw khye lü, athuknaka cit khaia kba ngtün se,
29 Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
anini naw, “Kani veia awmeia khaw mü lü khaw pi mthan law hlü ve,” ti ni se, acunüng ani hlawnga awm khaia lutki.
30 Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
Acunüng Jesuh naw ani veia buh ei khaia, a ngawh üng, muk lo lü, josenak am kbeki naw, bo lü, a jah pet.
31 Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Acunüng, ani mik vai law se, Jesuh ni tia ani ksing law üng Jesuh cun khyükeiki.
32 Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
Acunüng, axüisaw xawi naw, “Lama a jah ngthuheipüi üng, Pamhnama Cangcim he a jah mtheh k’um üng, ni mlung k'uma meidäikia mäih am kyakia kya kung aih se?” tia, animät ngthäh kyuki xawi.
33 Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
Acun la ngdüi law ni lü Jerusalema cit beki xawi naw, xaleiat he la ani püi he awm hmaihki he cun jah hmu ni se amimi naw,
34 wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
“Bawipa tho law be kcang ve, Sihmona veia pi ngdangki ni,” ami ti.
35 Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
Acunüng, anini naw pi lam ani ceh k'um üng, akya lawa mawng, muk bo se, a müi ani ksing lawa mawng cun ani pyen hnga.
36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
Acuna ngthu ani pyen k'um üng, Jesuh ami ksunga ngdüi law lü, “Nami khana dim’yenak ve se,” a ti.
37 Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
Cunsepi, aktäa ngmüimkhya hmuki hea ngai u lü, ngpyangki he.
38 Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
Cunsepi Jesuh naw, “Ise nami khuikhaki ni? Ise nami mlungmthin k'uma mlung hlawthlatnak awmki ni?
39 Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
“Ka kut la ka khawpha he jah teng ua keiha ni ka kya ve, na hnet u lü na teng u; nami na hmuha kba ngmüimkhya naw mtisa la yuh am ta naw,” a ti.
40 Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
Acukba a pyen khap üng, a kut la a khawpha he a jah mhmuh.
41 Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
Acunüng, ami jekyai law nganga phäha, am kcang na pha u lü, ami awm k'um üng, Jesuh naw, “Ei vai iyaw nami taki aw?” ti lü, a jah kthäh.
42 Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
Acunüng ami sawng päng nga amtawn ami pet.
43 naye akakichukua na kukila mbele yao.
Acunüng lo lü ami ma a ei.
44 Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
Acunüng, Jesuh naw, “Mosia thum, sahma hea cayuknak la mküinaka ng’äi üng, keia mawng ng’yuki avan kümkawi law khai tia, nami hlawnga ka awm üng ka ning jah mtheh khawi cun ahin he ni,” a ti.
45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
Acunüng, Pamhnama ngthu ami ksingnak vaia ami mlung a jah vaisak;
46 Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
acunüng, ami veia, “Mesijah naw khuikhanak khamei lü, amhmüp thum üng thihnak üngka naw tho be khai,
47 Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
A ngming am, ngjutnaka ngthu la, katnak mhlätnaka ngthu, Jerusalem khaw üngka naw tün lü, khyang avana veia sang khai he, tia ng’yuki,’
48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
“Nangmi cun ahin hea saksiha nami kyaki ni.
49 “Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
“Acunüng, ka pa naw a pyen nami khana ka tüi law khai; cunsepi, khana johit am nami yah hlana küt üng Jerusalema a na k’äih ua,” a ti.
50 Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
Acunüng Jesuh naw axüisaw he mlüh üngka naw Bethanih khawa jah cehpüiki naw a kut säng lü josenak am a jah kbe.
51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Acukba josenak a jah pet k’um üng axüisaw hea awmnak üngka naw khankhawa kai beki.
52 Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
Axüisaw he cun sawhkhah u lü, jekyai leng leng u lü, Jerusalema nghlat beki he.
53 Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.
Acunüng, Pamhnam mküimto u lü, Temple üng awm nglätki he.

< Luka 24 >