< Luka 23 >

1 Kisha umati wote wa watu ukainuka na kumpeleka Yesu kwa Pilato.
Bhemelela obungano gwonti, bhatwala hwa Pilato.
2 Nao wakaanza kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.”
Bhandile hutake, bhayanga, “Tilolile ono natezya itaifa lyetu na bhazubhile abhantu bhagaje hupele Okaisari, esonga ayanjile eyaje omwhale yoyo ni Klisiti, Mwene.”
3 Basi Pilato akamuuliza Yesu, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe wasema.”
Pilato wabhozya, wayanga, “Awe wewe omwene Owayahudi?” Wagalula wabhabhola, “Awe wayanga.”
4 Pilato akawaambia viongozi wa makuhani na watu wote waliokuwepo, “Sioni sababu ya kutosha kumshtaki mtu huyu!”
Pilato wabhola agosi abhemakohani na mabungono, “Sendilola izu lyalili libhibhi hwa mntu ono”.
5 Lakini wao wakakazana kusema, “Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika Uyahudi yote, tangu Galilaya alikoanzia, hadi sehemu hii!”
Wape bhahwikazile sana, bhayanga, “Abhasonje sonje abhantu, amanyizyaga evyahudi yonti, afume Galilaya mpaka ohu.”
6 Pilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”
U Pilato nawovwa ego abhozyezye nkashele ono mntu wa Hugalilaya?
7 Alipofahamu kwamba Yesu alikuwa chini ya mamlaka ya Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa pia Yerusalemu.
Na apete enongwa eyaje alichini wa Herode, atwalile wa Herode, afwanaje omwahale wape ahali hu Yerusalemu ensiku ezyo.
8 Herode alipomwona Yesu alifurahi sana, kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amesikia mambo mengi kumhusu yeye. Pia alitarajia kumwona akifanya miujiza kadha wa kadha.
Na Herode nalolile u Yesu ashimile tee afwanaje ali ahwanza tee hulole afume ensiku nyinji. Afwane nesho ayovwezye enongwe zyakwe, wasobhela alole ishala yebhambilwe nomwahale.
9 Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Yesu hakumjibu lolote.
Wabhozya enongwa nyinji omwahale sewagalulo lyalyonti.
10 Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwepo wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
Agosi abhemakuhani na simbi bhimelela bhataka humaha gonti.
11 Herode na askari wake wakamdhihaki Yesu na kumfanyia mzaha. Wakamvika vazi zuri sana, wakamrudisha kwa Pilato.
Basi Herode wabhombo lema, pandwemo na sikali bhakwe, wasolanya na wakwalizye amenda amenza, esho wawezye hwa Pilato.
12 Siku hiyo, Herode na Pilato wakawa marafiki; kabla ya jambo hili walikuwa na uadui kati yao.
Basi isiku lila Herode na Pilato bhakonde ne abhe lafiki afwanaje epo ahwanda bhali bhavisenye bhebho hwe bhebho.
13 Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,
Na Pilato wabhatanya agosi wa makuhani na gosi na bhantu,
14 akawaambia, “Ninyi mlimleta huyu mtu kwangu kana kwamba ni mtu anayewachochea watu ili waasi. Nimemhoji mbele yenu nami nimeona hakuna msingi wowote wa mashtaka yenu dhidi yake.
Wabhola, “Mntu ono mletile hwiline nensheje atezyo abhantu nane enyaa, enamuye amambo gakwe hwitagalila lyenyu, ka sendilolile hwamwahale ikosa lyalyonti katika enongwa zya mtakile.
15 Wala Herode hakumwona na kosa lolote, ndiyo sababu amemrudisha kwetu. Kama mnavyoona, mtu huyu hakufanya jambo lolote linalostahili kifo.
Wala, hata o Herode, nkashile awezizye hwilite basi enyua, sagalilole enongwa yayonti lyabhombile lyali hwanziwa aje afwanje.
16 Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na kumwachia.” [
Esho basi embahuwelele nahumwalule.
17 Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
(Esho, Pilato yukazimisizye humwaulile ofungwa omo isiku elye esikulukulu).
18 Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie Baraba!”
Bhahwaga ibwago wonti pandwemo bhayanga, “Mwefwe ono, otuulile o Baraba!”
19 (Baraba alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa yametokea mjini, na kwa ajili ya uuaji.)
Wape mntu watagwelwe mwijele kwaji fitina efumile hwiboma, kwajili yengoga.
20 Pilato, akitaka kumwachia Yesu, akasema nao tena.
Basi Pilato wayanga nabho mala habhele hushila shanzaga humwaulile u Yesu.
21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”
Lelo bhabwaga ibwago, bhayanga, “Msulubishe, msulubishe.”
22 Kwa mara ya tatu, Pilato akawauliza, “Kwani amefanya kosa gani huyu mtu? Sikuona kwake sababu yoyote inayostahili adhabu ya kifo. Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi, na kisha nitamwachia.”
Wabhola emala eyatatu, afwane wele, ono abhombile mabhibhi wele, sendolile hwamwahale enongwa zyazihwanziwa aje afwe, basi nkashele na welela embahumwaile.”
23 Lakini watu wakazidi kupiga kelele kwa nguvu zaidi, wakidai kwamba Yesu asulubiwe. Hivyo, kelele zao zikashinda.
Lelo bhafumia amazu hunguvu zyonti, bhabhabha asulubiwe. Amazu gabho gamena.
24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
Pilato walonga aje gabhahwunza gubhombeshe.
25 Akamfungua yule mtu aliyekuwa amefungwa gerezani kwa kuhusika katika uasi dhidi ya serikali na mauaji. Akamkabidhi Yesu mikononi mwao, wamfanyie watakavyo.
Wamwaula ola yabhatajile mwisela kwajili eyefilina nu negoga, ola yabhamwanzaga wafumia o Yesu bhabhombele shabhahwanza.
26 Walipokuwa wakienda naye, wakamkamata mtu mmoja aitwaye Simoni mwenyeji wa Kirene, aliyekuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shambani. Wakambebesha msalaba, wakamlazimisha auchukue nyuma ya Yesu.
Nabhalai bhahusogotya, bhakhatu omntu omo, o Simoni Omkirene, ali afumile hugonda bhalweha ikhobhanyo aweje hwikhosi lyakwe u Yesu.
27 Idadi kubwa ya watu wakamfuata Yesu, wakiwamo wanawake waliokuwa wakimlilia na kumwombolezea.
Obungano ogosi owabhantu bhalondolela na bhashe bhabhali bhahikhoma evifubha na huzundelele.
28 Yesu akawageukia, akawaambia, “Enyi binti za Yerusalemu, msinililie mimi bali jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu.
U Yesu wabhagulushila wayanga amwe mwalendu abhahu Yerusalemu, msuhandilele ane, shwililasi enafsi zyenu na bhana bhenyu.
29 Kwa maana wakati utafika mtakaposema, ‘Wamebarikiwa wanawake tasa, ambao matumbo yao hayakuzaa, wala matiti yao hayakunyonyesha!’
Eshi, enyi ensiku zihwenze nabhayinga hafu bhabhuli bhagumba nufyanda vyao vyase vipapa na mabhelo ga segahwosya.
30 Ndipo “‘wataiambia milima, “Tuangukieni!” na vilima, “Tufunikeni!”’
Esho nabhayanda agabhozye amagamba tigweleli notugamba tigubekayi.
31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”
Afwanaje nkashile bhabhomba amambo ega hwikwi ilyoro, ebhabhe wele hwilyo?”
32 Watu wengine wawili wahalifu, walipelekwa pamoja na Yesu ili wakasulubiwe.
Bhatwala bhabhele abhamwabho abhe makasa bhabudwe pandwemo nuwo.
33 Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walipomsulubisha Yesu pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.
Nabhafishile pamopame papa kwiziwa Fuvu litwe, epo pasulubisizye omwahale panda wemo ba bhemakosa omo oupande owendelo omo opande omongo.
34 Yesu akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo zake kwa kupiga kura.
U Yesu waga, “Baba, ubhasajile afwanaje sebhemenge lyabhabhomba bhagabhanya amenda gakwe, bhakhoma ekora.
35 Watu wakasimama hapo wakimwangalia, nao viongozi wa Wayahudi wakamdhihaki wakisema, “Aliokoa wengine! Ajiokoe mwenyewe basi, kama yeye ndiye Kristo wa Mungu, Mteule wake.”
Abhantu bhemelela bhenye bhala agosi bhape bhabhombela ezalau, bhayanga, “Ahauye abhanje. Ahwiyu ule yoyo nkashile yu Klisiti owa Ngolobhe oteule wakwe.”
36 Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,
Bhala asikali bhape bhazalale bhabhalila nu huletele esiki,
37 na wakamwambia, “Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”
ohu bhayanga nkashile awe oli mwene owa yahudi, hwiyaule umwene”
38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi. Maandishi haya yalikuwa yameandikwa kwa lugha za Kiyunani, Kilatini na Kiebrania.
Pamwanya yakwe pali amandishi, “ONO NDIYO MWENE WA MWENE WAYAHUDI.”
39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Kristo? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”
Nomo owabhala owikosa yabhakhomeleye aujile, wayanga, “Eshi awe sagawe Klisiti? Hwiyaule enafsi yuho nute.”
40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake, akasema, “Je, wewe humwogopi Mungu, wakati uko kwenye adhabu iyo hiyo?
Lelo ula owabhele wagalula waidamila wayanga, “Awe sohwumwogopa hata Ongolobhe, nawe olimundongo zyezyo?
41 Sisi tumehukumiwa kwa haki kwa kuwa tunapata tunayostahili kwa ajili ya matendo yetu. Lakini huyu mtu hajafanya kosa lolote.”
Gape gelyoli hwaliti atee, afwanaje tipewa oshahara gwetu, gwaguhwanziwa humamba getu. Eshi ono sabhombile lyalyonti lyasaga ufaa.”
42 Kisha akasema, “Yesu, unikumbuke utakapokuja katika Ufalme wako.”
Basi wayanga, “Yesu, onizushe nawayinjila humwene waho.”
43 Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
U Yesu wabhola, “Eteha, ehubhola, sanyono eshi onzubha pandwemo nane Paradiso.”
44 Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa,
Epo yuli efishile esala eya saa sita, yabha nkisi juu ya pasi ponti hadi saa tisa,
45 kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
esanya lipongoshe okhozyo lwakwe, elyenda elye shibhanza lyazembuha paha.
46 Yesu akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.
U Yesu walila hwizu igosi, wayanga, “Baba makhono gaho, enjibheha eroho yane,” Na wamala ayanje ego wadumula eroho.
47 Yule jemadari alipoona yaliyotukia, akamsifu Mungu, akasema, “Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.”
Ula Oakida nuwalula gagafumie atukuzizye Ongolobhe, wayanga, “Lyoli omntu ono aliwelyoli.”
48 Watu wote waliokuwa wamekusanyika hapo kushuhudia tukio hili walipoyaona hayo, wakapigapiga vifua vyao kwa huzuni na kwenda zao.
Na mubungano gonti ega bhantu bhabhali bhabhungene ahwenye amambo ego nabhalolile gagabhombeshe bhabhala amwabho bhahwi khoma khoma evifubha.
49 Lakini wale wote waliomfahamu, pamoja na wale wanawake waliokuwa wamemfuata kutoka Galilaya, walisimama kwa mbali wakiyatazama mambo haya.
Nabhonti bhamanye nawo na bhala abhashe bhalongozenye nawo afume Hugalilaya, bhemelela sahutuli, bhahwenga amambo ego.
50 Basi kulikuwa na mtu mmoja mwema na mwenye haki, jina lake Yosefu. Yeye alikuwa mjumbe wa Baraza la Wayahudi,
Na enya wafumila omntu omo itawa lyakwe yo Yusufu, ambaye mntu wa hwikolo ti, omntu, omwinza owe lyoli,
51 lakini yeye hakuwa amekubaliana na maamuzi na vitendo vya viongozi wenzake. Huyu alikuwa mwenyeji wa Arimathaya huko Uyahudi, naye alikuwa anaungojea Ufalme wa Mungu kwa matarajio makubwa.
(Wala saga alyeteshe ishauli lyabho), wape mntu wa Armathaya, iboma elya yahudi, antele awenyelezya umwene owa Ngolobhe.
52 Yosefu alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
Omntu oyo abhalile huwa Pilato, ahanzaga apewa obele gwa Yesu.
53 Akaushusha kutoka msalabani, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi, na kuuweka katika kaburi lililochongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limezikiwa mtu mwingine bado.
Wagwisya wagubwenesya esanda yakitani waubhaha mwakaburi lyalibenwe paka pansi, lyelyali sabhe hwelwe omntu mhati yakwe.
54 Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.
Na isiku lila lyali lisiku elye mandalizi, elyatoye lyanda ahwinjile.
55 Wale wanawake waliokuwa wamekuja pamoja na Yesu wakimfuata kutoka Galilaya wakamfuata Yosefu, wakaliona kaburi na jinsi mwili wa Yesu ulivyolazwa.
Nabhala abhashe, bhahenzele nawo afume Hugalilaya bhalondoleye, bhayilola inkongwa na bele gwakwe sagwabhehwelwe.
56 Kisha wakarudi nyumbani, wakaandaa manukato na marhamu ya kuupaka huo mwili. Lakini wakapumzika siku ya Sabato kama ilivyoamriwa.
Bhawela bhabhomba tayali anukato na marashi. Ni siku elyatoye bhamile neshi shabhamuye.

< Luka 23 >