< Luka 23 >

1 Kisha umati wote wa watu ukainuka na kumpeleka Yesu kwa Pilato.
and to arise all the/this/who multitude it/s/he (to bring *N(k)O*) it/s/he upon/to/against the/this/who Pilate
2 Nao wakaanza kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.”
be first then to accuse it/s/he to say this/he/she/it to find/meet to pervert the/this/who Gentiles (me *NO*) and to prevent tax Caesar to give (and *no*) to say themself Christ king to exist
3 Basi Pilato akamuuliza Yesu, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe wasema.”
the/this/who then Pilate (to ask *N(k)O*) it/s/he to say you to be the/this/who king the/this/who Jew the/this/who then to answer it/s/he to assert you to say
4 Pilato akawaambia viongozi wa makuhani na watu wote waliokuwepo, “Sioni sababu ya kutosha kumshtaki mtu huyu!”
the/this/who then Pilate to say to/with the/this/who high-priest and the/this/who crowd none to find/meet causer in/on/among the/this/who a human this/he/she/it
5 Lakini wao wakakazana kusema, “Anawachochea watu kwa mafundisho yake katika Uyahudi yote, tangu Galilaya alikoanzia, hadi sehemu hii!”
the/this/who then to insist to say that/since: that to incite the/this/who a people to teach according to all the/this/who Judea (and *no*) be first away from the/this/who Galilee until here
6 Pilato aliposikia hayo akauliza, “Huyu mtu ni Mgalilaya?”
Pilate then to hear (Galilee *KO*) to question if the/this/who a human Galilean to be
7 Alipofahamu kwamba Yesu alikuwa chini ya mamlaka ya Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa pia Yerusalemu.
and to come to know that/since: that out from the/this/who authority Herod to be to send back it/s/he to/with (the/this/who *o*) Herod to be and it/s/he in/on/among Jerusalem in/on/among this/he/she/it the/this/who day
8 Herode alipomwona Yesu alifurahi sana, kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amesikia mambo mengi kumhusu yeye. Pia alitarajia kumwona akifanya miujiza kadha wa kadha.
the/this/who then Herod to perceive: see the/this/who Jesus to rejoice greatly to be for out from (sufficient *N(k)O*) time to will/desire to perceive: see it/s/he through/because of the/this/who to hear (much *K*) about it/s/he and to hope/expect one sign to perceive: see by/under: by it/s/he to be
9 Herode akamuuliza maswali mengi, lakini Yesu hakumjibu lolote.
to question then it/s/he in/on/among word sufficient it/s/he then none to answer it/s/he
10 Wakati huo viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwepo wakitoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
to stand then the/this/who high-priest and the/this/who scribe vehemently to accuse it/s/he
11 Herode na askari wake wakamdhihaki Yesu na kumfanyia mzaha. Wakamvika vazi zuri sana, wakamrudisha kwa Pilato.
to reject then it/s/he (and *no*) the/this/who Herod with the/this/who troops it/s/he and to mock to clothe (it/s/he *ko*) clothing shining to send back it/s/he the/this/who Pilate
12 Siku hiyo, Herode na Pilato wakawa marafiki; kabla ya jambo hili walikuwa na uadui kati yao.
to be then friendly/friend the/this/who and/both Herod and the/this/who Pilate in/on/among it/s/he the/this/who day with/after one another be formerly for in/on/among hostility to be to/with (it/s/he *N(k)(o)*)
13 Basi Pilato akawaita pamoja viongozi wa makuhani, viongozi wengine na watu,
Pilate then to call together the/this/who high-priest and the/this/who ruler and the/this/who a people
14 akawaambia, “Ninyi mlimleta huyu mtu kwangu kana kwamba ni mtu anayewachochea watu ili waasi. Nimemhoji mbele yenu nami nimeona hakuna msingi wowote wa mashtaka yenu dhidi yake.
to say to/with it/s/he to bring to me the/this/who a human this/he/she/it as/when to turn away the/this/who a people and look! I/we before you to investigate none to find/meet in/on/among the/this/who a human this/he/she/it causer which to accuse according to it/s/he
15 Wala Herode hakumwona na kosa lolote, ndiyo sababu amemrudisha kwetu. Kama mnavyoona, mtu huyu hakufanya jambo lolote linalostahili kifo.
but nor Herod (to send back *N(K)O*) for it/s/he to/with (me *N(K)O*) and look! none worthy death to be to do/require it/s/he
16 Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na kumwachia.” [
to instruct therefore/then it/s/he to release: release
17 Kwa kuwa ilikuwa lazima kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa Sikukuu.]
(necessity *KO*) (then to have/be to release: release it/s/he according to festival one *K*)
18 Ndipo watu wote wakapiga kelele kwa pamoja, “Mwondoe mtu huyo! Tufungulie Baraba!”
(to yell *N(k)O*) then together to say to take up this/he/she/it to release: release then me the/this/who Barabbas
19 (Baraba alikuwa amefungwa gerezani kwa sababu ya maasi yaliyokuwa yametokea mjini, na kwa ajili ya uuaji.)
who/which to be through/because of uprising one to be in/on/among the/this/who city and murder (to throw: throw in/on/among *N(k)O*) (the/this/who *no*) (prison/watch: prison *N(k)O*)
20 Pilato, akitaka kumwachia Yesu, akasema nao tena.
again (then *N(k)O*) the/this/who Pilate to call to/summon it/s/he to will/desire to release: release the/this/who Jesus
21 Lakini wao wakaendelea kupiga kelele wakisema, “Msulubishe! Msulubishe!”
the/this/who then to shout to say (to crucify to crucify *N(k)O*) it/s/he
22 Kwa mara ya tatu, Pilato akawauliza, “Kwani amefanya kosa gani huyu mtu? Sikuona kwake sababu yoyote inayostahili adhabu ya kifo. Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi, na kisha nitamwachia.”
the/this/who then third to say to/with it/s/he which? for evil/harm: evil to do/make: do this/he/she/it none causer death to find/meet in/on/among it/s/he to instruct therefore/then it/s/he to release: release
23 Lakini watu wakazidi kupiga kelele kwa nguvu zaidi, wakidai kwamba Yesu asulubiwe. Hivyo, kelele zao zikashinda.
the/this/who then to lay on voice/sound: voice great to ask it/s/he to crucify and to prevail the/this/who voice/sound: voice it/s/he (and the/this/who high-priest *KO*)
24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe.
(the/this/who *k*) (and *N(k)O*) Pilate to decide to be the/this/who request it/s/he
25 Akamfungua yule mtu aliyekuwa amefungwa gerezani kwa kuhusika katika uasi dhidi ya serikali na mauaji. Akamkabidhi Yesu mikononi mwao, wamfanyie watakavyo.
to release: release then (it/s/he *k*) the/this/who through/because of uprising and murder to throw: throw toward (the/this/who *k*) prison/watch: prison which to ask the/this/who then Jesus to deliver the/this/who will/desire it/s/he
26 Walipokuwa wakienda naye, wakamkamata mtu mmoja aitwaye Simoni mwenyeji wa Kirene, aliyekuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shambani. Wakambebesha msalaba, wakamlazimisha auchukue nyuma ya Yesu.
and as/when to lead away it/s/he to catch (Simon one Cyrene *N(k)O*) (the/this/who *k*) (to come/go *N(k)O*) away from field to put/lay on it/s/he the/this/who cross to bear/lead after the/this/who Jesus
27 Idadi kubwa ya watu wakamfuata Yesu, wakiwamo wanawake waliokuwa wakimlilia na kumwombolezea.
to follow then it/s/he much multitude the/this/who a people and woman which (and *k*) to cut/mourn and to lament it/s/he
28 Yesu akawageukia, akawaambia, “Enyi binti za Yerusalemu, msinililie mimi bali jililieni ninyi wenyewe na watoto wenu.
to turn then to/with it/s/he the/this/who Jesus to say daughter Jerusalem not to weep upon/to/against I/we but/however upon/to/against themself to weep and upon/to/against the/this/who child you
29 Kwa maana wakati utafika mtakaposema, ‘Wamebarikiwa wanawake tasa, ambao matumbo yao hayakuzaa, wala matiti yao hayakunyonyesha!’
that/since: since look! to come/go day in/on/among which to say blessed the/this/who barren and (the/this/who *no*) belly/womb/stomach which no to beget and breast which no (to feed *N(k)O*)
30 Ndipo “‘wataiambia milima, “Tuangukieni!” na vilima, “Tufunikeni!”’
then be first to say the/this/who mountain to collapse upon/to/against me and the/this/who hill to cover me
31 Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”
that/since: since if in/on/among the/this/who moist/green wood this/he/she/it to do/make: do in/on/among the/this/who dried up/withered which? to be
32 Watu wengine wawili wahalifu, walipelekwa pamoja na Yesu ili wakasulubiwe.
to bring then and other criminal two with it/s/he to kill
33 Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walipomsulubisha Yesu pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.
and when (to come/go *N(k)O*) upon/to/against the/this/who place the/this/who to call: call Skull there to crucify it/s/he and the/this/who criminal which on the other hand out from right which then out from left
34 Yesu akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo zake kwa kupiga kura.
the/this/who then Jesus to say father to release: forgive it/s/he no for to know which? to do/make: do to divide then the/this/who clothing it/s/he to throw: throw (lot *NK(o)*)
35 Watu wakasimama hapo wakimwangalia, nao viongozi wa Wayahudi wakamdhihaki wakisema, “Aliokoa wengine! Ajiokoe mwenyewe basi, kama yeye ndiye Kristo wa Mungu, Mteule wake.”
and to stand the/this/who a people to see/experience to ridicule then and the/this/who ruler (with it/s/he *k*) to say another to save to save themself if this/he/she/it to be the/this/who Christ (the/this/who *ko*) the/this/who God (the/this/who *no*) select
36 Askari nao wakaja, wakamdhihaki. Wakamletea siki ili anywe,
(to mock *N(k)O*) then it/s/he and the/this/who soldier to come near/agree (and *k*) vinegar to bring to it/s/he
37 na wakamwambia, “Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi, jiokoe mwenyewe.”
and to say if you to be the/this/who king the/this/who Jew to save you
38 Kwenye msalaba juu ya kichwa chake, kulikuwa na maandishi haya: Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi. Maandishi haya yalikuwa yameandikwa kwa lugha za Kiyunani, Kilatini na Kiebrania.
to be then and inscription (to write *K(o)*) upon/to/against it/s/he (something written Greek and Latin and Hebrew to be *K*) the/this/who king the/this/who Jew this/he/she/it
39 Mmoja wa wale wahalifu waliosulubiwa pamoja naye akamtukana, akasema: “Wewe si ndiye Kristo? Jiokoe mwenyewe na utuokoe na sisi.”
one then the/this/who to hang criminal to blaspheme it/s/he to say (not! *N(K)O*) you to be the/this/who Christ to save you and me
40 Lakini yule mhalifu mwingine akamkemea mwenzake, akasema, “Je, wewe humwogopi Mungu, wakati uko kwenye adhabu iyo hiyo?
to answer then the/this/who other (to rebuke *N(k)O*) it/s/he (to assert *N(k)O*) nor to fear you the/this/who God that/since: since in/on/among the/this/who it/s/he judgment to be
41 Sisi tumehukumiwa kwa haki kwa kuwa tunapata tunayostahili kwa ajili ya matendo yetu. Lakini huyu mtu hajafanya kosa lolote.”
and me on the other hand rightly worthy for which to do/require to get back this/he/she/it then none wrong to do/require
42 Kisha akasema, “Yesu, unikumbuke utakapokuja katika Ufalme wako.”
and to say (the/this/who *k*) Jesus to remember me (lord: God *K*) when(-ever) to come/go (toward *N(k)O*) (the/this/who kingdom *NK(o)*) you
43 Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
and to say it/s/he (the/this/who Jesus *ko*) amen you to say today with/after I/we to be in/on/among the/this/who paradise
44 Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa,
(and *no*) to be (then *k*) (already *no*) like/as/about hour sixth and darkness to be upon/to/against all the/this/who earth: country until hour ninth (hour)
45 kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
(and *ko*) (the/this/who sun to fail *N(k)O*) (and *ko*) to split (then *no*) the/this/who curtain the/this/who temple midst
46 Yesu akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.
and to call voice/sound: voice great the/this/who Jesus to say father toward hand you (to set before *N(k)O*) the/this/who spirit/breath: spirit me (this/he/she/it then *N(k)O*) to say to expire
47 Yule jemadari alipoona yaliyotukia, akamsifu Mungu, akasema, “Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.”
to perceive: see then the/this/who centurion the/this/who to be (to glorify *N(k)O*) the/this/who God to say really the/this/who a human this/he/she/it just to be
48 Watu wote waliokuwa wamekusanyika hapo kushuhudia tukio hili walipoyaona hayo, wakapigapiga vifua vyao kwa huzuni na kwenda zao.
and all the/this/who to assemble crowd upon/to/against the/this/who sight this/he/she/it (to see/experience *N(k)O*) the/this/who to be to strike (themself *k*) the/this/who chest to return
49 Lakini wale wote waliomfahamu, pamoja na wale wanawake waliokuwa wamemfuata kutoka Galilaya, walisimama kwa mbali wakiyatazama mambo haya.
to stand then all the/this/who acquainted with (it/s/he *N(k)O*) (away from *no*) from afar and woman the/this/who (to accompany *N(k)O*) it/s/he away from the/this/who Galilee to see: see this/he/she/it
50 Basi kulikuwa na mtu mmoja mwema na mwenye haki, jina lake Yosefu. Yeye alikuwa mjumbe wa Baraza la Wayahudi,
and look! man name Joseph member of a council be already (and *n*) man good and just
51 lakini yeye hakuwa amekubaliana na maamuzi na vitendo vya viongozi wenzake. Huyu alikuwa mwenyeji wa Arimathaya huko Uyahudi, naye alikuwa anaungojea Ufalme wa Mungu kwa matarajio makubwa.
this/he/she/it no to be to consent the/this/who plan and the/this/who action it/s/he away from Arimathea city the/this/who Jew which (and *k*) to wait for/welcome (and it/s/he *k*) the/this/who kingdom the/this/who God
52 Yosefu alikwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
this/he/she/it to come near/agree the/this/who Pilate to ask the/this/who body the/this/who Jesus
53 Akaushusha kutoka msalabani, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi, na kuuweka katika kaburi lililochongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limezikiwa mtu mwingine bado.
and to take down (it/s/he *k*) to wrap up it/s/he linen and to place (it/s/he *N(k)O*) in/on/among tomb engraved whither no to be none (not yet *N(k)O*) to lay/be appointed
54 Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.
and day to be (Preparation *NK(o)*) and Sabbath to dawn
55 Wale wanawake waliokuwa wamekuja pamoja na Yesu wakimfuata kutoka Galilaya wakamfuata Yosefu, wakaliona kaburi na jinsi mwili wa Yesu ulivyolazwa.
to follow then (and *k*) (the/this/who *no*) woman who/which to be to assemble out from the/this/who Galilee it/s/he to look at the/this/who grave and as/when to place the/this/who body it/s/he
56 Kisha wakarudi nyumbani, wakaandaa manukato na marhamu ya kuupaka huo mwili. Lakini wakapumzika siku ya Sabato kama ilivyoamriwa.
to return then to make ready spices and ointment and the/this/who on the other hand Sabbath be quiet/give up according to the/this/who commandment

< Luka 23 >