< Luka 22 >
1 Wakati huu Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa imekaribia.
Hanchu, cholboi vâipôl ruolhoi, Kalkânkût ruolhoi an iti hah anâi zoia.
2 Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikuwa wanatafuta njia ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu.
Ochaisingei le Balam minchupungeiin mipui an chi sikin inrûka Jisua that rang lam an roka.
3 Shetani akamwingia Yuda, aliyeitwa Iskariote, mmoja wa wale Kumi na Wawili.
Ruoisi sômleinik ngei lâia Judas Iscariot an iti ngâi sûnga Soitan a lûta.
4 Yuda akaenda kwa viongozi wa makuhani na kwa maafisa wa walinzi wa Hekalu, akazungumza nao jinsi ambavyo angeweza kumsaliti Yesu.
Hanchu Ochaisingei le Inkhomin ulienngei kôm a sea, Jisua an sûr theina rang lam a vân kerengpuia.
5 Wakafurahi na wakakubaliana kumpa fedha.
Anni han an râisân oka, sum pêk rangin an inkhâma.
6 Naye akakubali, akaanza kutafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Yesu kwao, wakati ambapo hakuna umati wa watu.
Hanchu, Judas a nuoma, mipui riet loi kâra minsûr rang chuminrên a rok zoi.
7 Basi ikawadia siku ya Mikate Isiyotiwa Chachu, siku ambayo mwana-kondoo wa Pasaka huchinjwa.
Hanchu, cholboivâipôl ruolhoi, Kalkân kût khalâiot, belrite that rang ni a hong tunga.
8 Hivyo Yesu akawatuma Petro na Yohana, akisema, “Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuweze kuila.”
Jisua'n hi chong minchôiin Peter le John a tîra. “Se ungla eini sâk rang Kalkân kût va minsûk roi,” a tia
9 Wakamuuliza, “Unataka tukuandalie wapi?”
Hanchu a kôma, “Khonmo kin minsûk rang?” an tia.
10 Yesu akawaambia, “Tazameni, mtakapokuwa mkiingia mjini, mtakutana na mwanaume amebeba mtungi wa maji. Mfuateni mpaka kwenye nyumba atakayoingia.
An kôma, “khopuilien nin lût lehan, mi inkhat bêla tui chôi tong nin ta, a lûtna ina jûipat roi.
11 Nanyi mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anauliza: Kiko wapi chumba cha wageni, ambamo mimi na wanafunzi wangu tutakula Pasaka?’
Hanchu, in pumapa kôma, ‘Minchupu'n ku ruoisingei leh Kalkân kût kin sâkna rang khâltan khonmo a ti?’ ti roi.
12 Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, kikiwa kimepambwa vizuri. Andaeni humo.”
Hanchu, chunginchuon khâltan inzar tak, neinun nâm omsai, nangni min mûng a ta, mahan minsûk roi,” a tipe ngeia.
13 Wakaenda, nao wakakuta kila kitu kama Yesu alivyowaambia. Hivyo wakaiandaa Pasaka.
Hanchu an sea, Pumapa'n an kôma a ti lam angin jâtinrêng an mua, mahan kalkân kût an mintuo zoi ani.
14 Wakati ulipowadia, Yesu akaketi mezani pamoja na wale mitume wake.
Hanchu, asâk zora ahong nîn chu a tîrton sômleinik ngei leh khalâi a ota.
15 Kisha akawaambia, “Nimetamani sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu.
An kôma, “Ku tuong mân, hi Kalkân kût hih nangni sâkpui rang ku nuom sabak ani.
16 Kwa maana, nawaambia, sitaila tena Pasaka mpaka itakapotimizwa katika Ufalme wa Mungu.”
Nangni ki ril, Pathien Rêngrama a tatakin ani mâka chu sâk khâi no ning,” a tia.
17 Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.
Male, kilât a lâka, Pathien kôma râisânchong a ril zoiin chu an kôma, “Hihi lâk ungla buong roi.
18 Kwa maana nawaambia tangu sasa sitakunywa tena katika uzao wa mzabibu, hadi Ufalme wa Mungu utakapokuja.”
Nangni ki ril, Pathien Rêngram a juong tung mâka chu hi uain hih buong khâi no ning,” a tipe ngeia.
19 Kisha akachukua mkate, akashukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.”
Male, vâipôl a lâka, Pathien kôma râisânchong a ril zoiin chu a khoia, a pêk ngeia an kôma, “Hihi ka taksa, ninta ranga ipêk ani. Mi nin riettitna rangin tho ngâi roi” a tia.
20 Vivyo hivyo baada ya kula, akakitwaa kikombe, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, imwagikayo kwa ajili yenu.
Ha angin, an sâk zoiin chu, kilât a lâka, “Hi kilât hih Pathien chongtung thar ki thisena sînthona, ninta ranga bun suok ani,” a tipe ngeia.
21 Lakini mkono wake huyo atakayenisaliti uko hapa mezani pamoja nami.
Hannisenla, en ta u, ni minsûr rangpu chu ka khalâi otpuipu hih ani.
22 Mwana wa Adamu anaenda zake kama ilivyokusudiwa. Lakini ole wake mtu huyo amsalitiye.”
Pathien mintuo anghan, Miriem Nâipasal chu thîng a tih, ania, a minsûrpu chung chu ântak bah na!
23 Wakaanza kuulizana wenyewe ni nani miongoni mwao angeweza kufanya jambo hilo.
Hanchu an lâia tutakin mo, ma anga tho rang ai ni rang ani zoi? tiin an inrekel inlôma.
24 Pia yakazuka mabishano katikati ya wanafunzi kwamba ni nani aliyeonekana kuwa mkuu kuliko wote miongoni mwao.
Hanchu, ruoisingei lâia a tutak mo alientaka be rang tiin inkhalna a oma.
25 Yesu akawaambia, “Wafalme na watu wa Mataifa huwatawala watu kwa nguvu. Nao wenye mamlaka juu yao hujiita ‘Wafadhili.’
Jisua'n an kôma, “Jentail rêngngei chu an mingei chunga racham an neia, racham a nei ngei chu ‘mipui ngei mal’ an ti ngâia.
26 Lakini ninyi msifanane nao. Bali yeye aliye mkuu kuliko wote miongoni mwenu, inampasa kuwa kama yeye aliye mdogo wa wote, naye atawalaye na awe kama yeye ahudumuye.
Ania, nangni chu ha anghan nino tunui, nin lâia alientak chu nâipang uolin om senla, ruoipu rang chu tîrlâm angin om rese.
27 Kwani ni nani aliye mkuu? Ni yule aketiye mezani au ni yule ahudumuye? Si ni yule aliyekaa mezani? Lakini mimi niko miongoni mwenu kama yule ahudumuye.
Tumo alien uol, bu nêk ranga insungpu mo, bukhalâi dôpu mo? Bu nêkpu nîng a tih. Ania, kei chu nin lâia tîrlâm angin ko oma.”
28 Ninyi mmekuwa pamoja nami katika majaribu yangu.
“Huong ranga methêmna ko tong kâra ni ompui ngei nin ni.
29 Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,
Ka Pa'n racham ni pêk anghan, racham nangni pêk ki tih.
30 ili mpate kula na kunywa mezani pangu katika karamu ya ufalme wangu, na kukaa katika viti vya enzi, mkihukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.”
Ke Rêngrama ko dosânga sâk nan ta, nêk nan ta, Rêngsukmuna insungin Isreal jât sômleinik ngei chunga roijêk nin tih.”
31 Yesu akasema, “Simoni, Simoni, sikiliza, Shetani ameomba kuwapepeta ninyi wote kama ngano.
“Simon, Simon, rangâi ta! Butak le arishi an jâp ngâi anga nangni minsîna asa le sie nangni kidik rangin Soitanin phalna a man zoi.
32 Lakini nimekuombea wewe Simoni ili imani yako isishindwe, nawe ukiisha kunirudia, uwaimarishe ndugu zako.”
Hannisenla, na taksônna ânsam loina rangin nangni ku chubai pe, ki tieng ni kîr tikin na lâibungngei ni mindet rang ani,” a tia.
33 Petro akajibu, “Bwana, niko tayari kwenda pamoja nawe gerezani na hata kifoni.”
Peter'n a thuona, “Pumapa, no kôma intâng ina intâng rang le athi rang khomin kên phal,” a tia.
34 Yesu akamjibu, “Ninakuambia Petro, kabla jogoo hajawika usiku wa leo, utakana mara tatu kwamba hunijui mimi.”
Jisua'n, “Peter, nang ki ril, avienjân hin, voithum riet ngâi mu-ung ni ti mâka chu âr khuong no nih,” a tipea.
35 Kisha Yesu akawauliza, “Nilipowatuma bila mfuko, wala mkoba, wala viatu, mlipungukiwa na kitu chochote?” Wakajibu, “La, hatukupungukiwa na kitu chochote.”
Hanchu, Jisua'n an kôma, “Sumkok, choli, kekok, boia nangni ki tîr lâia han imo nin insama?” tiin a rekela, “Ite insam mak me” an tia.
36 Akawaambia, “Lakini sasa, aliye na mfuko na auchukue, na aliye na mkoba vivyo hivyo. Naye asiye na upanga, auze joho lake anunue mmoja.
Jisua'n atûn chu, sumkok, choli, anei khomin chôi ta roi, khandai nei loi khomin a kâncholi zuor senla rochôk rese.
37 Kwa sababu, nawaambia, andiko hili lazima litimizwe juu yangu, kwamba, ‘Alihesabiwa pamoja na wakosaji’; kwa kweli yaliyoandikwa kunihusu mimi hayana budi kutimizwa.”
Nangni ki ril, Lekhabu'n, “Ama chu mi nunsiengei lâia telsa ani zoi” itia ku chung roi miziek hah, ku chunga ai tung indik rang ani.
38 Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”
Ruoisingeiin a kôma, “Pumapa, en ta, hin khandai inik a om” an tia. Ahun a tipe ngeia.
39 Yesu akatoka, akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata.
Hanchu, a tho ngâi lam angin, khopuilien a mâka, Olive muola a sea, ruoisingei khomin an jûia.
40 Walipofika huko, akawaambia wanafunzi wake, “Ombeni, msije mkaingia majaribuni.”
Amun an tungin chu an kôma, “Huongna nin lût loina rangin chubai roi” a tipe ngeia.
41 Akajitenga nao kama umbali wa kutupa jiwe, akapiga magoti, akaomba
Hanchu, an kôm renga lunga dêngphâkna tena a vân thîna, khûkinbilin chubai a thoa.
42 akisema, “Baba, kama ni mapenzi yako, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nipendavyo, bali mapenzi yako yatendeke.”
“O Pa, nu nuomin chu hi dengtheina kilât hih ko kôm renga khâi roh. Nikhomrese, keima racham ni loiin, na racham tak ni rese” a tia.
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
Hanchu, vântîrton invân renga a kôma a juong inlâra, râtna a juong pêka.
44 Naye akiwa katika maumivu makuu, akaomba kwa bidii, nalo jasho lake likawa kama matone ya damu yakidondoka ardhini.
Ngâisiet inrikin, ningsiet uolin a chubaia, a rathan khom thisen angin pila a masara.
45 Baada ya kuomba, akawarudia wanafunzi wake akawakuta wamelala, wakiwa wamechoka kutokana na huzuni.
Hanchu, chubai thona renga inthoiin ruoisingei kôma a sea, sabeidonga a inin a va mu ngeia.
46 Naye akawauliza, “Mbona mmelala? Amkeni, mwombe ili msije mkaingia majaribuni.”
An kôma, “Ithomo nin in? Inthoi ungla, huongna nin tâk loina rangin chubai roi,” a tipe ngeia.
47 Yesu alipokuwa bado anazungumza, umati mkubwa wa watu ukaja. Uliongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili. Akamkaribia Yesu ili ambusu.
Jisua a la chong lâiin ruoisi sômleinik ngei lâia Judas hong tuong mipui an hong tunga, Jisua tum rangin a kôma a honga.
48 Lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
Jisua'n a kôma, “Judas, Miriem Nâipasal hi atumin minsûr rang ni ti mo?” a tia.
49 Wafuasi wa Yesu walipoona yale yaliyokuwa yanakaribia kutokea, wakasema, “Bwana, tuwakatekate kwa panga zetu?”
Hanchu, a kôma ruoisi om ngei han, neinun omtie an mûn chu a kôma, “Pumapa, kin khandai mang ni ung mo?” tiin an rekela.
50 Mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa upanga, akamkata sikio la kuume.
Hanchu an lâia inkhatin Ochai Inlaltak tîrlâm a chang tienga kuor a leng pea.
51 Lakini Yesu akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.
Ania, Jisua'n “Ahun zoi” a tia. Ha mi kuor hah a tôna a mindam pe zoi.
52 Kisha Yesu akawaambia wale viongozi wa makuhani, maafisa wa walinzi wa Hekalu, pamoja na wazee waliokuwa wamekuja kumkamata, “Mmekuja na panga na marungu, kana kwamba mimi ni mnyangʼanyi?
Hanchu, a kôma hong Ochaisingei, Biekin ulienngei, upangei, a sûr ranga hong ngei kôma Jisua'n, “Khandaingei, tôkmolngei ichôiin, puoloi sûr rang leh in-ang bangin nin hong na?
53 Siku kwa siku nilikuwa pamoja nanyi Hekaluni lakini hamkunikamata. Lakini hii ni saa yenu, wakati giza linatawala!”
Nîngtin Biekina nin kôm ko oma, ni sûr rang ti mak cheia. Ania, ijîng rachamneinân roi ajêk lâi hih nin sin tho zora ani,” a tipe ngeia.
54 Kisha wakamkamata Yesu, wakamchukua, wakaenda naye mpaka nyumbani kwa kuhani mkuu. Lakini Petro akafuata kwa mbali.
Hanchu, Jisua an sûra, Ochai Inlaltak ina an tuonga, Peter'n alazanin a jûia.
55 Walipokwisha kuwasha moto katikati ya ua na kuketi pamoja, Petro naye akaketi pamoja nao.
In khalâidung alâitak han mei an thoa, mei rihila insungruma mei uot ngei lâia han Peter khom a vân sunga.
56 Mtumishi mmoja wa kike akamwona kwa mwanga wa moto akiwa ameketi pale. Akamtazama sana, akasema, “Huyu mtu pia alikuwa pamoja na Yesu!”
Nupang tîrlâm inkhatin mei kunga ânsung a mua, a mitjuoka, “Hi mi khom hih Jisua kôma om ngâi mi ani,” a tia
57 Lakini Petro akakana, akasema, “Ewe mwanamke, hata simjui!”
Peter'n, “Nupang, ama hah riet luo riet ngâi mu-ung” tiin a minlêma.
58 Baadaye kidogo, mtu mwingine alimwona Petro akasema, “Wewe pia ni mmoja wao!” Petro akajibu, “Wewe mtu, mimi sio mmoja wao!”
Anangkan uola chu mi inkhatin Peter kôma, “Nang khom an lâia mi ni ni” a tia. Peter'n, “Miriem, kei chu ni mu-ung” tiin a thuona.
59 Baada ya muda wa kama saa moja hivi, mtu mwingine akazidi kusisitiza, “Kwa hakika huyu mtu naye alikuwa pamoja na Yesu, kwa maana yeye pia ni Mgalilaya.”
Hanchu dârkârkhat suole chu midangin, “Ite okchâna boi riekin hi mi khom hih Jisua kôma om ngâi ani, Galilee mi ani sikin” ati ngita.
60 Petro akajibu, “Wewe mtu, mimi sijui unalosema!” Wakati huo huo, akiwa bado anazungumza, jogoo akawika.
Ania Peter'n, “Miriempa, ni ti ngei hah riet mu-ung” tiin a thuona. Harenghan a la chong lâi takin âr akhuong zoia.
61 Naye Bwana akageuka, akamtazama Petro. Ndipo Petro akakumbuka lile neno ambalo Bwana alimwambia: “Kabla jogoo hajawika leo, utanikana mara tatu.”
Hanchu Pumapa hah ânheia, Peter a en ngita. Hanchu, Peter'n Pumapa'n a kôma, “Avien jân âr akhuong mân voithum ni ipdel ni tih,” ai tipe hah a rietsuoka.
62 Naye akaenda nje, akalia kwa majonzi.
Hanchu, Peter a jôkpaia, a chap ngungui zoi.
63 Watu waliokuwa wanamlinda Yesu wakaanza kumdhihaki na kumpiga.
Hanchu, a sûrngei han Jisua tusiem thonân an manga, an jêma.
64 Wakamfunga kitambaa machoni na kumuuliza, “Tabiri! Tuambie ni nani aliyekupiga?”
A mâi an hîp pea, “Ti roh, tumo nang a jêm?” tiin an rekela.
65 Wakaendelea kumtukana kwa matusi mengi.
A chunga demna chong tamtak an thoa.
66 Kulipopambazuka, baraza la wazee wa watu, yaani viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, wakakutana pamoja, naye Yesu akaletwa mbele yao.
Hanchu, khuo avâr lehan, upangei, Ochaisingei, Balam minchupungei an intûpa, an roijêkna Jisua an hong tuonga,
67 Wakamwambia, “Kama wewe ndiye Kristo, tuambie.” Yesu akawajibu, “Hata nikiwaambia hamtaamini.
a kôma, “Ni ril roh, Messiah nini mo?” an tia. Jisua'n, “Nangni ril khom inlang iem no tunui,” tiin a thuona.
68 Nami nikiwauliza swali, hamtanijibu.
“Chong nangni rekel khom inlang ni thuon no tunui.
69 Lakini kuanzia sasa, Mwana wa Adamu ataketi mkono wa kuume wa Mungu Mwenye Nguvu.”
Ania, atûn renga Miriem Nâipasal hih Râtinchung Pathien chang tieng insung a tih zoi” a tia.
70 Wote wakauliza, “Wewe basi ndiwe Mwana wa Mungu?” Yeye akawajibu, “Ninyi mwasema kwamba mimi ndiye.”
An rêngin, “Nônte Pathien Nâipasal mo na ni,” an tia. An kôma, “Ani mi nin ti zoi hate” tiin a thuona.
71 Kisha wakasema, “Tuna haja gani tena ya ushahidi zaidi? Tumesikia wenyewe kutoka kinywani mwake.”
Hanchu, “Ite rietpuipu dang nâng khâi mak me, eini rengin a ti ei riet zoi,” an tia.