< Luka 21 >

1 Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu.
Yesu walalangishisha, walabona bantu babile kababika bipo byabo mucakubikamo bipo byamali mu Ng'anda ya Lesa.
2 Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba.
Walabona mutukashi mukalubingi kabikamo tumali tubili.
3 Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.
Lino Yesu walambeti, “Ndamwambilinga cakubinga uyu mukalubingi wapenga labikimo bupe bwapitapo bambi bonse.
4 Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
Pakwinga bonse aba, balafunyu pa mali angi ngobakute, nsombi neye mubupenshi bwakendi labikimo mali onse ngakutenga mung'anda yakendi.”
5 Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia,
Beshikwiya nabambi bali kabamba pamakani a Ng'anda ya Lesa eti balaibaka ne mabwe eshikuboneka cena, kayi nebipo byakutwala kuli Lesa. Lino Yesu walambeti,
6 “Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
“Ibi byonse mbyomulabononga, nicikashike cindi mpoti kukabule libwe nambi limo lyeti likashale palibwe linendi, mabwe onse nakamwayaulwe.”
7 Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”
Lino beshikwiya balepusha Yesu eti, “Bashikwiyisha, nomba ibi nibikenshike lilyoni? Kayi nitukenshibile kucani eti bintu byonse ibi bili pepi kwinshika?”
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate.
Yesu walambeti, “Kamucenjelani kwambeti kutakaba muntu naba umo eti akamubepe. Pakwinga bantu bangi balakesanga mulina lyakame kabambeti, ‘Njame Mupulushi usa Walaiwa.’ Kayi eti, ‘cindi cilashiki.’ Mutakabakonkela.
9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”
Mwakanyumfwa makani a nkondo kayi nebimfulunganya mubishi, mutakatina. Ibi bintu byelela kutanguna kwinshika, nomba nteko kwambeti mapwililisho a cishi alashiki.”
10 Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Lino Yesu walapitilisha kubambileti, “Bishi nibikalwane ne bishi nabimbi, nayoyo mishobo nikabukilane ne mishobo inabo.
11 Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
Nikukabe mikukumo iyosha. Nikukabe nsala, malwashi ne lulanga mumisena yapusana pusana. Nikukenshike bintu byeshikuyosha nebingashilo byeshikukankamanisha kwilu.
12 “Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu.
“Nsombi byonse ibi kabitana binshika, nimukasungwe nekupenshewa. Nimukatwalwe mumanda akupaililamo, nimukabetekwe nekubikwa mujele. Nimukatwalwe ku bami ne baleli pacebo ca njame.
13 Hii itawapa nafasi ya kushuhudia.
Ici nicikabe cindi caina ca kukambauka Mulumbe Waina.
14 Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka.
Lino mutakasukama mumyoyo kuyeyeti nitwambe cani pamulanduyu.
15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.
Pakwinga ninkamupe maswi a mano cakwambeti kuliya mulwani wenu eti akacikonshe kukana nambi kutoteka.
16 Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua.
Ne bamashali benu bonse, bamakwenu, beshikamukowa, nebanenu, nibakamutwale kubalwani benu, bambi pakati penu nibakamushine.
17 Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.
Bantu bonse nibakamupate pacebo ca njame.
18 Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.
Necikabeco kuliya mushishi nambi umo wenu weshi ukataike.
19 Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.
Mukalimbikile cakubula kubwelela munyuma nimukatambule buyumi bwenu.”
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
Mwakaboneti munshi wa Yelusalemu ulashingulukwa ne beshi nkondo, mukenshibeti konongeka kwawo kulashiki.
21 Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini.
Lino abo bali mu Yudeya bakafwambile kumilundu, abo beshi bakabenga mukati mu Yelusalemu bakapulemo, balikumabala kabatakengila mu Yelusalemu.
22 Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa.
Pakwinga ici nicikabe cindi cacisubulo, kwambeti byonse bisa byalalembwa mumabala bikenshike.
23 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu.
Batukashi beti bakabenga ne mabunda nibakabe mumapensho, nabo beshi bakabenga ne bana balayamwanga mumasubayo. Pakwinga nikukabe mapensho anene mucishici, kayi ne bukalu bwa Lesa nibukabe pabantu bamu Isilaeli.
24 Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.
Nabambi nibakayaswe bibeshi kayi nibakamantwe busha kubantu bamishobo imbi. Lino Yelusalemu nikalyataulwe ne baswamashi kushikila cindi cabo cikapwe.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari.
“Kulakabanga bingashilo kulisuba ne kumwenshi ne kunyenyenshi. Pacishi pano, bantu nibakalisukame nekutina pakunyumfwa kuwota kwa lwenje ne mankape.
26 Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika.
Bantu nibakawisuke ne buyowa pakulangilila bilandanga kwinshika mucishi ca panshi conse, pakwinga ngofu sha kwilu nishikatenkanishiwe.
27 Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
Lino nibakabone ame nde Mwana Muntu kanjisa mumakumbi nengofu kayi nebulemu bunene.
28 Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
Lino bintu ibi byakatatika kwinshika, mukanyamuke nekwinuna mitwi yenu, pakwinga kulubulwa kwenu kulasenene pepi.”
29 Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote.
Lino Yesu walabambila mukoshano eti, “Kamulangani mukuyu nebitondo bimbi byonse.
30 Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia.
Na mulabono matewu atatiki kusonsa mukute kwishibeti cilimo cili pepi.
31 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Copeleco nenjamwe mwakabona bintu ibi kabinshika mukenshibe kwambeti Bwami bwa Lesa buli pepi.
32 “Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
“Ndamwambilinga cakubingeti musemano uwu nteti ukapwe kufwa bintu ibi kabitana binshika.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
Kwilu ne cishi ca panshi nibikapite, nsombi maswi akame nteshi akapwepo ngofu sobwe.”
34 “Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo.
“Kamucenjelani kwambeti mutaba bantu basuni kulya ne kusekelela malyalya, nekukolwa kayi nekusukama pa bintu bya buyumi buno, pakwinga busuba ubo ngabwisa mwakutenshiba eti kose.
35 Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote.
Nibukese bushikubo pabantu bonse bekala pa cishi capanshi
36 Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”
Ikalani mwalibambila lyonse, nekupaila cindi conse, kwambeti mube nengofu shakupuluka kubintu ibi byeshibikeshike, kwambeti mukemane pamenso pa Mwana Muntu.”
37 Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha.
Masuba ayo, Yesu walikeyisha mu Ng'anda ya Lesa, nsombi mashiku lyonse walikuya ku mulundu wa maolifi akwikala.
38 Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.
Lino mumenemene bantu bangi bali kabaya ku Ng'anda ya Lesa kuya kukutika kwiyisha kwakendi.

< Luka 21 >