< Luka 21 >
1 Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu.
Wabhosya amaso gakwe wabhalola atakili bhaponya esadaka zyabho mwibogosi elye mbuto.
2 Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba.
Walola ofwele omo pena aponya mla esenti zibhele.
3 Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.
Wayanga embabhora ono ofwele opena aponyizye zaidi ashile mwenti.
4 Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
Afwanaje ebho bhonti bhaponyizye esadaka eshoma shashonjelezye zaidi bali ono hupena wakwe aponyizye vyonti vyali navyo.”
5 Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia,
Na bhantu bhamo bhamo nabhali bhayanga enongwa ezya shimanza ejinsi shari pambwilwe humawe aminza ne salama ezya bhantu ayanjire,
6 “Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
“Ega gamgalola, insiku zyayenza ambapo selyaisagala iwe juu eiwe ambalyo salyaibozolwa.”
7 Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”
Bhabhozya bhayanga, “Sambelezi, amambo ega gayibha ndii? Gape yenu ishara yakwe eyaje amabo ego gali papepe afumire?”
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate.
Wayanga, “Enyaji msije mgakhopelwa. Afwanaje bhinji bhayenza hwitawa lyane, bhayanga, 'Ane nene, 'antele 'Owakati uparamiye basi msabhabhenjezye ebho.
9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”
Namwe namwayovwa enongwa ezye ibho nefitina, mgajetishiwe, afwanaje ego segali n ebudi afumire nasoti lelo ula oumalishoro seuhwenza nanali.”
10 Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Esho abhabhorere, “Itaifa lyaisogola akhomane ni taifa, na umwene na khomane no mwene.
11 Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
Hwayibha na matesya amagosi agensi ne nzala ne tauni hwonti na mambo agatisye ne ishara engosi afume amwanya.
12 “Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu.
Lelo sagasele ego gonti afumire bhayibhakhata na bhavisye, bhayibhatwala hwitagalila eye mabhanza na bhaponye mwijela, natwalwe hwitagalila elya mwene na maliwali kwajili eyitawa lyane.
13 Hii itawapa nafasi ya kushuhudia.
Na ego gayibha ushuda hwilimwe.
14 Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka.
Basi kusudiri humoyo genyu asinte asebhe sebhe asoti shambhajibu,
15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.
afwanaje ane embabhapele ilomu ne hekima ambaya atisi bhenyu bhonti sebhayiwezya abhashinde yape wala ayipinje.
16 Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua.
Namwe bhayibhalavya ayise bhenyu na horo bhenyu, na mwenyu ma rafiki bhenyu, wape bhayifisya bhamo bhamo.
17 Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.
Namwe bhayibhavitu abhantu bhonti kwajili eyitawa lyane.
18 Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.
Lelo selyayite hata lisisi limo elye mmatwe genyu.
19 Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.
Namwe gagole hwenyu mwayiziponia enafisi genyu.
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
Lelo epo namwayilola iboma elye Yerusalemu lizyongolelwe na bhanajeshi esho mmanyaje eyaje anachishe hwakwe huparamiye.
21 Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini.
Esho bhabhali huyahuda na bhabhali pahati yakwe bhashembelelaje hwonze, na bhabhali humaganda bhaganjehujinjile.
22 Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa.
Afwanaje isiku ezyo zyazyo ezye shizanye ili gatinuziwe gonti gage.
23 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu.
Ole wabho abhe lwanda na bhabhahwosya katika ensiku ezyo afwanaje hwabha eshida nyinji mnsi nae ihasira juu ye taifa eli.
24 Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.
Bhayigwa hukhali owipanga wape bhayitekwa nyara na hwege katika amataifa gonti na eYerusalemu yayikhanywa na mataifa hata amajira age mataifa nagaitimiziwa.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari.
Antale hwaibha ishara hwisanya no mwezi ne ntondwe na mnsi amalabha aga mataifa, bhaiswiga huvumi owe nongwa na maklabha labha gakwe.
26 Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika.
Abhantu bhaivunjiha amoyo huwoga na ahwenyelezye amambo gehagaga ensi. Afwanaje amaha aga mwanya zyayinga.
27 Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
Epo esho pabhayihulola Umwana owa Adamu nahwenza mwibhengo pandwemo na maha no utukufu ogwinji.
28 Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
Basi amambo ego nagahwanda afumire changamhaji mbhosyaje amatwe genyu, afwanaje owaule wenyu uparamie.”
29 Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote.
Wabhabhora ofwano, “Lyenyi ikwii na makwii agenje gonti.
30 Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia.
Wakati nalimaliha apongore mlola na manye mwemwe yaje amajira oga konje gamalishe abha papepe.
31 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Namwe shesho namlola amambo ega gahwanda afumire manyaji yaje umwene owa Ngolobhe uli papepe.
32 “Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
Amini, embabhora, eshikholo eshi seshashira hata ega gonti gatimile.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
Emwanya nensi zyaishila lelo amazu gane segaishira na mwaha.
34 “Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo.
Eshi hwiyinyaji amogo genyu isibhe egalemewa no ulyavi, no ulevi, namasumbufu ege maisha ega. Isiku lila lyabhenzera nanari neshe atego shahwonza
35 Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote.
afwanaje esho. Shashayibhenzara abhantu bhonti bhabhakhara pamaso gedunia yonti.
36 Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”
Eshi gonezyaji amwe shila wakati mlabhaje, ili mpate ahwaulwe katikaa ego gonti gagaifumira na hwemilele hwitagalila elya Mwana owa Adamu.”
37 Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha.
Esho shira pasanya abhanga asambelezya maibhanza na nosiku abharaga agone mwigamba lyalihwetwa Mizeituni.
38 Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.
Na bhantu bhonti bhali hadamla khasha bhabhara mwibhanza ili hutejezye.