< Luka 21 >
1 Yesu alipoinua macho yake, aliwaona matajiri wakiweka sadaka zao kwenye sanduku la hazina ya Hekalu.
Yesu alangili abhabhuene bhagosi matajiri bhabhabhekeghe zawadi sya bhene mu hazina.
2 Akamwona pia mjane mmoja maskini akiweka humo sarafu mbili ndogo za shaba.
Akambona mjane mmonga maskini ibheka senti sya muene sibhele.
3 Yesu akasema, “Amin, nawaambia, huyu mjane maskini ameweka humo zaidi ya watu wengine wote.
Hivyo akajobha, kweli nikabhajobhela, ojhu mjane maskini abhekili simehele kuliko bhangi bhoha.
4 Hawa watu wengine wote wametoa sadaka kutokana na wingi wa mali zao. Lakini huyu mjane ametoa kutokana na umaskini wake vyote alivyokuwa navyo, hata kile alichohitaji ili kuishi.”
Abha bhoha bhahomisi zawadi ese kuhoma mu fingi fyabhajhe nefu. Lakini ojho mjane, mu umasikini bhwa muene ahomisi hela syoha syaajhe nasu kwa ndabha jha kuishi kwa muene.”
5 Baadhi ya wanafunzi wake wakawa wanamwonyesha jinsi Hekalu lilivyopambwa kwa mawe mazuri na kwa vitu vilivyotolewa kuwa sadaka kwa Mungu. Lakini Yesu akawaambia,
Wakati bhamana bho bhijobha panani pa hekalu, namna kyalikepambibhu ni maganga manofu ni matoleo, ajobhili,
6 “Kuhusu haya mnayoyaona hapa, wakati utafika ambapo hakuna jiwe moja litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.”
“Kwa habari jha mambo agha ghamkaghabhona, magono ghibetakuhida ambagho lijhelepi liganga limonga ambalyo libeta kulekibhwa panani pa lenge ambalyo libeta lepi kubomolibhwa.”
7 Wakamuuliza, “Mwalimu, mambo haya yatatukia lini? Ni dalili gani itaonyesha kwamba yanakaribia kutendeka?”
Hivyo bhakan'kota, bhakajobha, “Mwalimu, mambo agha ghibeta kutokela ndali? Ni kiki kibeta kujha ishara kwamba agha mambo gha jhobhi karibu kutokela?”
8 Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa. Maana wengi watakuja kwa Jina langu, wakidai, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati umekaribia.’ Msiwafuate.
Yesu ajibili, “Mujhelayi bhaangalifu kwamba musikofibhu. Kwandabha bhingi bhibeta kuhida kwa lihina lya nene, ni kujobha, 'Nene ndo muene, ni muda ukaribili'. Musibhabesi.
9 Lakini msikiapo habari za vita na machafuko, msiogope. Kwa maana hayo ni lazima yatokee kwanza, ila ule mwisho hautakuja wakati huo.”
Mukapelekayi vita ni fuju musitili, kwandabha mambo agha lazima ghatokelayi hoti, lakini mwisho wibetalepi kuhomela manyata.”
10 Kisha akawaambia: “Taifa litainuka dhidi ya taifa jingine, na ufalme mmoja dhidi ya ufalme mwingine.
Kisha akabhajobhela, “Taifa libeta kujhinuka kukomana ni taifa lenge, ni ufalme juu jha ufalme bhongi.
11 Kutakuwa na mitetemeko mikubwa ya ardhi, na njaa kali, na magonjwa ya kuambukiza katika sehemu mbalimbali. Pia kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni.
Kubetakujha ni matetemeku mabhaha ni njala ni tauni mu maeneo mbalimbali. Kubetakujha ni matukio gha kutisya ni ishara sya kutisya kuhoma kumbinguni.
12 “Lakini kabla yote hayajatokea, watawakamata ninyi na kuwatesa. Watawatia mikononi mwa wakuu wa masinagogi na kuwafunga magerezani. Nanyi mtapelekwa mbele ya wafalme na watawala kwa ajili ya Jina langu.
Lakini kabla jha mambo agha ghoha, bhibeta kubheka mabhoko ghe bhene panani pa muenga ni kubhatisya, kubhapeleka mu masinagogi ni magereza, kubhaleta mbele jha bhafalme ni bhenye mamlaka kwandabha jha lihina lya nene.
13 Hii itawapa nafasi ya kushuhudia.
Ijhe jhibeta kufungulibhwa fursa kwa ushuhuda bhwa jhomu.
14 Lakini kusudieni mioyoni mwenu msisumbuke awali kuhusu mtakalosema mbele ya mashtaka.
Henu muamulayi mu mioyo ghya jhomu kubela kuandala utetezi bhwinu manyata,
15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.
Kwandabha nibeta kubhapela malobhi gha hekima, ambagho bhaadui bhinu bhoha bhibeta bhwesya lepi kujhipinga ni kujhibela.
16 Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, na baadhi yenu watawaua.
Lakini mwibeta kubelibhwa kabhele ni bhazazi bha jhomu, bhalongo bhinu, jamaa bhinu ni marafiki bhinu, ni kubhakoma baadhi jha muenga.
17 Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu.
Mwibeta kudadibhwa ni khila mmonga kwandabha jha lihina lya nene.
18 Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia.
Lakini lwibeta lepi kujha unywele wa vichwa vyenu utakaopotea.
19 Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu.
katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
20 “Mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, basi fahamuni kwamba kuharibiwa kwake kumekaribia.
Pamwibeta kubhona Yerusalemu jhisyonguiki ni majeshi, basi mumanyayi kujha uharibifu bhuake bhukaribili.
21 Wakati huo, wale walio Uyahudi wakimbilie milimani, walio mjini Yerusalemu watoke humo, nao wale walioko mashambani wasiingie mjini.
Apu bhala bhabhajhele Yudea bhajumbililayi kukidonda, ni bhala bhabhajhele pagati pa jiji bhabhokayi, na musibhaleki bhabhajhele mu fijijini kujhingila.
22 Kwa sababu huu utakuwa ni wakati wa adhabu ili kutimiza yote yaliyoandikwa.
Mana agha ndo magono gha kisasi, ili kwamba mambo ghoha ghaghabembibhu ghatimilalayi.
23 Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo! Kutakuwa na dhiki kuu katika nchi na ghadhabu juu ya hawa watu.
Ole ni kwa bhala bha bhajhele ni luleme ni kwa bhala bhafiele mu magono aghu! Kwa mana kubetakujha ni adha mbaha panani pa nchi, ni gadhabu kwa bhanu abha.
24 Wataanguka kwa makali ya upanga, na wengine watachukuliwa kuwa mateka katika mataifa yote. Nao mji wa Yerusalemu utakanyagwa na watu wa Mataifa hadi muda wa hao watu wa Mataifa utimie.
Na bhibeta kubina kwa ncha jha upanga na bhibeta kitolibhwa mateka kwa mataifa ghoha, ni Yerusalemu jhibetakukanyibhwa ni bhanu bha mataifa, mpaka wakati bhwa bhanu bha mataifa pamwibeta kutimilika.
25 “Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Hapa duniani, mataifa yatakuwa katika dhiki na fadhaa kutokana na ngurumo na misukosuko ya bahari.
Kubetakujha ni ishara mu lijobha, muesi ni mat'ondo. Ni mu nchi kubetakujha ni dhiki jha mataifa, mu kakata tamaa kutokana ni mwamujhele bha bahari ni manyegha.
26 Watu watazimia roho kutokana na hofu kuu na kuyaona yale mambo yanayotokea duniani, kwa maana nguvu za angani zitatikisika.
Kubetakujha ni bhanu bhabhizimila kwa hofu ni katika kutalajila mambo ghaghibeta kuhomela panani pa dunia kwa maana nghofu sya mbigu sibetakutikisibhwa.
27 Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
Kisha bhibeta kumbona mwana ghwa Adamu ihida mu mabhengu mu ngofu ni utukufu mbaha.
28 Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
Lakini mambo agha paghibeta kujhanda kuhomela, mujhemayi, mujhinulayi mitu ghya jhomu, kwandabha ukombozi bhwa jhomu uhegelili karibu.
29 Akawaambia mfano huu: “Uangalieni mtini na miti mingine yote.
Yesu akabhajobhela kwa mfano, “Mubhulangayi mtini, ni mabhehe ghoha.
30 Inapochipua majani, ninyi wenyewe mnaweza kuona na kutambua wenyewe ya kuwa wakati wa kiangazi umekaribia.
Pajhihome sya machipukizi, mukilolela mwebhene ni kumanya kujha kilolelu tayari kijhe karibu.
31 Vivyo hivyo, myaonapo mambo haya yakitukia, mnatambua kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.
Mebhu, pamwibhona mambo agha ghihomela, muenga mumanyayi jha kujha ufalme bhwa K'yara uhegelili.
32 “Amin, nawaambia, kizazi hiki hakitapita hadi mambo haya yote yawe yametimia.
Kweli, nikabhajobhela, kizazi ekhe kibetalepi kupeta, mpaka mambo agha ghoha paghibeta kuhomela.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.”
Mbingu ni nchi sibetakup'eta, lakini malobhi ghangu ghibeta lepi kup'eta kamwe.
34 “Jihadharini mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na fadhaa za maisha haya, nayo siku ile ikawakuta ninyi bila kutazamia kama vile mtego unasavyo.
Lakini mulangayi mwabhene, ili kwamba mioyo ghya jhomu isihidi kudemebhwa ni ufisadi, ulevi, ni mahangaiku gha maisha agha. Kwandabha ligono lela libetakubhahidila ghafla.
35 Kwa maana kama vile mtego unasavyo, ndivyo siku hiyo itakavyowapata wanadamu wote waishio katika uso wa dunia yote.
Kama n'teghu. kwa ndabha ibeta kujha panani pa khila mmonga jhaitama mu uso bhwa dunia jhioha.
36 Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”
Lakini mujhelayi tayari muda bhuoha, mus'okayi kujha mwibeta kujha imara fya kutosha kughajhepa agha ghoha ghaghibeta kuhomela, ni kujhemela mbele sya mwana ghwa Adamu.”
37 Kila siku Yesu alikuwa akifundisha Hekaluni, na jioni ilipofika, alikwenda zake kwenye Mlima wa Mizeituni na kukaa huko usiku kucha.
Hivyo wakati wa pamusi ajhele ifundisya mu hekalu ni pakilu ahomili kwibhala, ni kulota kukesha pa kidonda kya kikutibhweghe kya Mzeituni.
38 Nao watu wote walikuja asubuhi na mapema Hekaluni ili kumsikiliza.
Bhanu bhoha bhan'hidili lukhela lubhuliku ili kumpelekesya mugati mu. hekalu.