< Luka 2 >

1 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri kwamba watu wote waandikishwe katika ulimwengu wa Kirumi.
Masuba ayo Agasita, mwami waku Loma walabika mulawo wakwambeti bantu bonse bali mubulelo bwa Loma balembwe.
2 (Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio alikuwa mtawala wa Shamu).
Uku kwalikuba kulembesha kwakuyamba kwalenshika cindi Kwilinyasi mpwalikuba mwendeleshi wa cishi ca Siliya.
3 Kila mtu alikwenda kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa.
Lino bonse bantu balaya akulembesha umo ne umo kumunshi kucomwabo.
4 Hivyo Yosefu akapanda kutoka mji wa Nazareti ulioko Galilaya kwenda Uyahudi, mpaka Bethlehemu, mji wa Daudi, kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo na wa nyumba ya Daudi.
Yosefe neye walanyamuka kufuma ku Nasaleti munshi walikuba mucimpansha ca Galileya kuya kumunshi wa Dafeti, uko kwali kukwiweti Betelehemu, mucishi ca Yudeya, pakwinga walikuba wamulibunda lya Dafeti.
5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Maria, ambaye alikuwa amemposa naye alikuwa mjamzito.
Walaya pamo ne Maliya uyo ngwalikuba wamamikila, kwambeti naboyo baye balembwe. Cindi ico Maliya walikuba wemita.
6 Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria wa kujifungua ukawa umetimia,
Kabacili kopeloko masuba akwambeti Maliya apulukemo alakwana,
7 naye akamzaa mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia ngʼombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.
walasema mwana wakwiya mutuloba. Walamupetelesha mubikwisa ne kumoneka mucibaya mwali kulyela ng'ombe, pakwinga nkakwalikuba musena mu ng'anda ya bensu.
8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
Kucishi kopeloko kwalikuba bembeshi balikwembela mbelele shabo mashiku.
9 Ghafula tazama, malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa Bwana ukawangʼaria kotekote, wakaingiwa na hofu.
Mwakutayeyela, mungelo wa Mwami walabonekela kuli endibo. Kubala kwa bulemeneno bwa Mwami kwalabamunikila tuu! Lino balatina.
10 Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.
Nomba mungelo walabambileti, “Kamutatina pakwinga ndalete Mulumbe Waina weti ukondweleshe bantu bonse.
11 Leo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
Mashiku alelo mumunshi wa mwami Dafeti mulasemwe Mupulushi wenu wananikwa uyo walaiwa, Klistu endiye Mwami.
12 Hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”
Lino cishibisho cakendi nici; Nimuye mucane mwana kateta wafungailwa mubikwisa kaliwona mucibaya mwakulyela ng'ombe.”
13 Ghafula pakawa na jeshi kubwa la mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu Mungu wakisema,
Mwakutayeyela kwalabonekela likoto lya bangelo bangi ba kwilu pamo ne mungelo usa bali kulumbaisha Lesa kabambeti,
14 “Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
“Alumbwe Lesa wa kwilu wapitapo kayi panshi pabe lumuno pakati pa bantu Lesa mbakondwa nabo.”
15 Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotukia, ambayo Bwana ametuambia habari zake.”
Bangelo balabwelela kwilu, lino bembeshi balatatika kwambilaneti, “Katuyani tushikeko ku Betelehemu tuye tubone cilenshiki ico ncalatwambili Mwami.”
16 Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga akiwa amelala katika hori la kulia ngʼombe.
Lino balaya mwakufwambana, nekucana Maliya ne Yosefu boneka mwana mucibaya mwalikulyela ng'ombe.
17 Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.
Mpobalamubona, bembeshi basa balabamba byonse mbyalabambila mungelo usa pamwana walasemwa.
18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
Bonse balanyumfwa makani ayo alambwa ne bembeshi balakankamana.
19 Lakini Maria akayaweka mambo haya yote moyoni mwake na kuyatafakari.
Maliya walapitilisha kubyanuka bintu byonse ibi kayi walinkabiyeyapo mumoyo wakendi cindi conse.
20 Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kumsifu kwa ajili ya mambo yote waliyokuwa wameambiwa na kuyaona.
Bembeshi basa balabwelela, nkabalemeka nekulumbaisha Lesa pabyonse mbyobalanyufwa nekubona. Calenshika ndendende mbuli mwalabambilila Mungelo.
21 Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba.
Mwana usa mpwalakwanisha masuba asanu ne atatu balamwelula nekumutumba lineti Yesu. Lina ndyalamba mungelo, Yesu nkatana aba mulibunda lyabanyina.
22 Ulipotimia wakati wa utakaso wake Maria kwa mujibu wa Sheria ya Mose, basi Yosefu na Maria walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili kumweka wakfu kwa Bwana
Mpocalashika cindi cakwambeti, Yosefe ne maliya bense mwambo wakuswepesha pakukonka Milawo Lesa njalapa Mose, mwanoyo balaya nendi ku Yelusalemu kwambeti bamubenge kuli Mwami.
23 (kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana, kwamba, “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa wakfu kwa Bwana”),
Pakwinga calembwa mu Milawo Lesa njalapa Mose kwambeti, “Mwana uliyense mutuloba, wakwiya welela kubengwa kuli Lesa.”
24 na pia kutoa dhabihu kulingana na yale yaliyonenwa katika Sheria ya Bwana: “Hua wawili au makinda mawili ya njiwa.”
Balaya akubenga mulumbo wa nkulimba shibili nambi bana ba baciba babili kwelana mbuli calembwa mu Milawo ya Lesa njalapa Mose.
25 Basi alikuwako huko Yerusalemu mtu mmoja jina lake Simeoni, ambaye alikuwa mwenye haki na mcha Mungu, akitarajia faraja ya Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
Lino mu Yelusalemu mwalikuba muntu walikukwiweti Simyoni, walikuba muntu walikutina Lesa. kayi Mushimu Uswepa walikuba pali endiye. Walikupembelela cindi cakwambeti Lesa akapulushe Baislaeli.
26 Roho Mtakatifu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Kristo wa Bwana.
Mushimu Uswepa walamuyubulwila kwambeti nteshi akafwe nkatanabona Klistu mupulushi walaiwa ne Lesa.
27 Simeoni, akiwa ameongozwa na Roho Mtakatifu, alikwenda Hekaluni. Wazazi walipomleta mtoto Yesu ili kumfanyia kama ilivyokuwa desturi ya Sheria,
Busuba bumbi Mushimu Uswepa walamwambila simyoni kwambeti ayenga kung'anda ya Lesa. Bamashali ba Yesu balengila mu Ng'anda ya Lesa ne mwana kwambeti bamwinshile mwambo wa Milawo ya Lesa njalapa Mose.
28 ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mungu, akisema:
Popelapo Simyoni walatambula mwana nekumufukatila mumakasa mwakendi ne kulumbaisha Lesa ne maswi akwambeti,
29 “Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.
“Mwami, lino ndekeni ame musebenshi wenu, njenga mulumuno, pakwinga mulenshi ncomwalanshomesha.
30 Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,
Pakwinga menso akame alabono lupulusho lwenu,
31 ulioweka tayari machoni pa watu wote,
lupulusho ulo ndomwalabamba, pamenso abantu bonse.
32 nuru kwa ajili ya ufunuo kwa watu wa Mataifa na kwa ajili ya utukufu kwa watu wako Israeli.”
Uyu ni mumuni walambweti nukamunikile bantu ba mishobo naimbi, nekwambeti pakabe bulemeneno pa bantu benu Ba isilayeli.”
33 Naye Yosefu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
Baishi ne banyina balakankamana mpobalanyumfwa maswi ngalamba Simyoni pa mwana uyu.
34 Kisha Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu amewekwa kwa makusudi ya kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. Atakuwa ishara ambayo watu watanena dhidi yake,
Lino Simyoni walabaleleka nekwambila Maliya banyina mwana eti, uyu mwana walasalwa ne Lesa, “Kwambeti awishe ne kupundusha bangi pakati pa bantu ba mu Islayeli. Nakabe cishibisho catumwa ne Lesa, ico bantu bangi ncoti bakakane.
35 ili mawazo ya mioyo mingi yadhihirike. Nao upanga utauchoma moyo wako.”
Neco miyeyo ili mumyoyo yabantu bangi, nikabonekele patuba. Nenjobe Maliya mapensho nakakwikate ne kuyasa kumuyo eti cibeshi.”
36 Tena alikuwako Hekaluni nabii mmoja mwanamke, jina lake Ana binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee sana; naye alikuwa ameolewa na kuishi na mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe akafa.
Kayi kwalikuba mushinshimi mutukashi mukalibingi lina lyakendi ni Ana. Walikuba mwanendi Faniwelo wa mulibunda lya Asha uyo walekala ne baibendi byaka bisanu ne bibili, Lino neye walikuba mucembele.
37 Hivyo alikuwa mjane na umri wake ulikuwa miaka themanini na minne. Yeye hakuondoka humo Hekaluni usiku wala mchana, bali alikuwa akimwabudu Mungu, akifunga na kuomba.
Pacindi co walikuba ne byaka makumi asanu ne atatu kayi ne byaka bina. Cindi conse walikwikala mu Ng'anda ya Lesa. Walikapaila kuli Lesa mashiku ne munshi kayi ni muntu walikulikanisha kulya.
38 Wakati huo huo, Ana alikuja akaanza kusifu, akimshukuru Mungu na kusema habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wakitarajia ukombozi wa Yerusalemu.
Nendi mpwalashikako copeleco cindi, walatatika kulumbaisha Lesa, kambila bantu bonse sha mwana uyo ngobalikupembelela cindi Lesa mposhi akapulushe Yelusalemu.
39 Yosefu na Maria walipokuwa wamekamilisha mambo yote yaliyotakiwa na Sheria ya Bwana, walirudi mjini kwao Nazareti huko Galilaya.
Yosefe ne Maliya mpobalapwisha kwinsa byonse kwelana ne Milawo Lesa njalapa Mose, balabwelela kucomwabo ku Nasaleti mucishi ca Galileya.
40 Naye yule mtoto akakua na kuongezeka nguvu, akiwa amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
Mwana usa walakula nekuba ne ngofu kayi walaba ne mano. Neco Lesa walamuleleka.
41 Kila mwaka Yosefu na Maria mama yake Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka.
Bashali ba Yesu balikuya lyonse ku Yelusalemu mwaka ne mwaka akusekelela Pasika.
42 Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walipanda kwenda kwenye Sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
Yesu mpwalaba ne myaka likumi ne ibili, balaya kopeloko mbuli cinga cabo.
43 Baada ya Sikukuu kumalizika, wakati Yosefu na Maria mama yake walipokuwa wakirudi nyumbani, Yesu alibaki Yerusalemu lakini hawakutambua.
Mpobalapwisha kusekelela bala bwelela kucomwabo, Yesu walashala ku Yelusalemu, bashali bakendi nkabalenshiba.
44 Wao wakidhani kuwa yuko miongoni mwa wasafiri, walienda mwendo wa kutwa nzima. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa zao na marafiki.
Balo bashali bakendi bali kabayeyeti uli mulikoto lya bantu mbobali kuyanabo munshila, balenda musuma wa busuba bumo. Lino balatatika kumuyandaula kubamakwabo ne kubanabo.
45 Walipomkosa walirudi Yerusalemu ili kumtafuta.
Mpobalacaneti kuliyawa, balabwelela ku Yelusalemu kabaya akumulangola.
46 Baada ya siku tatu wakamkuta ndani ya Hekalu, akiwa ameketi katikati ya walimu wa sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
Balamucana mpopalapita masuba atatu mu Ng'anda ya Lesa, nkali ekala pakati pa beshikwiyisha, nkanyumfwila maswi abo kayi nkabepusha mipusho.
47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.
Bantu bonse balakankamana mpobalanyufwa mbuli mwalikubakumbulila ne mano.
48 Yosefu na Maria mama yake walipomwona walishangaa. Mama yake akamuuliza, “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama, mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa kila mahali.”
Bashali bakendi mpobalamubona balakankamana. Lino banyina balamwipusheti, “Mwana obe, ulatwinshili cani cisa? Bona ame ne baiso tulashupiki kukuyandola.”
49 Yesu akawaambia, “Kwa nini kunitafuta? Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
Yesu walakumbuleti, “Nomba nkamundangwela cani, sena nkamucishi kwambeti ndelela kuba mung'anda ya Bata?”
50 Lakini wao hawakuelewa maana ya lile alilowaambia.
Balo baliya kunyufwishisha ncalabakumbula.
51 Ndipo akashuka pamoja nao hadi Nazareti, naye alikuwa mtiifu kwao. Lakini mama yake akayaweka moyoni mwake mambo haya yote.
Lino Yesu walanyamuka nekuya nabo kucomwabo ku Nasaleti pakwinga walikunyumfwila banyina. Maliya walasunga bintu ibi byonse mumoyo wakendi.
52 Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Yesu walakula necimo ca mano kayi walaba mwana weshi kukondwelesha Lesa nebantu bonse.

< Luka 2 >