< Luka 2 >
1 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri kwamba watu wote waandikishwe katika ulimwengu wa Kirumi.
A ano adava vreme kad o Jovan bijandilo, e rimesoro caro o Avgust naredinđa te ćerel pe popis oto sa o manuša ano carstvo.
2 (Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio alikuwa mtawala wa Shamu).
Adava inele prvo popis ćerdo sar o Kvirinije vladini ine ani Sirija.
3 Kila mtu alikwenda kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa.
I sa o manuša džele ko dizja kaj bešle ine lengere preci te prijavinen pe zako popis.
4 Hivyo Yosefu akapanda kutoka mji wa Nazareti ulioko Galilaya kwenda Uyahudi, mpaka Bethlehemu, mji wa Daudi, kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo na wa nyumba ya Daudi.
Ađahar da o Josif, adalese so inele potomko e carosoro e Davidesoro, dželo tari diz Nazaret oti regija Galileja ko gav Vitlejem oti regija Judeja, kote o David bijandilo.
5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Maria, ambaye alikuwa amemposa naye alikuwa mjamzito.
Dželo adari sar te prijavini pe zako popis pe verenicaja e Marijaja koja inele khamni.
6 Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria wa kujifungua ukawa umetimia,
I sar on inele ano Vitlejem, alo e Marijakoro vreme te bijani.
7 naye akamzaa mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia ngʼombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.
I bijanđa ple prvone čhave. Paćarđa le hem pašljarđa le ano jasle adalese so ki gostionica na inele than olenđe.
8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
Adaja rat paše uzalo Vitlejem inele nesave pastirija kola arakhena ine pumare bakren ko polje.
9 Ghafula tazama, malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa Bwana ukawangʼaria kotekote, wakaingiwa na hofu.
I otojekhvar o anđeo e Gospodesoro terdino uzalo lende hem i slava e Gospodesiri osvetlinđa len, i on but darandile.
10 Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.
A o anđeo phenđa lenđe: “Ma daran! Ače, anava tumenđe šukar lafi oto baro bahtalipe savo ka ovel sa e manušenđe!
11 Leo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
Avdive, ani e Davidesiri diz bijandilo tumenđe o Spasitelj kovai o Hrist o Gospod.
12 Hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”
A palo akava znako ka pendžaren le: ka arakhen e čhavore paćarde hem sar pašljola ano jasle.”
13 Ghafula pakawa na jeshi kubwa la mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu Mungu wakisema,
Otojekhvar uzalo anđeo mothovđa pe bari vojska e anđelendar savi hvalinđa e Devle vaćerindoj:
14 “Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
“Slava ko učipe e Devlese, a ki phuv mir e manušenđe kolencar o Devel zadovoljno!”
15 Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotukia, ambayo Bwana ametuambia habari zake.”
I kad o anđelja irinde pe ko nebo, o pastirija phende jekh averese: “Hajde te dža đi o Vitlejem hem te dikha adava so phenđa amenđe o Gospod.”
16 Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga akiwa amelala katika hori la kulia ngʼombe.
I džele sigate, hem arakhle e Marija, e Josife hem e čhavore sar pašljola ano jasle.
17 Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.
A kad dikhle e čhavore, vaćerde averenđe sa so ine lenđe phendo e čhavorestar.
18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
I inele zadivime sare kola šunde adava so o pastirija vaćerde.
19 Lakini Maria akayaweka mambo haya yote moyoni mwake na kuyatafakari.
A i Marija sa adava garavđa pese ano vilo hem razmislinđa adalestar.
20 Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kumsifu kwa ajili ya mambo yote waliyokuwa wameambiwa na kuyaona.
I o pastirija dželefse slavindoj hem hvalindoj e Devle zako sa okova so šunde hem so dikhle baš ađahar sar so ine lenđe phendo.
21 Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba.
Kad nakhle ofto dive, kad e čhavore valjande te obrezinen, dinde le anav Isus – sar so vičinđa le o anđeo angleder so i Marija ačhili khamni.
22 Ulipotimia wakati wa utakaso wake Maria kwa mujibu wa Sheria ya Mose, basi Yosefu na Maria walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili kumweka wakfu kwa Bwana
Kad alo o vreme zako adeti i daj te očistini pe palo e Mojsijasoro zakoni, o Josif hem i Marija ande e Isuse ano Hram ko Jerusalim te preden le e Gospodese
23 (kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana, kwamba, “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa wakfu kwa Bwana”),
(sar soi pisime ano zakoni e Gospodesoro: “Đijekh murš prvenco te ovel posvetime e Gospodese”)
24 na pia kutoa dhabihu kulingana na yale yaliyonenwa katika Sheria ya Bwana: “Hua wawili au makinda mawili ya njiwa.”
hem te den žrtva (sar soi phendo ano zakoni e Gospodesoro: “duj tikore golubija ili duj terne golubija”).
25 Basi alikuwako huko Yerusalemu mtu mmoja jina lake Simeoni, ambaye alikuwa mwenye haki na mcha Mungu, akitarajia faraja ya Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
A ano Jerusalim inele jekh manuš palo anav Simeon. Ov inele pravedno hem pobožno. Adžićeri ine te avel o Mesija te spasini e Izraelconen, hem o Sveto Duho inele upro leste.
26 Roho Mtakatifu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Kristo wa Bwana.
O Sveto Duho mothovđa lese da angleder so ka merel, ka dikhel e Gospodesere Mesija.
27 Simeoni, akiwa ameongozwa na Roho Mtakatifu, alikwenda Hekaluni. Wazazi walipomleta mtoto Yesu ili kumfanyia kama ilivyokuwa desturi ya Sheria,
I o Sveto Duho phenđa lese te džal ko Hram, i ov dželo. Tegani o Josif hem i Marija ande e čhavore e Isuse ano Hram sar te ćeren o adeti savoi palo Zakoni.
28 ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mungu, akisema:
Kad o Simeon dikhlja e čhavore e Isuse, lelja le ki angali hem hvalinđa e Devle vaćerindoj:
29 “Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.
“Gospode, akana šaj me, o sluga klo, te merav ano mir sar so phenđan maje.
30 Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,
Adalese so mle jaćha dikhle to spasenje,
31 ulioweka tayari machoni pa watu wote,
savo spreminđan anglo sa o nacije.
32 nuru kwa ajili ya ufunuo kwa watu wa Mataifa na kwa ajili ya utukufu kwa watu wako Israeli.”
Akava spasenje ka ovel svetlost te mothoj tut avere nacijenđe hem ka anel slava te narodose, e Izraelconenđe.”
33 Naye Yosefu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
E Isusesoro dad hem i daj divinde pe adaleja so o Simeon vaćerđa olestar.
34 Kisha Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu amewekwa kwa makusudi ya kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. Atakuwa ishara ambayo watu watanena dhidi yake,
Tegani o Simeon blagoslovinđa len hem phenđa e Marijaće, e Isusesere dajaće: “Dikh, akavai čhavoro birime te ćerel buten te peren hem te ušten ano Izrael. Ovi odredime te ovel e Devlesoro znako, ali but džene ka odbacinen le.
35 ili mawazo ya mioyo mingi yadhihirike. Nao upanga utauchoma moyo wako.”
Adava ka ovel sar te mothoven pe bute manušengere garavde mislija. A o mači ka posaj ti duša.”
36 Tena alikuwako Hekaluni nabii mmoja mwanamke, jina lake Ana binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee sana; naye alikuwa ameolewa na kuishi na mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe akafa.
A adari da inele i proročica i Ana, i čhaj e Fanuilesiri, oto pleme e Asiresoro. Oj inele ano purane berša. Efta berš živinđa ple romeja,
37 Hivyo alikuwa mjane na umri wake ulikuwa miaka themanini na minne. Yeye hakuondoka humo Hekaluni usiku wala mchana, bali alikuwa akimwabudu Mungu, akifunga na kuomba.
a palo adava živinđa sar udovica đi oftovardešu štarto berš. Stalno inele ano Hram, i dive i rat slavinđa e Devle ano postiba hem ano moliba.
38 Wakati huo huo, Ana alikuja akaanza kusifu, akimshukuru Mungu na kusema habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wakitarajia ukombozi wa Yerusalemu.
I samo so o Simeon završinđa ple vaćeribnaja, i Ana nakhini đi o Josif hem i Marija zahvalindoj e Devlese zako čhavoro. I lelja te vaćeri e čhavorestar sarijenđe adari kola adžićerde upro Devel te otkupini o Jerusalim.
39 Yosefu na Maria walipokuwa wamekamilisha mambo yote yaliyotakiwa na Sheria ya Bwana, walirudi mjini kwao Nazareti huko Galilaya.
Kad o Josif hem i Marija ćerde sa soi palo zakoni e Gospodesoro, irinde pe ki pumari diz Nazaret ki Galileja.
40 Naye yule mtoto akakua na kuongezeka nguvu, akiwa amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
A o čhavoro barjola ine hem zoraljola. Pherđola ine mudrost hem i milost e Devlesiri inele upro leste.
41 Kila mwaka Yosefu na Maria mama yake Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka.
E Isusesoro dad hem i daj đijekh berš zako prazniko Pasha džana ine ki diz Jerusalim.
42 Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walipanda kwenda kwenye Sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
Kad e Isuse inele dešu duj berš, palo adeti, hem ov dželo olencar adari te slavini o prazniko.
43 Baada ya Sikukuu kumalizika, wakati Yosefu na Maria mama yake walipokuwa wakirudi nyumbani, Yesu alibaki Yerusalemu lakini hawakutambua.
Kad nakhlo o prazniko, o Josif hem i Marija lelje te džanfse, a na džande so lengoro čhavo o Isus ačhilo ano Jerusalim.
44 Wao wakidhani kuwa yuko miongoni mwa wasafiri, walienda mwendo wa kutwa nzima. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa zao na marafiki.
Sar mislinde dai o Isus maškaro manuša kola putujinde olencar, džele jekh dive phirindoj, a onda lelje te roden le maškaro pumarende hem maškaro pendžarutne.
45 Walipomkosa walirudi Yerusalemu ili kumtafuta.
I kad našti ine te arakhen le, irinde pe ko Jerusalim te roden le.
46 Baada ya siku tatu wakamkuta ndani ya Hekalu, akiwa ameketi katikati ya walimu wa sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
I o trito dive arakhle le ano Hram sar bešela maškaro e verakere učitelja, sar šunela len hem pučela len.
47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.
I sare kola šunde e Isuse, divinde pe zako lesoro džandipe hem zako lesere odgovorija.
48 Yosefu na Maria mama yake walipomwona walishangaa. Mama yake akamuuliza, “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama, mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa kila mahali.”
I kad dikhlja le lesoro dad hem lesiri daj, inele iznenadime. Lesiri daj phenđa lese: “Mlo čhavo, vaćer sose adava ćerđan amenđe? To dad hem me but darandiljam hem rodinđam tut!”
49 Yesu akawaambia, “Kwa nini kunitafuta? Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
A o Isus pučlja len: “Sose rodinđen man? Na džanđen li so valjani te ovav ano čher mle Dadesoro?”
50 Lakini wao hawakuelewa maana ya lile alilowaambia.
A i Marija hem o Josif na halile so o Isus manglja te phenel lenđe adaleja.
51 Ndipo akashuka pamoja nao hadi Nazareti, naye alikuwa mtiifu kwao. Lakini mama yake akayaweka moyoni mwake mambo haya yote.
I palo adava, o Isus irinđa pe olencar ko Nazaret hem ine lenđe poslušno. A lesiri daj garavđa pese ano vilo sa adava so ulo.
52 Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
A o Isus ulo po mudro hem barjola ine ano telo, hem sa više barjola ine ano jaćha e Devlese hem e manušenđe.