< Luka 2 >

1 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri kwamba watu wote waandikishwe katika ulimwengu wa Kirumi.
La ki kumetini co, kaicar Augusta tung tomange cin toki ciki a kiyeu nubo gwam wo yim dor bitinereu.
2 (Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio alikuwa mtawala wa Shamu).
Won co kiye ka kaba maneu ki kwama wo kiriyuc ma liyar ti curiya.
3 Kila mtu alikwenda kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa.
La nubo gwam yarangen cinanlor cer naci mulangum ki kiye kakor.
4 Hivyo Yosefu akapanda kutoka mji wa Nazareti ulioko Galilaya kwenda Uyahudi, mpaka Bethlehemu, mji wa Daudi, kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo na wa nyumba ya Daudi.
Yucufu ken kwenu Galili wo mor cinanlor Nazaret la cin yaken Yahuza, cinanlor Dauda, wo cuoti Baitalomi, wori ciki no naniyak Dauda.
5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Maria, ambaye alikuwa amemposa naye alikuwa mjamzito.
Cin yaken wi naci mulangum dercero kange Maryamu wo ci bob beu la ki fwer.
6 Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria wa kujifungua ukawa umetimia,
La kambo ci wi ye ri, kwama lam wo ci bom bwe tiye lam.
7 naye akamzaa mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia ngʼombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.
Cii bo bwe bibare, bwe kaba ce, la cin kwomum co ki yilang ko cuwe mer la yoken co mor tokum nennem wori ci man ki fiye wi.
8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.
La nob biyuwareb bo wi cungako co ci dami ner bitibere to bi cir cero ti ki kume.
9 Ghafula tazama, malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa Bwana ukawangʼaria kotekote, wakaingiwa na hofu.
Bwe tomange Te luweu cer cinen, la duktangka Te luwek ko tebum cunga ceko, la cin dim ki tai ducce.
10 Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.
Dila Bwe tomange kwama yici “Ko cuware tai, wori mi bo kumen ki kero ken wo a bou hi ki fuwor nerero dur nubo nin gwame.
11 Leo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
Duwen cin bo kimen nii fuloka mor cinan lor Dauda! Cin Kiritti Te luwe!
12 Hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”
Wo co yirombo wo ci nekom tiye, kam fiya bweu kumon mor yilango cuwemer, yom mor tokum nennem.
13 Ghafula pakawa na jeshi kubwa la mbinguni pamoja na huyo malaika wakimsifu Mungu wakisema,
Dangjang ri bwe tomange kwama kange mwer kamka dur ko dii kwa'ma caklang kwama ti ciki
14 “Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
“Duktanka ki kwama firen dii, rila fuwor nere a fiya tiber nubero co (Kwama) ciyacike.
15 Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotukia, ambayo Bwana ametuambia habari zake.”
La yilam kambo bi bei tomange kwama dubom ci yilaken dii lo kwamari, nob bi warebbo yi bwiti ci, “na weu ko biya Baitalami nabi to dikero wo bwiyeu, wo Teluwe nung bi neneu”
16 Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga akiwa amelala katika hori la kulia ngʼombe.
cin cu wulom-wulom wii dila cin fiya Maryamu, Yucufu kange bwe fiyerko dam mor tokume.
17 Walipomwona yule mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa kuhusu huyo mtoto.
Kambo ci tom ceri, cin yi nubo dikero cii yi cii dor bwe fiyerko weu.
18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.
Gwam wo nuwari, ma nyimanka dor dikero nob bi yuwarebbo yi ci yeu.
19 Lakini Maria akayaweka mambo haya yote moyoni mwake na kuyatafakari.
Dila Maryamu ki bulangi dor digero ci nuwa gwam, la cin yoken mor nerece.
20 Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kumsifu kwa ajili ya mambo yote waliyokuwa wameambiwa na kuyaona.
Nob bi yuwarebo yilaken ci duktangi ri ci caklank kwama ti ki dikero gwam woci nuwau kange wo ci toweu dong-dong nawo ci yi ciyeu.
21 Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Yesu, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba.
Kambo kume narube dimeri, fiyaco ci biye cinen lareu cin ne co dendo Yecu, dendo bwe tomange kwama ne na nyinde cii tu fwer cereu.
22 Ulipotimia wakati wa utakaso wake Maria kwa mujibu wa Sheria ya Mose, basi Yosefu na Maria walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili kumweka wakfu kwa Bwana
Kambo kumeni wucakeu ce cumeri, na wo mor wer fun mucaro, ciin bou ki co bikur waber mor Urucalima naci neken co kwama nin.
23 (kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Bwana, kwamba, “Kila mtoto wa kiume kifungua mimba atawekwa wakfu kwa Bwana”),
Nawo mulangum mor werfun Te luwe “Gwam bwe kabo wo bwayileri, atin cokum co ki dimen, cina kwama ce.
24 na pia kutoa dhabihu kulingana na yale yaliyonenwa katika Sheria ya Bwana: “Hua wawili au makinda mawili ya njiwa.”
La cin ma wabka nawo ci toki mor werfun Te luwe re, “nagum fe yob kakaa kalti nawurmero yab”
25 Basi alikuwako huko Yerusalemu mtu mmoja jina lake Simeoni, ambaye alikuwa mwenye haki na mcha Mungu, akitarajia faraja ya Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
La Nii kange wi Urucalima wu dencero cimon ne, ni wo cak cak laci ne dor bwanka kwama. Ciki ningtan nii a bii Iciraila nin neer tiye, la yuwa kange kwamak wi kange co.
26 Roho Mtakatifu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Kristo wa Bwana.
La yuwa tangbe kwamako nungcine ki mani ci bwiyati ne citom Kiritti Teeluweri nyinde.
27 Simeoni, akiwa ameongozwa na Roho Mtakatifu, alikwenda Hekaluni. Wazazi walipomleta mtoto Yesu ili kumfanyia kama ilivyokuwa desturi ya Sheria,
La yuwa tangbe kwamako ya ki co mor bi kur waber. Kambo Teb bwe fiyerko Yeco bou kice, naci macinen nawo werfundo nungeu,
28 ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mungu, akisema:
cin tu beu kangcek ri cin caklang kwama, ciki,
29 “Bwana Mwenyezi, kama ulivyoahidi, sasa wamruhusu mtumishi wako aende zake kwa amani.
na weu dob bwe canga meu akubo ki fuwor neret Teluwa nawo mori tokeu.
30 Kwa maana macho yangu yameuona wokovu wako,
La nuwe mi tom fuloka mweko,
31 ulioweka tayari machoni pa watu wote,
wo mwi yweli nuwe nubo gwammer:
32 nuru kwa ajili ya ufunuo kwa watu wa Mataifa na kwa ajili ya utukufu kwa watu wako Israeli.”
filang dukumek wo nubo kumta cili cee kange duktangka wo nubo lomwe Iciraila ce.
33 Naye Yosefu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.
Tee ce kange nee ce ma nyimankka ki dike ci toki dorce reu.
34 Kisha Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, “Mtoto huyu amewekwa kwa makusudi ya kuanguka na kuinuka kwa wengi katika Israeli. Atakuwa ishara ambayo watu watanena dhidi yake,
Cimon yocinen bibwiyer, ri yi Maryamu nece ki “Nuwa Yora, bwewo cin co ki na boki yare kange kwenka nubo duce Iciraila na yirome wo ci kowe
35 ili mawazo ya mioyo mingi yadhihirike. Nao upanga utauchoma moyo wako.”
kange kulen wo abiye ken mor nere mwetiye rila bi kwarum nerem bo kila atim ceruu”.
36 Tena alikuwako Hekaluni nabii mmoja mwanamke, jina lake Ana binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee sana; naye alikuwa ameolewa na kuishi na mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe akafa.
Nawiye tomange kwama ci cuo ti ki Anna wiwi. Cibi bwe Panuel naniya Acar. La cin duyom ki cotini duce, cin yi kange bwece coro kwini niber,
37 Hivyo alikuwa mjane na umri wake ulikuwa miaka themanini na minne. Yeye hakuondoka humo Hekaluni usiku wala mchana, bali alikuwa akimwabudu Mungu, akifunga na kuomba.
la cin nawi ye kwale coro kwini narub-cilombo na'ar. La mani ci dob mor bi kur wabe ri ci wab kwama ki ngak ngake kange dilo kume kange kakuk.
38 Wakati huo huo, Ana alikuja akaanza kusifu, akimshukuru Mungu na kusema habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wakitarajia ukombozi wa Yerusalemu.
Ki kwama co dondong cin kwitau laidom kange ci, ri cin ter buka kau kwama, la cin yi nubo ningtang fuloka Urcalima kotiye ker dor bwero nin.
39 Yosefu na Maria walipokuwa wamekamilisha mambo yote yaliyotakiwa na Sheria ya Bwana, walirudi mjini kwao Nazareti huko Galilaya.
Kambo ci dim digero da ter cin matiye nawo mulangum mor werfun Teluwere di, cin yila keu Galili mor cinanlor ceer Nazaret.
40 Naye yule mtoto akakua na kuongezeka nguvu, akiwa amejaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
La bwen duyom yilam kibi kwan, kange nyomka, la luma kwama wii cinen.
41 Kila mwaka Yosefu na Maria mama yake Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka.
Ki cor teb ce bo ki yam nyo Urucalima ki duklume yabka.
42 Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walipanda kwenda kwenye Sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
Ki kwamawo ci dim coro kwabcilom bo yebeu, cin yaken tag duklumenin.
43 Baada ya Sikukuu kumalizika, wakati Yosefu na Maria mama yake walipokuwa wakirudi nyumbani, Yesu alibaki Yerusalemu lakini hawakutambua.
La kambo ci diim kumeni duklume gwame ri, cin ter yila kako loweu. La beu Yecu tim ce bwi mor Urucalima ri la teb cebo nyombo.
44 Wao wakidhani kuwa yuko miongoni mwa wasafiri, walienda mwendo wa kutwa nzima. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa zao na marafiki.
Ci kwotiri ciki no mor mwerka nube kowo ci yaken ti wari yeu. La cin ya yam kume wiine. Di cin ter doka ceko mor naniya cek kange farub cek.
45 Walipomkosa walirudi Yerusalemu ili kumtafuta.
Kambo ci fiya ceberi, cin yila ken mor Urucalima la cin ter doka ceko wi.
46 Baada ya siku tatu wakamkuta ndani ya Hekalu, akiwa ameketi katikati ya walimu wa sheria, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
La bwiko kume taare ri cin fiyamco mor bikur waber, yim tiber nob merangkab merangci ke tiniti.
47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.
La gwam wo nuwa ce ri, ma nyimangka ki nyomka ceko kange ciyaka ceko.
48 Yosefu na Maria mama yake walipomwona walishangaa. Mama yake akamuuliza, “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama, mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa kila mahali.”
Kambo ci toceri, nyimankako tamci, la nee ce yico ki ““ye bwi mwa manyo nye? To, tee mwe kange mo nyi do nen ti ki kwomka duce.” Cin yici, “Ye bwi kom doye tiye? Ko nyombo kambo mamanangen mira?”
49 Yesu akawaambia, “Kwa nini kunitafuta? Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
Con yi ci, ye bwi kom do ye tiye? kom nyomba tam nyo ma nangen Temera?
50 Lakini wao hawakuelewa maana ya lile alilowaambia.
Di ci nyombo dike co yi ti kange kero co toke.
51 Ndipo akashuka pamoja nao hadi Nazareti, naye alikuwa mtiifu kwao. Lakini mama yake akayaweka moyoni mwake mambo haya yote.
La cin yaken lo kange ci mor Nazaret la ci nee ci dur ti. Nee ce yoken diker buro gwam mor nere ce.
52 Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Dila Yecu ki duwi mor nyomka kange cuwemka la cin fiya cor cini kwama nin kange nob.

< Luka 2 >