< Luka 19 >

1 Yesu akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.
O Isus dija ano foro Jerihon thaj nakhlo gothar.
2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.
Odori bešlo nesavo manuš so akhardola Zakej, savo sasa šorutno e carincurengo thaj sasa barvalo.
3 Yeye alikuwa akijitahidi kumwona Yesu ni mtu wa namna gani. Lakini kutokana na umati mkubwa wa watu hakuweza kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo.
Vov manglja te dičhol e Isuse, te dičhol ko si vov, al naštine tare but manuša, golese kaj o Zakej sasa cikno.
4 Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya umati wa watu akapanda juu ya mkuyu ili amwone Yesu, kwa sababu angeipitia njia ile.
Golese prastaja po anglal, uklilo pi divljo smokva te dičhol e Isuse, golese kaj džanglja kaj ka načhol gothar.
5 Yesu alipofika pale chini ya huo mkuyu, akatazama juu, akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, kwa maana leo nitakuwa mgeni nyumbani kwako!”
Kana avilo o Isus ke gova than, dikhlja le upre thaj vaćarda lese: “Zakej! Ulji sigate! Ađive trubul te avav gosto ane ćiro čher.”
6 Hivyo Zakayo akashuka upesi, akamkaribisha Yesu nyumbani kwake kwa furaha kubwa.
O Zakej sigate ulilo taro kaš thaj anda e Isuse ane piro čher radosno.
7 Watu wote walipoona hivyo, wakaanza kunungʼunika wakisema, “Amekwenda kuwa mgeni wa ‘mtu mwenye dhambi.’”
Savore, save kava dikhlje, vaćarde maškar peste taro Isus kaj ne bi trubula te avol ano čher e grešnikoso.
8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana, “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya mali yangu ninawapa maskini, nami kama nimemdhulumu mtu yeyote kitu chochote, nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.”
Al o Zakej ačhilo thaj vaćarda e Gospodese: “Gospode! Akh, opaš mingro barvalipe ka dav e čororenđe. A te nekas phabardem, ka iriv lese štar droma pobut.”
9 Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu umeingia nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.
O Isus vaćarda lese: “Ađive avilo spasenje ane kava čher, golese kaj i vov si čhavo e Avraameso!
10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Me, o Čhavo e manušeso, aviljem te rodav thaj te spasiv so si hasardo.”
11 Walipokuwa wanasikiliza haya, Yesu akaendelea kuwaambia mfano, kwa sababu alikuwa anakaribia Yerusalemu na watu walikuwa wakidhani ya kuwa Ufalme wa Mungu ulikuwa unakuja saa iyo hiyo.
But manuša gova šunde thaj o Isus vaćarda lenđe jekh paramič, golese kaj sesa pašo Jerusalim thaj e manuša dije gođi kaj akana ka avol o Carstvo e Devleso.
12 Hivyo akawaambia: “Mtu mmoja mwenye cheo kikubwa alisafiri kwenda nchi ya mbali ili akapokee madaraka ya kuwa mfalme, kisha arudi.
O Isus phenda: “Jekh manuš tari prešundi familija đelo ani durutni phuv te postavin le bašo caro, thaj pale gova te iril pe.
13 Hivyo akawaita kumi miongoni mwa watumishi wake, na akawapa kila mmoja fungu la fedha. Akawaambia, ‘Fanyeni biashara na fedha hizi mpaka nitakaporudi.’
Angleder so đelo, akharda pe deše slugen thaj dija len po deš mine thaj vaćarda lenđe: ‘Trgujin lencar sa dži kaj ni avav.’
14 “Lakini raiya wa nchi yake walimchukia wakapeleka ujumbe na kusema, ‘Hatutaki huyu mtu awe mfalme wetu.’
Al e manuša tare lesi phuv mrzisade le thaj bičhalde e manušen ko pobaro caro te vaćaren lese: ‘Ni manga vov te carujil pe amende.’
15 “Hata hivyo alirudi akiwa amekwisha kupokea mamlaka ya ufalme, akawaita wale watumishi wake aliokuwa amewaachia fedha, ili afahamu ni faida kiasi gani kila mmoja wao aliyopata kwa kufanya biashara.
Kana kova manuš irisajlo sar caro, vaćarda te akharen kole slugen savenđe dija e srebrenjakura, te dičhol kobor pare ćerde.
16 “Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana, kutokana na fedha uliyoniachia, nimepata faida mara kumi zaidi.’
Tegani avilo o angluno thaj vaćarda: ‘Gospodarona! Ćerdem deš droma pobut srebro, nego so dijan man.’
17 “Yule bwana akamjibu, ‘Umefanya vizuri mtumishi mwema! Kwa sababu umekuwa mwaminifu katika wajibu mdogo sana, nakupa mamlaka juu ya miji kumi.’
O caro vaćarda lese: ‘But šukar. Tu san šukar sluga! Golese so sana manđe šukar ko cikno, dav tut te vladi pe deš forura.’
18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’
Pale gova avilo o dujto thaj vaćarda: ‘Gospodarona! Ćerdem pandž droma pobut srebro, nego so dijan man.’
19 “Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka juu ya miji mitano.’
O caro vaćarda: ‘Šukar! Tu vladi pe pandž forura.’
20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.
Tegani avilo o trito thaj vaćarda: ‘Gospodarona! Ake, ćiro srebro. Garadem le ano kotor e šejengo
21 Nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu. Unachukua ambapo hukuweka kitu, na unavuna mahali ambapo hukupanda kitu.’
golese kaj daraljem tutar. Golese kaj san zuralo manuš. Tu le so naj ćiro thaj ćide so ni sejisadan.’
22 “Bwana wake akamjibu, ‘Nitakuhukumu kwa maneno yako mwenyewe, wewe mtumishi mwovu! Kama ulifahamu kwamba mimi ni mtu mgumu, nichukuaye mahali ambapo sikuweka kitu na kuvuna mahali ambapo sikupanda,
O caro vaćarda lese: ‘Pale ćire lafura ka sudiv tut, bilačheja slugo! Džangljan kaj sem zuralo manuš, kaj lav kova so naj mingro thaj ćidav so ni sejisadem.
23 kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’
Pa sose ni dijan mingro srebro e trgovcurenđe te ćidav gova kamatencar kana ka irima?’
24 “Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama karibu, ‘Mnyangʼanyeni fungu lake la fedha, mkampe yule mwenye kumi.’
Thaj averenđe so ačhile angle leste, vaćarda: ‘Len gova srebro lestar thaj den le kolese so isi le pandž kile srebrenjakura.’
25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’
Von vaćarde lese: ‘Gospodarona! Le isi već pandž kile srebro.’
26 “Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba kila aliye na kitu, ataongezewa. Lakini yule asiye na kitu, hata alicho nacho atanyangʼanywa.
O caro vaćarda lenđe: ‘Vaćarav tumenđe, dži jekh kas isi ka dol pe lese, al kole so naj ka lol pe lestar i kova so isi le.
27 Lakini wale adui zangu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme juu yao. Waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’”
A kolen mingre dušmajen, save ni manglje te avav lengo caro, anen len akari thaj čhinen len angle mande.’”
28 Baada ya Yesu kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.
Kana vaćarda lenđe gova o Isus, đelo anglal thaj đelo upre ano foro Jerusalim.
29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima uitwao Mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, akawaambia,
Kana avilo pašo gav Vitfaga thaj o gav Vitanija pašo Maslinsko brego, bičhalda duje sikaden
30 “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
vaćarindoj: “Džan ane gova gav angle tumende. Kana ka den andre, ka aračhen cikne phangle here pe savo vadži nijekh manuš ni uklilo. Putren le thaj anen le.
31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”
Te khoni pučlja tumen: ‘Sose putren le?’, vaćaren lese: ‘E Gospodese trubul.’”
32 Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
Von đele thaj arakhlje sa sar so vaćarda lenđe o Isus.
33 Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
Kana putarde e cikne here, pučlje len e manuša kaso sasa o cikno her: “Sose putren e cikne here?”
34 Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
Von phende: “E Gospodese trubul.”
35 Wakamleta kwa Yesu, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Yesu juu yake.
Tegani ande le ko Isus thaj čhute po cikno her pe fostanura thaj bešljarde e Isuse pe leste.
36 Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
Kana đelo o Isus premal o Jerusalim, e manuša čhute pe fostanura ko drom te den čast e Isusese.
37 Alipokaribia mahali yanapoanzia materemko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:
Kana avilo pašo than kaj počnil o Maslinsko brego, lije but sikade te radujin pe thaj te hvalin e Devle andare sa o glaso baše čudesura so dikhlje.
38 “Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.”
Vaćarde: “Blagoslovimo si kova savo avol ano alav e Gospodeso! Mir ko nebo thaj slava e Devlese ko učipe!”
39 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwamo miongoni mwa ule umati wa watu wakamwambia, “Mwalimu, waamuru wanafunzi wako wanyamaze.”
Tegani nesave fariseja save sesa maškare manuša, vaćarde lese: “Učitelju! Vaćar ćire sikadenđe te ma phenen gova!”
40 Yesu akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”
O Isus vaćarda lenđe: “Phenav tumenđe, te von ni vaćaren, e bara ka den vika!”
41 Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, aliulilia,
Kana avilo o Isus pašo Jerusalim, dikhlja o foro thaj ruja lese
42 akisema, “Laiti ungalijua hata wewe leo yale ambayo yangeleta amani, lakini sasa yamefichika machoni pako.
vaćarindoj: “O, so bi mangava i tu ađive te džane so ka anol tuće mir! Al akana si gova garado tutar.
43 Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, nao watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
Golese kaj ka aven e đivesa kana ćire dušmanura ka vazden tuće bare duvara, ka opkolin tut thaj ka ćićiden tut tare sa e riga.
44 Watakuponda chini, wewe na watoto walioko ndani ya kuta zako. Nao hawataacha hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukutambua wakati wa kujiliwa kwako.”
Ka peraven tut thaj ka mudaren kolen save bešen ane tute. Ni ka ačhaven nijekh bar ko leso than, golese kaj ni džangljan o vreme kana avilo tute o Dol.”
45 Ndipo akaingia eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza vitu humo.
Kana dija o Isus ano Hram, lija te tradol kolen save gothe bićinena.
46 Naye akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
Vaćarda lenđe: “Ano Sveto lil si pisimo: ‘O čher mingro ka avol čher e molitvako’, a tumen lestar ćerden ‘čher kaj garaven pe e čora.’”
47 Kila siku alikuwa akifundisha Hekaluni. Lakini viongozi wa makuhani, walimu wa sheria na viongozi wa watu walikuwa wakitafuta njia ili kumuua.
Svako đive o Isus sikada ano Hram. E šorutne sveštenikura, e učitelja tare Mojsijaso zakon katane e manušenđe šorutnencar dikhlje sar te mudaren e Isuse,
48 Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.
al ni arakhlje sar gova te ćeren lese, golese kaj sa e manuša džana pale leste thaj šunde sa lese lafura.

< Luka 19 >