< Luka 19 >

1 Yesu akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.
and to enter to pass through the/this/who Jericho
2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.
and look! man name to call: name Zacchaeus and it/s/he to be chief tax collector and (it/s/he *N(k)O*) (to be *k*) rich
3 Yeye alikuwa akijitahidi kumwona Yesu ni mtu wa namna gani. Lakini kutokana na umati mkubwa wa watu hakuweza kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo.
and to seek to perceive: see the/this/who Jesus which? to be and no be able away from the/this/who crowd that/since: since the/this/who age/height small to be
4 Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya umati wa watu akapanda juu ya mkuyu ili amwone Yesu, kwa sababu angeipitia njia ile.
and to outrun (toward the/this/who *no*) before to ascend upon/to/against sycamore tree in order that/to to perceive: see it/s/he that/since: since (through/because of *k*) that to ensue to pass through
5 Yesu alipofika pale chini ya huo mkuyu, akatazama juu, akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, kwa maana leo nitakuwa mgeni nyumbani kwako!”
and as/when to come/go upon/to/against the/this/who place to look up/again the/this/who Jesus (to perceive: see it/s/he and *K*) to say to/with it/s/he Zacchaeus to hasten to come/go down today for in/on/among the/this/who house: home you be necessary me to stay
6 Hivyo Zakayo akashuka upesi, akamkaribisha Yesu nyumbani kwake kwa furaha kubwa.
and to hasten to come/go down and to receive it/s/he to rejoice
7 Watu wote walipoona hivyo, wakaanza kunungʼunika wakisema, “Amekwenda kuwa mgeni wa ‘mtu mwenye dhambi.’”
and to perceive: see (all *N(k)O*) to murmur to say that/since: that from/with/beside sinful man to enter to destroy/lodge
8 Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana, “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya mali yangu ninawapa maskini, nami kama nimemdhulumu mtu yeyote kitu chochote, nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.”
to stand then Zacchaeus to say to/with the/this/who lord: God look! the/this/who half me the/this/who be already lord: God the/this/who poor to give and if one one to extort to pay fourfold
9 Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu umeingia nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.
to say then to/with it/s/he the/this/who Jesus that/since: that today salvation the/this/who house: home this/he/she/it to be as/just as and it/s/he son Abraham to be
10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
to come/go for the/this/who son the/this/who a human to seek and to save the/this/who to destroy
11 Walipokuwa wanasikiliza haya, Yesu akaendelea kuwaambia mfano, kwa sababu alikuwa anakaribia Yerusalemu na watu walikuwa wakidhani ya kuwa Ufalme wa Mungu ulikuwa unakuja saa iyo hiyo.
to hear then it/s/he this/he/she/it to add (to) to say parable through/because of the/this/who near to exist Jerusalem it/s/he and to think it/s/he that/since: that instantly to ensue the/this/who kingdom the/this/who God to appear
12 Hivyo akawaambia: “Mtu mmoja mwenye cheo kikubwa alisafiri kwenda nchi ya mbali ili akapokee madaraka ya kuwa mfalme, kisha arudi.
to say therefore/then a human one of noble birth to travel toward country long/distant to take themself kingdom and to return
13 Hivyo akawaita kumi miongoni mwa watumishi wake, na akawapa kila mmoja fungu la fedha. Akawaambia, ‘Fanyeni biashara na fedha hizi mpaka nitakaporudi.’
to call: call then ten slave themself to give it/s/he ten mina and to say to/with it/s/he (to trade *NK(o)*) (in/on/among which *NO*) (until *k*) to come/go
14 “Lakini raiya wa nchi yake walimchukia wakapeleka ujumbe na kusema, ‘Hatutaki huyu mtu awe mfalme wetu.’
the/this/who then citizen it/s/he to hate it/s/he and to send delegation after it/s/he to say no to will/desire this/he/she/it to reign upon/to/against me
15 “Hata hivyo alirudi akiwa amekwisha kupokea mamlaka ya ufalme, akawaita wale watumishi wake aliokuwa amewaachia fedha, ili afahamu ni faida kiasi gani kila mmoja wao aliyopata kwa kufanya biashara.
and to be in/on/among the/this/who to return it/s/he to take the/this/who kingdom and to say to call it/s/he the/this/who slave this/he/she/it which (to give *N(k)O*) the/this/who money in order that/to to know (which? *k*) which? (to gain in trade *N(k)O*)
16 “Wa kwanza akaja na kusema, ‘Bwana, kutokana na fedha uliyoniachia, nimepata faida mara kumi zaidi.’
to come then the/this/who first to say lord: master the/this/who mina you ten (to earn more *N(k)O*) mina
17 “Yule bwana akamjibu, ‘Umefanya vizuri mtumishi mwema! Kwa sababu umekuwa mwaminifu katika wajibu mdogo sana, nakupa mamlaka juu ya miji kumi.’
and to say it/s/he (well done *N(k)O*) good slave that/since: since in/on/among least faithful to be to be authority to have/be above ten city
18 “Wa pili naye akaja. Akasema, ‘Bwana, fedha yako imeleta faida mara tano zaidi.’
and to come/go the/this/who secondly to say the/this/who mina you lord: master to do/make: do five mina
19 “Bwana wake akajibu, ‘Nakupa mamlaka juu ya miji mitano.’
to say then and this/he/she/it and you above to be five city
20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.
and (the/this/who *no*) other to come/go to say lord: master look! the/this/who mina you which to have/be to lay up in/on/among handkerchief
21 Nilikuogopa, kwa sababu wewe ni mtu mgumu. Unachukua ambapo hukuweka kitu, na unavuna mahali ambapo hukupanda kitu.’
to fear for you that/since: since a human severe to be to take up which no to place and to reap which no to sow
22 “Bwana wake akamjibu, ‘Nitakuhukumu kwa maneno yako mwenyewe, wewe mtumishi mwovu! Kama ulifahamu kwamba mimi ni mtu mgumu, nichukuaye mahali ambapo sikuweka kitu na kuvuna mahali ambapo sikupanda,
to say (then *k*) it/s/he out from the/this/who mouth you to judge you evil/bad slave to perceive: know that/since: that I/we a human severe to be to take up which no to place and to reap which no to sow
23 kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’
and through/because of which? no to give me the/this/who money upon/to/against (the/this/who *k*) table I/we and to come/go with interest if it/s/he to do/require
24 “Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama karibu, ‘Mnyangʼanyeni fungu lake la fedha, mkampe yule mwenye kumi.’
and the/this/who to stand by to say to take up away from it/s/he the/this/who mina and to give the/this/who the/this/who ten mina to have/be
25 “Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’
and to say it/s/he lord: master to have/be ten mina
26 “Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba kila aliye na kitu, ataongezewa. Lakini yule asiye na kitu, hata alicho nacho atanyangʼanywa.
to say (for *ko*) you that/since: that all the/this/who to have/be to give away from then the/this/who not to have/be and which to have/be to take up (away from it/s/he *ko*)
27 Lakini wale adui zangu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme juu yao. Waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’”
but/however the/this/who enemy me (this/he/she/it *N(k)O*) the/this/who not to will/desire me to reign upon/to/against it/s/he to bring here and to slaughter it/s/he before me
28 Baada ya Yesu kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.
and to say this/he/she/it to travel before to ascend toward Jerusalem
29 Naye alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye mlima uitwao Mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili, akawaambia,
and to be as/when to come near toward Bethphage and Bethany to/with the/this/who mountain the/this/who to call: call Olivet to send two the/this/who disciple (it/s/he *ko*)
30 “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa.
(to say *N(k)O*) to go toward the/this/who before village in/on/among which to enter to find/meet colt to bind upon/to/against which none ever a human to seat (and *no*) to loose it/s/he to bring
31 Kama mtu akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”
and if one you to ask through/because of which? to loose thus(-ly) to say (it/s/he *k*) that/since: since the/this/who lord: God it/s/he need to have/be
32 Wale waliotumwa wakaenda, wakakuta kila kitu kama vile Yesu alivyokuwa amewaambia.
to go away then the/this/who to send to find/meet as/just as to say it/s/he
33 Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”
to loose then it/s/he the/this/who colt to say the/this/who lord: master it/s/he to/with it/s/he which? to loose the/this/who colt
34 Wale wanafunzi wakajibu, “Bwana anamhitaji.”
the/this/who then to say (that/since: that *no*) the/this/who lord: God it/s/he need to have/be
35 Wakamleta kwa Yesu, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Yesu juu yake.
and to bring it/s/he to/with the/this/who Jesus and to throw on (it/s/he *N(k)O*) the/this/who clothing upon/to/against the/this/who colt to mount the/this/who Jesus
36 Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
to travel then it/s/he to spread the/this/who clothing (it/s/he *NK(o)*) in/on/among the/this/who road
37 Alipokaribia mahali yanapoanzia materemko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:
to come near then it/s/he already to/with the/this/who descent the/this/who mountain the/this/who Olivet be first all the/this/who multitude the/this/who disciple to rejoice to praise the/this/who God voice/sound: voice great about (all *NK(o)*) which to perceive: see power
38 “Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.”
to say to praise/bless the/this/who to come/go the/this/who king in/on/among name lord: God in/on/among heaven peace and glory in/on/among Highest
39 Baadhi ya Mafarisayo waliokuwamo miongoni mwa ule umati wa watu wakamwambia, “Mwalimu, waamuru wanafunzi wako wanyamaze.”
and one the/this/who Pharisee away from the/this/who crowd to say to/with it/s/he teacher to rebuke the/this/who disciple you
40 Yesu akawajibu, “Nawaambia ninyi, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.”
and to answer to say (it/s/he *ko*) to say you (that/since: that *ko*) if this/he/she/it (be quiet *N(k)O*) the/this/who stone (to cry *N(k)O*)
41 Alipokaribia Yerusalemu na kuuona mji, aliulilia,
and as/when to come near to perceive: see the/this/who city to weep upon/to/against (it/s/he *N(k)O*)
42 akisema, “Laiti ungalijua hata wewe leo yale ambayo yangeleta amani, lakini sasa yamefichika machoni pako.
to say that/since: that if: if only to know (and indeed *k*) in/on/among the/this/who day (you *k*) this/he/she/it and you the/this/who to/with peace (you *ko*) now then to hide away from eye you
43 Hakika siku zinakujia, ambazo adui zako watakuzingira, nao watakuzunguka pande zote na kukuzuilia ndani.
that/since: since to come/be present day upon/to/against you and (to encamp *N(k)O*) the/this/who enemy you barricade you and to surround you and to hold/oppress you from all sides
44 Watakuponda chini, wewe na watoto walioko ndani ya kuta zako. Nao hawataacha hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukutambua wakati wa kujiliwa kwako.”
and to raze you and the/this/who child you in/on/among you and no to release: leave stone upon/to/against (stone *N(k)O*) in/on/among you for which no to know the/this/who time/right time the/this/who oversight you
45 Ndipo akaingia eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza vitu humo.
and to enter toward the/this/who temple be first to expel the/this/who to sell (in/on/among it/s/he *k*) (and to buy *K*)
46 Naye akawaambia, “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’ lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’”
to say it/s/he to write (and *no*) (to be *N(k)O*) the/this/who house: home me house: home prayer you then it/s/he to do/make: do cave robber/rebel
47 Kila siku alikuwa akifundisha Hekaluni. Lakini viongozi wa makuhani, walimu wa sheria na viongozi wa watu walikuwa wakitafuta njia ili kumuua.
and to be to teach the/this/who according to day in/on/among the/this/who temple the/this/who then high-priest and the/this/who scribe to seek it/s/he to destroy and the/this/who first: best the/this/who a people
48 Lakini hawakupata nafasi kwa sababu watu wote walimfuata wakiyasikiliza maneno yake kwa usikivu mwingi.
and no to find/meet the/this/who which? to do/make: do the/this/who a people for all to hang upon it/s/he to hear

< Luka 19 >