< Luka 17 >

1 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mambo yanayosababisha watu watende dhambi hayana budi kutukia. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha.
to say then to/with the/this/who disciple (it/s/he *no*) impossible to be the/this/who the/this/who stumbling block not to come/go (but/however *N(k)O*) woe! through/because of which to come/go
2 Ingekuwa heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini, kuliko kumsababisha mmojawapo wa hawa wadogo kutenda dhambi.
to profit it/s/he if (stone millstone *N(k)O*) to surround about the/this/who neck it/s/he and to throw/lay down toward the/this/who sea or in order that/to to cause to stumble the/this/who small this/he/she/it one
3 Kwa hiyo, jilindeni. “Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu, msamehe.
to watch out themself if (then *k*) to sin (toward *k*) (you *K*) the/this/who brother you to rebuke it/s/he and if to repent to release: forgive it/s/he
4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”
and if seven times the/this/who day (to sin *N(k)O*) toward you and seven times (the/this/who day *k*) to turn (to/with *N(k)O*) you to say to repent to release: forgive it/s/he
5 Mitume wake wakamwambia Bwana, “Tuongezee imani.”
and to say the/this/who apostle the/this/who lord: God to add (to) me faith
6 Bwana akawajibu, “Kama mkiwa na imani ndogo kama punje ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, ‘Ngʼoka ukaote baharini,’ nao ungewatii.
to say then the/this/who lord: God if (to have/be *N(k)O*) faith as/when seed mustard to say if the/this/who mulberry tree this/he/she/it to uproot and to plant in/on/among the/this/who sea and to obey if you
7 “Ikiwa mmoja wenu ana mtumishi anayelima shambani au anayechunga kondoo, je, mtumishi huyo arudipo atamwambia, ‘Karibu hapa keti ule chakula?’
which? then out from you slave to have/be to plow or to shepherd which to enter out from the/this/who field to say it/s/he immediately to pass by (to recline *N(k)O*)
8 Je, badala yake, hatamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge unitumikie ninapokula na kunywa; baadaye waweza kula na kunywa?’
but not! to say it/s/he to make ready which? to dine and to gird to serve me until to eat and to drink and with/after this/he/she/it to eat and to drink you
9 Je, huyo mtu atamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza yale aliyoamriwa?
not to have/be grace the/this/who slave (that *k*) that/since: since to do/make: do the/this/who to direct (it/s/he no to think *K*)
10 Vivyo hivyo nanyi mkiisha kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi tu watumishi tusiostahili; tumefanya tu yale tuliyopaswa kufanya.’”
thus(-ly) and you when(-ever) to do/make: do all the/this/who to direct you to say that/since: that slave worthless to be (that/since: since *k*) which (to owe *NK(o)*) to do/make: do to do/make: do
11 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
and to be in/on/among the/this/who to travel (it/s/he *ko*) toward Jerusalem and it/s/he to pass through through/because of (midst *N(k)O*) Samaria and Galilee
12 Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
and to enter it/s/he toward one village to meet it/s/he ten leprous man which (to stand *NK(O)*) afar off
13 wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
and it/s/he to take up voice/sound: voice to say Jesus master to have mercy me
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
and to perceive: see to say it/s/he to travel to show/prove themself the/this/who priest and to be in/on/among the/this/who to go it/s/he to clean
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
one then out from it/s/he to perceive: see that/since: that to heal to return with/after voice/sound: voice great to glorify the/this/who God
16 Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
and to collapse upon/to/against face from/with/beside the/this/who foot it/s/he to thank it/s/he and it/s/he to be Samaritan
17 Yesu akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
to answer then the/this/who Jesus to say (not! *NK(o)*) the/this/who ten to clean the/this/who then nine where?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
no to find/meet to return to give glory the/this/who God if: not not the/this/who foreign this/he/she/it
19 Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
and to say it/s/he to arise to travel the/this/who faith you to save you
20 Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii,
to question then by/under: by the/this/who Pharisee when? to come/go the/this/who kingdom the/this/who God to answer it/s/he and to say no to come/go the/this/who kingdom the/this/who God with/after observation
21 wala watu hawatasema, ‘Huu hapa,’ au ‘Ule kule,’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
nor to say look! here or (look! *ko*) there look! for the/this/who kingdom the/this/who God inside you to be
22 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona.
to say then to/with the/this/who disciple to come/go day when to long for one the/this/who day the/this/who son the/this/who a human to perceive: see and no to appear
23 Watu watawaambia, ‘Yule kule!’ Au, ‘Huyu hapa!’ Msiwakimbilie.
and to say you look! there or look! here not to go away nor to pursue
24 Kwa maana kama vile umeme wa radi umulikavyo katika anga kuanzia mwisho mmoja hadi mwingine, ndivyo atakavyokuwa Mwana wa Adamu katika siku yake.
just as for the/this/who lightning (the/this/who *ko*) to flash out from the/this/who by/under: by (the/this/who *no*) heaven toward the/this/who by/under: by heaven to shine thus(-ly) to be (and *k*) the/this/who son the/this/who a human in/on/among the/this/who day it/s/he
25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.
first then be necessary it/s/he much to suffer and to reject away from the/this/who generation this/he/she/it
26 “Kama ilivyokuwa siku za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Adamu.
and as/just as to be in/on/among the/this/who day (the/this/who *k*) Noah thus(-ly) to be and in/on/among the/this/who day the/this/who son the/this/who a human
27 Watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina. Ndipo gharika ikaja na kuwaangamiza wote.
to eat to drink to marry (to give in marriage *N(k)O*) until which day to enter Noah toward the/this/who ark: Noah and to come/go the/this/who flood and to destroy (all *N(k)O*)
28 “Ndivyo ilivyokuwa katika siku za Loti: Watu walikuwa wakila na kunywa, wakinunua na kuuza, wakilima na kujenga.
similarly (as/just as *N(k)O*) to be in/on/among the/this/who day Lot to eat to drink to buy to sell to plant to build
29 Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya moto na kiberiti kutoka mbinguni ukawaangamiza wote.
which then day to go out Lot away from Sodom to rain down fire and sulfur away from heaven and to destroy (all *N(k)O*)
30 “Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa.
according to (the/this/who *no*) (it/s/he *N(k)O*) to be which day the/this/who son the/this/who a human to reveal
31 Siku hiyo, mtu yeyote aliye juu ya dari ya nyumba yake, hata vitu vyake vikiwa ndani ya hiyo nyumba, asishuke kuvichukua. Vivyo hivyo mtu aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua chochote.
in/on/among that the/this/who day which to be upon/to/against the/this/who housetop and the/this/who vessel it/s/he in/on/among the/this/who home not to come/go down to take up it/s/he and the/this/who in/on/among (the/this/who *k*) field similarly not to turn toward the/this/who after
32 Mkumbukeni mke wa Loti!
to remember the/this/who woman: wife Lot
33 Mtu yeyote anayejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa.
which if to seek the/this/who soul: life it/s/he (to gain *N(K)O*) to destroy it/s/he (and *k*) which (then *no*) (if *N(k)O*) (to destroy *NK(o)*) (it/s/he *k*) to give life it/s/he
34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.
to say you this/he/she/it the/this/who night to be two upon/to/against bed one the/this/who one to take and the/this/who other to release: leave
35 Wanawake wawili watakuwa wanasaga nafaka pamoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. [
to be two to grind upon/to/against the/this/who it/s/he (the/this/who *no*) one to take (and *k*) the/this/who (then *no*) other to release: leave
36 Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]”
(two in/on/among field one to take and the/this/who other to release: leave *K*)
37 Kisha wakamuuliza, “Haya yatatukia wapi Bwana?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, huko ndiko tai watakapokusanyika.”
and to answer to say it/s/he where? lord: God the/this/who then to say it/s/he where(-ever) the/this/who body there (and *no*) the/this/who eagle (to gather *N(k)O*)

< Luka 17 >