< Luka 13 >

1 Wakati huo huo, kulikuwa na watu waliomwambia Yesu habari za Wagalilaya ambao Pilato aliwaua, na damu ya hao watu akaichanganya na dhabihu yao waliyokuwa wanatoa.
Na wakati ou na ou, bhahali abhantu bhabhabholele enongwa eya Bhagalilaya bhala ambabho oPilato asangenye idanda lyabho na dhabihu zyabho.
2 Yesu akawauliza, “Mnadhani kwamba hawa Wagalilaya ambao walikufa kifo cha namna hiyo walikuwa na dhambi kuwazidi Wagalilaya wengine wote?
Wabhagagula wabhabhola, “Eshi msebhe eyaje Agalilaya ebho bhali bhabhibhi ashile Agalilaya wonti hata gabhajile amambo ego gonti?
3 La hasha! Ninyi nanyi msipotubu, mtaangamia vivyo hivyo.
Embabhola, siyo, lelo nkashile semlamba amwe mwenti mwaitega shesho.
4 Au wale watu kumi na wanane waliokufa walipoangukiwa na mnara huko Siloamu: mnadhani wao walikuwa waovu kuliko watu wote waliokuwa wanaishi Yerusalemu?
Au bhala kumi na nane bhabhagwelewe no mnara ohwo hu Siloamu wabhagojile msebha eye je abhahale ali bhakosaji ashile abhantu bhonti bhabhakheyee hu Yerusalemu?
5 Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”
Embabhola, siyo lelo nkashile semlamba amwe mwenti mwaitega shesho.
6 Kisha Yesu akawaambia mfano huu: “Mtu mmoja alikuwa na mtini uliopandwa katika shamba lake la mizabibu, akaja ili kutafuta tini kwenye mti huo, lakini hakupata hata moja.
Wayanga ofwano ogu, “Omuntu omo ali nikwi lyatotilwe mgonda gwakwe elya mizabibu wabhala awanze amadondo juu yakwe sewa gaga.
7 Hivyo akamwambia mtunza shamba: ‘Tazama, kwa muda wa miaka mitatu sasa nimekuwa nikija kutafuta matunda kwenye mtini huu, nami sikupata hata moja. Ukate! Kwa nini uendelee kuharibu ardhi?’
Wabhola omtunzaji owe gonda elye mazabibu enya amaha gatatu ega nenza ahwanze amadondo juu ye yikwi eli. Senahajile ahantu. Oudumre mbona hata ensi enachicha?
8 “Yule mtunza shamba akamjibu, ‘Bwana, uache tena kwa mwaka mmoja zaidi, nami nitaupalilia na kuuwekea mbolea.
Wagalula wabhola ogosi oureshe omwaha ogu gwape, 'hata egufugutile enguponyezye eburi.
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vyema, la sivyo uukate.’”
Lyape ugapapa amadodo pamande, shinza; nkashile sewaipapa ndipo odumraje!”'
10 Basi Yesu alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo siku ya Sabato.
Isiku elya tozye ali asambelezya msjiabhanza eshamwabho.
11 Wakati huo huo akaja mwanamke mmoja aliyekuwa na pepo mchafu, naye alikuwa amepinda mgongo kwa muda wa miaka kumi na minane, wala alikuwa hawezi kunyooka wima.
Na enya, pali noshe yali ni pepo lye udhaifu omda ogwe maha kumi naminane wape agolombene sawezizye ahwigolozye tee.
12 Yesu alipomwona, akamwita, akamwambia, “Mwanamke, uwe huru, umepona ugonjwa wako.”
O Yesu nawalola akwizizye, wabholo, Maye, oyauliwe katika oudhaifu waho.”
13 Yesu alipomwekea mikono yake, mara akasimama wima akaanza kumtukuza Mungu.
Wabheha amakhono gakwe juu yakwe wape wagoroha pepo watukuzya Ongolobhe.
14 Lakini kiongozi wa sinagogi akakasirika kwa sababu Yesu alikuwa ameponya mtu siku ya Sabato. Akaambia ule umati wa watu, “Kuna siku sita ambazo watu wanapaswa kufanya kazi. Katika siku hizo, njooni mponywe, lakini si katika siku ya Sabato.”
Eshi ogosi oweshibhanza avitilwe afwanaje oYesu aponizye omntu isiku elyatozye agalura wabhobhola mabongano zihweli esiku sita zyazihwaziwa abhombe embombo. Basi enzaji mponywe msiku ezyo wala siyo mnsiku ezyatoye.
15 Lakini Bwana akamjibu, “Enyi wanafiki! Je, kila mmoja wenu hamfungulii ngʼombe wake au punda wake kutoka zizini akampeleka kumnywesha maji siku ya Sabato?
Lelo Ogosi wagalula wayanga amwe, “wanafiki! Shila omo wenyu je sahwigulika eng'ombe yakwe isiku elyatoye mwigoma abhale nayo amwelezye?
16 Je, huyu mwanamke, ambaye ni binti wa Abrahamu, aliyeteswa na Shetani akiwa amemfunga kwa miaka yote hii kumi na minane, hakustahili kufunguliwa kutoka kifungo hicho siku ya Sabato?”
Vono oshe yali shikholo sha Ibulahimu, ambaye oshetani apinyile amaha kumi na minane ega, sehwanziwa aje ayaulwe evifungo evi isiku elya toye?”
17 Aliposema haya, wapinzani wake wakaaibika, lakini watu wakafurahi kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyoyafanya.
Nawayanga ego bhasauhana wonti bhadalihanaga nabho amabongano wonti bha shimo afwanaje eye mambo aminza gagabhombeshe no mwehale.
18 Kisha Yesu akauliza, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaufananisha na nini?
Esho ayanjile oumwene owa Ngolobhe ulengene ne yenu, nane embulenganisye ne yenu?
19 Umefanana na punje ya haradali ambayo mtu aliichukua na kuipanda katika shamba lake. Nayo ikakua, ikawa mti nao ndege wa angani wakatengeneza viota vyao kwenye matawi yake.”
Ulengane ne punje eye haradali yayejile omntu wasasa mgonda gakwe yamela yabha likwii enyonyi ezya mwanya zakhala msamba zyakwe.
20 Yesu akauliza tena, “Nitaufananisha Ufalme wa Mungu na nini?
Wayanga olya bhele engulenganisye neyenu oumwene owa Ngolobhe?
21 Unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga mpaka wote ukaumuka.”
Ulengane ne chachu yahejile oshe wayifisa mhati eye pishi zitatu ezye usu hatgwasapa gwonti nantele.”
22 Yesu akapita katika miji na vijiji, akifundisha wakati alisafiri kwenda Yerusalemu.
Wope ali shila mmaboma nu mvijiji asambelezya esafari yakwe eyabhale hu Yerusalemu.
23 Mtu mmoja akamuuliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?”
Omntu omo wabhozya eshi, “Gosi, abhantu bhabhahwaulwa bhadodo?” Wabhola,
24 Yesu akawaambia, “Jitahidini sana kuingia kupitia mlango mwembamba, kwa maana nawaambia wengi watajaribu kuingia, lakini hawataweza.
“Hwitahidi ahwinjile mlyango gula onyela, afanaje embabhola eyaje abhinji bhayanza ahwinjile bhayipotwa.
25 Wakati mwenye nyumba atakapoondoka na kufunga mlango, mtasimama nje mkibisha mlango na kusema, ‘Bwana! Tufungulie mlango!’ “Lakini yeye atawajibu, ‘Siwajui ninyi, wala mtokako.’
Wakati omwanesho nyumba nayemelela na galile olyango namwe mwayanda ahwemelele hwonze nakhome ehodi palyango, na yanje ee Gosi, tigulile omwahale abhagalule na bhabhole sembamenye hwamufuma.'
26 “Ndipo mtamjibu, ‘Tulikula na kunywa pamoja nawe, tena ulifundisha katika mitaa yetu.’
Esho mwayanda ayanje, Taliye na mweele hwitagalile lyaho nawe wasambelezyezye idala elyetu.”
27 “Lakini yeye atawajibu, ‘Siwajui ninyi, wala mtokako. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’
Wape abhayanje embabhola, `sembamenye hwamfumele sogalaji hwiline amwe mwenti mwemuli bhabhomba!'
28 “Ndipo kutakuwako kilio na kusaga meno, mtakapowaona Abrahamu, Isaki, Yakobo na manabii wote wakiwa katika Ufalme wa Mungu, lakini ninyi mkiwa mmetupwa nje.
Esho shashabha shililo nasye amino namwanyihulo oIbulahimu no Isaka, no Yakobo na khakuwa wonti abhe umwene owa Ngolobhe namwe mwemwe mponyezyewe hwonze.
29 Watu watatoka mashariki na magharibi, kaskazini na kusini, nao wataketi kwenye sehemu walizoandaliwa karamuni katika Ufalme wa Mungu.
Wope bhayenza abhantu afume hu Mashariki, na hu Magharibi, nafume hu Kaskazini na hu Kusini, wape bhayikhara pashalye pa umwene owa Ngolobhe.
30 Tazama, kunao walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, nao wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”
Na enya, wahweli bhali bhamwisho bhayibha bhahwanda na abha hwanda bhayibha bha mwisho.”
31 Wakati huo huo baadhi ya Mafarisayo wakamwendea Yesu na kumwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine kwa maana Herode anataka kukuua.”
Esaa yeyo Amafarisayo bhamo bhamo bhabhariye, “Bhabhola fuma epe, obhale pamwabho, afwanaje oHerode ahwanza hugoje.”
32 Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, ‘Ninafukuza pepo wachafu na kuponya wagonjwa leo na kesho, nami siku ya tatu nitaikamilisha kazi yangu.’
Wabhabhola, “Bhalaji mbhore ola ombela, `Enya, sanyono na sandabho efumila epepo na ponye empongo, isiku elyatatu ekamiliha.
33 Sina budi kuendelea na safari yangu leo, kesho na kesho kutwa: kwa maana haiwezekani nabii kufa mahali pengine isipokuwa Yerusalemu.
Pandwemo nego enanziwe akhate idala lyane sanyono na shendabho na renda sandabho, afwanaje sehwaziwa aje okuwa atejele hwonze eye Yerusalemu.
34 “Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako! Mara ngapi nimetamani kuwakusanya watoto wako pamoja, kama vile kuku akusanyavyo vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka!
Ee Yerusalemu, u Yerusalemu, wogoga abhakuwa na bhakhome na mawe bhabhasontezyewe, mara halenga enanzile abhabhonganye abhana bhaho nenshe shila ekuku nebhoganya evyana vyakwe pansi eya mapiho gakwe, wala semwahanzile.
35 Tazama nyumba yenu imeachwa ukiwa. Ninawaambia, hamtaniona tena mpaka wakati ule mtakaposema, ‘Amebarikiwa yeye ajaye kwa jina la Bwana.’”
Enyaji, mreshewe enyumba yenyu. Nane embabhola, se mwailondola nante na mwaha, hata namwayiyanga asalwe yalwenza hwitawa elya Gosi.”

< Luka 13 >