< Luka 12 >

1 Wakati huo, umati mkubwa wa watu maelfu, walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake, akawaambia: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani, unafiki wao.
Gene malangago bhashinkuluimana lugwinjili lwa bhandu maelupu, mpaka kuishila kulibhatana, a Yeshu gubhatandwibhe kwaalugulilanga bhaajiganywa bhabho, Mwiiteiganje na ngedule ya mapalishayo, yani ugulumba.
2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.
Shakwapi shoshowe shiunishilwe shikaapinga unukulwa, na shoshowe shiishiywe shipinga manyika.
3 Kwa hiyo, lolote mlilosema gizani litasikiwa nuruni. Na kile mlichonongʼona masikioni mkiwa kwenye vyumba vya ndani, kitatangazwa juu ya paa.
Kwa nneyo, yowe immeleketenje palubhindu, bhandunji shibhaipilikananje pa shilangaya na yowe imwanyinyitangaga nnyumba nni nng'ugelenje milango, ipinga lunguywa pa shipagala sha nyumba.
4 “Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, lakini baada ya hilo hawawezi kufanya lolote zaidi.
Ngunakunnugulilanga mwashaambwiga ajangu, nnaajogopanje bhabhulaganga shiilu bhala, ikabheje bhakaakombolanga kutenda shina kupunda shenesho.
5 Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna g1067)
Shininnangulanje gani apinjikwa kujogopwa. Munnjogopanje jwene akombola kubhulaga, na abhulagaga anakombola kunnjaa mundu ku moto gwa kujeanamu. Elo, ngunakummalanjilanga, munnjogopanje jwenejo. (Geenna g1067)
6 Mnajua kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti mbili? Lakini Mungu hamsahau hata mmoja wao.
Bhuli ndyondyo nng'ano ikaushwa kwa ela ishokope? Ikabheje nkali jumo akalibhalika na a Nnungu.
7 Naam, hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa. Hivyo msiogope, kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
Nkali umbo ya mmitwe jenunji a Nnungu bhaimanyi pwili ilingwa. Bhai, nnajogopanje, mmanganya mmambonenji kupunda ndyondyo yaigwinji!
8 “Ninawaambia kwamba yeyote atakayenikiri mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
“Kweli ngunakummalanjilanga, mundu jojowe ashangunde palugwinjili, Mwana juka Mundu shankunde pa ashimalaika bha a Nnungu.
9 Lakini yeye atakayenikana mimi mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya malaika wa Mungu.
Ikabheje, mundu jojowe angana pa bhandu najwalakwe apinga kanwa pa ashimalaika bha a Nnungu.
10 Naye kila atakayenena neno baya dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
“Jojowe abheleketa malobhe ga nyata kuka Mwana juka Mundu shaleshelelwe, ikabheje akunkupulu Mbumu jwa Ukonjelo akaleshelelwa.
11 “Watakapowapeleka katika masinagogi, na mbele ya watawala na wenye mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu namna mtakavyojitetea au mtakavyosema.
“Mmanganya pushibhampelekanje mmashinagogi kuukumulwa na bhatagwala na bhakulungwanji, nnakolanje lipamba lya shana bhuli pushimwitapulanje eu muubheleketelo.
12 Kwa maana Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Pabha popo pepo Mbumu jwa Ukonjelo shannjiganyanje sha bheleketa.”
13 Mtu mmoja katika umati wa watu akamwambia Yesu, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.”
Mundu jumo nnugwinjili lwa bhandu lula gwabhalugulile a Yeshu, “Mmaajiganya, munnugulile nkulwangu tugabhane ulishi gubhatuleshele atati.”
14 Lakini Yesu akamwambia, “Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi kuwa hakimu wenu au msuluhishi juu yenu?”
A Yeshu gubhannjangwile, “Ambwiga, gani amishile nne kubha akimu na nkugabhanya jwenunji?”
15 Ndipo Yesu akawaambia, “Jihadharini! Jilindeni na aina zote za choyo. Kwa maana maisha ya mtu hayatokani na wingi wa mali alizo nazo.”
Bhai a Yeshu gubhaalugulilenje bhowenji, “Mwiiteiganje na shilokoli shoshowe, pabha gumi uka mundu ukatamila ga gwinji gwa indu yakwete.”
16 Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.
Kungai gubhaatanjilenje lutango, “Ashinkupagwa mundu jumo tajili, atungwile yalya munngunda gwakwe.
17 Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Sina mahali pa kuhifadhi mavuno yangu.’
Jwene mundujo gwaganishiye muntima gwakwe, ‘Shindende bhuli na nne nangali pagosheya yalya yangu?
18 “Ndipo huyo tajiri akasema, ‘Nitafanya hivi: Nitabomoa ghala zangu za nafaka na kujenga nyingine kubwa zaidi na huko nitayahifadhi mavuno yangu yote na vitu vyangu.
Shindende nnei, shimomole nngokwe yangu na shinjenje jikulungwa, mwenemo shimishe yalya yowe na indu yangu.
19 Nami nitaiambia nafsi yangu, “Nafsi, unavyo vitu vingi vizuri ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi. Pumzika; kula, unywe, ufurahi.”’
Penepo shiniibheleketele shamuntima, nnaino ukwete shibhiko sha pwaa yaka ya igwinji. Bhai pumulila, gwiilile na gwiing'wele na kuangalila.’
20 “Lakini Mungu akamwambia, ‘Mpumbavu wewe! Usiku huu uhai wako unatakiwa. Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea akiba vitakuwa vya nani?’
Ikabheje a Nnungu gubhannugulile, ‘Mmangumba mmwe, shilo sha lelo ntima gwenu upinga tolwa. Na indu yowe imwiibhishile ila shiibhe ikeni?’”
21 “Hivyo ndivyo ilivyo kwa wale wanaojiwekea mali lakini hawajitajirishi kwa Mungu.”
A Yeshu gubhamalishiye kwa bheleketa, “Na malinga mundu akwiibhishila indu nnyene, ikabheje kwa a Nnungu jwangali shindu.”
22 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa hiyo nawaambia, msisumbukie maisha yenu kwamba mtakula nini; au msumbukie miili yenu kwamba mtavaa nini.
Kwa nneyo a Yeshu gubhaabhalanjilenje bhaajiganywa bhabho, “Kwa lyene ligongolyo, nnakolanje lipamba ga shalya sha lamila, wala ga iwalo.
23 Maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Pabha gumi ni gwa mmbone kupunda shalya, na shiilu ni sha mmbone kupunda iwalo.
24 Fikirini ndege! Wao hawapandi wala hawavuni, hawana ghala wala popote pa kuhifadhi nafaka; lakini Mungu huwalisha. Ninyi ni wa thamani zaidi kuliko ndege!
Nngalolanje makungulu, gakapanda na gakaneng'ena na wala gangali nngokwe jojowe. Nkali nneyo a Nnungu bhanakugaliya. Mmanganya ni bhammbonenji kupunda ijuni!
25 Ni nani miongoni mwenu ambaye kwa kujitaabisha kwake anaweza kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha yake?
Gani munkumbi gwenunji kwa lajilila kwakwe akombola kwiijenjesheya kapela lyubha limo lya gumi gwakwe?
26 Kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini basi kuyasumbukia hayo mengine?
Bhai, monaga nkakombolanga kutenda shindu shishoko malinga shenesho, kwa nndi nnajililanje na ganago?
27 “Angalieni maua jinsi yameavyo: Hayafanyi kazi wala hayafumi. Lakini nawaambia, hata Solomoni katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.
Nnolanje malubha ga mukonde shigakuti bhulika. Gakapota wala gakaluka. Ikabheje ngunakummalanjilanga, nkali a Shelemani na shuma kwabho kowe bhangawashwa kwa konja malinga lilubha limo.
28 Basi ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya shambani, ambayo leo yapo, na kesho yanatupwa motoni, si atawavika ninyi vizuri zaidi, enyi wa imani haba!
Bhai ibhaga, a Nnungu bhanakuliwasha nneyo liamba lya mukonde linkulibhonanga lelo na malabhi linaleshelwa pamoto, bhuli, mmanganya bhakanng'washanga kupunda genego? Mmanganya bha ngulupai jishoko!
29 Wala msisumbuke mioyoni mwenu mtakula nini au mtakunywa nini. Msiwe na wasiwasi juu ya haya.
“Bhai nnaabhushilanje ga shalya eu ga ya papila wala nnakolanje lipamba.
30 Watu wa mataifa ya duniani husumbuka sana kuhusu vitu hivi vyote, lakini Baba yenu anafahamu kuwa mnahitaji haya yote.
Pabha bhandu bhowe bhakakwaamanyanga a Nnungu, yeneyo peyo ni ibhaabhushilanga. Ikabheje Ainabhenunji bhamumanyi kuti mmanganya nnakwiipinganga yene induyo.
31 Bali utafuteni Ufalme wa Mungu, na haya yote atawapa pia.
Ikabhe nng'abhushilanje oti Upalume gwa a Nnungu, na ina yowe shimpatanje.”
32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme.
“Nnajogopanje, mmandunji bha likundi lishoko! Pabha Ainabhenunji bhashiengwa kumpanganga Upalume gwabho.
33 Uzeni mali zenu mkawape maskini. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwizi hakaribii wala nondo haharibu.
Nng'ushanje indu yenunji, mmbiyayo mwaapanganje bhaalaga. Mwialashiyanje mipatila jangalala nikwiibhishila shibhiko kunnungu kuikaamala. Kweneko bhagwii bhakajinjilanga, wala mang'ong'ota gakaalibhia.
34 Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo moyo wako utakapokuwa pia.
Pabha pushili shibhiko shenu na ntima gwenu shigubhe popo.
35 “Kuweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,
“Mmanganje tayali kwa liengo, na kandili yenunji ilikolela,
36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka kwenye karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara.
mmanganje malinga bhatumishi bhakwaalindililanga bhakulungwa bhabhonji bhabhuje kukopoka kundoa, nkupinga shangu bhaugulilanje pushibhaolishiyepo.
37 Heri wale watumishi ambao bwana wao atakapokuja atawakuta wakiwa wanakesha. Amin, nawaambia, atajifunga mkanda wake na kuwaketisha ili wale, naye atakuja na kuwahudumia.
Mbaya bhene bhatumishi bhakulungwa bhabhonji pushibhabhuje, shibhaaimananje bhalisheyanga! Kweli ngunakummalanjilanga, bhene bhakulungwabho shibhaibhishe ukoto kwa liengo, nikwaatamikanga bhalyanganje shalya, akuno bhalikwaatumishilanga.
38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja mnamo usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.
Nkali bhabhuje pakati shilo eu kumashelo, mbaya bhene bhatumishi bhushiaimananje bhalisheyanga!
39 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angalijua saa mwizi atakuja, asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.
Mmumanyanje kuti, kaliji nnyene nyumba akagamanyi malanga ga kwiya nngwii, akasheshiye, wala akanaleshe nyumba jakwe jibhomolwe.
40 Ninyi nanyi hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”
Nneila peila numbe mmanganya mmanganje muulolelo, pabha Mwana juka Mundu anakwiya malanga gunkakugalolelanga.”
41 Ndipo Petro akamuuliza, “Bwana, mfano huu unatuambia sisi peke yetu au watu wote?”
A Petili gubhaabhushiye a Yeshu, “Mmakulungwa, lwene lutangolu ntutanjile uwepe, eu bhandu bhowe?”
42 Yesu akamjibu, “Ni yupi basi wakili mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamfanya msimamizi juu ya watumishi wake wote, ili awape watumishi wengine chakula chao wakati unaofaa?
Bhakulungwa gubhajangwile, Bhai, igala gani ali nkulungwa jwa bhatumishi akwete lunda, lwa kwaatenda bhakulungwa bhakwe bhammishe kubha nkulungwa jwa bhatumishi bhabho, nkupinga abhapanganje shalya malanga ga pwaa?
43 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
Shiibhe mbaya jwene nkulungwa jwa bhatumishijo, bhakulungwa bhakwe pushibhabhujepo bhanng'imane alitenda nneyo.
44 Amin nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
Kweli ngunakummalanjilanga, shibhantende nkulungwa jwa indu yabho yowe.
45 Lakini kama yule mtumishi atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kurudi,’ kisha akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, na kula na kunywa na kulewa.
Ikabheje jwene ntumishijo aibheleketelaga sha muntima, bhakulungwa bhangu bhanakabha kubhuja, nitandubha kwaakomanga bhatumishi ajakwe, bhanabhalume na bhanabhakongwe, nilya na ng'wa na kolelwa,
46 Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua. Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wale wasioamini.
bhakulungwa bhakwe shibhabhuje lyubha lyangalilolela na malanga gangagamanya, shibhanngabhanye ipande ibhili, nikummika pamo na bhangakulupalikanga.
47 “Yule mtumishi anayefahamu vyema mapenzi ya bwana wake na asijiandae wala kufanya kama apendavyo bwana wake, atapigwa kwa mapigo mengi.
Ntumishi akugamanya gubhapinga bhakulungwa bhakwe, ikabhe akaatenda ibhapinga, shapanyangulwe kaje.
48 Lakini yeyote ambaye hakujua naye akafanya yale yastahiliyo kupigwa, atapigwa kidogo. Yeyote aliyepewa vitu vingi, atadaiwa vingi; na yeyote aliyekabidhiwa vingi, kwake vitatakiwa vingi.
Ikabheje akakumumanya jula, atendaga ya kummulaya apanyangulwe, shapanyangulwe kashoko. Jojowe apegwilwe yaigwinji, shalongwe yaigwinji, akulupalilwe kwa yaigwinji, shiipinjikwe yaigwinji.
49 “Nimekuja kuleta moto duniani; laiti kama ungekuwa tayari umewashwa!
“Njikwiya koleya moto pa shilambolyo, mbaya ukaliji ukoleywe!
50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike!
Ikabheje njikola ubhatisho gungupinjikwa matishwe, ngunapupa ntima mpaka gwene ubhatishogo umalile!
51 Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? La, nawaambia sivyo, nimekuja kuleta mafarakano.
Punkuganishiyanga nyile peleka ulele pa shilambolyo? Wala kashoko, nngabha ulele ikabhe malekano.
52 Kuanzia sasa, kutakuwa na watu watano katika nyumba moja, watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
Na kutandubhila nnaino, bhandunji nng'ano bha likaja limo bhapinga taukangana, bhatatu kwa bhabhili, na bhabhili kwa bhatatu.
53 Watafarakana baba dhidi ya mwanawe na mwana dhidi ya babaye, mama dhidi ya bintiye na binti dhidi ya mamaye, naye mama mkwe dhidi ya mkwewe na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.”
Ainamundu shibhantaushe mwanagwabho, na mwana shabhataushe ainagwe, anyinamundu shibhantaushe mwali jwabho, na jwalakwe mwali shabhataushe akwabhe, akwemundu shibhantaushe nkamwanagwabho na nkamwanamundu shabhataushe akwebhakwe.”
54 Pia Yesu akauambia ule umati wa watu, “Mwonapo wingu likitokea magharibi, mara mwasema, ‘Mvua itanyesha,’ nayo hunyesha.
A Yeshu gubhabhekete kabhili na lugwinjili, “Punkugabhonanga maunde galikoposhela kulititimila lyubha, shangupe nnabheleketanga, ‘Shijinye ula,’ na jinanya.
55 Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.
Nnjibhonangaga mbungo ja kwibhanda jinipuga, nnabheleketanga, ‘Kupingabhala lyubha,’ na pwikubha nneyo peyo.
56 Enyi wanafiki! Mnajua jinsi ya kutambua kuonekana kwa dunia na anga. Inakuwaje basi kwamba mnashindwa kutambua wakati huu wa sasa?
Mmanganya mmagulumba! Nnamanyanga kulondola kunya kwa ula eu kubhala kwa lyubha, kwa lola shilambo na kunani, bhai kwa nndi nkakujimanyanga jene miongwe jino?
57 “Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
“Kwa nndi mwaashayene nkaamuanga kutenda ya aki?
58 Uwapo njiani na mshtaki wako kwenda kwa hakimu, jitahidi kupatana naye mkiwa njiani. La sivyo, atakupeleka kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa afisa, naye afisa atakutupa gerezani.
Monaga mmagongo nnjenu alikwenda kunshitakiya, mbaya kujuga kuleshelelwa nninginji mumpanda, nkupinga anampeleshe ku bhaukumula, na bhaukumula bhanakunkamuya kwa ashimanjola, na bhalakwe ashimanjola bhanakuntabha.
59 Nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.”
Kweli ngunakummalanjila nkakopoka mwenemo, mpaka nnipe mmbiya ja malishiya.”

< Luka 12 >