< Luka 12 >

1 Wakati huo, umati mkubwa wa watu maelfu, walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu akaanza kuzungumza kwanza na wanafunzi wake, akawaambia: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani, unafiki wao.
Manoor ay kumon tawet ash ashuwots kakuwe bowutsi, bo aytsatse tuwtsotson bo atsatsewo gifinefetst bo net'eyiri, Iyesus shini b́ danifuwotssh hank'o eto dek't b́tuu. «Ferisawiwots boot' shashatse etonmó bokok'o git alberetsi wotatse it aatso korde'er.
2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.
Ipets keewo wogerawo oreratse, aatsetsonúwere danerawon oreratse.
3 Kwa hiyo, lolote mlilosema gizani litasikiwa nuruni. Na kile mlichonongʼona masikioni mkiwa kwenye vyumba vya ndani, kitatangazwa juu ya paa.
Eshe t'aluwotse it keewts jamo shanatse shishetuwe, is'eets mootse shashkon it keewtso jebatse sháánon keewetuwe.
4 “Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, lakini baada ya hilo hawawezi kufanya lolote zaidi.
«Itsh tmashootssh hank'o etiruwe, meets mec'ro úd'oniyere oko k'osho eegor k'alosh falrawuwotsi shatk'ayere,
5 Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua mwili, ana mamlaka ya kuwatupa motoni. Naam, nawaambia, mwogopeni huyo! (Geenna g1067)
Ernmó koni shato itsh b́geyituwok'o itsh keewituwe, manuwere b́ úd'iyehakon gahanemits juwosh falituwo aldetstso Ik'oniye; ee, b́ s'uzi sharere etiruwe itsha! (Geenna g1067)
6 Mnajua kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti mbili? Lakini Mungu hamsahau hata mmoja wao.
«Útś dimbitiwotsi tats santimosh kemefoshna? Boyitse ikunwor dab Ik'i shinatse batekiyaliye.
7 Naam, hata nywele za vichwa vyenu zote zimehesabiwa. Hivyo msiogope, kwa maana ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
Itkonmó it tooki s'ronuwor jamon dab tawekee, mansh shatk'ayere! it ay dibitiwwotsiye bogfte.»
8 “Ninawaambia kwamba yeyote atakayenikiri mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
Manats dabt Iyesus hank'o bí eti, «B́ jitserawo ash shinatse tjangosh gawituwosh ando taawor Ik' melakiwots shinatse b́ jangosh gawituwe.
9 Lakini yeye atakayenikana mimi mbele ya watu, Mwana wa Adamu naye atamkana mbele ya malaika wa Mungu.
Ash shinatse taan halituwosh ando taawere Ik'i melaktiwots shinatse bín haalitwe.
10 Naye kila atakayenena neno baya dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.
«Ash Na'o c'ashetuwosh b́ morro bísh orowa etetuwe, S'ayin shayiro c'ashetuwońmó b́ morro bísh orowe eteeratse.
11 “Watakapowapeleka katika masinagogi, na mbele ya watawala na wenye mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu namna mtakavyojitetea au mtakavyosema.
«Ash ashuwots itn Ik' k'oni maa moots bodamor, dats naashuwotsnat datsatse alts ashuwotsn shinats bo t'intsor ‹Eege no'aniytik'úna? Aawuk'o erniya k'úna nokewiti?› Err kic' k'ayere.
12 Kwa maana Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Keewosh iti geyituwo manoor S'ayin shayro itsh keewituwe.»
13 Mtu mmoja katika umati wa watu akamwambia Yesu, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu tugawane naye urithi wetu.”
Ash ashi dagotse ash iko Iyesussh, «Danifono, nonih noosh jeshuwo b́ imts datso taash b́ kayish oona neesha, ti eshush keewwe» bí eti.
14 Lakini Yesu akamwambia, “Rafiki, ni nani aliyeniweka mimi kuwa hakimu wenu au msuluhishi juu yenu?”
Iyesusmó, «Ashono neena, it dagotse angshituwo t wotituwok'onat resity t kayituwo kone taan naashiy?» ett bíaaniy.
15 Ndipo Yesu akawaambia, “Jihadharini! Jilindeni na aina zote za choyo. Kwa maana maisha ya mtu hayatokani na wingi wa mali alizo nazo.”
Manats dabt́ jametsuwotssh hank'o bíeti, «Ash kasho b́gizi ayonaliye, manshe it atso korde'er, jaalatsnowere it tooko korde're.»
16 Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.
Maniye okoon Iyesus ariyetsan hank'o ett b́ keewu, «B́ taaro maayi ay bish b́datsits gaalets ash iko fa'e b́ teshi,
17 Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Sina mahali pa kuhifadhi mavuno yangu.’
Bíwere b́ nibotse, ‹Maay jaman bítś t gas'et́woko t deshawotse aak'owe k'una tk'aliti?› ett b́ shiyaniri.
18 “Ndipo huyo tajiri akasema, ‘Nitafanya hivi: Nitabomoa ghala zangu za nafaka na kujenga nyingine kubwa zaidi na huko nitayahifadhi mavuno yangu yote na vitu vyangu.
Hank'o bí et, ‹Hank'owa t k'aliti bí et tt'iwu jamo gaahde k'osh een eenuwotsi agetwe, manits t mayona et, tk'ac' jamo bíts kakudek'etuwe.
19 Nami nitaiambia nafsi yangu, “Nafsi, unavyo vitu vingi vizuri ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi. Pumzika; kula, unywe, ufurahi.”’
Maniye okoon t tookosh, eshnee, ay natosh neesh bodetuwo ay gaalo fa'ee, eshe kashdefets hid'ee! moowe! úyee! genewuowee! etetuwe› bí et.
20 “Lakini Mungu akamwambia, ‘Mpumbavu wewe! Usiku huu uhai wako unatakiwa. Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea akiba vitakuwa vya nani?’
Ik'onmó ‹Nee dogono, hambets t'uwanitse n kasho niatsotse k'a'udek'etwe, eshe n kakuts gaal jaman konshe b́ wotiti?› bí et.
21 “Hivyo ndivyo ilivyo kwa wale wanaojiwekea mali lakini hawajitajirishi kwa Mungu.”
«B́ tookosh datsatse gaalo kakuwiruwo, Ik'i shinatse tugrets wottso hank'owe b́wotitiye.»
22 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Kwa hiyo nawaambia, msisumbukie maisha yenu kwamba mtakula nini; au msumbukie miili yenu kwamba mtavaa nini.
Maniye hakon Iyesus b́ danifuwotssh hank'o bíeti, «Eshe it kashosh ‹Eege no meeti? Noatsats eege notahiti?› err it beyosh shiyan k'ayere etiruwe.
23 Maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Mishoniyere kasho, tahoniyere atso bogfe.
24 Fikirini ndege! Wao hawapandi wala hawavuni, hawana ghala wala popote pa kuhifadhi nafaka; lakini Mungu huwalisha. Ninyi ni wa thamani zaidi kuliko ndege!
Aak' k'oruwotsi aab s'iilere! bo shohakno, k'ec'akno maay ko'iyet t'iwo wee maay ko'iyetwoko deshakno, b́wotefere, Ik'oni boosh manzir, Itiye kafuwotsiyere ayidek'at bogfte!
25 Ni nani miongoni mwenu ambaye kwa kujitaabisha kwake anaweza kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha yake?
Aab ititse shiyanat b́ beyi dúrats ik aawo dabdek'o falituwo kone?
26 Kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini basi kuyasumbukia hayo mengine?
Eshe keewi muk'nannor dab k'alosh falrawuwotsi wotefetsat, eegishe k'osh keewosh it kic'iri?
27 “Angalieni maua jinsi yameavyo: Hayafanyi kazi wala hayafumi. Lakini nawaambia, hata Solomoni katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.
Shiratsi funduwotsi aak'on bo eniruwok'o aab s'iilere, bo finon mawratsno, jokeraatsno, b́wotefere Solomon dab́ b́ mang jamonton boyitsi ikuk'o sheengts taho taheratse.
28 Basi ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya shambani, ambayo leo yapo, na kesho yanatupwa motoni, si atawavika ninyi vizuri zaidi, enyi wa imani haba!
Eshe, Ik'o hambets be'eyar yats taawots juwetuwo shiratsi tootso hank'o sheengsh b́ takitk wotiyal it amanerwanotsó, itnere bogshde'er takiyalkeya!
29 Wala msisumbuke mioyoni mwenu mtakula nini au mtakunywa nini. Msiwe na wasiwasi juu ya haya.
Mansh ‹Eege nomeeti? Eege nousheti?› err shiyanar k'ic'iftee.
30 Watu wa mataifa ya duniani husumbuka sana kuhusu vitu hivi vyote, lakini Baba yenu anafahamu kuwa mnahitaji haya yote.
Hanan datsoshere dastanatsi ash ashuwotswor kic'efno, itmó jaman itsh b́ geyituwok'owo daritstso it Nih danfee.
31 Bali utafuteni Ufalme wa Mungu, na haya yote atawapa pia.
Shin shino Ik'i mengsto geyore, jam keewanotsi itsh dabetuwe.»
32 “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vyema kuwapa ninyi Ufalme.
«It jir muk'ok'o wottsanotso shatk'ayere, it Nih darotstso mengsto itsh imoshe shunre.
33 Uzeni mali zenu mkawape maskini. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwizi hakaribii wala nondo haharibu.
It detsts jamo kemde'er t'owwotssh imere, narawu k'arc'ito k'anide'er it gizo ump'etso b́ borawok, k'inonuwere b́marawokonat b́ jamonor b́ s'uwurawokok Ik'i mengstots gerde'ere.
34 Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo moyo wako utakapokuwa pia.
It nibo it gizi beyoke b́ wotiti.»
35 “Kuweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,
Manats dabt Iyesus hank'o bí et, «K'awints edde'er finosh jam aawo k'an de'ere, it c'eeshonuwere aat'k wotowe.
36 kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka kwenye karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara.
Mank'owon, bo doonz jiwi mooke b́waa kotiruwo guutsuwotsi arore, bo bo doonz danerawo waar maá fengesho b́ togor kaari k'eshosh k'an dek'kne.
37 Heri wale watumishi ambao bwana wao atakapokuja atawakuta wakiwa wanakesha. Amin, nawaambia, atajifunga mkanda wake na kuwaketisha ili wale, naye atakuja na kuwahudumia.
Bo doonz gawerawo b́ woor, kup'dek't bokotfere b́daatsit guutsuwots aak'o deereknok'uwa? Arikone itsh t keewiry, bí k'awints edde'er boon mishimarats beezituwe, t'inrnwere boosh manzitwe.
38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja mnamo usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.
Bodoonz talititson wee talititsoniye okoon b́ wafere botkrerawon kup'ar bín bokotfere b́ daatsitgutsuwots derekne.
39 Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angalijua saa mwizi atakuja, asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.
Andoor man dande'ere, moo doonz úmp'etso weet sa'ato b́ danink'e úmp'etso b́ moo iyde'er b́ kindituwok'o k'ayank'e b́ tesh.
40 Ninyi nanyi hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”
Mank'o Ash Na'o it gawuraw sa'ton it jalerawo, weetuwe, manshe itwor k'ande'er korere.»
41 Ndipo Petro akamuuliza, “Bwana, mfano huu unatuambia sisi peke yetu au watu wote?”
P'et'rosuwere «Doonzono! Jewuron nkeewiruwan noalsheya n keewiri? Himo jamosheya?» ett Iyesusi bí at.
42 Yesu akamjibu, “Ni yupi basi wakili mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamfanya msimamizi juu ya watumishi wake wote, ili awape watumishi wengine chakula chao wakati unaofaa?
Doonzo Iyesuswere hank'o et bí aaniy, «Eshe b́ maá ashuwotsi shengde'er b́ k'ezituwok'o b́ guutsuwotssh bo misho boosh eteets aawon boosh imetuwok'o b́ doonz b́ manzish naashiyets amanets s'ek guutso kone?
43 Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.
B́ doonz bíamtsoke bí'anefere bísh keewetsok'on b́ finefere b́ daatsituwo awuk'o deereke!
44 Amin nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.
Ariko itsh keewiruwe, b́ doonz b́ dets jamatse altso woshde'er naashituwe.
45 Lakini kama yule mtumishi atasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu anakawia kurudi,’ kisha akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, na kula na kunywa na kulewa.
Ernmó gutsman ‹T doonz kaari waratse, teshetwe› err b́ mafere, úyifets, mashefetsr guutsonat gonon jot'o de' b́tuwit.
46 Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua. Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wale wasioamini.
Ernmó b́ doonz b́koraw aawonat b́gawraw sa'aton weetwe, b́ gutsmanowere ayider fayarr b́tooko kawlr b́ gowonoowere woterawwotsnton b́woshiti.
47 “Yule mtumishi anayefahamu vyema mapenzi ya bwana wake na asijiandae wala kufanya kama apendavyo bwana wake, atapigwa kwa mapigo mengi.
«B́ doonz shunts keewo danfetst k'ande'awo, wee b́ doonz finowe bí ettso k'alraw guutso kup' togona b́ togeti.
48 Lakini yeyote ambaye hakujua naye akafanya yale yastahiliyo kupigwa, atapigwa kidogo. Yeyote aliyepewa vitu vingi, atadaiwa vingi; na yeyote aliyekabidhiwa vingi, kwake vitatakiwa vingi.
Ernmó b́ doonz geyiru keewo daron, bíyats dowet keewo finar b́daatseyal bín fayet fayo ketituwe, ay bísh imetsatse ayo bí'atse geetuwe, ay adaro imets ashoke aye bí'atse geeti.»
49 “Nimekuja kuleta moto duniani; laiti kama ungekuwa tayari umewashwa!
Manats dabt Iyesus hank'owa bí et «Hamb! taa datsats taawo dek'at waare, eshe, kaari taash desh b́gutsink'ere aak'owe t gene'uwiyank'oni!
50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike!
Ernmó taa t gupet gond bek'i gupeyo detsfe, bíwere b́ s'uufetsosh kashde'atse.
51 Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? La, nawaambia sivyo, nimekuja kuleta mafarakano.
Taa datsats jeeno tdootsok'o arefa itsha? Taayere tdootso k'aleya bako jenaliye etfe itsha.
52 Kuanzia sasa, kutakuwa na watu watano katika nyumba moja, watatu dhidi ya wawili, na wawili dhidi ya watatu.
Andon tuur ik mootse fa'a úts ashuwots k'aletune, Kezuwots gitetsuwotsats, gituwots kezetsuwotsats bo tuure fayetune.
53 Watafarakana baba dhidi ya mwanawe na mwana dhidi ya babaye, mama dhidi ya bintiye na binti dhidi ya mamaye, naye mama mkwe dhidi ya mkwewe na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.”
Niho naayo aats, naayonuwere nihoats, indu b́ ni'ats, ni'únuwere b indats, aawunuwere b́ naay maátsuats, naayo máátsunuwere bi awats, tuur bo eree bok'aleti.»
54 Pia Yesu akauambia ule umati wa watu, “Mwonapo wingu likitokea magharibi, mara mwasema, ‘Mvua itanyesha,’ nayo hunyesha.
Dabt Iyesus ash ashosh hank'owa bí et «Dawuno aawu kindo maantse itbek'tsok'owon ‹Hambe! hambets awusho butsishe bíetiri!› etetute, arikon butsetuwe.
55 Nanyi mwonapo upepo wa kusini ukivuma, ninyi husema, ‘Kutakuwa na joto,’ na huwa hivyo.
Mank'o muur maantse jongo b́jongor, ‹Hambets aawo k'es'e b́ wotiti› etetute, arkon wotituwe.
56 Enyi wanafiki! Mnajua jinsi ya kutambua kuonekana kwa dunia na anga. Inakuwaje basi kwamba mnashindwa kutambua wakati huu wa sasa?
It git alberetswotso dari maac'o s'ilat wotituwo danr keewitute, eshe and duranatse wotituwo eegishe it dariri?»
57 “Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
Maniye hakon Iyesus hank'owa bíet, «Beree it eegishe it it tookon ari keewo dan dek'at angsho it k'azi?
58 Uwapo njiani na mshtaki wako kwenda kwa hakimu, jitahidi kupatana naye mkiwa njiani. La sivyo, atakupeleka kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa afisa, naye afisa atakutupa gerezani.
N t'alato neen s'aamide angshi mook neen de bíamor weerindatse n t'alatonton ik wotosh kup'owe, maniyalbako bi niats angshituwots shinats getsde'er ametuwe, angshituwotsúwere tipetwotssh beshide'er imetuwe, tiptsmanuwere tipi moots kindshituwe.
59 Nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.”
K'awunts jamó im n ishfetso tip mootse kesho nfalrawok'owo neesh keewiruwe.»

< Luka 12 >