< Luka 11 >

1 Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akiomba. Alipomaliza kuomba, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, tufundishe kuomba, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.”
jilyahumile ikighono kino, uYesu alyale ikufunya pamonga, um'bulanisivua ghwake jumo akam'bulagha kuuti,” Mutwa, utuvulanisie najusue kukufunya ndavule uYohani alyavulanisie avavulanisivua vake”
2 Akawaambia, “Mnapoomba, semeni: “‘Baba yetu (uliye mbinguni), jina lako litukuzwe, ufalme wako uje. (Mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.)
uYesu akamwamula pano mukufunya mutisaghe, “Mutwa ilitavua lyako lyimikwaghe, uvwimike vwako vwisaghe.
3 Utupatie kila siku riziki yetu.
utupelaghe ifyakulia fiitu ifya jaatu.
4 Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa na sisi huwasamehe wote wanaotukosea. Wala usitutie majaribuni (bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu).’”
utusaghilaghe inyivi siitu, ndavule najusue tukuvasaghila voni vano vatuhokile. nungalulongosiaghe munngelo”
5 Kisha akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu mwenye rafiki yake, naye akamwendea usiku wa manane na kumwambia, ‘Rafiki, nikopeshe mikate mitatu.
uYesu akavavula akati, “ghwe veeni mu lyumue umanyani juno ikumulutila pakilo pe ikum'bula, manyani nisuuma amakate ghatatu.
6 Kwa sababu rafiki yangu amekuja kutoka safarini, nami sina kitu cha kumpa.’
ulwakuva umanyani ghwango anyisile si sala sisisi kuhuma muvukyusi, najune nilinsila ikya kun'tengelela. nu
7 “Kisha yule aliyeko ndani amjibu, ‘Usinisumbue. Mlango umefungwa, nami na watoto wangu tumelala. Siwezi kuamka nikupe chochote.’
ghwa mun'kate akamwamulagha akati uleke kunyangajisia, na june tughonile pa vulili. naningasisimuke nikupeele uve amakate.
8 Nawaambia, ingawa huyo mtu hataamka na kumpa hiyo mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ya kuendelea kwake kuomba, ataamka na kumpa kiasi anachohitaji.
nikuvavula nambe naisisimuka kukumpela amakate ndavule umanyani ghwake, ulwakuva ijigha idindusia kisita soni isisimuka na kukumpela amakate minga ndavule vuno ilonda.
9 “Kwa hiyo nawaambia: Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango.
najune nikuvavula musumaghe najumue mulapelua, mulondaaghe najumue mulafivona, muhodesyaghe najumue mulyadindulivua.
10 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
ulwakuva ummunhu ghweni juno isuuma alyupila, nu muunhu ghweni juno ilonda ikufyagha. nu munhu ghweni juno ihodesia umulyango ilidindulivua.
11 “Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba samaki, atampa nyoka badala yake?
ghwe baba juliku mu lyumue juno umwanake angasume iswi ikumpela injoka?
12 Au mtoto akimwomba yai atampa nge?
kange nave angasuume ilikang'a ikumpela iking'omelivuli?
13 Basi ikiwa ninyi mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa Roho Mtakatifu wale wamwombao!”
nave umue mwe vahosi mukimanyile kuvapela avaanha vinu ifinu ifinofu, lino uNhaata ghwinu ughwa kukyanya nakyaikuvapela uMhepo uMwimike ku vano vikunsuuma?
14 Basi Yesu alikuwa anamtoa pepo mchafu kutoka kwa mtu aliyekuwa bubu. Yule pepo mchafu alipomtoka yule mtu aliyekuwa bubu, akaanza kuongea, nao umati wa watu ukashangaa.
pambele uYesu alyale idaga ilipepo, umuunhu ynya lipepo alyale kinunu. ilipepo ye lihumile umuunhu jula akatengula kujova.
15 Lakini wengine wakasema, “Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, yule mkuu wa pepo wachafu wote.”
neke avaanhu avange vakati, “uju ivusia amapepo mwa Belisebuli, ili vaha lya mapepo.
16 Wengine ili kumjaribu wakataka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
avange vakamughelagha kuuti avasone ikivalilo kuhuma kukyanya.
17 Yesu akajua mawazo yao, naye akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Nayo nyumba iliyogawanyika dhidi yake yenyewe itaanguka.
neke uYesu akakagula amasaghe ghave akavavulagha, uvutwa vwovwoni vuno muligalung'ana vuliva vuvili, nu muunhu unya nyumba jino jigalungiine jilighua.
18 Kama Shetani amegawanyika mwenyewe, ufalme wake utasimamaje? Nawaambia haya kwa sababu ninyi mnadai ya kuwa mimi ninatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli.
nave uSetan iiva agalung'iine uvutwa vwake vukwimila ndani? ulwakuva mwiti nihumia amapepo mwa Belisebuli.
19 Kama mimi natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, wafuasi wenu nao je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu.
neke une nihumia amapepo mwa Belisebuli, pe avajiinu vihumia amapepo kusila nyiki? mu uluo, avene vilikuvahigha umue.
20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi Ufalme wa Mungu umewajia.
nave kange nihumia amapepo ni kyove ikya Nguluve, lino uvutwa vwa Nguluve vuvisile.
21 “Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake iko salama.
umuunhu umunya ngufu pano alinifilwilo ilolela inyumba jake, ifinu fyake viiva pavunofu.
22 Lakini mtu mwenye nguvu zaidi kumliko akimshambulia na kumshinda, yeye humnyangʼanya silaha zake zote alizozitegemea, na kuchukua nyara.
neke amwalukile umuunhu unya ngufu kyongo, umuunhu jula unya ngufu ilikunya ifilwilo fyake pe itola ifiinu fyake fyooni.
23 “Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya.
umwene juno na lubale lwango alikinsana nune, na juno naikong'ania palikimo nune ipalasania.
24 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’
ilipepo ililamafu likahuma kwa muunhu, iluta kulonda uvukalo uvusila malenga apuo apume. neke napakavonike, ijova iti, nigomoka kuno nikahumile.
25 Naye arudipo na kuikuta ile nyumba imefagiliwa na kupangwa vizuri,
angagomoke nene ivoona inyumba jifyaghililue pejikale vunofu.
26 ndipo huenda na kuchukua pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza.”
apuo peliluta kulonda amapepo likale lubale ghano mahosi kukila ilyene neke likuvaleta vise vikale pala apuo umuunhu ujuo ilemua kyongo kukila ulutasi.
27 Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”
jilyahumile kuuti alyatile ijova amasio aghuo, un'dala jumonga akajova fiijo kukila vooni mulipugha lya vaanhu na kujova, “lifunyilue ilileme lino likuholile na mavele ghano ghwong'ile”
28 Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
neke umwene akati, vafunyilue vala vano vipulika ilisio lya Nguluve na kukulivombela.
29 Umati wa watu ulipokuwa unazidi kuongezeka, Yesu akaendelea kusema, “Hiki ni kizazi kiovu. Kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
unsiki ilipugha lya vaanhu ye likong'aana na kukwongelela uYesu akatengula kujova, “ikisina iki kye kisina kya vuhosi. vilonda ikivalilo, na kusila kivalilo kino vipelua kukila ikivalilo kila ikya Yoona.
30 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninawi, ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
ulwakuva ndavule u Yoona alyale kivalilo ku vaanhu va Ninaawi enendikio nu mwana ghwa Muunhu fye iliva kivalilo kya kisina iki.
31 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.
uMalikia ughwa ku seba ilikwima ikighono kya vuhighi na vaanhu va kisina iki na kukuvahigha aveene, ulwakuva umwene alyahumile mu vusililo vwa iisi neke iise apulikisie uvukoola vwa solomoni, napa pwale juno m'baha kukila uSolomoni.
32 Siku ya hukumu, watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona.
avaanhu va kuNinawi vilikwima ku highua palikimo na vaanhu va kisina iki ikighono kya vuhighi vili kukihigha, ulwakuva aveene valyalatile ku madalikili gha Yoona, pe lola apa pwale juno m'baha kukila uYoona.
33 “Hakuna mtu yeyote awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.
nakwale umuunu ghweni juno ikunga itaala na kuvika ku lubale lwa paasi lwa ng'iisi jino najivoneka nambe paasi pa ndilo, neke kukunga na kuvika pakyanya pa kinu neke kuuti umuunhu ghweni juno ikwingila alyaghaghe ulumuli.
34 Jicho lako ni taa ya mwili wako. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote pia umejaa nuru. Lakini kama jicho ni bovu, mwili wako wote pia umejaa giza.
iliso lyako je taala ja m'bili. iliso lyako lingave linono pe umb'ili gwaki ghwoni ghuve mulumuli. neke iliso lyako lingave livivi pe naghubili ghwako ghwoni ghuva ghunya ng'iisi.
35 Kwa hiyo, hakikisha kwamba nuru iliyoko ndani yako isiwe giza.
pe lino mujilolelelaghe nu lumuli luno luli n'kate jinu nalungaponekesiaghe ing'iisi
36 Basi ikiwa mwili wako wote umejaa nuru, bila sehemu yake yoyote kuwa gizani, basi utakuwa na nuru kama vile taa ikuangazavyo kwa nuru yake.”
pe lino, ndeve um'bili ghwako ghwoni ghuli mu lumuli kange nakwelule ulubale luno luli mung'iisi, pe um'bili ghwako ghuva ndavule itaala jino jiviika na kuhumia ulumuli kulyumue”.
37 Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika nyumbani mwake kwa chakula. Yesu akaingia na kuketi katika sehemu yake mezani.
ye ati amalile pijova, uFalisayi akamughongola akalie ikyakulia ku nyumba jaake, uYesu akingila mu n'kate na kuuva palikimo navope. na
38 Yule Farisayo akashangaa kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula.
vasalisayi vakadegha ndavule nakanawile taasi ye kikyale ikyakulia ikya pakivwilile.
39 Ndipo Bwana akamwambia, “Sasa, enyi Mafarisayo, mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyangʼanyi na uovu.
neke UMtwa akavavula, “umue vaFarisayi musuka kunji ifikombe ni bakuli, neke nkate jinu mumemile inoghelua nu vuhosi.
40 Enyi wapumbavu! Hamjui kuwa yeye aliyetengeneza nje ndiye alitengeneza na ndani pia?
mwe vaanhu mwe vasila vukagusi, pe umwene juno alyavumbile kunji nalyavumbile mun'kate kange?
41 Basi toeni sadaka ya vile mlivyo navyo, na tazama, vitu vyote vitakuwa safi kwenu.
muvapelaghe avakotofu fino fili mun'kate, ni mbombo sooni siiva nofu kulyumue.
42 “Lakini ole wenu, Mafarisayo, kwa maana mnampa Mungu zaka za mnanaa, mchicha na kila aina ya mboga, lakini mnapuuza haki na upendo wa Mungu. Iliwapasa kufanya haya ya pili bila kupuuza hayo ya kwanza.
iga umue mwe vafalisayi, ulwakuva namuvikila umwoojo kukuvavombela avange inofu na kuku mughana uNguluve. lwe lunono fiijo kuvomba isa kyang'haani na kukumughana uNguluve, kisila kuvuhila kuvomba aghuo na ghange kange.
43 “Ole wenu Mafarisayo, kwa sababu ninyi mnapenda kukalia viti vya mbele katika masinagogi, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
iga umue Mafalisayi, ulwakuva munoghelua kukukala mu fitengo ifya kuvulongolo mu nyumba inyimike ja kufunyila na kuhungilua ni nyungililo isa vukoola kuno vighusikisia na kughulila.
44 “Ole wenu, kwa sababu ninyi ni kama makaburi yasiyokuwa na alama, ambayo watu huyakanyaga pasipo kujua.”
iga umue, ulwakuva muling'ana ni mbiipa sino sisila fivalilo fino avaanhu vighenda mimbiipa isio kisila kukagula.
45 Mtaalamu mmoja wa sheria akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.”
umb'ulanisi jumonga ghwa ndaghilo sa Kiyahudi akamwamula na kukumb'ula, “m'bulanisi, kino ghujova kikutukalasia kange usue”.
46 Yesu akamjibu, “Nanyi wataalamu wa sheria, ole wenu, kwa sababu mnawatwika watu mizigo mizito ambayo hawawezi kubeba, wala ninyi wenyewe hamwinui hata kidole kimoja kuwasaidia.
uYesu akati, “iga umue, vavulanisi va ndaghilo! kiki mukuvapela avaanhu amasigo amakome ghano naviwesia kupinda, neke umue namukola amasigho aghuo nambe ku kyove kimo mu fyove fiinu.
47 “Ole wenu, kwa sababu ninyi mnajenga makaburi ya manabii waliouawa na baba zenu.
iga umue, ulwakuva mujenga na kuvika ikumbukumbu mu mbiipa sa vavili' vano vakabudilue na vaghogholo vinu.
48 Hivyo ninyi mwashuhudia na mnathibitisha kile baba zenu walichofanya. Wao waliwaua manabii, nanyi mnawajengea makaburi.
neke umue mukufunyila na kukwiting'ana ni mbombo sino valyavombile avaghogholo vinu, ulwakuva kyang'ani valyavabudile avavili vano mujenga ikumbukumbu mumbiipa saave.
49 Kwa sababu ya jambo hili, Mungu katika hekima yake alisema, ‘Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na wengine watawatesa.’
mu uluo kange, uvokoola vwa Nguluve vwiti, 'nikuvasung'ila avavili na vasung'ua vope vilikuvapumusia na kukuvabuda vamonga.
50 Kwa hiyo kizazi hiki kitawajibika kwa ajili ya damu ya manabii iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,
ikisina iki kilihombela idanda ja vavili vano vabudilue kuhuma muvutengululo vwa iisi,
51 tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, nawaambia, kizazi hiki kitawajibika kwa haya yote.
kuhuma idanda ja Abeli kuhanga idanda ja Sakalia, juno alyabudilue pakate pa vwimike. Ena nikuvavula umue, ikisina iki kilhombela.
52 “Ole wenu ninyi wataalamu wa sheria, kwa sababu mmeuondoa ufunguo wa maarifa. Ninyi wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wanaingia mkawazuia.”
iga umue vavulanisi va ndaghilo sa vayahudi, ulwakuva mutolile ifungulo sa vukagusi; kange jumue namukwingila, ku vala vano vilonda kukwingila mukuvasigha.
53 Yesu alipoondoka huko, walimu wa sheria na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na kumsonga kwa maswali,
pe baho uYesu akavuka pala, avalembi na vafalisayi vakampinga na kujofesania nu mwene mu nyinga.
54 wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.
vakaghela kukuntanga ku masio ghake.

< Luka 11 >