< Luka 10 >
1 Baada ya hayo, Bwana akawachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawili wawili katika kila mji na kila sehemu aliyokusudia kwenda baadaye.
Linu chinga kwamana izo zintu, Simwine nichaketa bantu bakwana makumi amana iyaza limwina ni overe Linu nichabatuma bovere bovere, habusu bwakwe mwitolopo ni tolopo mwava kuswanela kuyenda.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.
Nichawamba kuvali, ikukutulo yingi, linu basinza bache. Nihakubabulyo muvuze Simwine wekutulo atumine bamwi vasinzi mwikutulo yakwe.
3 Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Muyende mwizila yenu. Mubone, nimitumina hanze sina imbelele zina mukati ka batuhu.
4 Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.
Kanjimuhindi chikwama chamashereñi kanjimuhindi mukotana wazizwato kamba isangu. Mi nsezi mulumelisi zumwi ni zumwi yesemusangane munzila.
5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Izubo ihi neihi yetimwinjile, Chama tangilo muwambe, 'Inkozo ive mweyinu izubo!,
6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.
Haiva mutu wekozo mwena mukati, Inkozo muiikale hakwe, kono haiva kanji mona, mwivole kwenu.
7 Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
Mwikale mwizubo iswana, mulye ni kunywa zonse zivamiha, muvereki uyelere kuhewa impeyi yakwe. Kanji mukayendi mwinzuvo ni nzuvo.
8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Yonse itolopo yente nimwinjire, mi vamitambula, mulye zosezivamiha,
9 waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
mi muhoze vose valwala venakwateni, Muwambe kuvali, 'mutekuti impuso ye Reeza chiyeza hafwihi nanwe.'
10 Lakini mkiingia katika mji, nao hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika barabara zake mkaseme:
Inakoyonse hamwinjila mwitolopo mi kava mitambuli, muyende haze lyamingwangwa mi mukatekuti,
11 ‘Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu, tunayakungʼuta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.’
'Nanga isuko lizwa mwitolopo yavo likakatile kuma ntende enu muliva limi lwisa muliva nkunkumwine! Linu mwi zive izi: Impuso ye Reeza chiyeza hafuhi',
12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule.
Ikumbya nimiwambila nitii mwelina izuba lyekatulo Sodoma kapangiwe sinte kuhita yina itolopo.
13 “Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Wina bumai iwe, korazini! Wina bumai iwe Betsaida! Mukuti kakuli zivapangiwa nanwe kambe zivapangiwa ni Tire ni Sidoni, niva vaki kale, kwikala niva zwete masaka niku lisinga itwe,
14 Lakini itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
Nihakuba bulyo Tire ni sidoni kazipangiwe sinte kuhita inwe mwinako yekatulo kuhita inwe.
15 Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs )
Iwe, kapenawuma, uhupula konyemunwe kwiwulu? Nanta, movozwe hansi mwihele. (Hadēs )
16 “Yeye awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi; naye awakataaye ninyi amenikataa mimi. Lakini yeye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.”
Iye mwine yoteka kwenu uteka kwangu, linu yomikana ukana name, mukuti yonikana ukana niyabanitumi.”
17 Wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha, na kusema, “Bwana, hata pepo wachafu wanatutii kwa jina lako.”
Ba makumi akwana iyaza limwina nimakumi overe nichibakavola nibasangite, nivatakuti,'”Simwine, mane ni madimona atuzuwa mwizina lyako.”
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Jesu nichata kuvali, “niva boni satani chowa kwiwulu sina invula ivesa.
19 Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
Mubone, nivamihi innguzu zakulyata izoka nitu vumwe, nihewulu lyenguzu zachila, mi kakwina mukwa umwi wete nichi miholofazo kawo.
20 Basi, msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii, bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Nihakuva bulyo kanji musangi kezo bulyo, kuti ihuho zami zuwa, linu musange mukuti mazina enu añoletwe mwi mbuka yakwi wulu”.
21 Wakati huo Yesu akashangilia katika Roho Mtakatifu, akasema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Mweyo inako iswana nicha taba ahulu Muluhuho Lunjolola, nichatakuti, “ni kulumbeka, Tayo, Simwine wewulu ni ikanda, mukuti izizintu ubaziwungwili vena mano nivazuwisisa, ni kuziwumbwila vana basana vavarutwa, sina vahwilezana, Eni, Ita, Mukuti chivali kusangisa kumbaliyenu.”
22 “Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu. Hakuna mtu amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ni nani ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”
“Zintu zose nivazihewa kwatayo, mukuti kakwina wizi kuti Mwana njozuhi mbwiteli Itayo, imi kakwina yowizi Tayo mbwiteli mwanakwe hape yense yonsalwa kumwanakwe kumuzivahaza kwali.”
23 Basi Yesu akawageukia wanafunzi wake akanena nao faraghani, akawaambia, “Heri macho yanayoona yale mambo mnayoyaona.
Linu nicha sandukira kuvarutwana vakwe ni kuva wambira kwimbali, “Bafuyoletwe avo vantu vavona zintu zimuvwene.
24 Kwa maana nawaambia, manabii wengi na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.”
Nimilwira, mapolofita vangi ni vasimwine vava sakite kuvona zintu zimuvwene, linu kana vavazivoni, mane nikuzuwa zintu zimuzuwile, imi kana vavazizuwi.”
25 Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Mulole, umwi muruti wamulao wa Majuda nicha zimana kusaka kumulika, nichati, “Muruti, munipange vuti kuti niwole kuyola vuhalo vusamani?” (aiōnios )
26 Yesu akamjibu, “Imeandikwaje katika Sheria? Kwani unasoma nini humo?”
Jesu chata kwali, “Chizi chiñoletwe mwimbuka yamulao? Kati wuvala vule?”
27 Akajibu, “‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote’; tena, ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”
Linu chinge tava chatakuti, “Mosake simwine Ireeza nikulo yako yose ni mozo wakowose, ni nguzu zakozose, ni mizezo yakoyose, ni yovambee naye sina njewe.”
28 Yesu akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”
Jesu nata kwali, “Wetava sinte. Wupange, vovu lyo imi mohale.”
29 Lakini yule mtaalamu wa sheria, akitaka kujionyesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Yesu, “Jirani yangu ni nani?”
linu muruti, kulakanamina kuli nyemuna iyemwine, nichata kwa Jesu, “linu univambene naye njeni?”
30 Yesu akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyangʼanyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.
Imi hetava ikalavo Jesu nata kuti, “Mukwame zumwi avakuzwa kwa Jerusalema kuya kwa Jerico. Nicha wila mumayaza avansa, ni chi vamuchupulisa ni kumunyanga zintu zakwe, nichi vamundamona nikumusiya uzuminine.
31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.
Chetohonolo muprista avakuhita mweyo inzila, chinga muvona, nicha muzimbuluka.
32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani
Chokuswana mulevi naye, chingasika hachivaka chiswana ni kumubona, nichazimbulukila kumbali.
33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.
Linu mukwame Wamusamaria, hava kuyenda mweyo inzila, Chinga muvona, chamu nfwila inse.
34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.
Chamu chunina nikusumina zilavi zakwe, niku chuka ioyili ni veine hateni. Ni kumutatika hembelesa yakwe, nicha muleta mwi hotela, kwiza kumulwalikila mwateni.
35 Kesho yake, yule Msamaria akachukua dinari mbiliakampa yule mwenye nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami nirudipo nitakulipa gharama yoyote ya ziada uliyotumia kwa ajili yake.’
Imi izuva lichilila chahinda impondo zovere. imi nichaziha mwine we hotela, “imi nichamuwambila kuti, zintu zonse zete notendise, china kabola, munize nikuluwere.
36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyangʼanyi?”
Imi njeni kwava votatwe, yo hupula, kuti yava vambene naye hawila muyaza abansa?
37 Yule mtaalamu wa sheria akajibu, “Ni yule aliyemhurumia.” Ndipo Yesu akamwambia, “Nenda, ukafanye vivyo hivyo.”
'Imi muruti nichatii, “Yava mufwili inse,” Jesu nichata kwali, “Yende ukapange ziswana.”
38 Ikawa Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakienda Yerusalemu, akaingia kwenye kijiji kimoja ambapo mwanamke mmoja aliyeitwa Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Linu havava kwavuyenda, niche njila mu munzi wumwi, mwanakazi zumwi yava kusupwa Mareta nicha mutambula mwizuvo yakwe.
39 Martha alikuwa na mdogo wake aliyeitwa Maria, ambaye aliketi chini miguuni mwa Bwana akisikiliza yale aliyokuwa akisema.
Avena mwache wamwanakazana yavakusupwa Maria, yave kele havunsu vwamatende a Simwine niku zuwa mazwi akwe.
40 Lakini Martha alikuwa akihangaika na maandalizi yote yaliyokuwa yafanyike. Martha akaja kwa Yesu na kumuuliza, “Bwana, hujali kwamba ndugu yangu ameniachia kazi zote mwenyewe? Basi mwambie anisaidie.”
Kono Mareta avapatehete nimitendo mingi yakwihika kuti avayumbule. Nicha yende kwa Jesu, Nikuka cho, “Simwine, kovilaeli kuti mwachangu wanisiya nini seveza neke? linu umuwambile zanituse,”
41 Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, mbona unasumbuka na kuhangaika na mengi?
imi Simwine nicha mwitava nati, Mareta, Mareta, uvilaezwa nizintu zingi,
42 Lakini kunahitajika kitu kimoja tu. Maria amechagua kile kilicho bora, wala hakuna mtu atakayemwondolea.”
imi chitu choke chisakahala, linu Maria waketa chintu chilukite, chisa woli kuhindiwa kwali.