< Luka 10 >

1 Baada ya hayo, Bwana akawachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawili wawili katika kila mji na kila sehemu aliyokusudia kwenda baadaye.
Hathnukkhu hoi, Bawipa ni alouke tami 72 touh a rawi teh, a cei nahane kho tangkuem koe tami kahni kahni touh hoi hmaloe a patoun.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.
Bawipa ni ahnimouh koe, canga hanelah moi ao. Ka a e tami a younca. Hatdawkvah ka tawk hane tami a patoun thai nahanelah, law katawnkung koe ratoum awh.
3 Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Cet awh, asuihu koe tucanaw tha e patetlah kai ni na patoun awh.
4 Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.
Tangkabom, yawngya, khokkhawm sin awh hanh. Lam dawk na cei awh navah, apihai pato awh hanh.
5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Api im hai thoseh, na kâen navah, hete im dawk yawhawinae awmseh telah hmaloe dei pouh awh.
6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.
Hote im dawk roumnae capa awm pawiteh, nangmouh ni na dei e yawhawinae teh ao han.
7 Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
Cat net awh. Bangkongtetpawiteh ka tawk e tami teh kutphu hmu hanelah a kamcu. Im buet touh hnukkhu buet touh kampuen awh hanh.
8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Bangpatet e kho dawk hai na kâen awh navah nangmouh na ka dawn e taminaw ni na hmalah a lawng awh e hah cat awh.
9 waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Kapatawnaw dam sak awh. Cathut uknaeram teh nangmouh dawk a kangdue nahan tueng a hnai toe telah dei awh.
10 Lakini mkiingia katika mji, nao hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika barabara zake mkaseme:
Bangpatet e kho dawk hai na kâen navah, kho thung e taminaw ni pasoung hoehpawiteh lam dawk tâcawt awh nateh na khok dawk e vaiphu takhawng sin awh.
11 ‘Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu, tunayakungʼuta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Hatei, Cathut uknaeram teh nangmae teng a pha toe tie panuek awh, telah ahnimouh koe dei pouh.
12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule.
Kai ni na dei pouh e teh ahnoungpoung e hnin nah hote kho teh Sodom kho hlak a khang han.
13 “Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Oe, Khorazin kho nang teh na yawthoe. Bethsaida nang hai na yawthoe. Bangkongtetpawiteh, nangmouh koe thaonae hno ka kamnue sak e hah Taire kho hoi Sidon kho dawk kamnue sak pawiteh hote khonaw teh napon kâkhu awh vaiteh vaiphu a kâphuen laihoi a tahung awh vaiteh, pankângai awh han doeh toe.
14 Lakini itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
Lawkcengnae hnin dawk teh Taire kho hoi Sidon kho hlak nangmanaw na khang awh han.
15 Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs g86)
Oe, Kapernuam khopui, nang teh kalvan totouh na tawmdawm eiteh phuen totouh pabonae na khang han. (Hadēs g86)
16 “Yeye awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi; naye awakataaye ninyi amenikataa mimi. Lakini yeye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.”
Nangmae lawk ka tarawi e tami teh kaie lawk a tarawi. Nangmouh ka pahnawt e tami teh kai ka pahnawt e doeh. Kai ka pahnawt e tami teh kai na kapatounkung ka pahnawt e doeh telah atipouh.
17 Wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha, na kusema, “Bwana, hata pepo wachafu wanatutii kwa jina lako.”
Hote a hnukkâbang 72 touh teh lunghawi laihoi a ban awh teh, Bawipa nange min lahoi kahraituilinaw patenghai ka pâlei thai awh, telah atipouh awh.
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Jisuh ni hai Setan teh sumpapalik patetlah kalvan hoi a tho e hah ka hmu toe.
19 Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
Nangmouh ni tahrun, aikamnaw lathueng kâtawnnae hoi tarannaw tâ thainae bahu kai ni na poe awh. Bangpatet e ni hai a rucatnae na poe mahoeh.
20 Basi, msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii, bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Hatei, kahrainaw na pâlei thai awh dawk na konawm awh hanh. Nangmae na minnaw hah kalvan thut lah ao e dawk na konawm awh, telah atipouh.
21 Wakati huo Yesu akashangilia katika Roho Mtakatifu, akasema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Hatnavah Jisuh ni Kathoung Muitha dawk a konawm teh, kalvan hoi talai ka uk e apa, nang ni a lungkaang kathoumthainaw hanelah na hro pouh e hno, hete camonaw koe na pâpho pouh dawkvah ka lunghawi. Hottelah na ngainae ao dawk katang doeh apa!
22 “Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu. Hakuna mtu amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ni nani ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”
Kaie na pa ni hnocawngca pueng kai koe koung na poe toe. Capa hah apimaw telah a Pa hoeh laipalah apinihai panuek hoeh. Pa teh apimaw telah Capa hoi Capa ni a ang sak e tami hoeh laipalah apinihai panuek hoeh telah atipouh.
23 Basi Yesu akawageukia wanafunzi wake akanena nao faraghani, akawaambia, “Heri macho yanayoona yale mambo mnayoyaona.
Hathnukkhu hoi a hnukkâbangnaw koe lah a kangvawi teh, atu na hmu e naw heh nangmouh ni na hmu awh dawkvah nangmae na mit teh a yawhawi.
24 Kwa maana nawaambia, manabii wengi na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.”
Kai ni na dei pouh e teh, nangmouh ni na hmu e naw heh profetnaw hoi siangpahrangnaw ni hmu hane a ngai awh eiteh hmawt awh hoeh. Nangmouh ni na thai e naw hah thai han a ngai awh eiteh thai awh hoeh telah a hnukkâbangnaw koe dueng doeh, atipouh.
25 Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Hnin touh hnin vah, kâlawk kacangkhaikung buet touh a kangdue teh, saya yungyoe hringnae hmu hanelah bangmaw ka sak han telah a tanouk. (aiōnios g166)
26 Yesu akamjibu, “Imeandikwaje katika Sheria? Kwani unasoma nini humo?”
Bawipa ni kâlawk cauk dawk bangtelamaw a thut. Bangtelamaw na touk telah a pacei navah,
27 Akajibu, “‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote’; tena, ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”
Hote tami ni na Cathut teh na lungthin abuemlahoi, na thaonae abuemlahoi, na panuenae abuemlahoi na lungpataw han, na imri hah namahoima patetlah lungpataw telah atipouh.
28 Yesu akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”
Bawipa ni na dei e teh a tang doeh. Telah na sak pawiteh na hring han.
29 Lakini yule mtaalamu wa sheria, akitaka kujionyesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Yesu, “Jirani yangu ni nani?”
Hote tami ni hai apipatet maw kaie ka imri telah amahoima yonnae ka tawn hoeh e patetlah Jisuh bout a pacei.
30 Yesu akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyangʼanyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.
Jisuh ni tami buet touh teh Jerusalem kho dawk hoi Jeriko kho lah a cei navah dingcanaw hoi a kâhmo. Dingcanaw ni hote tami e angki a phawi pouh teh meimei kadout lah a hem awh teh a ceitakhai awh.
31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.
Hote lamthung dawk vaihma buet touh khou a cei teh hote tami a hmu navah oun a roun.
32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani
Hot patetvanlah Levih tami buet touh ni hai hote hmuen koe a pha navah, ahni hah a hmu teh alouke lam lahoi a roun.
33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.
Hatei, Samaria tami buet touh kahlong a cei. Hote tami ka pataw koe a pha teh, a hmu navah, a pahren.
34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.
Ahni koe a hnai teh a hmânaw dawk satui hoi misurtui a hluk pouh, lukkarei hoi a kawm pouh hnukkhu amae saring van a thueng teh rim koe a ceikhai teh a khetyawt.
35 Kesho yake, yule Msamaria akachukua dinari mbiliakampa yule mwenye nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami nirudipo nitakulipa gharama yoyote ya ziada uliyotumia kwa ajili yake.’
A tangtho toteh denari kahni touh a rasa teh rim kaukkung koe a poe. Hete tami la khenyawn nateh ka baw e naw pueng bout ka tho torei na patho han telah atipouh. Bangtelamaw na pouk, telah a pacei.
36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyangʼanyi?”
Hote tami kathum touh dawk apimaw dingca kut dawk ka phat e tami hoi ka kâhnai telah a pacei navah,
37 Yule mtaalamu wa sheria akajibu, “Ni yule aliyemhurumia.” Ndipo Yesu akamwambia, “Nenda, ukafanye vivyo hivyo.”
Kâlawk ka cangkhaikung nihai, ka pataw e tami ka pahren e telah atipouh navah, Jisuh ni nang hai cet nateh hottelah sak loe atipouh.
38 Ikawa Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakienda Yerusalemu, akaingia kwenye kijiji kimoja ambapo mwanamke mmoja aliyeitwa Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Jisuh teh a hnukkâbangnaw hoi kahlong lah a cei navah, kho buet touh dawk a kâen awh teh, Martha tie napui buet touh ni ama im vah Bawipa teh a luen sak.
39 Martha alikuwa na mdogo wake aliyeitwa Maria, ambaye aliketi chini miguuni mwa Bwana akisikiliza yale aliyokuwa akisema.
Hote napui ni Meri tie a nawngha buet touh a tawn. Hote Meri teh Jisuh e a khok koe a tahung teh a dei e lawk a thai.
40 Lakini Martha alikuwa akihangaika na maandalizi yote yaliyokuwa yafanyike. Martha akaja kwa Yesu na kumuuliza, “Bwana, hujali kwamba ndugu yangu ameniachia kazi zote mwenyewe? Basi mwambie anisaidie.”
Martha teh pacapanei hane kong dawkvah a lungpuen teh, Jisuh koe Bawipa, ka nawngha ni, ka madueng tawk sak hanelah pak na nat e hah banglahai na pouk hoeh bo aw. Kai thaw na kabawp hanelah patoun haw telah atipouh.
41 Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, mbona unasumbuka na kuhangaika na mengi?
Jisuh ni Martha, Martha, nang teh hno moikapap dawk na kâhruetcuet teh thouk na patang toe. Hatei na panki e hno buet touh ao.
42 Lakini kunahitajika kitu kimoja tu. Maria amechagua kile kilicho bora, wala hakuna mtu atakayemwondolea.”
Meri ni hnokahawi yo a rawi toe. Apini hai bout lawm thai mahoeh toe.

< Luka 10 >