< Luka 10 >
1 Baada ya hayo, Bwana akawachagua wengine sabini na wawili, akawatuma wawili wawili katika kila mji na kila sehemu aliyokusudia kwenda baadaye.
Maniyere okoon doonzo, shabe git ashuwotsi galbdek'i, bí amoosh b́gawts kitonat beyok jamok shin shino bo ametuwok'o git gito woshdek't b́woshi.
2 Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.
Hank'o boosh bíeti, «Hamb, kakwet mááyo aye, mááy kakuwi fintswotsmo kos'nee, mansh mááy katso doonz mááy kakwitwotsi mááyko'iyosh b́woshitwok'o k'onwere.
3 Haya! nendeni. Ninawatuma kama wana-kondoo katikati ya mbwa mwitu.
Eshe ameree, hamb, mereerikok'o iti elahi dagots twoshiri,
4 Msichukue mkoba, wala mfuko, wala viatu, na msimsalimu mtu yeyote njiani.
It werindosh eegor deshdek'k'ayere, gizi borsonor, k'arc'itonor, c'amonor b́ wotiyal deshdek'o k'ayere, ashonton jam aateyoke weerindatse need'ar aawo ili k'ayere.
5 “Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
It kindts maa jamotse shin shino ‹Jeeno mansh wotowe, › erere,
6 Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.
Jeen shunts asho maa manitse fa'e wotiyal it jeeno bísh bodetwe, maniyalbako it jeeno it maants k'ay aanitwe.
7 Kaeni katika nyumba hiyo, mkila na kunywa kile watakachowapa, kwa sababu kila mtendakazi anastahili malipo yake. Msihamehame kutoka nyumba hadi nyumba.
Finiru ashosh damozo bísh geyife, mansha it kindts mootse itsh t'íntsetso mafetsr uyfetsr beewere, ik mootse keer k'osh moots gúúŕ k'ayere.
8 “Mkienda katika mji na watu wake wakawakaribisha, kuleni chochote kiwekwacho mbele yenu,
Aaknor wotowa kitots it kindor ashuwots itn bo dek'or itsh bo t'intstso moore.
9 waponyeni wagonjwa waliomo na waambieni: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Kit manitsi daatset shodetswotsnowere kashiwore, ash jamoosho were, ‹Ik'i mengstu it maantsan t'inraniye, › err keewwere.
10 Lakini mkiingia katika mji, nao hawakuwakaribisha, tokeni mwende katika barabara zake mkaseme:
Ernmó kit aawitsor it kindor ash ashuwots itn dek'o bok'azetka wotiyal kit man jebats keder boosh hank'o erere,
11 ‘Hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu, tunayakungʼuta dhidi yenu. Lakini mjue kwamba Ufalme wa Mungu umekaribia.’
‹Hambe, dab notufatse fa'a it kitutsi k'undo itsh tebk'rirwone, ernmó Ik'i mengsto it maants b́ t'intsok'o dan de'ere.›
12 Ninawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma kustahimili katika siku ile kuliko mji ule.
Angshi aawots kit maniyere Sedom kituats weet fayo ketefe etirwe itsha.»
13 “Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Manats dabt Iyesus hank'owo bíet, «Indowe neesha Korazine! indowe neena Betesayido! ititse finets aditswots, T'irositsnat Sidoniytse finere wotink'e manoke fa'a ashuwots shiyani taho tahde'er tuulats bede, naandrone etank'ne.
14 Lakini itakuwa rahisi zaidi kwa Tiro na Sidoni kustahimili katika siku ya hukumu, kuliko ninyi.
Manshe angshi aawots itiyere T'irosnat Sidonats fayet fayo ketefee.
15 Nawe, Kapernaumu, je, utainuliwa hadi mbinguni? La hasha, utashushwa mpaka kuzimu.” (Hadēs )
Neewere K'frnahome, darots n borfetso dambaan tuwo geefneyá? Beree si'olits oot'etune.» (Hadēs )
16 “Yeye awasikilizaye ninyi anisikiliza mimi; naye awakataaye ninyi amenikataa mimi. Lakini yeye anikataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.”
Aaninwere Iyesus b́ danifwotssh, «Iti k'ebetwoniye taano k'ebetwe, itsh k'aztso taano k'azre, taan k'aztso taan woshtsoniye b́ k'aziri, » bí eti.
17 Wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha, na kusema, “Bwana, hata pepo wachafu wanatutii kwa jina lako.”
Shabe git wosheets b́danifwots boon woshetsoke aydek't gene'uwat bo aani, Iyesusokowere t'int́, «Doonzono! n shúútson dab Fo'erawwots noosh alernee» bo et.
18 Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama umeme wa radi.
Iyesuswere boosh hank'owo bíet, «Shed'ano darotse guumok'o shap'eyat b́ fed'efere bek're,
19 Tazama nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui; wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru.
Eshe hamb! dawuzonat ok'olshon it net'etwok'o, balangari ang jamo it da'itwok'o itsh alo imre, itats gondo bets falitwo ik jago aaliye.
20 Basi, msifurahi kwa kuwa pepo wachafu wanawatii, bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni.”
Ernomó it shútso darotsi mezgebíyats guut'etsosh gene'ore bako Fo'erawo itsh b́ aletsosh gene'úk'ayere.»
21 Wakati huo Yesu akashangilia katika Roho Mtakatifu, akasema, “Nakuhimidi Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye elimu, nawe ukawafunulia watoto wadogo. Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.
Manór Iyesus S'ayn shayiron gene'uwat hank'o bí et, «Daronat datsonsh doonz wotts Nihono! keewhan s'ekwotsnat dantswotssh aatsat danawwotssh nkitstsotse neen údere, ee, Nihono! han k'alo n shuno wotere.
22 “Nimekabidhiwa vitu vyote na Baba yangu. Hakuna mtu amjuaye Mwana ni nani ila Baba, wala hakuna amjuaye Baba ni nani ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”
«Jam keewo t nihoke taash imere, naayo koni b́woto nihoniyere okoon konwor dantso aaliye, mank'owa niho koni b́ woto naayo niye okoon wee naayo kitsosh b́ geyirw ashoniye okoon k'osho konwor danetwo aaliye.»
23 Basi Yesu akawageukia wanafunzi wake akanena nao faraghani, akawaambia, “Heri macho yanayoona yale mambo mnayoyaona.
Maniye okoon Iyesus b́ danifwots maants wongr ett aanat bo aalsh hank'o bí eti, «It it bek'irwan bek'irowots derekne.
24 Kwa maana nawaambia, manabii wengi na wafalme walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.”
Arikon ay nebiyiwotsnat naashwotsn it bek'irwan bek'osh tewntni bo teshi, ernmó be'aatsno, it k'ebirwanor k'ebosh tewntniye botesh, ernmó shiyatsne.»
25 Wakati huo mtaalamu mmoja wa sheria alisimama ili kumjaribu Yesu, akamuuliza, “Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?” (aiōnios )
Ik aaw Muse nemo daniyf iko Iyesusok b́weyi, bín fadosh geeyat «Danifono! dúre dúri kasho daatsosh eeg k'alo taash geyfa?» ett bíaati. (aiōnios )
26 Yesu akamjibu, “Imeandikwaje katika Sheria? Kwani unasoma nini humo?”
Iyesuswere «Nemotse guut'etso eebi? n nababor bítse aak'owe n t'iwintsi?» bí et.
27 Akajibu, “‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote’; tena, ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”
Ashmanwere «Nemonmo ‹Doonzo Izar Izewernehe n maac'i s'eenon, n kashok'o, ni ang s'eenon, n nib s'eenon, shune, › ando mank'owa k'osh asho n tokok'o wosh de'er shune» etfe bí et.
28 Yesu akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”
Iyesuswere «Arikon aniyirne, eshe nee man k'aluwe! dúre dúri kashone daatsitune» bí eti.
29 Lakini yule mtaalamu wa sheria, akitaka kujionyesha kuwa mwenye haki, akamuuliza Yesu, “Jirani yangu ni nani?”
Muse nemo daniyfonmó b́ tooko kááw asho woshosh geyat́, «Wotowa eré t mashmó kone bí?» ett bíaati.
30 Yesu akamjibu akasema, “Mtu mmoja alikuwa akiteremka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko, naye akaangukia mikononi mwa wanyangʼanyi. Wakampiga, wakaondoka, wakamwacha akiwa karibu kufa.
Iyesuswere hank'o ett bísh bíaaniy, «Ash iko Iyerusalemitse kesht Iyariko maants oot't bí'amfere weerindatse bik'fwots daatsdek't b́ taho bí'atse kishdek't, jot' isht k'irosh kasho b́ k'as'fere juuk'rat k'az boami.
31 Kuhani mmoja alikuwa akipitia njia ile, alipomwona huyo mtu, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani.
Kahhini iko dingatoń werind mann bí'amfera b́ teshi, jot' dek't juuk'rets ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́k'alrawon ashman nad't k'azbiami.
32 Vivyo hivyo, Mlawi mmoja naye alipofika mahali pale, alimwona, akapita upande mwingine, akamwacha hapo barabarani
Mank'o Lewawiyo werindmann b́ beshefera b́tesh, bíwere ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́ k'alrawon k'osh werindon beshat k'azbí'am.
33 Lakini Msamaria mmoja aliyekuwa akisafiri alipomwona, alimhurumia.
Semriya eteets dats ashonmó man weeron b́ beshefere ashman maants wáát, bín b́ bek'tsok'on bísh maac'o b́ k'ewi,
34 Akaenda alipokuwa na akasafisha majeraha yake kwa divai na mafuta, kisha akayafunga. Ndipo akampandisha kwenye punda wake, akampeleka mpaka kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.
B́maand t'int zeyitonat weyiniwon dutsets biro b́ gaawmanats b́ kuut'i, tahonowere bíats s'as'dek't tipb́k'ri, maniye il b́ took dazats bezdek't ib ibuwots k'eef mook dek' bíami, manoknowere sheengshdek't b́ duguní.
35 Kesho yake, yule Msamaria akachukua dinari mbiliakampa yule mwenye nyumba ya wageni na kusema, ‘Mtunze, nami nirudipo nitakulipa gharama yoyote ya ziada uliyotumia kwa ajili yake.’
Yatsok'on git dinariwotsi kishdek't ibi k'ey maa man doonzsh imt ‹Ashaan sheengshde dugunowe, k'osh gizo nkishiyalowere ti aanor neesh dashetwe, › bí eti.
36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyangʼanyi?”
«Eshe, keez ashaanotsitse, biik'tswotsn togeyat dihts ashmansh b́ mashi bísh wottso aawi arefa neesha?»
37 Yule mtaalamu wa sheria akajibu, “Ni yule aliyemhurumia.” Ndipo Yesu akamwambia, “Nenda, ukafanye vivyo hivyo.”
Muse nemo daiyfonwere, «Bísh maac' k'ewat bín tep'tsmaniye, » ett bí'aaniy. Iyesuswere «Eshe amee, neewor mank'o k'alwe!» bí eti.
38 Ikawa Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakienda Yerusalemu, akaingia kwenye kijiji kimoja ambapo mwanamke mmoja aliyeitwa Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
Iyesus b́ danifwotsnton weerindo amfetst gál ikuts bodb́wtsi, manokno Martay eteets mááts iku bgal s'eegbdek'i,
39 Martha alikuwa na mdogo wake aliyeitwa Maria, ambaye aliketi chini miguuni mwa Bwana akisikiliza yale aliyokuwa akisema.
Biwere Mariyami eteets mishu detsfa btesh, Mariyami eteetsman Iyesus tufi shirots bedek'at b́ danirw dano bk'ebiri.
40 Lakini Martha alikuwa akihangaika na maandalizi yote yaliyokuwa yafanyike. Martha akaja kwa Yesu na kumuuliza, “Bwana, hujali kwamba ndugu yangu ameniachia kazi zote mwenyewe? Basi mwambie anisaidie.”
Martamó mish k'ac'on aydek't bmawufera btesh, mansh Iyesus maants t'iinat, «Doonzono! t mishhan fin jamo tiats k'azbk'rere bek'fetsat s'k niet eegishe? Oona neesha taash b dabitwok'o bish keewwe!» bi'eti.
41 Lakini Bwana akamjibu, “Martha, Martha, mbona unasumbuka na kuhangaika na mengi?
Doonzo Iyesusmó hank'o ett bish bí'aaniy, «Marta Martaye, nee ay keewone n kic'iri, ay keewonowere gondo nbek'iri,
42 Lakini kunahitajika kitu kimoja tu. Maria amechagua kile kilicho bora, wala hakuna mtu atakayemwondolea.”
Ernmó geytwoniye ik s'uzee, Mariyamwere k'ants keewo galdek'raniye, bínowere biyatse konwor k'a'udek'etwo aaliye.»