< Mambo ya Walawi 1 >

1 Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
Forsothe the Lord clepide Moyses, and spak to him fro the tabernacle of witnessyng, `and seide,
2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
Speke thou to the sones of Israel, and thou schalt seie to hem, A man of you, that offrith to the Lord a sacrifice of beestis, that is, of oxun and of scheep, and offrith slayn sacrifices, if his offryng is brent sacrifice,
3 “‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
and of the droue of oxun, he schal offre a male beeste without wem at the dore of the tabernacle of witnessyng, to make the Lord plesid to hym.
4 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
And he schal sette hondis on the heed of the sacrifice, and it schal be acceptable, and profityng in to clensyng of hym.
5 Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
And he schal offre a calf bifor the Lord, and the sones of Aaron, preestis, schulen offre the blood ther of, and thei schulen schede bi the cumpas of the auter, which is bifor the dore of the tabernacle.
6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
And whanne the skyn of the sacrifice is drawun awei, thei schulen kitte the membris in to gobetis;
7 Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
and thei schulen put vndur in the auter fier, and thei schulen make an heep of wode bifore; and thei schulen ordeyne aboue
8 Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
`the trees tho thingis that ben kit, that is, the heed, and alle thingis that cleuen to the mawe,
9 Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
whanne the entrailis and feet ben waischid with watir; and the preest schal brenne tho on the auter, in to brent sacrifice, and swete odour to the Lord.
10 “‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
That if the offryng is of litle beestis, a brent sacrifice of scheep, ethir of geet, he schal offre a male beeste with out wem,
11 Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
and he schal offre at the side of the auter that biholdith to the north, bifore the Lord. Sotheli the sones of Aaron schulen schede the blood therof on the auter `bi cumpas,
12 Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
and thei schulen departe the membris, the heed, and alle thingis that cleuen to the mawe, and thei schulen putte on the trees, vndur whiche the fier schal be set;
13 Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
sotheli thei schulen waische in watir the entrailis and feet; and the preest schal brenne alle thingis offrid on the auter, in to brent sacrifice, and swettest odour to the Lord.
14 “‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
Forsothe if the offryng of brent sacrifice to the Lord is of briddis, of turtlis, and of culuer briddis,
15 Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
the preest schal offre it at the auter; and whanne the heed is writhun to the necke, and the place of the wounde is brokun, he schal make the blood renne doun on the brenke of the auter.
16 Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
Sotheli he schal caste forth the litil bladdir of the throte, and fetheris bisidis the auter, at the eest coost, in the place in which the aischis ben wont to be sched out;
17 Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
and he schal breke the wyngis therof, and he schal not kerue, nether he schal departe it with yrun; and he schal brenne it on the auter, whanne fier is set vndur the trees; it is a brent sacrifice, and an offryng of swete odour to the Lord.

< Mambo ya Walawi 1 >