< Mambo ya Walawi 9 >
1 Katika siku ya nane, Mose akawaita Aroni na wanawe, na wazee wa Israeli.
A hnin taroe hnin dawk Mosi ni Aron hoi a capanaw, Isarel miphun, kacuenaw a kaw teh,
2 Akamwambia Aroni, “Chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi, na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele za Bwana.
Aron koe, nang ni yon thueng nahanelah, kacueme maito kum kanaw e buet touh, hmaisawi thueng nahanelah, kacueme tutan buet touh, na thokhai vaiteh, Cathut hmalah thuengnae sak loe.
3 Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na ndama na mwana-kondoo, wote wawili wawe wa umri wa mwaka mmoja, na wasio na dosari, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa,
Isarel miphunnaw koehai thoseh, nangmouh ni yon thueng nahanlah, hmae kum kanaw e buet touh, hmaisawi thueng nahanlah, âvâ ka cawt hoeh rae maitoca buet touh,
4 na pia maksai na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya amani, ili kutoa dhabihu mbele za Bwana, pamoja na sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta. Kwa kuwa leo Bwana atawatokea.’”
Tuca buet touh, BAWIPA koe roum thueng nahanlah, maitotan buet touh, tutan buet touh, satui hoi kalawt e vaiyei thuengnae hah thokhai loe. Sahnin nangmouh koe BAWIPA a kamnue han telah dei pouh loe atipouh.
5 Wakavileta vile vitu Mose alivyowaagiza mbele ya Hema la Kukutania, nalo kusanyiko lote likakaribia na kusimama mbele za Bwana.
Mosi ni kâ a poe e patetlah kamkhuengnae lukkareiim hmalah a thokhai hnukkhu, tamimaya naw ni a hnai teh, BAWIPA hmalah a kangdue awh.
6 Ndipo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa Bwana upate kuonekana kwenu.”
Mosi ni hai nangmouh ni BAWIPA ni kâ na poe e patetlah hottelah na sak awh teh, BAWIPA e bawilennae teh nangmouh koe a kamnue han telah atipouh.
7 Mose akamwambia Aroni, “Njoo madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa, ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya watu. Kisha utoe sadaka ya upatanisho kwa ajili ya watu, kama vile Bwana alivyoagiza.”
Mosi ni Aron koe, khoungroe koe, cet nateh, Cathut ni kâ na poe e patetlah nama e thuengnae, hmaisawi thuengnae sak nateh, nama hoi na taminaw hanelah, yonthanae sak awh. Taminaw ni a thokhai e sathei thuengnae a thueng teh taminaw hanlah yonthanae sak awh, telah atipouh.
8 Hivyo Aroni akaja madhabahuni na kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe.
Aron ni hai khoungroe koe a cei teh, ama hanlah yon thuengnae maitoca a thei.
9 Wanawe wakamletea damu, naye akachovya kidole chake katika hiyo damu, akaitia kwenye pembe za madhabahu, nayo damu iliyobaki akaimwaga chini ya madhabahu.
A capanaw ni a thi a sin awh teh, Aron ni a kutdawn thi dawk a ranup teh, khoungroe kinaw dawk a hlun hnukkhu, kacawie a thi hah khoungroe kung koe a rabawk.
10 Juu ya madhabahu akateketeza mafuta, figo na mafuta yanayofunika ini kutoka kwenye hiyo sadaka ya dhambi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Yon thuengnae sathei thaw, akuen, athin van e maimara hah khoungroe van hmai a sawi. Hottelah, Cathut ni Mosi koe kâ a poe.
11 Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.
A moi hoi a vuen teh alawilah hmai a sawi.
12 Kisha Aroni akachinja sadaka ya kuteketezwa. Wanawe wakamletea damu, naye akainyunyiza pande zote za madhabahu.
Hmaisawi thuengnae sathei hai a thei teh a capanaw ni Aron koe thi a poe teh ahni ni khoungroe petkâtue lah a kahei.
13 Wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.
Ahnimanaw ni hmaisawi thuengnae sathei moi, takpatinaw hoi a lû hah a poe teh Aron ni khoungroe van hmai a sawi.
14 Akasafisha sehemu za ndani na miguu, akaviteketeza juu ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
A vonthung e naw hoi a khoknaw hah a pâsu teh, khoungroe van kaawm e sathei hoi cungtalah hmai sawi.
15 Kisha Aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa kwa ajili ya watu. Akachukua yule mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, akamchinja na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kama alivyofanya kwa ile ya kwanza.
Taminaw ni thueng nahanelah a thokhai teh, taminaw e yon thuengnae lah kaawm e hmae a thei hnukkhu, ahmaloe e patetlah yon thuengnae a sak.
16 Aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama ilivyoelekezwa.
Hmaisawi thuengnae sathei hai a thokhai awh teh, hot patetlah a sak.
17 Pia akaleta sadaka ya nafaka, akachukua konzi moja na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi.
Tavai thuengnae hai a sin teh, vai touh kasum a la teh, khoungroe dawk amom lah hmaisawi thuengnae khoungroe dawk hmai a sawi.
18 Akachinja maksai na kondoo dume kama sadaka ya amani kwa ajili ya watu. Wanawe Aroni wakampa ile damu, naye akainyunyiza kwenye madhabahu pande zote.
Taminaw hanelah roum thuengnae maitotan, tutan hai a thei awh teh, a capanaw ni thi a sin hnukkhu, khoungroe van petkâtue lah thi a kahei awh.
19 Lakini sehemu zile za mafuta ya yule maksai na kondoo dume, yaani mafuta ya mkia, mafuta yaliyofunika tumbo, ya figo na yaliyofunika ini,
A mai hoi a ruen ka ramuk e ahrei, a kuen, a thin van e a maimaranaw, tu hoi maito e athaw hah,
20 hivi vyote wakaviweka juu ya vidari, kisha Aroni akayateketeza hayo mafuta ya wanyama juu ya madhabahu.
A takuep van a toung vaiteh, khoungroe dawk hmai a sawi.
21 Aroni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za Bwana ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Mose alivyoagiza.
Takuep hoi aranglae aphai hah BAWIPA hmalah a kahek teh kahek thuengnae a sak. Hottelah, sak hanelah Mosi ni kâ a poe.
22 Kisha Aroni akainua mikono yake kuwaelekea watu na kuwabariki. Naye baada ya kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani, akashuka chini.
Aron ni amae kut a dâw teh, ayânaw yawhawi a poe teh, yon thuengnae, hmaisawi thuengnae, roum thuengnae a sak hnukkhu, a kumcathuk.
23 Kisha Mose na Aroni wakaingia kwenye Hema la Kukutania. Walipotoka nje, wakawabariki watu. Nao utukufu wa Bwana ukawatokea watu wote.
Mosi hoi Aron ni kamkhuengnae lukkareiim thung bout a kâen teh a tâco hnukkhu, taminaw yawhawinae a poe teh, BAWIPA e bawilennae teh taminaw koe a kamnue.
24 Moto ukaja kutoka uwepo wa Bwana, ukairamba ile sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sehemu ya mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wote walipoona jambo hili, wakapiga kelele kwa furaha na kusujudu.
Cathut koehoi hmai a tâco teh, khoungroe van kaawm e hmaisawi thuengnae sathei hoi athaw, hmai a kak. Hote taminaw ni a hmu awh navah a hram awh teh a tabo awh.