< Mambo ya Walawi 7 >
1 “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya hatia, ambayo ni takatifu sana:
Kâtapoe thuengnae teh kathoungpounge lah ao.
2 Sadaka ya hatia itachinjiwa mahali pale ambapo sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, nayo damu yake itanyunyizwa pande zote za madhabahu.
Hmai thuengnae sathei, theinae hmuen koe, kâtapoe thuengnae sathei hah thei vaiteh khoungroe van petkâtue lah a thi kahei han.
3 Mafuta yake yote yatatolewa sadaka: mafuta ya mkia na mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani,
A mai hoi cungtalah a ruen ka ramuk e athaw,
4 figo zote mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo yataondolewa pamoja na hizo figo.
Kuen kahni touh dawk e athaw, kuen hoi cungtalah athin van kaawm e maimara dawk e athaw pueng na poe han.
5 Kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia.
Vaihma ni khoungroe van hmai a sawi vaiteh, Cathut koe hmai hoi thuengnae a sak han. Kâtapoe thuengnae lah ao.
6 Mwanaume yeyote katika jamaa ya kuhani aweza kuila, lakini lazima iliwe mahali patakatifu; ni takatifu sana.
A moi hai vaihma thung e tongpa pueng ni hmuen kathoung koe a ca awh han. Kathoung poung e lah ao.
7 “‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawasawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho.
Kâtapoe thuengnae teh yon thuengnae hoi a kâvan teh thuengnae ka sak pouh e vaihma ni a coe han.
8 Kuhani anayetoa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuichukua ngozi ya mnyama yule aliyetolewa iwe yake.
Tami buetbuet touh ni a sak e hmaisawi thuengnae ka sak pouh e vaihma ni sathei e a vuen teh a la han.
9 Kila sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni au kupikwa katika sufuria au katika kikaangio itakuwa ya kuhani anayeitoa.
A karênae dawk a karê e tavai thuengnae puenghoi ukkang dawk a karê e pueng teh vaihma ni a coe han.
10 Nayo kila sadaka ya nafaka, iwe imechanganywa na mafuta au iko kavu, itakuwa ya wana wa Aroni, nayo itagawanywa sawa kati yao.
Satui a awi nakunghai thoseh, a awi hoeh nakunghai thoseh, tavai thuengnae naw pueng Aron e a capanaw pueng ni suetalah a kârei awh han.
11 “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa Bwana:
BAWIPA koe roum thuengnae tie teh,
12 “‘Ikiwa mtu atatoa sadaka ya amani kwa ajili ya kuonyesha shukrani, pamoja na sadaka hii ya shukrani, atatoa maandazi yasiyotiwa chachu yaliyochanganywa na mafuta, mikate myembamba isiyotiwa chachu iliyopakwa mafuta, maandazi ya unga laini uliokandwa vizuri na kuchanganywa na mafuta.
Lunghawilawkdeinae dâw hanlah, thuengnae na sak pawiteh, lunghawilawkdeinae sathei hoi cungtalah satui kalawt e tonphuenhoehe phen, satui hoi sak e tonphuenhoehe kamrâw, satui kalawt e tavai hoi sak teh karê e vaiyeinaw hah na thueng han.
13 Pamoja na sadaka hii ya amani ya shukrani ataleta sadaka ya maandazi yaliyotengenezwa kwa chachu.
Hote vaiyei phen hloilah, roum thuengnae hoi kâseng e lunghawilawkdeinae dâwnae sathei hoi cungtalah tonphuenhoehe hai na thueng han.
14 Ataleta moja ya kila aina ya andazi kama sadaka, matoleo kwa Bwana; hii ni ya kuhani anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani.
Thuengnae pueng dawk e vaiyei buet touh BAWIPA koe thuengnae na sak vaiteh hote vaiyei hah roum thuengnae sathei thi kaheikung vaihma ni a coe han.
15 Nyama ya sadaka ya amani kwa ajili ya shukrani lazima iliwe siku iyo hiyo inapotolewa; hutabakiza kitu chochote mpaka asubuhi.
Lunghawilawkdeinae lah thueng e roum thuengnae sathei moi hah thueng hnin vah na ca han, amom hanelah bout pek mahoeh.
16 “‘Lakini kama sadaka yake ni kwa ajili ya nadhiri au ni sadaka ya hiari, sadaka hiyo italiwa siku hiyo inapotolewa, lakini chochote kinachobakia kinaweza kuliwa kesho yake.
Hoehpawiteh, lawkkam laihoi thueng nakunghai thoseh, malungpouk thuengnae thoseh, thueng hnin vah sathei moi ca vaiteh kacawie moi hai atangtho bout ca han.
17 Nyama yoyote ya sadaka inayobaki mpaka siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto.
Kacawie a moi hah tawkkahnin hmaisawi han.
18 Kama nyama yoyote ya sadaka ya amani italiwa siku ya tatu, Bwana hataikubali. Haitahesabiwa kwake huyo aliyeitoa, kwa kuwa ni najisi. Mtu atakayekula sehemu yake yoyote atahesabiwa hatia.
Roum thuengnae sathei moi, tawkkahnin vah yitca hai na cat payon pawiteh, a lungyouk hoeh e lah na o han. Thuengnae a sak e dâw pouh mahoeh. Panuetkatho e lah ao han. Ka cat e tami teh yon phu a hmu han.
19 “‘Nyama ile inayogusa chochote ambacho ni najisi kwa kawaida ya ibada kamwe haitaliwa, ni lazima iteketezwe kwa moto. Kuhusu nyama nyingine, mtu yeyote aliye safi kwa kawaida ya ibada anaweza kuila.
Kathounghoehe hno hoi kâbet e sathei moi cat mahoeh. Hmaisawi han. Kathounge taminaw ni dueng hote sathei moi a ca awh han.
20 Lakini kama mtu yeyote najisi akila nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Bwana, huyo mtu lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Apihai thoseh, kathounghoehe yon a tawn nahlangva, Cathut hoi kâseng e roum thuengnae sathei moi ka cat e tami teh, a miphun dawk hoi takhoe lah ao han.
21 Kama mtu yeyote akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni uchafu wa mwanadamu, au mnyama najisi, au kitu chochote kilicho najisi, kitu cha kuchukiza, kisha akala nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.’”
Apihai thoseh, tami dawk thoung hoeh e hno, kathounghoehe moi, kathounghoehe pâri patet e hno buetbuet touh a kânep laihoi BAWIPA hoi kâkuen e roum thuengnae sathei moi cat pawiteh, hote tami teh a miphun dawk hoi takhoe lah ao han telah ati.
22 Bwana akamwambia Mose,
BAWIPA NI Mosi koe bout a dei pouh e teh,
23 “Waambie Waisraeli: ‘Msile mafuta yoyote ya ngʼombe, kondoo wala mbuzi.
Maito thoseh, Tu thoseh, hmae thoseh, athaw na cat a mahoeh.
24 Mafuta ya mnyama aliyekutwa amekufa au ameraruliwa na mnyama pori yanaweza kutumika kwa kazi nyingine yoyote, lakini kamwe msiyale.
Amahmawk kadout e saring e athaw hoi sarang ni a kei e athawnaw teh alouke hnonaw dawk na hno thai, eiteh na cat mahoeh.
25 Mtu yeyote alaye mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka kwa Bwana kwa moto ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Apihai thoseh, Cathut koe hmaisawi thuengnae sathei thaw ka cat e tami teh, a miphun dawk hoi takhoe lah ao han.
26 Popote mtakapoishi, kamwe msinywe damu ya ndege yeyote wala ya mnyama.
Na onae hmuen tangkuem koe a thi thoseh, tava thi thoseh, thi tie pueng na cat mahoeh.
27 Ikiwa mtu yeyote atakunywa damu, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’”
Apihai thoseh thi kacate tami teh miphun dawk hoi takhoe lah ao han.
28 Bwana akamwambia Mose,
Cathut ni Mosi koe, na miphunnaw koe bout na dei pouh hane teh,
29 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa Bwana ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa Bwana.
Cathut koe roum thuengnae sathei ka thueng e tami ni teh ama ni thueng hane sathei, BAWIPA koe poe hanelah a thokhai han.
30 Ataleta sadaka kwa mikono yake mwenyewe iliyotolewa kwa Bwana kwa moto; ataleta mafuta ya huyo mnyama pamoja na kidari, naye atainua hicho kidari mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
Cathut hmalah takuep a sei vaiteh, takuep hoi athaw hah hmai hoi Cathut koe thueng e hah na thokhai han.
31 Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe.
Vaihma ni athaw hah khoungroe van hmai a sawi vaiteh, Aron hoi a capanaw ni takuep teh a la awh han.
32 Paja la kulia la sadaka zako za amani utampa kuhani kama matoleo.
Roum thuengnae sathei thung dawk e aranglae aphai thueng hanelah. vaihma koe a poe han.
33 Mwana wa Aroni atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani ndiye atakayepewa paja hilo la kulia kuwa fungu lake.
Aron e capanaw thung dawk roum thuengnae sathei a thi hoi athaw thuengnae ka sak e tami ni aphai a ham han.
34 Kutoka kwenye sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu nimepokea kidari kile kilichoinuliwa pamoja na lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani Aroni na wanawe kuwa fungu lao la kawaida kutoka kwa Waisraeli.’”
Isarel miphunnaw ni a sak e roum thuengnae satheinaw thung dawk e rek sei e takuep hoi aphai teh ka la vaiteh Isarel miphun Aron hoi a capanaw, yungyoe e aphung lah ka poe toe telah ati.
35 Hii ndiyo sehemu ya sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, ambazo zilitengwa kwa ajili ya Aroni na wanawe siku ile walipowekwa wakfu ili kumtumikia Bwana katika kazi ya ukuhani.
Hottelah, Aron hoi a capanaw ni Cathut hmalah vaihma thaw tawk hanelah, ahnimanaw a rawinae hnin dawk BAWIPA koe, hmai hoi canei kawi naw thuengnae thung dawk e ahnimouh ni a ham awh hane doeh.
36 Siku ile walipotiwa mafuta, Bwana aliagiza kwamba Waisraeli wawape hili kama fungu lao la kawaida kwa vizazi vijavyo.
Isarel miphunnaw dawk hoi e hot patet lae a coe a nahanelah, ahnimanaw teh satui awinae hnin dawkvah BAWIPA ni kâ a poe toe.
37 Basi haya ndiyo masharti kuhusu sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia, sadaka ya kuwekwa wakfu, na sadaka ya amani,
Hete lawk teh Isarel miphunnaw ni Sinai kahrawng dawk Cathut koe thuengnae a sak hanelah,
38 ambayo Bwana alimpa Mose juu ya Mlima Sinai siku ile alipowaagiza Waisraeli walete sadaka zao kwa Bwana, katika Jangwa la Sinai.
Kâtapoenae hnin nah, Sinai mon dawk Cathut ni Mosi koe a poe e hmaisawi thuengnae, tavai thuengnae, yon thuengnae, kâtapoe thuengnae, thaw poe thuengnae hoi roum thuengnae naw doeh atipouh.