< Mambo ya Walawi 7 >

1 “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya hatia, ambayo ni takatifu sana:
Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu hou da hadigidafa. Hagudu da ilia hamoma: ne sia: i dedei diala.
2 Sadaka ya hatia itachinjiwa mahali pale ambapo sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, nayo damu yake itanyunyizwa pande zote za madhabahu.
Dilia Dabe Ima: ne Iasu ohe amo oloda ea gagoe (north) la: idi (amoga ilia da gobele salasu ohe medole legesa) amoga medole legele, ea maga: me amo oloda ea la: idi la: idi biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganoma: mu.
3 Mafuta yake yote yatatolewa sadaka: mafuta ya mkia na mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani,
4 figo zote mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo yataondolewa pamoja na hizo figo.
Amasea, ea sefe huluane amola ea sefe la: go amola dialumagaisa amola ea fogome ganumui amola sefe amoga diala amola habe ea la: idi noga: iwane gala amo dasega: le, oloda da: iya gobesima: mu.
5 Kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia.
Gobele salasu dunu da oloda da: iya sefe huluane Hina Godema Dabe Ima: ne Iasu hamoma: ne, gobesima: mu.
6 Mwanaume yeyote katika jamaa ya kuhani aweza kuila, lakini lazima iliwe mahali patakatifu; ni takatifu sana.
Nowa da gobele salasu dunu fi amo ganodini gawali gala da amo manu da defea. Be amo da hadigi sogebi amo ganodini manu da defea. Bai amo iasu da hadigidafa.
7 “‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawasawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho.
Hamoma: ne sia: i afadafa da Dabe Ima: ne Iasu amola Wadela: i Hou Da: be Ima: ne Iasu amoga ouligisa. Amo da nowa gobele salasu dunu da gobele salasu hamoi galea, amo hu da ea:
8 Kuhani anayetoa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuichukua ngozi ya mnyama yule aliyetolewa iwe yake.
Gobele salasu dunu da ohe Hina Godema ima: ne gobele salasea, e da amo ea gadofo lamu.
9 Kila sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni au kupikwa katika sufuria au katika kikaangio itakuwa ya kuhani anayeitoa.
Gala: ine Iasu amola amo da gobele nasu ganodini gobei o ofodo ganodini o agi gobesu agoai da: iya gobei amo ha: i manu huluane da gobele salasu dunu amo da Godema gobele sali, amo ea:
10 Nayo kila sadaka ya nafaka, iwe imechanganywa na mafuta au iko kavu, itakuwa ya wana wa Aroni, nayo itagawanywa sawa kati yao.
Be Gala: ine Iasu hame gobei (susuligi gilisi o hafoga: i) amo huluane da Elane gobele salasu dunu fi ilia: Amo fifili defele ima: mu.
11 “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa Bwana:
Hagudu da Hahawane Gilisili Olofole Iasu Hina Godema ima: ne hamoma: ne sia: i dedei diala.
12 “‘Ikiwa mtu atatoa sadaka ya amani kwa ajili ya kuonyesha shukrani, pamoja na sadaka hii ya shukrani, atatoa maandazi yasiyotiwa chachu yaliyochanganywa na mafuta, mikate myembamba isiyotiwa chachu iliyopakwa mafuta, maandazi ya unga laini uliokandwa vizuri na kuchanganywa na mafuta.
Nowa dunu da Godema nodoma: ne amo Iasu imunusa: dawa: sea, e da ohe gobele salimusa: amola agi ga: gi (yisidi hame gilisi) gaguli misa: mu. Amo agi ga: gi da falaua amola olife susuligi amoga hamoi o belowagi amoga olife susuligi da legei o falaua ga: gi amola olife susuligi gilisi amoga hamoi.
13 Pamoja na sadaka hii ya amani ya shukrani ataleta sadaka ya maandazi yaliyotengenezwa kwa chachu.
Amola eno, e da agi ga: gi yisidi hame gilisi amo gobei gaguli misa: mu.
14 Ataleta moja ya kila aina ya andazi kama sadaka, matoleo kwa Bwana; hii ni ya kuhani anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani.
E da agi ga: gi hisu hisu amo fifili, Hina Godema dawa: ma: ne Ema imunu. Amo agi ga: gi da gobele salasu dunu amo da ohe ea maga: me lale, oloda la: idiga sogaga: la: gaganosa, amo dunu ea:
15 Nyama ya sadaka ya amani kwa ajili ya shukrani lazima iliwe siku iyo hiyo inapotolewa; hutabakiza kitu chochote mpaka asubuhi.
Ohe ea hu da eso amoga e da gobele sali amo mai dagoi ba: ma: mu. Golale, hahabe, eno hu hame mai dialumu da sema bagade.
16 “‘Lakini kama sadaka yake ni kwa ajili ya nadhiri au ni sadaka ya hiari, sadaka hiyo italiwa siku hiyo inapotolewa, lakini chochote kinachobakia kinaweza kuliwa kesho yake.
Be dunu da ea sia: ilegei dafawaneyale ba: ma: ne o udigili hahawane ima: ne, Hahawane Gilisili Olofole Iasu gaguli masea, amo esoga ha: i manu hame mai diala, amo aya esoga manu da defea.
17 Nyama yoyote ya sadaka inayobaki mpaka siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto.
Be hu da eso osodayale dialebe ba: sea, amo gobesima: mu.
18 Kama nyama yoyote ya sadaka ya amani italiwa siku ya tatu, Bwana hataikubali. Haitahesabiwa kwake huyo aliyeitoa, kwa kuwa ni najisi. Mtu atakayekula sehemu yake yoyote atahesabiwa hatia.
Be dunu da eso osodayale amoga hu nasea, Gode da iabe dunu ea iasu hame lamu. Hina Gode da ea wadela: i hou hame gogolema: ne olofomu. Be E da amo iasu ledo hamoi dagoi ba: mu. Amola nowa dunu da amo nasea, se nabimu.
19 “‘Nyama ile inayogusa chochote ambacho ni najisi kwa kawaida ya ibada kamwe haitaliwa, ni lazima iteketezwe kwa moto. Kuhusu nyama nyingine, mtu yeyote aliye safi kwa kawaida ya ibada anaweza kuila.
Be ledo hamoi liligi da Godema Iasu hu amo digili ba: sea, amo hu mae moma: ne sia: ma. Amo hu gobesima: mu. Nowa dunu da Hina Gode Ea sema defele dodofei dagoi ba: sea, da Godema Iasu bu manu defele ba: mu.
20 Lakini kama mtu yeyote najisi akila nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Bwana, huyo mtu lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Be nowa da ledo gala hame dodofei ba: sea, amo hu nasea, e da Gode Ea Fidafa amoga afafai dagoi ba: mu.
21 Kama mtu yeyote akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni uchafu wa mwanadamu, au mnyama najisi, au kitu chochote kilicho najisi, kitu cha kuchukiza, kisha akala nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.’”
Amola, nowa da ledo hamoi liligi (dunuga o ohega hamoi) digili ba: lu, amo hu udigili nasea, e amola da Gode Ea Fidafa amoga afafai dagoi ba: mu.
22 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema (Isala: ili fi dunuma alofele ima: ne) hagudu dedei hamoma: ne sia: i olelei.
23 “Waambie Waisraeli: ‘Msile mafuta yoyote ya ngʼombe, kondoo wala mbuzi.
Bulamagau, sibi amola goudi, ilia sefe maedafa moma: ne sia: ma.
24 Mafuta ya mnyama aliyekutwa amekufa au ameraruliwa na mnyama pori yanaweza kutumika kwa kazi nyingine yoyote, lakini kamwe msiyale.
Ohe amo da hisu bogoi o sigua ohega medole legei, amo ea sefe mae moma: ne sia: ma. Be ea sefe eno hou hamomusa: lamu da defea.
25 Mtu yeyote alaye mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka kwa Bwana kwa moto ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Nowa da ohe amo Hina Godema ha: i manu iasu imunusa: ilegei galu, amo ea sefe nasea da Gode Ea Fidafa amoga afafai dagoi ba: mu.
26 Popote mtakapoishi, kamwe msinywe damu ya ndege yeyote wala ya mnyama.
Isala: ili dunu da habodili esalea, sio o ohe ilia maga: me manu da sema bagade.
27 Ikiwa mtu yeyote atakunywa damu, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’”
Nowa da amo sema wadela: sea, da Gode Ea Fidafa amoga afafai dagoi ba: mu.
28 Bwana akamwambia Mose,
Amola Hina Gode da Mousesema Isala: ili fi dunuma alofele ima: ne amo hagudu dedei hamoma: ne sia: i olelei.
29 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa Bwana ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa Bwana.
Nowa da Hahawane Gilisili Olofole Iasu imunusa: dawa: sea, e da amo fifilalu, fifi afae Hina Godema imunusa: gaguli misa: mu.
30 Ataleta sadaka kwa mikono yake mwenyewe iliyotolewa kwa Bwana kwa moto; ataleta mafuta ya huyo mnyama pamoja na kidari, naye atainua hicho kidari mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa.
E da amo hi loboga ha: i manu iasu gaguli misa: mu. E da amo ohe ea sefe amola ea bidegi gaguli misini, Hina Godema ima: ne sia: ma.
31 Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe.
Gobele salasu dunu da sefe amo oloda da: iya gobesimu. Be bidegi amo da gobele salasu dunu ea:
32 Paja la kulia la sadaka zako za amani utampa kuhani kama matoleo.
33 Mwana wa Aroni atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani ndiye atakayepewa paja hilo la kulia kuwa fungu lake.
Amo ohe ea emodafa e da gobele salasu dunu amo da maga: me amola sefe Hahawane Gilisili Olofole Ima: ne iaha, amo ema imunu.
34 Kutoka kwenye sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu nimepokea kidari kile kilichoinuliwa pamoja na lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani Aroni na wanawe kuwa fungu lao la kawaida kutoka kwa Waisraeli.’”
Ohe ea bidegi amola emodafa amo ele da iasu noga: idafa amo Hina Gode da Isala: ili fi dunu ilima lale, gobele salasu fi dunu ilima iaha. Amo hou da mae yolesili, dialumu.
35 Hii ndiyo sehemu ya sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, ambazo zilitengwa kwa ajili ya Aroni na wanawe siku ile walipowekwa wakfu ili kumtumikia Bwana katika kazi ya ukuhani.
Amo da ha: i manu Hina Godema iasu, amo fifili, Elane amola egefelali, amo ilia gobele salasu dunu ilegesu eso amoga iasu.
36 Siku ile walipotiwa mafuta, Bwana aliagiza kwamba Waisraeli wawape hili kama fungu lao la kawaida kwa vizazi vijavyo.
Amo esoga, Hina Gode da Isala: ili dunu ilima ilia da iasu fifili, amo fifi gobele salasu dunuma ima: ne sia: i. Amo hamoma: ne sia: i da Isala: ili dunu ilima fa: no eso huluane mae yolesili, ouligima: ne sia: ma
37 Basi haya ndiyo masharti kuhusu sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia, sadaka ya kuwekwa wakfu, na sadaka ya amani,
Defea! Amo da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu, Gala: ine Iasu, Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu, Mae Dawa: le Wadela: i Hamoi Iasu, Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu ilia hamoma: ne sia: i huluane dedei diala.
38 ambayo Bwana alimpa Mose juu ya Mlima Sinai siku ile alipowaagiza Waisraeli walete sadaka zao kwa Bwana, katika Jangwa la Sinai.
Sainai Goumi, hafoga: i soge ganodini, amogawi Hina Gode da amo hamoma: ne sia: i huluane Mousesema i dagoi. Eso amoga E da Isala: ili dunu ilia iasu ima: ne sia: i, E da amo hamoma: ne sia: i Mousesema i.

< Mambo ya Walawi 7 >