< Mambo ya Walawi 5 >

1 “‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au kujua habari zake, yeye anastahili adhabu.
Jeźliby też człowiek zgrzeszył, żeby słyszał głos bluźnierstwa, a byłby świadkiem tego, co albo widział, albo słyszał, a nie oznajmiłby, poniesie karanie za nieprawość swoję.
2 “‘Au kama mtu akigusa kitu chochote ambacho ni najisi, iwe ni mizoga ya wanyama pori walio najisi, au ya wanyama wafugwao walio najisi, au ya viumbe vitambaavyo ardhini, hata akiwa hana habari, amekuwa najisi na mwenye hatia.
Albo jeźliby się kto dotknął rzeczy nieczystej, bądź ścierwu zwierza nieczystego, bądź ścierwu bydlęcia nieczystego, bądź ścierwu gadziny nieczystej, a byłoby to zakryto przed nim, przecię nieczysty będzie, i winien jest.
3 “‘Au kama akigusa kitu kilicho kichafu kinachotokana na binadamu, kitu chochote kile kinachoweza kumfanya awe najisi, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.
Albo jeźliby się kto dotknął nieczystości człowieczej, jakażbykolwiek była nieczystość jego, przez którą się nieczystym stawa, a byłoby to skryto przed nim, i dowiedziałby się, winien jest.
4 “‘Au kama mtu ameapa kufanya kitu chochote bila kufikiri, kiwe chema au kibaya, kwa vyovyote mtu aweza kuapa bila kujali, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.
Albo jeźliby kto przysiągł wymówiwszy usty, że źle albo dobrze uczynił, o wszystko, co wymawia człowiek z przysięgą, a byłoby to skryto przed nim i dowiedziałby się potem, że winien jest w jednej rzeczy z tych:
5 “‘Wakati mtu yeyote atakapokuwa na hatia katika mojawapo ya haya, lazima akiri ni kwa njia gani ametenda dhambi,
Będąc tedy winien w jednej rzeczy z tych, wyzna grzech swój;
6 na kama adhabu ya dhambi aliyoitenda, lazima alete kwa Bwana kondoo jike au mbuzi jike kutoka kwenye kundi lake kama sadaka ya dhambi; naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yake.
I przywiedzie ofiarę za winę swoję Panu za grzech swój, którym zgrzeszył, samicę z drobnego bydła, owcę, albo kozę za grzech, a oczyści go kapłan od grzechu jego.
7 “‘Lakini huyo mtu kama hataweza kumtoa mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana kuwa adhabu kwa ajili ya dhambi yake, mmoja wa hao ndege kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wa pili kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
A jeźliby nie przemógł ofiarować bydlątka, tedy przyniesie ofiarę za występek swój, którym zgrzeszył, parę synogarlic, albo parę gołąbiąt Panu, jedno na ofiarę za grzech, a drugie na ofiarę całopalenia;
8 Atawaleta kwa kuhani, ambaye atamtoa kwanza ndege mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo na kuacha kichwa chake kikiningʼinia,
I przyniesie je do kapłana, a on naprzód ofiarować będzie to, co ma być na ofiarę za grzech, i paznogciem nadrze głowę jego ku szyi, ale jej nie oderwie.
9 naye atanyunyiza sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi kwenye pembe za madhabahu. Damu iliyobaki lazima ichuruzwe chini ya madhabahu. Hii ni sadaka ya dhambi.
I pokropi krwią z ofiary za grzech stronę ołtarza, a ostatek onej krwi wyciśnie u spodku ołtarza. Ofiara to za grzech jest.
10 Kisha kuhani atamtoa yule ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa, na hivyo kufanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.
Z drugiego zasię uczyni ofiarę całopalenia według zwyczaju. A tak oczyści go kapłan od grzechu jego, którym zgrzeszył, a będzie mu odpuszczony.
11 “‘Ikiwa basi, hawezi kupata hua wawili au makinda mawili ya njiwa, ataleta sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kamwe asiweke mafuta wala uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya dhambi.
A jeźliby nie przemógł ofiarować parę synogarlic, albo parę gołąbiąt, tedy przyniesie ofiarę swoję za to, co zgrzeszył, dziesiątą część efy mąki pszennej na ofiarę za grzech, nie naleje na nię oliwy, ani włoży na nię kadzidła; bo jest ofiara za grzech.
12 Atauleta unga kwa kuhani, ambaye atachukua konzi moja kama sehemu ya kumbukumbu na atauteketeza kwenye madhabahu juu ya sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto. Hii ni sadaka ya dhambi.
A gdy ją przyniesie do kapłana, tedy nabrawszy kapłan z niej pełną garść swoję na pamiątkę jego, spali ją na ołtarzu mimo ofiarę ognistą Panu; ofiara to za grzech jest.
13 Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yoyote ya hizo alizotenda, naye atasamehewa. Sadaka iliyobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyokuwa ile sadaka ya nafaka.’”
I oczyści go kapłan od grzechu jego, którym zgrzeszył w którejkolwiek z tych rzeczy, a będzie mu odpuszczony; a ostatek będzie kapłanowi, jako przy ofierze śniednej.
14 Bwana akamwambia Mose:
Nad to rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
15 “Mtu anapokiuka na kutenda dhambi pasipo kukusudia kuhusu mojawapo ya mambo matakatifu ya Bwana, huyo mtu ataleta kwa Bwana kama adhabu kondoo dume mmoja kutoka kundi lake, asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Hii ni sadaka ya hatia.
Gdyby człowiek przestąpił przestępstwem, a zgrzeszyłby z niewiadomości, ujmując rzeczy poświęconych Panu, tedy przywiedzie ofiarę za występek swój Panu, barana zupełnego z drobnego bydła według oszacowania twego, za dwa sykle srebra według sykla świątnicy, na ofiarę za występek.
16 Ni lazima alipe kwa yale aliyoshindwa kufanya kuhusu vitu vitakatifu, kwa kuongeza sehemu ya tano ya thamani ile na kuitoa yote kwa kuhani, ambaye atamfanyia upatanisho kwa huyo kondoo dume kama sadaka ya dhambi, naye atasamehewa.
A to, coby wziął z poświęconych rzeczy, wróci, i piątą część nadto przyda i odda kapłanowi; a kapłan go oczyści przez barana ofiary za grzech, a będzie mu odpuszczono.
17 “Kama mtu akifanya dhambi na kufanya yale yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za Bwana, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na anastahili adhabu.
Jeźliby też człowiek zgrzeszył, uczyniwszy przeciw któremukolwiek z przykazań Pańskich, coby nie miało być, z niewiadomości, a byłby winien, poniesie karanie za nieprawość swoję.
18 Atamletea kuhani kama sadaka ya hatia kondoo dume kutoka kundi lake, kondoo asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa kosa alilotenda bila kukusudia, naye atasamehewa.
Tedy przywiedzie barana zupełnego z drobnego bydła według szacunku twojego, na ofiarę za występek do kapłana; i oczyści go kapłan od niewiadomości jego, której się dopuścił nie wiedząc, a będzie mu odpuszczono.
19 Hii ni sadaka ya hatia; amekuwa na hatia kwa kufanya kosa dhidi ya Bwana.”
Ofiara to za występek jest, którym wystąpił przeciwko Panu.

< Mambo ya Walawi 5 >