< Mambo ya Walawi 5 >

1 “‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au kujua habari zake, yeye anastahili adhabu.
Zhřešil-li by člověk, tak že slyše hlas zakletí a jsa svědkem toho, což viděl neb slyšel, a neoznámil by, poneseť pokutu za nepravost svou.
2 “‘Au kama mtu akigusa kitu chochote ambacho ni najisi, iwe ni mizoga ya wanyama pori walio najisi, au ya wanyama wafugwao walio najisi, au ya viumbe vitambaavyo ardhini, hata akiwa hana habari, amekuwa najisi na mwenye hatia.
Aneb jestliže by se dotkl člověk některé věci nečisté, buďto těla zvěři nečisté, buďto těla hovada nečistého, aneb těla žížaly nečisté, a bylo by to skryto před ním, tedy nečistý bude a vinen jest.
3 “‘Au kama akigusa kitu kilicho kichafu kinachotokana na binadamu, kitu chochote kile kinachoweza kumfanya awe najisi, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.
Aneb jestliže by se dotkl nečistoty člověka, jaká by koli byla nečistota jeho, kterouž se poškvrňuje, a bylo by to skryto před ním, a potom poznal by to, vinen jest.
4 “‘Au kama mtu ameapa kufanya kitu chochote bila kufikiri, kiwe chema au kibaya, kwa vyovyote mtu aweza kuapa bila kujali, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.
Aneb jestliže by se kdo zapřisáhl, vynášeje to rty svými, že učiní něco zlého aneb dobrého, a to o jakékoli věci, o níž člověk s přísahou obyčej má mluviti, a bylo by to skryto před ním, a potom by poznal, že vinen jest jednou věcí z těch,
5 “‘Wakati mtu yeyote atakapokuwa na hatia katika mojawapo ya haya, lazima akiri ni kwa njia gani ametenda dhambi,
Když tedy vinen bude jednou věcí z těch: vyzná hřích svůj,
6 na kama adhabu ya dhambi aliyoitenda, lazima alete kwa Bwana kondoo jike au mbuzi jike kutoka kwenye kundi lake kama sadaka ya dhambi; naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yake.
A přivede obět za vinu svou Hospodinu, za hřích svůj, kterýmž zhřešil, samici z dobytku drobného, ovci aneb kozu za hřích, a očistíť jej kněz od hříchů jeho.
7 “‘Lakini huyo mtu kama hataweza kumtoa mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana kuwa adhabu kwa ajili ya dhambi yake, mmoja wa hao ndege kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wa pili kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
A pakli by s to býti nemohl, aby dobytče obětoval, tedy přinese obět za vinu svou, kterouž zhřešil, dvě hrdličky aneb dvé holoubátek Hospodinu, jedno v obět za hřích a druhé v obět zápalnou.
8 Atawaleta kwa kuhani, ambaye atamtoa kwanza ndege mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo na kuacha kichwa chake kikiningʼinia,
I přinese je k knězi, a on obětovati bude nejprvé to, kteréž má býti v obět za hřích, a nehtem natrhne hlavy jeho naproti tylu jeho, však nerozdělí jí.
9 naye atanyunyiza sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi kwenye pembe za madhabahu. Damu iliyobaki lazima ichuruzwe chini ya madhabahu. Hii ni sadaka ya dhambi.
I pokropí krví z oběti za hřích strany oltáře, a což zůstane krve, vytlačí ji k spodku oltáře; nebo obět za hřích jest.
10 Kisha kuhani atamtoa yule ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa, na hivyo kufanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.
Z druhého pak učiní obět zápalnou vedlé obyčeje. A tak očistí jej kněz od hříchu jeho, kterýmž zhřešil, a bude mu odpuštěn.
11 “‘Ikiwa basi, hawezi kupata hua wawili au makinda mawili ya njiwa, ataleta sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kamwe asiweke mafuta wala uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya dhambi.
A pakli nemůže s to býti, aby přinesl dvě hrdličky aneb dvé holoubátek, tedy přinese obět svou ten, kterýž zhřešil, desátý díl míry efi mouky bělné v obět za hřích. Nenalejeť na ni oleje, aniž položí na ni kadidla, nebo obět za hřích jest.
12 Atauleta unga kwa kuhani, ambaye atachukua konzi moja kama sehemu ya kumbukumbu na atauteketeza kwenye madhabahu juu ya sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto. Hii ni sadaka ya dhambi.
Kterouž když přinese k knězi, tedy kněz vezma z ní plnou hrst svou, pamětné její, páliti to bude na oltáři mimo obět ohnivou Hospodinu, obět za hřích jest.
13 Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yoyote ya hizo alizotenda, naye atasamehewa. Sadaka iliyobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyokuwa ile sadaka ya nafaka.’”
I očistí jej kněz od hříchu jeho, kterýmž zhřešil v kterékoli věci z těch, a budeť mu odpuštěn; ostatek pak bude knězi jako při oběti suché.
14 Bwana akamwambia Mose:
Mluvil opět Hospodin k Mojžíšovi, řka:
15 “Mtu anapokiuka na kutenda dhambi pasipo kukusudia kuhusu mojawapo ya mambo matakatifu ya Bwana, huyo mtu ataleta kwa Bwana kama adhabu kondoo dume mmoja kutoka kundi lake, asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Hii ni sadaka ya hatia.
Kdyby člověk přestoupil přestoupením, a zhřešil by z poblouzení, ujímaje věcí posvěcených Hospodinu: tedy přinese obět za vinu svou Hospodinu, skopce bez poškvrny z drobného dobytka, podlé ceny tvé, nejníž za dva loty stříbra, vedlé lotu svatyně, za vinu.
16 Ni lazima alipe kwa yale aliyoshindwa kufanya kuhusu vitu vitakatifu, kwa kuongeza sehemu ya tano ya thamani ile na kuitoa yote kwa kuhani, ambaye atamfanyia upatanisho kwa huyo kondoo dume kama sadaka ya dhambi, naye atasamehewa.
A tak, což zhřešil, ujímaje posvěcených věcí, nahradí, a pátý díl nad to přidá, dada to knězi; kněz pak očistí jej skrze skopce oběti za vinu, a bude jemu odpuštěna.
17 “Kama mtu akifanya dhambi na kufanya yale yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za Bwana, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na anastahili adhabu.
Jestliže by pak člověk zhřešil, a učinil by proti některému ze všech přikázaní Hospodinových, čehož by nemělo býti, neznaje toho, a byl by vinen, rovně též ponese nepravost svou.
18 Atamletea kuhani kama sadaka ya hatia kondoo dume kutoka kundi lake, kondoo asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa kosa alilotenda bila kukusudia, naye atasamehewa.
A přivede skopce bez poškvrny z drobného dobytka vedlé ceny tvé v obět za vinu k knězi. I očistí jej kněz od poblouzení jeho, kterýmž pobloudil a o němž nevěděl, a bude mu odpuštěno.
19 Hii ni sadaka ya hatia; amekuwa na hatia kwa kufanya kosa dhidi ya Bwana.”
Obět za provinění jest, nebo zavinil Hospodinu.

< Mambo ya Walawi 5 >