< Mambo ya Walawi 4 >
I PAN powiedział do Mojżesza:
2 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana:
Przemów do synów Izraela i powiedz im: Gdyby ktoś zgrzeszył nieświadomie przeciw [któremuś] z przykazań PANA i [zrobił coś], czego nie wolno robić, i przekroczyłby jedno z nich:
3 “‘Ikiwa kuhani aliyetiwa mafuta amefanya dhambi na kuwaletea watu hatia, lazima alete kwa Bwana fahali mchanga asiye na dosari, kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.
Jeśli to namaszczony kapłan zgrzeszył jak ktoś z ludu, niech złoży PANU za swój grzech, którego się dopuścił, młodego cielca bez skazy jako ofiarę za grzech.
4 Atamkabidhi huyo fahali kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za Bwana. Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo fahali na kumchinja mbele za Bwana.
I przyprowadzi tego cielca przed wejście do Namiotu Zgromadzenia przed PANA, położy rękę na głowie tego cielca i zabije go przed PANEM.
5 Kisha kuhani huyo aliyetiwa mafuta atachukua sehemu ya damu ya huyo fahali na kuileta katika Hema la Kukutania.
I namaszczony kapłan weźmie nieco krwi tego cielca, i wniesie ją do Namiotu Zgromadzenia.
6 Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia la mahali patakatifu.
Potem kapłan umoczy swój palec we krwi i siedem razy pokropi tą krwią przed PANEM, przed zasłoną Miejsca Świętego.
7 Kisha kuhani atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri iliyoko mbele za Bwana katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ya huyo fahali ataimwaga chini ya hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
I kapłan pomaże tą krwią rogi ołtarza wonnego kadzidła, który jest przed PANEM w Namiocie Zgromadzenia; resztę zaś krwi tego cielca wyleje u podstawy ołtarza całopalenia, który jest przy wejściu do Namiotu Zgromadzenia.
8 Atayaondoa mafuta yote ya fahali huyo wa sadaka ya dhambi, mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani au zile zinazounganika nazo,
A cały tłuszcz wyjmie z cielca na ofiarę za grzech: tłuszcz okrywający wnętrzności i cały tłuszcz, który jest na wnętrznościach;
9 figo zote mbili na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yale yanayofunika ini ambayo atayaondoa pamoja na figo zote,
Obie nerki z tłuszczem, który [jest] na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie, który oddzieli wraz z nerkami;
10 kama vile mafuta yanayoondolewa kutoka kwenye maksai aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
Tak jak wyjmuje się go z cielca ofiary pojednawczej. I kapłan spali to na ołtarzu całopalenia.
11 Lakini ngozi ya huyo fahali na nyama zake zote, pamoja na kichwa na miguu yake, sehemu za ndani na matumbo,
Skórę zaś tego cielca i całe jego mięso wraz z głową i nogami, jego wnętrzności i odchody;
12 yaani sehemu nyingine zote zilizobaki za huyo fahali, lazima azitoe nje ya kambi mpaka mahali palipo safi kiibada, ambapo majivu hutupwa, naye atamchoma kwa moto juu ya kuni zilizoko juu ya lundo la majivu.
A więc całego cielca, wyniesie poza obóz na miejsce czyste, gdzie wysypuje się popiół, i spali go na drwach, na ogniu. Będzie spalony tam, gdzie wysypują popiół.
13 “‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana, hata kama jumuiya haifahamu juu ya jambo hilo, wana hatia.
Gdyby całe zgromadzenie Izraela zgrzeszyło nieświadomie, a sprawa była ukryta przed oczami zgromadzenia, i uczynili coś przeciw któremuś z przykazań PANA, czego nie wolno czynić, i w ten sposób zawinili;
14 Wanapotambua kuhusu dhambi waliyoitenda, lazima kusanyiko lilete fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi na kuikabidhi mbele ya Hema la Kukutania.
Kiedy grzech, którego się dopuścili, wyjdzie na jaw, wtedy zgromadzenie złoży młodego cielca jako ofiarę za grzech i przyprowadzi go przed Namiot Zgromadzenia;
15 Wazee wa jumuiya wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo fahali aliye mbele za Bwana, naye fahali atachinjwa mbele za Bwana.
A starsi zgromadzenia włożą ręce na głowę cielca przed PANEM. I zabiją tego cielca przed PANEM.
16 Kisha kuhani aliyetiwa mafuta ataiingiza sehemu ya damu ya huyo fahali ndani ya Hema la Kukutania.
Wtedy namaszczony kapłan wniesie nieco krwi cielca do Namiotu Zgromadzenia.
17 Atachovya kidole chake kwenye damu na kuinyunyiza mara saba mbele za Bwana mbele ya hilo pazia.
I kapłan umoczy swój palec w tej krwi, i pokropi nią siedem razy przed PANEM, przed zasłoną.
18 Atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu yaliyo mbele za Bwana katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu ya kuteketezea sadaka, penye ingilio la Hema la Kukutania.
Potem pomaże tą krwią rogi ołtarza, który jest przed PANEM w Namiocie Zgromadzenia; resztę zaś krwi wyleje u podstawy ołtarza całopalenia, który jest przy wejściu do Namiotu Zgromadzenia.
19 Atayaondoa mafuta yote ya yule fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu,
Cały tłuszcz wyjmie z niego i spali na ołtarzu.
20 naye atamfanyia fahali huyu kama alivyomfanyia yule fahali mwingine wa sadaka ya dhambi. Kwa njia hii kuhani atawafanyia watu upatanisho, nao watasamehewa.
I postąpi z tym cielcem tak samo jak postąpił z cielcem złożonym za grzech; tak właśnie z nim postąpi. W ten sposób kapłan dokona za nich przebłagania i będzie im przebaczone.
21 Kisha atamchukua yule fahali nje ya kambi na kumteketeza kama alivyomteketeza yule wa kwanza. Hii ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya jumuiya.
Potem wyniesie tego cielca poza obóz i spali go, tak jak spalił pierwszego cielca. To jest ofiara za grzech zgromadzenia.
22 “‘Wakati kiongozi ametenda dhambi bila kukusudia na kufanya yaliyokatazwa katika amri yoyote ya Bwana Mungu wake, ana hatia.
Gdyby przełożony ludu zgrzeszył nieświadomie i przekroczył jedno z przykazań PANA, swego Boga, czyniąc coś, czego nie wolno czynić, i w ten sposób zawinił;
23 Atakapofahamishwa dhambi aliyotenda, ni lazima alete mbuzi dume asiye na dosari kama sadaka yake.
Lub gdyby uświadomił sobie swój grzech, który popełnił, to przyprowadzi na ofiarę kozła z kóz, samca bez skazy;
24 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha yule mbuzi na kumchinja mahali pale ambapo sadaka za kuteketezwa huchinjiwa mbele za Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
Położy rękę na głowie tego kozła i zabije go na tym miejscu, gdzie się zabija ofiary całopalne przed PANEM. To [jest] ofiara za grzech.
25 Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketeza, na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.
I kapłan weźmie na palec nieco krwi ofiary za grzech, i pomaże rogi ołtarza całopalenia, a [resztę] krwi wyleje u podstawy ołtarza całopalenia.
26 Atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, kama alivyoteketeza mafuta ya sadaka ya amani. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho wa dhambi kwa ajili ya yule mtu, naye atasamehewa.
Cały zaś jego tłuszcz spali na ołtarzu, tak jak tłuszcz ofiary pojednawczej. W ten sposób kapłan dokona za niego przebłagania za jego grzech i będzie mu przebaczony.
27 “‘Kama mtu katika jumuiya ametenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana, yeye ana hatia.
Gdyby ktoś spośród ludu zgrzeszył nieświadomie i przekroczył jedno z przykazań PANA, czyniąc coś, czego nie wolno czynić, i w ten sposób zawinił;
28 Atakapofahamishwa dhambi yake aliyoitenda, ni lazima alete mbuzi jike asiye na dosari kama sadaka yake kwa ajili ya dhambi aliyotenda.
Lub gdyby uświadomił sobie swój grzech, który popełnił, to przyprowadzi na ofiarę kozę z kóz, samicę bez skazy, za swój grzech, którego się dopuścił.
29 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya dhambi na kumchinjia mahali pa kuteketezea sadaka.
Potem położy rękę na głowie tej ofiary za grzech i zabije ją na miejscu ofiar całopalnych.
30 Kisha kuhani atachukua sehemu ya ile damu kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.
Kapłan zaś weźmie na palec nieco jej krwi i pomaże rogi ołtarza całopalenia, a resztę krwi wyleje u podstawy ołtarza.
31 Atayaondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kwenye sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.
Cały jej tłuszcz oddzieli – tak jak oddziela się tłuszcz z ofiary pojednawczej – i kapłan spali to na ołtarzu na miłą woń dla PANA. Tak kapłan dokona przebłagania za niego i będzie mu przebaczone.
32 “‘Ikiwa ataleta mwana-kondoo kama sadaka yake ya dhambi, atamleta jike asiye na dosari.
A jeśli przyprowadzi owcę na ofiarę za grzech, niech przyprowadzi samicę bez skazy.
33 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo mwana-kondoo na kumchinja kwa ajili ya sadaka ya dhambi mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa.
I położy rękę na głowie tej ofiary za grzech, i zabije ją jako ofiarę za grzech na tym miejscu, gdzie się zabija ofiary całopalne.
34 Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, na ile damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.
Potem kapłan weźmie na palec nieco krwi ofiary za grzech i pomaże rogi ołtarza całopalenia, a resztę krwi wyleje u podstawy ołtarza.
35 Ataondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kutoka kwenye mwana-kondoo wa sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu juu ya zile sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.
I cały jej tłuszcz oddzieli – tak jak oddziela się tłuszcz z owcy ofiary pojednawczej – i kapłan spali to na ołtarzu, na ofiarach całopalnych dla PANA. W ten sposób kapłan dokona za niego przebłagania za jego grzech, którego się dopuścił, i będzie mu przebaczony.