< Mambo ya Walawi 4 >
Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
2 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana:
Runā uz Israēla bērniem un saki: ja kas laban netīši apgrēkojies pret kādu no Tā Kunga baušļiem, ko nebūs darīt, un pret vienu no tiem darījis,
3 “‘Ikiwa kuhani aliyetiwa mafuta amefanya dhambi na kuwaletea watu hatia, lazima alete kwa Bwana fahali mchanga asiye na dosari, kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.
Ja priesteris, kas ir svaidīts, apgrēkojies, ka viņš tos ļaudis apgrēcina, tad viņam savu grēku dēļ, ko viņš grēkojis, Tam Kungam būs pienest vienu vērsi, jaunu vērsi, kas bez vainas, par grēku upuri.
4 Atamkabidhi huyo fahali kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za Bwana. Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo fahali na kumchinja mbele za Bwana.
Un tam to vērsi būs vest priekš saiešanas telts durvīm Tā Kunga priekšā, un būs likt savu roku uz tā vērša galvu un to vērsi nokaut Tā Kunga priekšā.
5 Kisha kuhani huyo aliyetiwa mafuta atachukua sehemu ya damu ya huyo fahali na kuileta katika Hema la Kukutania.
Un tam svaidītam priesterim būs ņemt no tā vērša asinīm un to nest saiešanas teltī.
6 Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia la mahali patakatifu.
Un priesterim būs iemērkt savu pirkstu asinīs, un ar tām asinīm septiņkārt slacināt Tā Kunga priekšā pret svētās vietas priekškaramo.
7 Kisha kuhani atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri iliyoko mbele za Bwana katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ya huyo fahali ataimwaga chini ya hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
Un priesterim būs likt no tām asinīm arī uz altāra ragiem, kur smaržīgas zāles top kvēpinātas, kas saiešanas teltī ir Tā Kunga priekšā, un tā vērša citas asinis tam būs izliet uz dedzināmo upuru altāra grīdu priekš saiešanas telts durvīm.
8 Atayaondoa mafuta yote ya fahali huyo wa sadaka ya dhambi, mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani au zile zinazounganika nazo,
Un grēku upura vērša taukus visus viņam no tā būs atņemt.
9 figo zote mbili na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yale yanayofunika ini ambayo atayaondoa pamoja na figo zote,
Tos taukus, kas iekšas apklāj, un visus taukus, kas ir pie iekšām, un abējas īkstis un tos taukus, kas tām klātu ir pie gurniem, un aknu taukus, to būs noņemt pie īkstīm,
10 kama vile mafuta yanayoondolewa kutoka kwenye maksai aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.
Itin kā tas top atņemts no pateicības upura vērša; un tam priesterim to būs iededzināt uz dedzināmo upuru altāra.
11 Lakini ngozi ya huyo fahali na nyama zake zote, pamoja na kichwa na miguu yake, sehemu za ndani na matumbo,
Bet tā vērša ādu un visu viņa gaļu ar viņa galvu un ar viņa kājām un viņa iekšas un viņa sūdus
12 yaani sehemu nyingine zote zilizobaki za huyo fahali, lazima azitoe nje ya kambi mpaka mahali palipo safi kiibada, ambapo majivu hutupwa, naye atamchoma kwa moto juu ya kuni zilizoko juu ya lundo la majivu.
Un visu to vērsi būs iznest ārā lēģera priekšā uz šķīstu vietu, kur pelni top izgāzti, un to ar uguni būs sadedzināt uz malkas; pie tiem izgāztiem pelniem to būs sadedzināt.
13 “‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana, hata kama jumuiya haifahamu juu ya jambo hilo, wana hatia.
Un ja visa Israēla draudze netīši apgrēkotos, un tā lieta būtu apslēpta priekš draudzes acīm, un ja tie ko būtu darījuši pret kādu no Tā Kunga baušļiem, ko tiem nebija darīt, un būtu noziegušies,
14 Wanapotambua kuhusu dhambi waliyoitenda, lazima kusanyiko lilete fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi na kuikabidhi mbele ya Hema la Kukutania.
Un ja tie grēki, ko tie darījuši, top zināmi, tad draudzei būs atvest vienu vērsi, jaunu vērsi, par grēku upuri un to vest saiešanas telts priekšā.
15 Wazee wa jumuiya wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo fahali aliye mbele za Bwana, naye fahali atachinjwa mbele za Bwana.
Un draudzes vecajiem būs likt savas rokas uz tā vērša galvu Tā Kunga priekšā un to vērsi nokaut Tā Kunga priekšā.
16 Kisha kuhani aliyetiwa mafuta ataiingiza sehemu ya damu ya huyo fahali ndani ya Hema la Kukutania.
Un tam svaidītam priesterim no tā vērša asinīm būs nest saiešanas teltī.
17 Atachovya kidole chake kwenye damu na kuinyunyiza mara saba mbele za Bwana mbele ya hilo pazia.
Un priesterim būs iemērkt savu pirkstu, un no asinīm ņemt un septiņkārt slacīt Tā Kunga priekšā pret priekškaramo.
18 Atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu yaliyo mbele za Bwana katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu ya kuteketezea sadaka, penye ingilio la Hema la Kukutania.
Un viņam no tām asinīm būs likt uz altāra ragiem, kas ir priekš Tā Kunga saiešanas telts; tad viņam visas asinis būs izliet uz tā dedzināmo upura altāra grīdu priekš saiešanas telts durvīm.
19 Atayaondoa mafuta yote ya yule fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu,
Viņam arī būs atņemt visus viņa taukus no tā un tos iededzināt uz altāra.
20 naye atamfanyia fahali huyu kama alivyomfanyia yule fahali mwingine wa sadaka ya dhambi. Kwa njia hii kuhani atawafanyia watu upatanisho, nao watasamehewa.
Un ar šo vērsi būs darīt, itin kā dara ar grēku upura vērsi; tā ar to būs darīt. Un priesterim tos būs salīdzināt, tad tiem taps piedots.
21 Kisha atamchukua yule fahali nje ya kambi na kumteketeza kama alivyomteketeza yule wa kwanza. Hii ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya jumuiya.
Un to vērsi būs ārā vest no lēģera un sadedzināt, itin kā viņš to pirmo vērsi sadedzinājis; tas ir draudzes grēku upuris.
22 “‘Wakati kiongozi ametenda dhambi bila kukusudia na kufanya yaliyokatazwa katika amri yoyote ya Bwana Mungu wake, ana hatia.
Ja kāds virsnieks netīši apgrēkojās un dara pret kādu no Tā Kunga, sava Dieva, baušļiem, ko nebūs darīt un paliek noziedzīgs,
23 Atakapofahamishwa dhambi aliyotenda, ni lazima alete mbuzi dume asiye na dosari kama sadaka yake.
Vai kad viņam tie grēki, ar ko viņš apgrēkojies, top zināmi, tad viņam par upuri būs atvest āzi, kas bez vainas,
24 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha yule mbuzi na kumchinja mahali pale ambapo sadaka za kuteketezwa huchinjiwa mbele za Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
Un būs likt savu roku uz tā āža galvu un to nokaut tai vietā, kur dedzināmo upuri nokauj Tā Kunga priekšā; tas ir grēku upuris.
25 Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketeza, na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.
Un priesterim būs ņemt ar savu pirkstu no tā grēku upura asinīm un likt uz dedzināmo upuru altāra ragiem, tad izgāzt viņa asinis uz dedzināmo upuru altāra grīdu.
26 Atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, kama alivyoteketeza mafuta ya sadaka ya amani. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho wa dhambi kwa ajili ya yule mtu, naye atasamehewa.
Bet visus viņa taukus tam būs iededzināt uz altāra, tā kā pateicības upura taukus; tā priesterim būs salīdzināt viņa grēkus, tad tie viņam taps piedoti.
27 “‘Kama mtu katika jumuiya ametenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana, yeye ana hatia.
Un ja kas laban no zemiem ļaudīm netīši apgrēkojās, darīdams pret vienu no Tā Kunga baušļiem, ko tam nebija darīt, un paliek noziedzīgs,
28 Atakapofahamishwa dhambi yake aliyoitenda, ni lazima alete mbuzi jike asiye na dosari kama sadaka yake kwa ajili ya dhambi aliyotenda.
Vai kad viņa grēki, ar ko tas apgrēkojies, viņam top zināmi, tad tam būs atvest par upuri jaunu kazu, kas bez vainas, par saviem grēkiem, ko tas darījis.
29 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya dhambi na kumchinjia mahali pa kuteketezea sadaka.
Un tam savu roku būs likt uz tā grēku upura galvu un to grēku upuri nokaut, kur dedzināma upura vieta.
30 Kisha kuhani atachukua sehemu ya ile damu kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.
Tad priesterim būs ņemt ar savu pirkstu no viņa asinīm un likt uz dedzināmo upuru altāra ragiem, un visas viņa asinis izgāzt uz altāra grīdu.
31 Atayaondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kwenye sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.
Bet visus viņa taukus viņam būs noņemt, itin kā noņem pateicības upura taukus, un priesterim to būs iededzināt uz altāra Tam Kungam par saldu smaržu; tā priesterim viņu būs salīdzināt, tad viņam taps piedots.
32 “‘Ikiwa ataleta mwana-kondoo kama sadaka yake ya dhambi, atamleta jike asiye na dosari.
Bet ja viņš avi upurē par grēku upuri, tad tam būs atnest aitiņu, kas bez vainas,
33 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo mwana-kondoo na kumchinja kwa ajili ya sadaka ya dhambi mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa.
Un būs likt savu roku uz tā grēku upura galvu un to nokaut par grēku upuri tai vietā, kur nokauj dedzināmos upurus.
34 Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, na ile damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.
Un priesterim no tā grēku upura asinīm būs ņemt ar savu pirkstu un likt uz dedzināmo upuru altāra ragiem un visas viņa asinis izliet uz altāra grīdu.
35 Ataondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kutoka kwenye mwana-kondoo wa sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu juu ya zile sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.
Un visus taukus no tā būs noņemt, tā kā noņem pateicības upura jēra taukus, un priesterim tos būs iededzināt uz altāra, par uguns upuri Tam Kungam; tā priesterim viņu būs salīdzināt par viņa grēku, ko tas darījis, - tad viņam taps piedots.