< Mambo ya Walawi 3 >
1 “‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana.
Kad ko prinosi žrtvu zahvalnu, ako od goveda prinosi, muško ili žensko neka prinese zdravo pred Gospodom.
2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
I neka metne ruku svoju na glavu žrtvi svojoj, i neka je sveštenik zakolje na vratima šatora od sastanka, i krvlju njezinom neka sinovi Aronovi sveštenici pokrope oltar ozgo unaokolo.
3 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
Potom neka sveštenik prinese od žrtve zahvalne ono što se pali Gospodu, salo što pokriva crijeva i sve salo što je na njima;
4 figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
I oba bubrega i salo što je na njima i na slabinama, i mrežicu što je na jetri, neka je izvadi s bubrezima.
5 Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
I neka to zapale sinovi Aronovi na oltaru zajedno sa žrtvom paljenicom, koja bude na drvima na ognju. To je žrtva ognjena na ugodni miris Gospodu.
6 “‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa Bwana, atamtoa dume au jike asiye na dosari.
Ako li od sitne stoke prinosi na žrtvu zahvalnu Gospodu, muško ili žensko neka prinese zdravo.
7 Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana.
Ako prinosi jagnje na žrtvu, neka ga prinese pred Gospodom;
8 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
I neka metne ruku svoju na glavu žrtvi svojoj, i neka je zakolje pred šatorom od sastanka; i neka pokrope sinovi Aronovi krvlju njezinom oltar ozgo unaokolo.
9 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo,
Potom neka sveštenik prinese od žrtve zahvalne ono što se pali Gospodu, salo, cio rep do leða, salo što pokriva crijeva i sve salo što je na crijevima;
10 figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo.
I oba bubrega i salo što je na njima i na slabinama, i mrežicu na jetri, s bubrezima neka je izvadi;
11 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
I neka zapali sveštenik na oltaru; to je jelo od žrtve ognjene Gospodu.
12 “‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana.
Ako li prinosi kozu, neka je prinese pred Gospodom.
13 Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
I neka joj metne ruku svoju na glavu, i neka je zakolje pred šatorom od sastanka, i neka sinovi Aronovi pokrope krvlju njezinom oltar ozgo unaokolo.
14 Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa Bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,
Potom neka sveštenik prinese od nje na žrtvu što se pali Gospodu, salo što pokriva crijeva i sve salo što je na crijevima,
15 figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
I oba bubrega, i salo što je na njima i na slabinama, i mrežicu na jetri, s bubrezima neka je izvadi;
16 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.
I neka zapali sveštenik na oltaru; to je jelo od žrtve ognjene za ugodni miris. Sve je salo Gospodnje.
17 “‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’”
Vjeèan zakon neka vam bude od koljena do koljena u svijem stanovima vašim: da ne jedete sala ni krvi.