< Mambo ya Walawi 3 >

1 “‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana.
A jeśli ktoś będzie chciał złożyć ofiarę pojednawczą, a byłaby ze stada – czy to samca, czy samicę – niech złoży ją bez skazy przed PANEM.
2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
I położy rękę na głowie swojej ofiary, i zabije ją przed wejściem do Namiotu Zgromadzenia. I synowie Aarona, kapłani, pokropią krwią z wierzchu dokoła ołtarz.
3 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
Potem z ofiary pojednawczej złoży PANU ofiarę ogniową: tłuszcz okrywający wnętrzności i cały tłuszcz, który jest na nich;
4 figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie oddzieli wraz z nerkami.
5 Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
I synowie Aarona spalą to na ołtarzu razem z ofiarą całopalną, która jest na drwach leżących na ogniu. To jest ofiara ogniowa na miłą woń dla PANA.
6 “‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa Bwana, atamtoa dume au jike asiye na dosari.
Jeśli zaś jego ofiara na ofiarę pojednawczą dla PANA będzie z trzody, czy to samiec, czy samica, niech złoży ją bez skazy.
7 Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana.
Jeśli składa owcę na swoją ofiarę, niech złoży ją przed PANEM.
8 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
I położy rękę na głowie swojej ofiary, i zabije ją przed Namiotem Zgromadzenia. I synowie Aarona pokropią jej krwią z wierzchu dokoła ołtarz.
9 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo,
I z ofiary pojednawczej złoży PANU ofiarę ogniową: jej tłuszcz, cały ogon, który odetnie przy samej kości ogonowej, tłuszcz okrywający wnętrzności oraz cały tłuszcz na wnętrznościach;
10 figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie, który oddzieli wraz z nerkami.
11 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
I kapłan spali to na ołtarzu. To [jest] pokarm ofiary ogniowej dla PANA.
12 “‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana.
Jeśli zaś jego ofiara będzie kozą, niech złoży ją przed PANEM.
13 Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
Położy rękę na jej głowie i zabije ją przed Namiotem Zgromadzenia. I synowie Aarona pokropią jej krwią ołtarz dokoła.
14 Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa Bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,
I złoży z niej PANU swoją ofiarę na ofiarę ogniową: tłuszcz okrywający wnętrzności i cały tłuszcz na wnętrznościach;
15 figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Obie nerki z tłuszczem, który jest na nich i na lędźwiach, i płat tłuszczu na wątrobie, który oddzieli wraz z nerkami.
16 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.
I kapłan spali to na ołtarzu. To [jest] pokarm ofiary ogniowej na miłą woń. Wszelki [bowiem] tłuszcz należy do PANA.
17 “‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’”
To jest wieczna ustawa dla waszych pokoleń, we wszystkich waszych mieszkaniach: Nie będziecie jeść żadnego tłuszczu ani żadnej krwi.

< Mambo ya Walawi 3 >