< Mambo ya Walawi 3 >
1 “‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana.
Nowa dunu da ea ohe amo Godema Hahawane Gilisili Olofole Iasu imunusa: dawa: sea, e da bulamagau gawali o aseme ida: iwane, ledo hamedei ima: ne sia: ma.
2 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
Amo dunu da bulamagau Hina Gode Ea Abula Diasu amo holeiga oule ahoasea, bulamagau ea dialuma da: iya ea lobo ligisilalu, amo bulamagau medole legemu. Amasea, Elane gobele salasu dunu, ilia da bulamagau ea maga: me oloda ea la: idi biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganomu.
3 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
4 figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Ilia da amo ohe dasega: le, ea dialumagaisa, ea fogome, ea sefe amola ea habe la: idi ida: iwane gala, amo ha: i manu iasu Hina Godema ima: ne olelemu.
5 Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Gobele salasu dunu da amo ha: i manu iasu liligi amola gobele salasu liligi huluane gilisili oloda da: iya gobesimu. Hina Gode da amo ha: i manu gobele salasu amo ea gabusiga: hahawane naba.
6 “‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa Bwana, atamtoa dume au jike asiye na dosari.
Dilia da sibi o goudi amo Hahawane Gilisili Olofole Iasu imunusa: dawa: sea, gawali o aseme amo ida: iwane gala amola ledo hamedafa gala ilegema.
7 Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za Bwana.
Dunu afae da sibi imunusa: dawa: sea,
8 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
e da Abula Diasu ea midadi amo sibi ea dialuma da: iya ea lobo ligisili, medole legemu. Gobele salasu dunu ilia da ea maga: me amo oloda ea la: idi biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganomu.
9 Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa Bwana kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo,
10 figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo.
Amasea, ilia da sibi ea sefe, ea sefe la: go amola dialumagaisa, ea fogome ganumui amola sefe amoga gilisi, amola habe ea la: idi noga: i, amo huluane ha: i manu iasu agoane Hina Godema imunu.
11 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Gobele salasu ouligisu dunu da amo liligi huluane amo Hina Godema ha: i manu gobele iasu ima: ne, oloda da: iya gobesimu.
12 “‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana.
Dunu afae da goudi Godema imunusa: dawa: sea,
13 Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.
e da amo goudi ea dialuma da: iya ea lobo ligisilalu, Abula Diasu ea midadi medole legemu. Gobele salasu dunu ilia da ea maga: me amo oloda ea la: idi biyaduyale gala amoga sogaga: la: gaganomu.
14 Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa Bwana kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,
15 figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.
Amola e da dialumagaisa amola fogome ganumui amola sefe amoga dialebe, amola habe ea la: idi noga: i amo huluane ha: i manu iasu agoane, Hina Godema imunu.
16 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya Bwana.
Gobele salasu dunu da amo liligi huluane lale, oloda da: iya gobesima: mu. Amo da ha: i manu iasu amola Hina Gode da amo hahawane ba: sa. Sefe huluane da Hina Gode Ea:
17 “‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’”
Isala: ili dunu da sefe amola maga: me hamedafa manu. Amo da sema bagade amola Isala: ili dunu huluane ilia habi esalea, amo sema noga: le ouligima: ne sia: ma.