< Mambo ya Walawi 21 >
1 Bwana akamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kamwe kuhani asijitie unajisi kwa utaratibu wa kiibada kwa ajili ya mtu wake yeyote anayekufa,
RAB Musa'ya şöyle dedi: “Harun soyundan gelen kâhinlere de ki, ‘Kâhinlerden hiçbiri yakın akrabası olan annesi, babası, oğlu, kızı ve kardeşi dışında, halkından birinin ölüsüyle kendini kirletmesin.
2 isipokuwa jamaa wake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake,
3 au dada yake asiyeolewa ambaye anamtegemea kwa kuwa hana mume, kwa ajili ya hao aweza kujitia unajisi.
Yanında kalan evlenmemiş kızkardeşi için kendini kirletebilir.
4 Kamwe asijitie unajisi mwenyewe kutokana na wale watu ambao anahusiana nao kwa kuoana, na hivyo kujitia unajisi.
Halkı arasında bir büyük olarak kendini kirletmemeli, adına leke getirmemeli.
5 “‘Kamwe makuhani wasinyoe nywele za vichwa vyao wala wasinyoe pembeni mwa ndevu zao, au kuweka chale kwenye miili yao.
“‘Kâhinler yas tutarken başlarını tıraş etmeyecek, sakallarının uçlarını kesmeyecek, bedenlerini yaralamayacaklar.
6 Lazima wawe watakatifu kwa Mungu wao, na kamwe wasilinajisi jina la Mungu wao. Kwa sababu ndio wanaotoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Bwana, chakula cha Mungu wao, hivyo lazima wawe watakatifu.
Tanrıları için kutsal olacaklar, Tanrıları'nın adını lekelemeyecekler. Çünkü onlar Tanrıları RAB'be yakılan sunu ve yiyecek sunusu sunuyorlar. Kutsal olmaları gerekir.
7 “‘Kamwe wasioe wanawake waliojinajisi kwa ukahaba, au waliopewa talaka na waume wao, kwa sababu makuhani ni watakatifu kwa Mungu wao.
Kâhinler fahişelerle, kirletilmiş kadınlarla, boşanmış kadınlarla evlenmeyecek. Çünkü kâhin Tanrı için kutsal olmalıdır.
8 Waoneni kuwa watakatifu, kwa sababu ndio wanaotoa chakula cha Mungu wenu. Kumbukeni kuwa ni watakatifu, kwa sababu Mimi Bwana ni mtakatifu, Mimi niwafanyaye ninyi kuwa watakatifu.
Onu kutsal sayın. Çünkü yiyecek sunusunu Tanrınız'a o sunuyor. Sizin için kutsaldır. Çünkü ben kutsalım, sizi kutsal kılan RAB benim.
9 “‘Ikiwa binti wa kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto.
Bir kâhinin kızı fahişelik yaparak kendini kirletirse, hem kendini hem de babasını rezil etmiş olur. Yakılmalıdır.
10 “‘Kuhani mkuu, yule miongoni mwa ndugu zake ambaye amekwisha kutiwa mafuta kwa kumiminiwa juu ya kichwa chake, na ambaye amewekwa wakfu kuvaa mavazi ya ukuhani, kamwe asiache nywele zake bila kufunikwa, wala asirarue nguo zake.
“‘Öbür kâhinler arasından başına mesh yağı dökülen ve özel giysiler giymek üzere atanan başkâhin, saçlarını dağıtmayacak, giysilerini yırtmayacak.
11 Kamwe asiingie mahali palipo maiti ndani. Kamwe asijitie unajisi, hata kwa ajili ya baba yake au mama yake,
Hiçbir ölüye yaklaşmayacak. Ölen annesi, babası bile olsa kendini kirletmeyecek.
12 wala asiondoke mahali patakatifu pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu amewekwa wakfu kwa mafuta ya Mungu wake. Mimi ndimi Bwana.
Tapınak hizmetinden ayrılmayacak, Tanrısı'nın Tapınağı'nı kirletmeyecek. Çünkü Tanrı'nın buyurduğu mesh yağıyla Tanrısı'na adanmıştır. RAB benim.
13 “‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.
Başkâhinin evleneceği kadın bakire olmalıdır.
14 Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake,
Dul, boşanmış, kirletilmiş ya da fahişe bir kadınla evlenmeyecek. Yalnız kendi halkından bakire bir kızla evlenebilir.
15 na hivyo hatawatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi Bwana, nimfanyaye mtakatifu.’”
Böylece halkının arasında çocuklarına leke sürmemiş olur. Onu kutsal kılan RAB benim.’”
16 Bwana akamwambia Mose,
RAB Musa'ya şöyle dedi:
17 “Mwambie Aroni: ‘Kwa vizazi vijavyo, hakuna mzao wako mwenye dosari atakayekaribia kutoa chakula cha Mungu wake.
“Harun'a de ki, ‘Soyundan gelecek kuşaklar boyunca kusurlu olan hiç kimse yiyecek sunusu sunmak üzere Tanrısı'na yaklaşmasın.
18 Hakuna mtu mwenye dosari yoyote awezaye kukaribia: hakuna mtu aliye kipofu au kiwete, au aliyeharibika uso au asiye na viungo kamili,
Kusurlu olan, sunağa yaklaşamaz: Kör, topal, yüzü arızalı, organlarından biri aşırı büyümüş,
19 hakuna mtu mwenye mguu au mkono uliolemaa,
kolu veya ayağı kırık,
20 au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
kambur, cüce, gözü özürlü, uyuz, yarası kabuk bağlamış ya da hadım.
21 Hakuna mzao wa kuhani Aroni mwenye kilema chochote atakayekaribia kutoa sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Kama ana kilema, kamwe asikaribie kutoa chakula cha Mungu wake.
Kâhin Harun'un soyundan bu kusurlara sahip hiç kimse RAB için yakılan sunuyu sunmak üzere sunağa yaklaşmayacak. Çünkü kusurludur. Tanrısı'na yiyecek sunusu sunmak üzere sunağa yaklaşamaz.
22 Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu.
Böyle bir adam Tanrısı'na sunulan kutsal ve en kutsal yiyecekleri yiyebilir.
23 Lakini kwa sababu ya kilema chake, kamwe asikaribie karibu na pazia wala kukaribia madhabahu, asije akanajisi mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi Bwana, niwafanyaye watakatifu.’”
Ancak perdeye ve sunağa yaklaşmayacaktır. Çünkü kusurludur. Tapınağımı kirletmesin. Onları kutsal kılan RAB benim.’”
24 Basi Mose akamwambia Aroni jambo hili na wanawe, pamoja na Waisraeli wote.
Musa Harun'la oğullarına ve bütün İsrail halkına bunları anlattı.