< Mambo ya Walawi 21 >
1 Bwana akamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kamwe kuhani asijitie unajisi kwa utaratibu wa kiibada kwa ajili ya mtu wake yeyote anayekufa,
Hina Gode da Mousesema, e da Elane gobele salasu dunu ilima alofele sia: ma: ne sia: i, “Gobele salasu dunu ea fi dunu bogosea, e da ledo gala hamosa: besa: le amo dunu ea ‘idigisa’ lolo Nasu amoma maedafa gilisima: mu.
2 isipokuwa jamaa wake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake,
3 au dada yake asiyeolewa ambaye anamtegemea kwa kuwa hana mume, kwa ajili ya hao aweza kujitia unajisi.
Be ea ame o ada o egefe o idiwi o ola eya o dalusi ea diasu ganodini esala, amo bogosea e da ea bogosu dawa: su gilisisu amoga gilisimu da defea.
4 Kamwe asijitie unajisi mwenyewe kutokana na wale watu ambao anahusiana nao kwa kuoana, na hivyo kujitia unajisi.
Be uda lasu hou amoga dunu o uda da ea fi amoma gilisi, e da ledo gala hamosa: besa: le, amo bogosu dawa: ma: ne hou amoma hame gilisimu.
5 “‘Kamwe makuhani wasinyoe nywele za vichwa vyao wala wasinyoe pembeni mwa ndevu zao, au kuweka chale kwenye miili yao.
Gobele salasu dunu da ea dialuma hinabo mogili hame waga: mu amola ea maya: bo fe hame waga: mu amola e da ea da: i dioi asigi hou olelema: ne, e da ea da: i hame mi defemu.
6 Lazima wawe watakatifu kwa Mungu wao, na kamwe wasilinajisi jina la Mungu wao. Kwa sababu ndio wanaotoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Bwana, chakula cha Mungu wao, hivyo lazima wawe watakatifu.
E da ea hou huluane amo ganodini hadigi ba: mu. E da Na Dio hame wadela: ma: mu.
7 “‘Kamwe wasioe wanawake waliojinajisi kwa ukahaba, au waliopewa talaka na waume wao, kwa sababu makuhani ni watakatifu kwa Mungu wao.
Gobele salasu dunu da uda lasea, e da hina: da: i bidi lasu uda o uda amo da eno dunuma dawa: digi o uda amoda enoga lai fisiagai, agoai uda hame lamu.
8 Waoneni kuwa watakatifu, kwa sababu ndio wanaotoa chakula cha Mungu wenu. Kumbukeni kuwa ni watakatifu, kwa sababu Mimi Bwana ni mtakatifu, Mimi niwafanyaye ninyi kuwa watakatifu.
Gobele salasu dunu da ha: i manu gobele salasu liligi Nama iaha. Amaiba: le, dunu eno da gobele salasu dunu da hadigi hamoi dagoi dawa: mu da defea. Na da Hina Gode! Na da hadigidafa amola Na da Na fi dunu amo hadigi hamosa.
9 “‘Ikiwa binti wa kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto.
Gobele salasu dunu ea idiwi da hina: da: i bidi lasea, e da ea ada gogosiama: ne ea hou wadela: lesiba: le, laluga gobelesili medole legema: mu.
10 “‘Kuhani mkuu, yule miongoni mwa ndugu zake ambaye amekwisha kutiwa mafuta kwa kumiminiwa juu ya kichwa chake, na ambaye amewekwa wakfu kuvaa mavazi ya ukuhani, kamwe asiache nywele zake bila kufunikwa, wala asirarue nguo zake.
Ilia da gobele salasu Ouligisu dunu amo ea dialumaga ilegesu susuligi sogadigi dagoi amola gobele salasu abula gasisalima: ne ilegei dagoi. Amaiba: le, dunu da bogosea, e da ea dialuma hinabo mae fesega: ne, ea da: i dioi olelema: ne abula gadelamu, amo hou e da hame hamomu.
11 Kamwe asiingie mahali palipo maiti ndani. Kamwe asijitie unajisi, hata kwa ajili ya baba yake au mama yake,
12 wala asiondoke mahali patakatifu pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu amewekwa wakfu kwa mafuta ya Mungu wake. Mimi ndimi Bwana.
E da Na hadigi hou hamoma: ne, Nama ilegei dagoi. Amaiba: le, e da ledo gala hamoma: ne, hou huluane hame hamomu. Amola e da Na sema Abula Diasu amo ledo gala hamosa: besa: le, e da Na diasu fisili, diasu amo ganodini bogoi da dialebe amoga masunu da sema bagade. Ea ada o ame amola da bogosea, e da ilia dialebe diasu amoga hame masunu.
13 “‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.
E da a: fini, dunu hame dawa: digi amo fawane lamu.
14 Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake,
E da uda didalo o dunu enoga lai fisiagai uda o hina: da: i bidi lasu uda amo hame lamu. E da ea fidafa a: fini dunu hame dawa: digi amo fawane lama: mu.
15 na hivyo hatawatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi Bwana, nimfanyaye mtakatifu.’”
Ea mano da hadigi hamoi dagoi ba: mu da defea. Be e da uda udigili lasea, ea mano da sema ganodini ledo gala hamoi dagoi ba: mu. Na da Hina Gode amola Na da Gobele Salasu Ouligisu dunu mogili gagale hadigi hamoi dagoi.”
16 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema, e da Elanema amane sia: ma: ne sia: i, “Digaga fi amo afae da ea da: i hodo liligi da wadela: i ba: sea, e da ha: i manu iasu Nama imunu da defea hame. Amo sema da wali amola eso huluane dialalalumu.
17 “Mwambie Aroni: ‘Kwa vizazi vijavyo, hakuna mzao wako mwenye dosari atakayekaribia kutoa chakula cha Mungu wake.
18 Hakuna mtu mwenye dosari yoyote awezaye kukaribia: hakuna mtu aliye kipofu au kiwete, au aliyeharibika uso au asiye na viungo kamili,
Nowa da ea da: i hodo liligi afae da wadela: i ba: sea, e da ha: i manu gobele salasu Nama hame imunu. Si dofoi dunu amola emo gasuga: igi o da: i wadela: lesi amo huluane,
19 hakuna mtu mwenye mguu au mkono uliolemaa,
lobo o emo afoi dunu,
20 au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
baligi fele heda: i o samoi dunu, si oloi o gadofo oloi o gulusu danai,
21 Hakuna mzao wa kuhani Aroni mwenye kilema chochote atakayekaribia kutoa sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Kama ana kilema, kamwe asikaribie kutoa chakula cha Mungu wake.
Elane egaga fi amo ganodini da da: i wadela: i amo da ha: i manu gobele salasu Nama hame imunu.
22 Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu.
Agoai dunu da ha: i manu Nama iasu liligi amo manu da defea. E da hadigi ha: i manu iasu amola hadigidafa ha: i manu iasu amo manu da defea.
23 Lakini kwa sababu ya kilema chake, kamwe asikaribie karibu na pazia wala kukaribia madhabahu, asije akanajisi mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi Bwana, niwafanyaye watakatifu.’”
Be ea da: i da fonobahadi wadela: iba: le, e da Sema Abula (amo da Hadigi Malei Sesei amola Hadigidafa Momei Sesei afafasa) amola oloda amo gadenene hame misunu. E da amo hadigi liligi ledo gala hamosa: besa: le, gadenene hame misunu. Bai Na da Hina Gode amola Na da amo liligi hadigima: ne hamosa.”
24 Basi Mose akamwambia Aroni jambo hili na wanawe, pamoja na Waisraeli wote.
Amo sia: huluane, Mousese da Elane, egefela amola Isala: ili dunu ilima olelei.