< Mambo ya Walawi 20 >
Potem rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
2 “Sema na wana wa Israeli: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi katika Israeli ambaye atamtoa yeyote miongoni mwa watoto wake kuwa sadaka kwa mungu Moleki, mtu huyo lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo watampiga kwa mawe.
Powiedz synom Izraelskim: Ktobykolwiek z synów Izraelskich, albo z przychodniów mieszkających w Izraelu ofiarował potomstwo swoje Molochowi, śmiercią niech umrze; lud ziemi niechaj go ukamionuje;
3 Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo, nami nitamkatilia mbali na watu wake. Kwa maana kwa kumtoa mmoja wa watoto wake kwa mungu Moleki, amenajisi madhabahu yangu na kulinajisi Jina langu takatifu.
Bo Ja postawię twarz moję rozgniewaną przeciwko temu mężowi, i wytracę go z pośrodku ludu jego, przeto, iż potomstwo swoje ofiarował Molochowi, i splugawił świątnicę moję, a zmazał imię świątobliwości mojej.
4 Ikiwa watu wa jumuiya watafumba macho wakati mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa mungu Moleki, nao wakaacha kumuua,
A jeźliby lud ziemi nie dbając przeglądał mężowi takiemu, który by ofiarował Molochowi potomstwo swe, i nie zabiłby go:
5 mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo pamoja na jamaa yake, nami nitawakatilia mbali yeye na watu wote waliofanya ukahaba na Moleki.
Tedy Ja postawię twarz moję zagniewaną przeciw temu mężowi i przeciw domowi jego, i wytracę go i wszystkie, którzy cudzołożąc, szliby za nim, aby cudzołożyli, naśladując Molocha, z pośrodku ludu jego.
6 “‘Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu anayeenda kwa waaguzi na wenye pepo, na hivyo kujifanyia ukahaba kwa kuwafuata, nami nitamkatilia mbali na watu wake.
Człowiek, który by się udał do czarowników, i do wieszczków, aby cudzołożył idąc za nimi, postawię twarz swoję rozgniewaną przeciwko niemu, i wytracę go z pośrodku ludu jego.
7 “‘Jitakaseni basi, nanyi kuweni watakatifu, kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Przetoż poświęcajcie się, a bądźcie świętymi; bom Ja Pan, Bóg wasz.
8 Shikeni amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi Bwana, niwafanyaye ninyi watakatifu.
A strzeżcie ustaw moich, i czyńcie je; Jam Pan poświęcający was.
9 “‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani baba yake au mama yake, lazima auawe. Amemlaani baba yake au mama yake, nayo damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.
Ktobykolwiek złorzeczył ojcu swemu, albo matce swej, śmiercią umrze; ojcu swemu, i matce swej złorzeczył, krew jego będzie na nim.
10 “‘Ikiwa mtu atazini na mke wa mtu mwingine, yaani mke wa jirani yake, wazinzi hao wawili lazima wauawe.
Kto by się kolwiek cudzołóstwa dopuścił z czyją żoną, ponieważ cudzołożył z żoną bliźniego swego, śmiercią umrze cudzołożnik on i cudzołożnica.
11 “‘Kama mtu atakutana kimwili na mke wa baba yake, hakumheshimu baba yake. Mwanaume huyo na mwanamke huyo wote wauawe; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.
Ktobykolwiek też spał z żoną ojca swego, sromotę ojca swego odkrył, śmiercią umrą oboje; krew ich będzie na nich.
12 “‘Ikiwa mtu atakutana kimwili na mke wa mwanawe, lazima wote wawili wauawe. Walichokifanya ni upotovu; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.
Jeźliby też kto spał z synową swoją, śmiercią umrą oboje; obrzydliwości się dopuścili, krew ich będzie na nich.
13 “‘Kama mwanaume akikutana kimwili na mwanaume mwenzake kama vile mwanaume afanyavyo na mwanamke, wanaume hao wawili wamefanya lililo chukizo sana. Lazima wauawe; nayo damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.
Mąż także, który by z mężczyzną obcował sposobem niewieścim, obrzydliwość uczynili oba; śmiercią umrą, krew ich będzie na nich.
14 “‘Ikiwa mwanaume ataoa binti pamoja na mama yake, huo ni uovu. Wote watatu ni lazima wachomwe moto, ili kwamba pasiwepo na uovu katikati yenu.
Kto by też pojął córkę z matką jej, sprośna rzecz jest; ogniem spalą onego i onę, aby nie była ta sprośność między wami.
15 “‘Kama mwanaume akikutana kimwili na mnyama, ni lazima auawe, na pia ni lazima mnyama huyo auawe.
Także kto by się złączył z bydlęciem, śmiercią umrze, bydlę też zabijecie.
16 “‘Kama mwanamke atamsogelea mnyama kukutana naye kimwili, muueni mwanamke huyo pamoja na mnyama pia. Lazima wauawe; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.
Niewiasta, która by przystąpiła do jakiego bydlęcia, aby z niem obcowała, zabijesz niewiastę i bydlę; śmiercią umrą, krew ich będzie na nich.
17 “‘Ikiwa mtu anamwoa dada yake, binti aliyezaliwa na baba yake au mama yake, nao wakakutana kimwili, ni aibu. Lazima wakatiliwe mbali machoni pa watu wao. Huyo mwanaume amemwaibisha dada yake, hivyo atawajibika kwa ajili ya uovu huo.
Kto by też pojął siostrę swoję, córkę ojca swego, albo córkę matki swej, i widziałby sromotę jej, i ona by widziała sromotę jego, rzecz haniebna jest; przetoż wytraceni będą przed oczyma synów ludu swego; sromotę siostry swej odkrył, nieprawość swoję poniesie.
18 “‘Ikiwa mwanaume atalala na mwanamke aliye katika hedhi yake na kukutana naye kimwili, amefunua mtiririko wa hedhi yake, naye huyo mwanamke amejifunua uchi wake. Wote wawili lazima wakatiliwe mbali na watu wao.
Kto by spał z niewiastą czasu przyrodzonej choroby jej, i odkryłby sromotę jej, i obnażyłby płynienie jej, i ona by też odkrywała płynienie krwi swojej, wytraceni będą oboje z pośrodku ludu swego.
19 “‘Usikutane kimwili na dada wa mama yako wala wa baba yako, kwa maana hilo litamwaibisha jamaa wa karibu; ninyi wawili mtawajibika kwa ajili ya uovu huo.
Sromoty siostry matki twej i siostry ojca twego nie odkryjesz; bo kto by pokrewną swoję obnażył, nieprawość swoję poniesie.
20 “‘Ikiwa mwanaume atakutana kimwili na shangazi yake, amemwaibisha mjomba wake. Nao watawajibika kwa ajili ya uovu huo; watakufa bila kuzaa mtoto.
Kto by też spał z żoną stryja swego, sromotę stryja swego odkrył, grzech swój poniosą, bez dzieci pomrą.
21 “‘Ikiwa mwanaume ataoa mke wa ndugu yake, hili ni tendo chafu; amemwaibisha ndugu yake. Nao hawatazaa mtoto.
Także kto by pojął żonę brata swego, sprośność jest; sromotę brata swego odkrył, bez dzieci będą.
22 “‘Zishikeni amri na sheria zangu zote na kuzifuata, ili nchi ninayowaleta kuishi isiwatapike.
Strzeżcież tedy wszystkich ustaw moich, i wszystkich sądów moich, a czyńcie je, aby was nie wyrzuciła ziemia, do której Ja was wprowadzę, abyście w niej mieszkali.
23 Kamwe msiishi kwa kufuata desturi za mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu. Kwa sababu walifanya mambo haya yote, nami nikachukizwa sana nao.
A nie chodźcie w ustawach tego narodu, który Ja wypędzam od oblicza waszego; bo to wszystko czynili, i obrzydziłem je sobie.
24 Lakini niliwaambia ninyi, “Mtaimiliki nchi yao; nitawapa ninyi kuwa urithi, nchi inayotiririka maziwa na asali.” Mimi ndimi Bwana Mungu wenu, ambaye amewatenga kutoka mataifa.
Wam zaś powiedziałem: Wy posiądziecie ziemię ich, a Ja wam ją dam w dziedzictwo, ziemię opływającą mlekiem i miodem. Jam Pan, Bóg wasz, którym was wyłączył od innych narodów.
25 “‘Kwa hiyo, ninyi lazima mweze kutofautisha kati ya wanyama walio safi na wasio safi, pia kati ya ndege wasio safi na walio safi. Msijitie unajisi kutokana na mnyama yeyote, au ndege, wala kitu chochote kitambaacho juu ya ardhi, vile ambavyo nimevitenga kuwa najisi kwa ajili yenu.
A tak wy rozeznawajcie między bydlęciem czystem i nieczystem, i między ptakiem nieczystym i czystym, a nie plugawcie dusz waszych bydłem i ptastwem i wszystkiem, co się czołga po ziemi, którem wam odłączył za nieczyste.
26 Mtakuwa watakatifu kwangu, kwa sababu Mimi, Bwana, ni mtakatifu, nami nimewatenga kutoka mataifa kuwa wangu mwenyewe.
I będziecie mi świętymi, bom Ja święty Pan, i odłączyłem was od innych narodów, abyście byli moimi.
27 “‘Mwanaume au mwanamke ambaye ni mchawi, mwaguzi au mwenye kupunga pepo miongoni mwenu lazima auawe. Mtawapiga kwa mawe; nayo damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.’”
Mąż albo niewiasta, w których by był duch czarnoksięski albo wieszczy, śmiercią umrą: kamieniem ukamionują ich, krew ich będzie na nich.