< Mambo ya Walawi 2 >

1 “‘Mtu yeyote aletapo sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake,
Mago'mo'ma Ra Anumzamofonte'ma witi ofa'ma hunaku'ma erino esuno'a kaneno eri osi huteno, erino eno. Anampina masavena taginenteno frenkinsensi nehaza mnanentake'zana erinteno,
2 naye atapeleka kwa makuhani wana wa Aroni. Kuhani atachukua konzi moja iliyojaa unga laini na mafuta pamoja na uvumba wote, na kuuteketeza kama sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
erino Aroni mofavreramima pristi eri'zama e'neriza vahete vino. Ana masavene frenkinsensinema eri haviama hu'nea witifintira mago aza huno, kresramana vu itare ome kresigeno Ra Anumzamo'a mana'a nentahino musena hugahie.
3 Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe, ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Hagi mago'ama mesia witia Aronine mofavre'amokizmi su'a megahie. Anama Ra Anumzamofonte'ma kre sramana vunente'za atresazama'amo'a ruotagetfaza hu'ne.
4 “‘Kama utaleta sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni, itakuwa ya unga laini: maandazi yaliyotengenezwa bila kutiwa chachu, yaliyochanganywa na mafuta, au mikate myembamba iliyotengenezwa bila kutiwa chachu, na iliyopakwa mafuta.
Avenifima kre'nesaza bretima ofama hunaku'ma erita esazana, zisti onte breti masaventeti eri havia huno kre'ne'nia kekio, hagege bisketire masave fre'ne'nia erita eho.
5 Iwapo sadaka yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na mafuta, bila chachu.
Kuta fraimpenifima kre'ne'nia witireti'ma ofama hunaku'ma hanutma, kaneosi'ma hu'nesia flaua'ene olivi masavenena erihavia nehuta, anampina zistia onteho.
6 Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
Hagi ana bretia goli osi osi huteta, anampina masave taginteho. E'i witi ofa hugahaze.
7 Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.
Kresramana vu witi ofama kre hagage hu kavofima kresazana, kaneosi osi'ma hu'nesia flauateti masavene eri havia huteta kregahaze.
8 Ilete hiyo sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana; mkabidhi kuhani ambaye ataipeleka madhabahuni.
Hagi ama ana zantetima witi ofama kreta erita Ra Anumzamofonte'ma esuta, pristi vahe ome aminkeno, erino kresramna vu itarera vino.
9 Naye atatoa ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Ana bretifintira pristi vahe'mo'za huvame hu'za mago zamaza hu'za eri'za kre manavu itare tevefi kresageno, Ra Anumzamo'a mana'a nentahino musena hugahie.
10 Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe; ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana ya sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Hagi anama Ra Anumzamofonte'ma tevefima kresramana vunente'za atresaza bretimo'a, ruotgetfa hu'neankino Aronine mofavre'amokizmi su'a megahie.
11 “‘Kila sadaka ya nafaka unayoleta kwa Bwana ni lazima ifanywe bila kutiwa chachu, kwa kuwa huna ruhusa kuchoma chachu yoyote au asali katika sadaka itolewayo kwa Bwana kwa moto.
Kresramana vu witima ofama erita vanazana, zistia onteho, na'ankure zistima antege tumerima antege'ma hu'nesia witiretira tevefina kreta Ra Anumzamofona ofa huontegahaze.
12 Unaweza kuzileta kwa Bwana kama sadaka ya malimbuko, lakini haziwezi kutolewa juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kupendeza.
Hozafinti'ma e'sema ne'zama nenama hania ofama hanutma, zistine tumerinena amne tamagra erita Ra Anumzamofonte egahazanagi, e'i ana ofa kremnavu itarera Ra Anumzamo muse hanie huta onkregahaze.
13 Koleza sadaka zako zote za nafaka kwa chumvi. Usiache kuweka chumvi ya Agano la Mungu wako katika sadaka zako za nafaka; weka chumvi kwenye sadaka zako zote.
Miko ofama hanaza witifina hagea antenageno, e'i ana zamo'a Anumzamo'enema huhagerafi huvempa ke'ma hu'naza kemofo huramagesa nehanigetma, tamagera okanigahazanki maka ofama hanaza witifina hagea atintegahaze.
14 “‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa Bwana, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto.
Ana nehuta ese'ma nena hania witi raga Ra Anumzamofonte'ma ofa huku'ma erita esutma, refuzafupeta eritma ege' tevefi kre hagage hutma erita egahaze.
15 Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
Ana ne'zampina olivi masavene, mnanentake'za insensi antegahazankino, e'i witi ofa hugahaze.
16 Kuhani atateketeza ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka iliyopondwa kwa mafuta, pamoja na uvumba wote, kama sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
Ana Witima kne'za masavene mnanentake'za insensinema eri haviama hunte'nazafinti osi'a eri'za, Pristi vahe'mo'za knare manavu ofa Anumzamofontega huntegahaze.

< Mambo ya Walawi 2 >